kumbe fedha za escrow akaunti si mali ya umma.wadu wa jukwaa la siasa nikiwa sebureni kwangu hapa nimesoma tangazo star tv likisema kutakuwa na kipindi maalum ambapo ukweli wote utawekwa wazi kuhusu iptl na escrow akaunti. Leo saa moja kamili, usiku huu kwenye televisheni ya star tv. Hujachelewa kujua ukweli.
Mgogoro wa iptl unafafanuliwa star tv
Mgogoro wa iptl unafafanuliwa star tv
maskini kafulila na wanasiasa mchwara..sasa umetumia umeme wa watu alafu pesa hamtaki kutoa,mnasema za umma...hehehe kumbe umeme tuliotumia ulikuwa wa umma nao?????hii nchi vibweka vitupu
Je ufafanuzi huo hauingilii uchunguzi unaofanya na CAG na TAKUKURU? Kwa niniwasisubiri tusikie ripoti ya CAG na hasa ripoti kusomwa Bunge lijalo? Au ndi UFISADI at its highest level?
Kwa maelezo ya huyu ndugu anayejieza amesema pesa zilizochukuliwa bot ni za iptl na sio za serekali
Hapa tatizo sio Tanesco kudaiwa au kusema pesa hazikuwa za serikali. Kinachotakiwa hapa ni waliohusika kuchukua pesa kuadhibiwa kwani walizichukua kwa njia zisizo halali yani wameiba ivyo wanatakiwa washtakiwe.
kumbe iptl/pap ni kampuni safi na si hovu kama inavyodaiwa na wadau wengine.wadu wa jukwaa la siasa nikiwa sebureni kwangu hapa nimesoma tangazo star tv likisema kutakuwa na kipindi maalum ambapo ukweli wote utawekwa wazi kuhusu iptl na escrow akaunti. Leo saa moja kamili, usiku huu kwenye televisheni ya star tv. Hujachelewa kujua ukweli.
Huwa mm nasikia kuwa mambo yakiwa mahakamani hurusiwi kuongelea kumbe ni uongo?
Dah! kweli kafulila ni mpotoshaji
maccm bwana!! Mkiitwa ukoo wa panya hamna makosa. Yaani issue iliwashinda kujinu nungeni mnazurura nayo kwenye press!! Kwa faida ya nani sasa?? Yuo cannot full us any more. Ukweli ni wa kafulila. Ngojemi bunge lianze mvuliwe nguo.
kweli kabisa mkuu ngoja tujionee wenyewe ukweli.twende tuone ukweli sasa, tuache kusikiliza wachumia tumbo.
watu wengine bwana ukweli siku zote utabaki ukweli hata kama mkitumia mahakama kuficha ukweli watanzania tutaweka kumbukumbu ya kuibiwa na wasiolitakia mema taifa hili