Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Ukweli/taarifa kuhusu Escrow account live Star TV

Ni nani mwenye ukweli huo? Kama upo kwa nini haukutolewa siku zote hizi? Star TV ndiyo forum ya nani?
Wadu wa jukwaa la siasa nikiwa sebureni kwangu hapa nimesoma tangazo star TV likisema kutakuwa na kipindi maalum ambapo ukweli wote utawekwa wazi kuhusu IPTL na ESCROW akaunti. Leo saa moja kamili, usiku huu kwenye televisheni ya Star TV. Hujachelewa kujua ukweli.
 
Ni nani mwenye ukweli huo? Kama upo kwa nini haukutolewa siku zote hizi? Star TV ndiyo forum ya nani?
Kibaunsa kalala labda nimsaidie, uliangalia kipindi kwanza? Isije kuwa unahemka tu! Ukweli haujatolewa siku zote tangia lini labda??
STAR TV ni forum ya alioanzisha mama#$ako.
 
Kama ukweli ulikwishatolewa, sasa ukweli gani mpya utakaotolewa? Mama yako hapa anahusikaje? Kama huna hoja usimhusishe mama yako, kwani kakosea kukuzaa? Hapa ni uwanja wa jf great thinkers, sio uwanja wa kuwajadili mama zetu. Si busara kuwashawishi watu waelewe kuwa hujafunzwa na mamayo na hata kama hakukufunza bado ni jukumu lako kuitafuta busara kwa kwa kusoma na kujifunza kwa wenzako wenye busara. Ni kosa la kimaadili kumsingizia mama yako kwa mambo uliyojifunza kijiweni
Kibaunsa kalala labda nimsaidie, uliangalia kipindi kwanza? Isije kuwa unahemka tu! Ukweli haujatolewa siku zote tangia lini labda??
STAR TV ni forum ya alioanzisha mama#$ako.
 
Nimegundua kitu hapa kuna watu wanakuja kwenye uzii bila kuangalia kipindi then watutoe kwenye uwelewa wa oja
 
attachment.php

attachment.php



Kipindi kimesaidia sana kutoa sintofahamu iliyoasisiwa na Kafulila. Kesi ya Capacity charge iliisha toka 2001 hata kabla ya uzalishaji haujaanza lakini watu wanaibuka leo na kudanganya eti kuna kesi bado kati ya TANESCO NA IPTL, acheni upotoshaji nyinyi. Unasemaje kuwa fedha ya escrow account ni fedha ya umma? sasa yule mkurugenzi wa IPTL ndio alikuwa anawakilisha nini pale kwenye escrow agreement??? Hii fedha ingewekwa CRDB siju mngesemaje leo???
 
Kiswahili ni lugha yako ya Taifa, fanya kautafiti kadogo kabla hujaharibu uzalendo wako, jifunze kuandika Kiswahili sahihi.
duuu!!! kumbe tuna mwalimu wa kiswahili humu ndani
ongera lakini kwa kutufundisha lugha yetu.
ila cha humuimu ni kwamba ujumbe ufike kwa staili yoyote ndo issue hiyo
 
duuu!!! kumbe tuna mwalimu wa kiswahili humu ndani
ongera lakini kwa kutufundisha lugha yetu.
ila cha humuimu ni kwamba ujumbe ufike kwa staili yoyote ndo issue hiyo

Ebuu msijitoe fahamu nyie ni watu wazima leten hoja hapo ni sio hayo mambo lugha kwan ndo hoja yetu hapa
 
naona mijambazi imekuja na mbinu mpya asa kwa taarifa yenu mtakwenda na maji wete nyie mnao tetea majizi ya mali za nchi yetu
 
Back
Top Bottom