Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Pamoja na mapungufu yao, lakini ni wazi vijana wa Hayati Magufuli ndio pekee wenye uwezo wa kumpambania Samia ki siasa.
Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.
Uthubutu wa hayo yote ulihisaniwa na baba yao ki Uongozi ambaye ni JPM. JPM aliwataka vijana wake wasiwe waoga pindi watakapo kuamua jambo. Aliwaeleza bayana ni heri wakosee kuamua kuliko kutokuamua!
JAMBO JEMA NI KUWA, HATA YEYE MWENYEWE SAMIA AMELIONA HILO NA HIVI KARIBUNI ATAENDELEA KUWAREJESHA UONGOZINI WACHAPA KAZI WALE HUKU AKICHAGUA MAZURI YAO NA KUYAACHA MAPUNGUFU YAO.
Heko kwako dada Samia kwa kung'amua hilo!
Timu Magufuli pamoja na mapungufu yao ya kibinadamu, lakini ndiwo wenye uwezo hata wakuaminika na Wananchi ama kwa kukemea ufisadi na mafisadi ama kuthubutu kwa uwazi kabisa kuwakemea Viongozi na Watumishi wazembe kwenye maeneo yao ya kazi.
Uthubutu wa hayo yote ulihisaniwa na baba yao ki Uongozi ambaye ni JPM. JPM aliwataka vijana wake wasiwe waoga pindi watakapo kuamua jambo. Aliwaeleza bayana ni heri wakosee kuamua kuliko kutokuamua!
JAMBO JEMA NI KUWA, HATA YEYE MWENYEWE SAMIA AMELIONA HILO NA HIVI KARIBUNI ATAENDELEA KUWAREJESHA UONGOZINI WACHAPA KAZI WALE HUKU AKICHAGUA MAZURI YAO NA KUYAACHA MAPUNGUFU YAO.
Heko kwako dada Samia kwa kung'amua hilo!