JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Kujiuzulu sio jambo jepesi tu kuwa sa yoyote unalifanya. Hii ni nchi sio kikoba. Huenda alishajaribu na ikashindikana.
Umeona eeee hasa hili la kuchoma vifaranga vya WaKenya yaani kaonesha na ukali kabisa!Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Kutofautiana katika utendaji kati ya boss na wasaidizi wake kitu cha kawaida. Unaweza kuonyesha difference hiyo hata katika public kwakutumia tone na maneno yasiyokuwa na ukakasi. Mimi simpangii nini cha kuongea lakini ingeleta tofauti kubwa mathalani angeongea;Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Ana miaka 5 ya kujijenga yeye mwenyewe, ila kujijenga kwake nje ya JPM ni kweli, ni sawa na samaki nje ya maji. Time will tellKujitenga na JPM ni samaki nje ya maji,ajaribu yetu macho.
Tena alimsifia Kikwete kwa safari za nje ya nchi.Mwendazake alikuwa msaidizi wa Kikwete, tunaomba utuambie kwa alivyokuwa akimponda hadharani na kubadilisha kila kitu, je Mwendazake alikuwa pamoja na Kikwete au alikuwa mnafiki? Watu mjue kwamba ubaya wowote unaoufanya kwa watu, na wewe utafanyiwa ubaya huohuo, hata kwa vizazi vyako. Maisha ya urais ya Mwendazake yalionyesha unafiki mkubwa aliokuwa nao wakati wa Kikwete.
Mwendazake alikuwa msaidizi wa Kikwete, tunaomba utuambie kwa alivyokuwa akimponda hadharani na kubadilisha kila kitu, je Mwendazake alikuwa pamoja na Kikwete au alikuwa mnafiki? Watu mjue kwamba ubaya wowote unaoufanya kwa watu, na wewe utafanyiwa ubaya huohuo, hata kwa vizazi vyako. Maisha ya urais ya Mwendazake yalionyesha unafiki mkubwa aliokuwa nao wakati wa Kikwete.
Exactly. Huyo ndo kigogo Ila watu hawakumjua Ila Mimi nilimjua kitambo sana.Kama ulkuwa humjui Kigogo2014, na mvujisha taharifa wa serkali ya magu, basi ujue kuwa ndy huyo huyo bibi mvimba macho au muuwaji wa chini chini.
huyo maza ni hatar sana, japo weng mnamchukulia simple, sabbu ya sura yke ya upole&ukimya.
huyo ni zaid ya. Kwa matukio ya chini chini na unafiki
huyo bibi yenu mtakuja kumjua vzr baada ya yey kuachia nchi, na urais kushikwa na mtu mwngne akianza kufukua mafile yake, kma ilivyo tamadun ya hii nchi, kwa wanasiasa kuchafuana na kulipiana visasi.
Naunga mkono hoja kabisa kabisaa..Unafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
mimi na magufuli ni kitu kimojaUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
😂😂😂😂😂unafiki unamuumbua waziwazi...kesho asirudie kauli zke
watu wanamchora tu kwa sasa
Ukubali pia, kwa baadhi ya watu wengi, yeye kujishikamanisha na marehemu, inakuwa ni kasoro kubwa sana.Ana miaka 5 ya kujijenga yeye mwenyewe, ila kujijenga kwake nje ya JPM ni kweli, ni sawa na samaki nje ya maji. Time will tell
Basi alifanya kazi nzuri sana maama alikwamisha mipango mipvu mingi sana. Ikiwemo ya kuteka watu kuua na kuiba pesa za umma.Exactly. Huyo ndo kigogo Ila watu hawakumjua Ila Mimi nilimjua kitambo sana.
Noma Sana.Naunga mkono hoja kabisa kabisaa..
Umeongea kwa busara kama kiongozi wa eneo flani kuonyesha collective responsibilityKutofautiana katika utendaji kati ya boss na wasaidizi wake kitu cha kawaida. Unaweza kuonyesha difference hiyo hata katika public kwakutumia tone na maneno yasiyokuwa na ukakasi. Mimi simpangii nini cha kuongea lakini ingeleta tofauti kubwa mathalani angeongea;
Well ,i stand to be corrected hii ni opinion yangu binafsi kwani serikali, chama ni kile kile mabadiliko ni commander- in- chief
- Huko nyuma kulijitokeza baadhi ya changamoto zilizo ondokea kuzorotesha mahusiano na nchi jirani. Serikali ya awamu ya 6 imeyabaini na marekebisho yamefanyika ... badala ya kutamka
- kuchoma vifaranga ilikuwa ni makosa.
- maneno ya waziri ni nonsense
Rais ni kila kitu katika taasisi ya urais hapa bongo. Kama mama Samia angeachia ngazi wakati huo, JPM angechagua mwingine, lakini mama alivuta subra, sasa amepata nafasi ya kurekebisha yaliyofanyika. Angejiuzulu isingesaidia kituUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.
Wewe huyo mama Jumong anaogopa hata kwenda kuisalimia familia ya Magufuli yaani tokea afriki hajawahi kwenda kuisalimia familia yeye kama yeye iwe Dar au Chato anakuja kwenye ziara zake tu nakuzuga anaondoka! Yaani huyu mama alikuwa mnafiki sana kwa Magufuli!unafiki unamuumbua waziwazi...kesho asirudie kauli zke
watu wanamchora tu kwa sasa
Wengi wapi? Jiongelee mwenyewe!Ukubali pia, kwa baadhi ya watu wengi, yeye kujishikamanisha na marehemu, inakuwa ni kasoro kubwa sana.
Wiki iliyopita nilikuwa Mwanza, kuna watu walikuwa 8 hivi wakimwongelea marehemu, kuna mengine waliyokuwa wakitamka dhidi ya marehemu hata waliokuwa wanamchukia, hawawezi kutamka. Hata mimi siwezi kuyatamka hapa. Amemaliza safari ya Duniani, kilichobakia ni yeye na Muumba. Lakini kwa ujumla kuna watu walikuwa na chuki zilizopindukia dhidi ya marehemu kutokana na matendo yake marehemu yaliyowaumiza wengi.
Kesha jifunza kurith ya marehemu, UKATILI dhidi ya wenzake....kesi zinazokula mtaji wa nchi akifidia na tozoUnafiki siyo tusi wala neno baya.
Samia pamoja na kuwa alikuwa msaidizi wa Hayati JPM lakini kwa matendo yake ni wazi aliishi na marehemu kinafiki.
Huwezi kuyapuuza ya msaidizi wako endapo ulikuwa naye sawa katika utendaji na kosa kubwa alilolifanya ni kutokujiuzulu ili angalau historia ingekuwa upande wake.
Lakini kwa namna anavyofanya sasa kuyapongeza ya JPM kinafiki si haki hata kidogo.
Yeye afanye yake na asijifiche katika uswahili bwana, tumechoka na hadithi zake.