Mgogoro wa iptl unafafanuliwa star tv
Sasa kumbe kelele za bure tu....zingeweza kuwekwa hata SACCOS
Ufafanuzi mzuri sana unatolewa!!!!
Muendelezo wa kipindi cha ukweli kuhusu escrow account unaendelea sahizi star tv, saa moja kamili. Twende tuangalie watanzania wenzangu.
Nimependa huu utaratibu wa kutoa maelezo kwa umma, fedha za esrow siyo fedha za umma nyie vilaza mnaopigana kisa katiba yetu wananchi.
Star tv iko on sasa IPTL wameamua kusema ukweli...fuatilia ufaidi,ujifunze
labda tusaidiane kumtafuta mchawi haliye turogakweli wanajua kuongopa mpaka waziri Mkuu anakiri wizi huo wa uongo umeitia doa serikali.watanzania nani kawaloga?