NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,458
- 17,282
Hivi kama una akili timamu utakuwaje pamoja na mtu ambaye;-
1.Anaagiza Mtu apigwe risasi hadharani tena mchana kweupe?
2.Anampoteza kijana kisa kahoji uhalali wa Phd yake ikiwa move ya vyeti feki kaianzisha mwenyewe?
3.Anaenyamazia kimya kundi la teka teka!poteza poteza na Ua ua watu hovyo???
4.Anaetaka kuongeza muhula wa kuongoza kisa akiogopa nongwa toka kwa hao anaowatesa na kuua ndugu zao???
HATA MIMI NINGEISHI NAE KINAFIKI KABISA AISEH!!!
1.Anaagiza Mtu apigwe risasi hadharani tena mchana kweupe?
2.Anampoteza kijana kisa kahoji uhalali wa Phd yake ikiwa move ya vyeti feki kaianzisha mwenyewe?
3.Anaenyamazia kimya kundi la teka teka!poteza poteza na Ua ua watu hovyo???
4.Anaetaka kuongeza muhula wa kuongoza kisa akiogopa nongwa toka kwa hao anaowatesa na kuua ndugu zao???
HATA MIMI NINGEISHI NAE KINAFIKI KABISA AISEH!!!