Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Nyie wapuuzi sana,yani mnapost wenyewe,mnachangia wenyewe,mnapongezana wenyewe wakati Fedha za escrow mmeiba wenyewe.

Subirini utawala ubadilike,mtakwenda jela kama aki na Basil Mramba na mtahukumiwa kifungo cha maisha,tunasubiri ripoti ya CAG ndiye atawaumbua.

Fanyeni propaganda kwenye hiyo TV ya ccm lkn ukweli unafahamika,kamwe hatuwezi kuwa upande wa Majizi.
kweli akiri nywele nimeamini
yan umekuja hapa kuongea pumba duuuuu
 
Nyie mliokuwa mbele ya runinga uelewa na vishereheshi ndio hivyo ,sijui sisi wa pembezoni tutaelewa nini?
 
Tunafahamu imewauma sana baada ya watanzania kupewa ukweli jana kupitia runinga ya Star TV, wasaka tonge mmevimba na kutoa vijambo vya kila aina vyenye harufu chafu, mmeshindwa hata kuchangia hoja mmebaki mnatukana matusi ya kila aina kwenye vigroup vyenu.
Leo tena mwendelezo kupitia Tv ileile muda uleule. Wajinga nyie mmeachwa mkipotosha umma muda wote huo, kwahyo mlichokuwa mkifanya nyinyi siyo propaganda ilikuwa kutoa elimu kwa umma??? Mmezunguka mikoa mingapi na vikongamano vyenu mkigawa visenti kuwahadaa watu. Napongeza kilichofanyika, kutoa elimu kwa umma.
Jana watu wamejionea IPTL ni kitu gani wapo waliodhani ni kijenereta tu kipo pale salasala leo wamefahamu kuwa ni likampuni kubwa lenye mitambo mikubwa inayofanya kazi na wapo watanzania wenzetu wamepata ajira pale.
Kama wewe. ...useless brain
 
Hii ni dili ya watu na wameshabumbulukiwa na mwisho wa siku utajulikana tuu ndio maana na wahisani wameamua kusitisha misaada mpaka ukweli ujulikane pesa wamepeleka wapi.bunge linaanza keshokutwa hii inaweza kufanya bunge livunjwe kama hamwamini muulizeni sendeka atawaeleza jinsi pesa zilivyochotwa
 
Hivi ukweli unathibitishwa kwa kusikiliza upande mmoja tu...!!!?

Na hao wahisani wamekata misaada yao kwetu baada ya kukurupuka...!!!?

NI VEMA WANA JAMVI SUALA HILI LIKACHUKULIWA BILA MIHEMKO YA KIITIKADI...TUJARIBU KULITAZAMA KATIKA SURA YA KITAIFA ZAIDI...YOTE MAWILI YANAWEZA KUTOA MOJA LA UKWELI...TUSUBIRI WAKATI...!!!

LIST OF SHAME ILIZOMEWA SANA KWAMBA NI FAKE LAKINI BAADA UKWELI UKADHIHIRIKA...

HATA HUYO MTOA MADAI...HIVI ANAWEZA KUTOA TUHUMA AMBAZO NI ZA UONGO ASIJUE MADHARA YATAKAYOMPATA BAADA YA KUDHIHIRIKA UONGO WAKE...

NI VIZURI KAMA GREAT THINKERS TUKAWA NA TAFAKURI JADIDI KABLA YA KUEGEMEA UPANDE MMOJA...

"USHABIKI UNABOMOA UPENZI UNAJENGA" ...UKIPENDA NI RAHISI KUHITAJI UKIPENDACHO KIBORESHWE...UKISHABIKIA NI RAHISI KUKITETEA ILI KIONEKANE KIZURI...

Tafakari
 
Hivi ukweli unathibitishwa kwa kusikiliza upande mmoja tu...!!!?

Na hao wahisani wamekata misaada yao kwetu baada ya kukurupuka...!!!?

NI VEMA WANA JAMVI SUALA HILI LIKACHUKULIWA BILA MIHEMKO YA KIITIKADI...TUJARIBU KULITAZAMA KATIKA SURA YA KITAIFA ZAIDI...YOTE MAWILI YANAWEZA KUTOA MOJA LA UKWELI...TUSUBIRI WAKATI...!!!

LIST OF SHAME ILIZOMEWA SANA KWAMBA NI FAKE LAKINI BAADA UKWELI UKADHIHIRIKA...

HATA HUYO MTOA MADAI...HIVI ANAWEZA KUTOA TUHUMA AMBAZO NI ZA UONGO ASIJUE MADHARA YATAKAYOMPATA BAADA YA KUDHIHIRIKA UONGO WAKE...

NI VIZURI KAMA GREAT THINKERS TUKAWA NA TAFAKURI JADIDI KABLA YA KUEGEMEA UPANDE MMOJA...

"USHABIKI UNABOMOA UPENZI UNAJENGA" ...UKIPENDA NI RAHISI KUHITAJI UKIPENDACHO KIBORESHWE...UKISHABIKIA NI RAHISI KUKITETEA ILI KIONEKANE KIZURI...

Tafakari

Kweli Mkuu,hapo umemaliza.
 
nyie ndio matumbili yani hadi mnanunua media kwa ajili ya kupotosha ukweli wa mambo kisa tu mnahela itajulikana tu siku

Hacha ujinga wewe kumbuka kuongea na ushaidi hapa na sio pumbapumba tu asa hao unauwakika kama hao watu wamenunua kipnd ili kuongopea umma
 
Hii propaganda waliyofanya jana inawaweka mahali pabaya sana wale mabwana wawili waliokuwa wanajadili na kujaribu kuosha hii scandal kwenye kipindi hicho...sidhani kama kweli dhamira yao ilikuwa haiwasuti

Kuna siku watu watakimbia familia zao na Inchi yao

Acha kua na fikra finyu ndugu yangu kila mtu ana haki ya kuelezea jamii kile kitu anachodhani ni ukweli na sahihi hata kama wewe haukipendi,tuache kutisha watu kujadili suala hii kwa mapana yake
 
yan nimeona kindi star tv na nimekielewa vizuri sana kumbe waana siasa wanatuongopea kweli kuhusu huu mchakato
kweli wanajua kuongopa mpaka waziri Mkuu anakiri wizi huo wa uongo umeitia doa serikali.watanzania nani kawaloga?
 
Kwa mwenye akili hawezi kuwashanga kweli bilioni 250 ni fedha nyingi sana nyie pambaneni tu ;lakini ukweli Kafulila kawapiga bao na mwisho wa siku lazima watu watawajibika
 
==> Nyie Makumazan kweli...FOOL URSELVES..
Kazi kuwa na many IDs na kuhadaa watu hapa, ESCROW mmelipwa kazi kupost ukumazan huku, wallaah nawaambieni, HATA MPIGE KELELE, ESCROW
ITAWAFANYA UFIRAUNI....wezi nyie, u deserved to be hanged & stoned to death....

👌👌 Jipeni moyo, subiria Bunge la November ndio
mtajua, majina yote yanajulikana, maku zenu....

==> Mtachinjwa fck up..!!"

Who let the dogs out?? Woo! Wowo!
 
Kweli nimeamini waTZ tuna vichwa vigumu vya kuelewa mambo
Kweli nimeamini waTZ tuna vichwa vigumu vya kuelewa mambo
Hamtudanganyi tena!! escrow account siyo fedha ya umma tena TANESCO wanadaiwa na IPTL

Watanzania hebu tujiulize ni kwanini Wafadhili wametunyima misaada kwa ajili ya sakata hili?
Kwanini Waziri Mkuu (Mizengo Pinda) anawalaumu wote waliotengeneza uchafu huu?

  • Tanesco wanaweza kuzalisha wao wenyewe umeme kwa mitambo ya Mtera, Kidatu, Hale na hata ya Diesel
  • Serikali haishindwi kuinunua hiyo mitambo ya IPTL ikasaidiana na ya Son-Gas kuzalisha umeme wa kutosha
Huu ni ulaji wa watu wachache waliojitengenezea kwa kuizimisha na kuidunisha mitambo yetu ili tu wapate ulaji kwa kununua umeme wa FIX ambao Tanesco wanaweza kuuzalisha kwani wanapewa RUZUKU
Haraka ya nini Waziri Mkuu kesha sema
Spika Anne Makinda keshasema hiyo taarifa ya Escrow itakapofika mezani Mawaziri wengi watapoteza nyadhifa zao
Mimi acheni niitwe mjinga lakini nipo upande wa Kafulila na Mizengo huu wizi sasa basi


kp30102014.jpg
 
Back
Top Bottom