Ukweli usemwe, Rais Samia kaonesha uwezo mkubwa sana

Ukweli usemwe, Rais Samia kaonesha uwezo mkubwa sana

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,565
Reaction score
14,325
Salama?

Nisiwe na maneno mengi. Rais Samia alikabidhiwa nchi kipindi kigum na cha hatari Sana.

Wengi tulitarajia nchi itamahinda. Just imagine kaipokea nchi kutoka Kwa Rais ambaye aliivuruga nchi vya kutosha, alijifanyia anachotaka na kuwaumiza wengi kadri alivyojisikia.

Rais Samia aliipokea nchi kipindi ambacho pengine wahanga wa Mwendazake walikuwa wengi wengi wengi mno.

Lakini pia Mashabiki Lia Lia wa Mwendazake walikuwa lukuki.

Kilichotokea baada ya Rais Samia kuingia madarakani tuliona wale wahanga wa Mwendazake kisiasa walijaribu kumprovoke Samia Suluhu Hassan but kilichoendelea wote ni mashahid hakuna tena cha Mbowe wala Mdude Chadema.

Haikuwa rahis lakin Leo sote ni mashahidi Rais kaweza kuwaondoa viongozi wengi tu waliokuwa wanamtumikia JPM na si Tanzania. Chalamila out , Sabaya yupo jela na hakuna wa kufanya fyoko. Kwa Rais muoga na asiyejiamin , anayetoka Chama kile kile cha mtanguliz wake angemgusa Sabaya , Chalamila au Chamuriho? , angeanzaje kumgusa Kabudi?

Siku zinazidi kwenda na Mwanamama huyu wa kipekee anazid kuonyesha uwezo mkubwa kiuongoz aliojaaliwa ambao kimsingi hatukuutegemea.

Twende mbele turudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan ni Mwanamama wakipekee haswa.
 
Salama?

Nisiwe na maneno mengi. Rais Samia alikabidhiwa nchi kipindi kigum na cha hatari Sana.

Wengi tulitarajia nchi itamahinda. Just imagine kaipokea nchi kutoka Kwa Rais ambaye aliivuruga nchi vya kutosha, alijifanyia anachotaka na kuwaumiza wengi kadri alivyojisikia.

Rais Samia aliipokea nchi kipindi ambacho pengine wahanga wa Mwendazake walikuwa wengi wengi wengi mno.

Lakini pia Mashabiki Lia Lia wa Mwendazake walikuwa lukuki.

Kilichotokea baada ya Rais Samia kuingia madarakani tuliona wale wahanga wa Mwendazake kisiasa walijaribu kumprovoke Samia Suluhu Hassan but kilichoendelea wote ni mashahid hakuna tena cha Mbowe wala Mdude Chadema.

Siku zinazidi kwenda na Mwanamama huyu wa kipekee anazid kuonyesha uwezo mkubwa kiuongoz aliojaaliwa ambao kimsingi hatukuutegemea.

Twende mbele turudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan ni Mwanamama wakipekee haswa.
Utakuwa ni Mkojan, au ni Msoga Gang wewe bila shaka.
 
Salama?

Nisiwe na maneno mengi. Rais Samia alikabidhiwa nchi kipindi kigum na cha hatari Sana.

Wengi tulitarajia nchi itamahinda. Just imagine kaipokea nchi kutoka Kwa Rais ambaye aliivuruga nchi vya kutosha, alijifanyia anachotaka na kuwaumiza wengi kadri alivyojisikia.

Rais Samia aliipokea nchi kipindi ambacho pengine wahanga wa Mwendazake walikuwa wengi wengi wengi mno.

Lakini pia Mashabiki Lia Lia wa Mwendazake walikuwa lukuki.

Kilichotokea baada ya Rais Samia kuingia madarakani tuliona wale wahanga wa Mwendazake kisiasa walijaribu kumprovoke Samia Suluhu Hassan but kilichoendelea wote ni mashahid hakuna tena cha Mbowe wala Mdude Chadema.

Siku zinazidi kwenda na Mwanamama huyu wa kipekee anazid kuonyesha uwezo mkubwa kiuongoz aliojaaliwa ambao kimsingi hatukuutegemea.

Twende mbele turudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan ni Mwanamama wakipekee haswa.
Mambo ya Urojo haya mama. Umeshakula rojo lake Na pweza sasa ukalale mama.
 
Uvccm na shule za kata majanga ya nchi hii.

Kwa hiyo kwako mafanikio Rais Samia ni kumuweka Mbowe ndani na kuidhibiti Cdm ?!. Tanganyika tuna kizazi kiazi kabisa. Mafanikio hayapimwi kwa kuonea watu .
Kwa wanaojua siasa hasa za Afrika wanaelewa zaidi ya kumhifadhi Mbowe mahali salama Utawala wa Rais Samia haukuwa na namna nyingine ya kuituliza nchi. Mbowe alikosea timing tu , Jambo ambalo kwenye siasa ni kosa kubwa la kiufundi.
 
Salama?

Nisiwe na maneno mengi. Rais Samia alikabidhiwa nchi kipindi kigum na cha hatari Sana.

Wengi tulitarajia nchi itamahinda. Just imagine kaipokea nchi kutoka Kwa Rais ambaye aliivuruga nchi vya kutosha, alijifanyia anachotaka na kuwaumiza wengi kadri alivyojisikia.

Rais Samia aliipokea nchi kipindi ambacho pengine wahanga wa Mwendazake walikuwa wengi wengi wengi mno.

Lakini pia Mashabiki Lia Lia wa Mwendazake walikuwa lukuki.

Kilichotokea baada ya Rais Samia kuingia madarakani tuliona wale wahanga wa Mwendazake kisiasa walijaribu kumprovoke Samia Suluhu Hassan but kilichoendelea wote ni mashahid hakuna tena cha Mbowe wala Mdude Chadema.

Siku zinazidi kwenda na Mwanamama huyu wa kipekee anazid kuonyesha uwezo mkubwa kiuongoz aliojaaliwa ambao kimsingi hatukuutegemea.

Twende mbele turudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan ni Mwanamama wakipekee haswa.
Sema Mbowe wakati mwendazake kakata Moto, alitoka Dubai alirudi Bongo kwa ukaliiiiiio kujaribu kurudisha alichopoteza🤣🤣🤣🤣

Kakutana na Mlingoni chuma, bendera chuma.

Show show 🤣🤣🤣🤣

Sasa hivi wafuasi wake wanatia huruma tu🤣🤣🤣
 
Sijasoma lakini huo uwezo WA kulipisha pesa daraja la kigamboni lenye wapita njia masikini wengi na lile la washua kuwasamee tozo .........huo ni umbwiga na utakuwa uwezo WA mbwiga piaaa
Rais Samia anahusikaje na kulipisha fedha daraja la Kigamboni?
 
Kwa sehemu fulani nakubaliana na wewe kwamba mama anafanya vizuri, lkn mazuri hayo yanafifia kutokana na maambo machache kama ifuatavyo:
1. Kesi ya Mbowe
2. Wabunge 19 waliokua wanachama wa CHADEMA
3. UPIGAJI wa fedha za umma umerudi kwa kiwango cha juu.

NAWASILISHA
 
Salama?

Nisiwe na maneno mengi. Rais Samia alikabidhiwa nchi kipindi kigum na cha hatari Sana.

Wengi tulitarajia nchi itamahinda. Just imagine kaipokea nchi kutoka Kwa Rais ambaye aliivuruga nchi vya kutosha, alijifanyia anachotaka na kuwaumiza wengi kadri alivyojisikia.

Rais Samia aliipokea nchi kipindi ambacho pengine wahanga wa Mwendazake walikuwa wengi wengi wengi mno.

Lakini pia Mashabiki Lia Lia wa Mwendazake walikuwa lukuki.

Kilichotokea baada ya Rais Samia kuingia madarakani tuliona wale wahanga wa Mwendazake kisiasa walijaribu kumprovoke Samia Suluhu Hassan but kilichoendelea wote ni mashahid hakuna tena cha Mbowe wala Mdude Chadema.

Siku zinazidi kwenda na Mwanamama huyu wa kipekee anazid kuonyesha uwezo mkubwa kiuongoz aliojaaliwa ambao kimsingi hatukuutegemea.

Twende mbele turudi nyuma Rais Samia Suluhu Hassan ni Mwanamama wakipekee haswa.
Ni kweli tumeshuhudua uwezo mkubwa sana wa kurejesha mafisadi kwenye system. Ameunesha mama yenu😂
 
Kijana bado una mengi ya kujifunza.

Bado hujajua mambo yenyewe.
 
Kwa sehemu fulani nakubaliana na wewe kwamba mama anafanya vizuri, lkn mazuri hayo yanafifia kutokana na maambo machache kama ifuatavyo:
1. Kesi ya Mbowe
2. Wabunge 19 waliokua wanachama wa CHADEMA
3. UPIGAJI wa fedha za umma umerudi kwa kiwango cha juu.

NAWASILISHA
Rais Samia angefanya nini ili kuzuia hali ya taharuki aliyotaka kuileta Mbowe hasa hasa kipindi ambacho taifa limetoka kupoteza Rais tena angali madarakani? Unafaham kipindi Mbowe anatumia lugha ya kumcommand Rais ni kipind ambacho jeshi lilikuwa tayar tayar na Kwa nin lilikuwa tayar tayar?

Narudia tena hata ningekuwa yeye Rais Samia ningemhifadh mahali salama Mbowe Kwa Nia nzuri kabisa Kwa taifa .
 
Ukilinganisha tulipotoka kwa li jpm huyu mama anastahili hizo sifa
 
Kwa sehemu fulani nakubaliana na wewe kwamba mama anafanya vizuri, lkn mazuri hayo yanafifia kutokana na maambo machache kama ifuatavyo:
1. Kesi ya Mbowe
2. Wabunge 19 waliokua wanachama wa CHADEMA
3. UPIGAJI wa fedha za umma umerudi kwa kiwango cha juu.

NAWASILISHA
Kurud Kwa Upigaji fedha za Umma si hasa "kumerudi" isipokuwa Uhuru wa habari umelud ndio maana hata habar za Upigaji zinachapishwa magazetin
 
Back
Top Bottom