Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Ili kuwa ten good years ya kuneemesha wafanyabiashara "wagonga vichwa sakafuni" kwa jasho la watz masikini kabisa. Wakwepa kodi wakubwa wote ni "wagonga vichwa sakafuni"
Mwisho wao umefika warudi tuu Oman
tujiulize kidogo bakhresa anafanya kazi bandari?hawa tra malofa kweli walete data zinazoonyesha kiasi alichokwepa kihalali kabisa sio upuuzi huu
Hivi unajua kilichoandikwa na TRA kuhusu Bakhressa? Wapi Bakhressa kakwepa kodi?
tujiulize kidogo bakhresa anafanya kazi bandari?hawa tra malofa kweli walete data zinazoonyesha kiasi alichokwepa kihalali kabisa sio upuuzi huu
Lakini kwa niwajuavyo wafanyabiashara wakubwa ni kwamba inawezekana kuna mtu tu kaamua kumchoma kwa maslahi yake, tukisema tumulikane kiivo hakuna atakaesalia salama, cha msingi ni kurudisha misingi bora ya utawala, tusidhalilishane. Tukiangalia pesa zilizopotea basi tuanze kuangali tokea 2005, from hapo sasa tuwatafute wote waliiibia nchii hii.. Mtashangaa habaki mtu.
Lakini kwa niwajuavyo wafanyabiashara wakubwa ni kwamba inawezekana kuna mtu tu kaamua kumchoma kwa maslahi yake, tukisema tumulikane kiivo hakuna atakaesalia salama, cha msingi ni kurudisha misingi bora ya utawala, tusidhalilishane. Tukiangalia pesa zilizopotea basi tuanze kuangali tokea 2005, from hapo sasa tuwatafute wote waliiibia nchii hii.. Mtashangaa habaki mtu.
mpaka sasa amelipa bilioni 2, hukumsikia Bade juzi!? na anapanga kulipa bilioni 12 na fine juu. kosa walilofanya ni kuruhusu mzigo kutoka bila ya kuwa na release order, wametoa kwa vimemo. jamaa hajakwepa kodi, ila ameruhusu watu wengine kukwepa kodi, ieleweke hivyo! mpaka sasa meneja wake anaisaidia polisi!
Hapo mwisho naona unataka kubadilisha mada kutoka ya ukwepaji kodi kwenda kuwa ya kidini, ni shida kwa kweli tukiwa na mawazo kama yako.ICD zote huwa na officer wa TRA anayeruhusu mzigo kutoka,mmiliki haruhusu mzigo kutoka.Hapa sioni kosa la Bakhresa labda kama kuna ajenda nyingine.
Kina John Paulo huwa hawakwepi kodi?
Dated 17th Nov..kumbe hii issue ilianza kitambo
maguufu unasubiri nini kumkamata mkwere
Mungu mkubwa naona watanzania tumeanza kuongea lugha moja, hapo zamani wapinzani tukiongea haya tulikuwa tukiitwa wenye wivu.Najaribu kufikiria for ten years kama mchezo ulikuwa huu jamaa kavuna kiasi gani, Jk naye bila aibu akaenda kufungua ile studio ya azam pale tabata kumbe ni jasho letu.........mbwa kweli hawa watu.
Hivi unajua kilichoandikwa na TRA kuhusu Bakhressa? Wapi Bakhressa kakwepa kodi?
Bakhresa ni myemen.