Muimba SINGELI
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 4,211
- 10,860
My mambo, mbona kimya kimya,au ndo kufumaniaaa,mwenzanguπ
Marry umeolewa?Home internet ipo kwetu,hivyo ni ngumu kuharibu 500 yangu
Huyoo ni shoga yangu,nikitongozwa anakasirika ,angejua mabwana wenyewe walivyoMwachiii hampendi Da Marry toka mwanzo, sijui wamekwazana wapiii?
Au hataki mwenzie atambe JF. yaan hapa naona raha kusoma huu ubuyuu
πππππ
Sasa ujue nn Da marry, siku ingine ukipata appointment na kapuku wa humu. Jibebee zako vijipesa vya kukutosha mwenyewe.Dada Mimi sikuwa na hela, mbona sikuzote nasemaga ukweli ,ila nikikutana nae waivyo siku nyingine namsaidia, wamechoka kwakweli π
Wanamwita mariagoleti.Maria
Hatariiiiii πππππHapo kwenye kipilipili sasa πΉπΉπ
Ila JF ina hekaheka sana..!!
Nakupenda,ila unanikeraaaPengine huu ni uzi wa mwisho kuandikwa na mimi kukuhusu wewe kipenzi changu Marry
Tangu tumekubaliana kuhusu ndoa sikuoni ukilifurahia hili jukwaa kama zamani, nadhani huu ni utii kwangu mume wako mtarajiwa na utii kwa ajili ya ndoa pia. Nilitegemea mwezi huu nikipokea rejesho ndiyo niibuke huko jijini daresalama lakini mipango sio matumizi mambo hayakwenda sawa. Niseme tu...www.jamiiforums.com
Hapana mke wangu ila juzi niliandika huu uzi nikiwa na simanzi sana nikakosa hata nguvu ya kukutag ila ndio uhalisia wenyewe.
Hapana huyo sio mimi, japo mimi pia naweza kufanana na huyo jamaa maisha.Shem kumbe una yeboyebo na simu imepasuka kioo? π₯πΉπΉ
Yaan afanye kuzitaja hizo ID kwa kwelii..πΉπΉπΉ Id zao puliiiz ili na sisi tuziogope mdogo wangu..!!
Asante kwa kunipenda ila ukweli ni kwamba sistahili kupendwa.Nakupenda,ila unanikeraaa
πΉπΉπΉπΉ Sio wasukuma hao mana na mashati ya kungβata wako vizuri..!Akuuu , wenyewe najua wanasoma Uzi kimyakimya na simu zao za mikopo,wee mtu gani shati linangaa linaumiza macho kama mfanyakazi wa tanesko,
ππππππHuyoo ni shoga yangu,nikitongozwa anakasirika ,angejua mabwana wenyewe walivyo
Mwachi ana kisokorokwinyo ndo shida yake..!!Mwachiii hampendi Da Marry toka mwanzo, sijui wamekwazana wapiii?
Au hataki mwenzie atambe JF. yaan hapa naona raha kusoma huu ubuyuu
πππππ
Mfano naniMwenye kujiamini aniseme, wenyewe walijua mm masikini,kumbe wengi nawalisha humu
Kuna watu wataniua na njaa siku moja,sasa nikupe na huyu wa pili.Sasa ujue nn Da marry, siku ingine ukipata appointment na kapuku wa humu. Jibebee zako vijipesa vya kukutosha mwenyewe.
Ili yeye akileta njegeka zake, unasepa fastaa maeneo. Usicheke na wowotee.
ππππππ
WeweMfano nani
Jamaniii ni zile kaoshi za Green light au orange?Akuuu , wenyewe najua wanasoma Uzi kimyakimya na simu zao za mikopo,wee mtu gani shati linangaa linaumiza macho kama mfanyakazi wa tanesko,
Inasikitisha sanaAiseeeeeee