google2014
JF-Expert Member
- Sep 1, 2014
- 584
- 216
Naona sasa Tumbili Kafulila ataipata habari yake
nyie ndio matumbili yani hadi mnanunua media kwa ajili ya kupotosha ukweli wa mambo kisa tu mnahela itajulikana tu siku
Naona sasa Tumbili Kafulila ataipata habari yake
Umetumwa na Kafulila wewe siyo bure.
inategemea huyo anayeongea ni nani! Kila mmoja anavutia upande wake, inawezekana huyo kashalamba mgao wake.kumbe iptl/pap ni kampuni safi na si hovu kama inavyodaiwa na wadau wengine.
mkuu ili kujua ukweli, ilipaswa wote wawepo, lakini sio upande mmoja, hao inawezekana wameshapata mgao wao tayari!Nyie wapuuzi sana,yani mnapost wenyewe,mnachangia wenyewe,mnapongezana wenyewe wakati Fedha za escrow mmeiba wenyewe.
Subirini utawala ubadilike,mtakwenda jela kama aki na Basil Mramba na mtahukumiwa kifungo cha maisha,tunasubiri ripoti ya CAG ndiye atawaumbua.
Fanyeni propaganda kwenye hiyo TV ya ccm lkn ukweli unafahamika,kamwe hatuwezi kuwa upande wa Majizi.
Kweli nimeamini waTZ tuna vichwa vigumu vya kuelewa mamboHapa tatizo sio Tanesco kudaiwa au kusema pesa hazikuwa za serikali. Kinachotakiwa hapa ni waliohusika kuchukua pesa kuadhibiwa kwani walizichukua kwa njia zisizo halali yani wameiba ivyo wanatakiwa washtakiwe.
Kafulila na wanaomuunganmkono wameingia choo cha kikemwaka huuJamaa noma sana Hawa.
Kumbe wanaidai Tanesco mpaka Leo?...
Kafulila na wanaomuunganmkono wameingia choo cha kikemwaka huu
Nyie wapuuzi sana,yani mnapost wenyewe,mnachangia wenyewe,mnapongezana wenyewe wakati Fedha za escrow mmeiba wenyewe.
Subirini utawala ubadilike,mtakwenda jela kama aki na Basil Mramba na mtahukumiwa kifungo cha maisha,tunasubiri ripoti ya CAG ndiye atawaumbua.
Fanyeni propaganda kwenye hiyo TV ya ccm lkn ukweli unafahamika,kamwe hatuwezi kuwa upande wa Majizi.
Hii propaganda waliyofanya jana inawaweka mahali pabaya
yan wetu wengi wana boa sanaHii propaganda waliyofanya jana inawaweka mahali pabaya sana wale mabwana wawili waliokuwa wanajadili na kujaribu kuosha hii scandal kwenye kipindi hicho...sidhani kama kweli dhamira yao ilikuwa haiwasuti
Kuna siku watu watakimbia familia zao na Inchi yao