The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,737
- 1,010
Hata masikini hujiendesha,lakini kwa tabu&shida.Kabla uvamizi mbona tukijiendesha ?
Hata masikini hujiendesha,lakini kwa tabu&shida.Kabla uvamizi mbona tukijiendesha ?
NIMEFURAHI UMEKUWA MKWELI NA MUWAZI HASA!Nakwambia hivi, Tanganyika kwa sasa ndio inatusitiri sisi wazanzibar. Bila Tanganyika hatuna ulinzi, usalama wala umeme.
Karafuu iliyokuwa inatupa jeuri ilishakufa kitambo sana, na kwa uvivu wetu tumeshindwa kuifufua, na sasa tunasikia huko Tanganyika mlishaanza kuotesha na kuvuna karafuu yenu kwa fujo.....
Bandari ya Zanzibar iko mahututi maana kila jirani yetu (Beira, Mombasa, Comoro, Eritrea, Djibout, Dar, Mtwara, Tanga) alisha imarisha bandari yake, Zanzibar hatuna tena upekee wa kibandari....
Zanzibar tumebakia na Utalii pekee yake (ambao ni wa msimu, na watalii wenyewe wengi huanzia bara au kumalizia bara maana huko wako huru kuvaa chochote, kula mwaka mzima (huku kula hadharani kipindi cha Ramandan ni mwiko!), kula chochote (hata kitimoto), kunywa chochote(pombe), hapa Zanzibar watalii wanapita kwa siku zisizozidi tatu (kushangaa mchanga mweupe wa beach ambao umegundulika umejaa vilivyo kule Tanganyika (Kigamboni), kutafuna machoko wakizenji na kubwia unga kwa uhuru kisha kusepa zao). Bahati mbaya sana na huo utalii pekee hautoshi kuendesha maisha ya wazanzibar zaidi ya 1.5milioni kwa siku zaidi ya 90.
Yote kwa yote, mmasai ameshaingia Zanzibar na sasa anataka kutawala utaliii wote.
Nasema hivi, Zanzibar bila Tanganyika twafaa!
Mtanganyika anatujali mnooo.
Kwani wakiwa koloni la mtu wewe unapata shida gani? Mbona kisiwa kimoja cha Ngazija cha Mayotte walikataa uhuru wakataka kuwa chini ya France mpaka leo mbona wanaishi tena vizuri kuliko siePotential gani hiyo?
Itaje tuone.
Usitaje bandari,hakuna ataeshushia mzigo huko kwani hatakuwa na mahali pa kuupitisha.
Karafuu,mwani&nazi hazitawafanya wakidhi mahitaji.
Watalii hawawezi kwenda kuona bahari tu.
Vivutio vipo huku Tanganyika...kule huenda kupumzika tu.
Option yao ni moja tu....kuwa colony la mtu.
Mkuu huo ndoyo ukweli wenyewe, lakini hao "chogo bapa" hawapendi kabisa kuusikia.Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.
Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.
Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Kisiwa hakijiendeshi, ni watu huendesha maisha yao wenyewe.Ni sawa na kusema Tanzania bila ya misaada ya Ulaya isinge toboa.
Hivi kuna kisiwa duniani hakiwezi jiendesha wenyewe?.
Kwani kuku, ng,ombe, mbuzi, nguruwe,.... wanapofugwa na mwishowe wakachinjwa kuna shida kwao?Kwani wakiwa koloni la mtu wewe unapata shida gani? Mbona kisiwa kimoja cha Ngazija cha Mayotte walikataa uhuru wakataka kuwa chini ya France mpaka leo mbona wanaishi tena vizuri kuliko sie
Huijui Zanzibar. Ungetulia tu.Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.
Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.
Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Huyo ni mchaga kutoka machame yupo Zanzibar anauza vinyagoHuijui Zanzibar. Ungetulia tu.
Sasa mbona mzanzibar hawaleti Dipi wedi kuboresha bandari huko?Nakwambia hivi, Tanganyika kwa sasa ndio inatusitiri sisi wazanzibar. Bila Tanganyika hatuna ulinzi, usalama wala umeme.
Karafuu iliyokuwa inatupa jeuri ilishakufa kitambo sana, na kwa uvivu wetu tumeshindwa kuifufua, na sasa tunasikia huko Tanganyika mlishaanza kuotesha na kuvuna karafuu yenu kwa fujo.....
Bandari ya Zanzibar iko mahututi maana kila jirani yetu (Beira, Mombasa, Comoro, Eritrea, Djibout, Dar, Mtwara, Tanga) alisha imarisha bandari yake, Zanzibar hatuna tena upekee wa kibandari....
Zanzibar tumebakia na Utalii pekee yake (ambao ni wa msimu, na watalii wenyewe wengi huanzia bara au kumalizia bara maana huko wako huru kuvaa chochote, kula mwaka mzima (huku kula hadharani kipindi cha Ramandan ni mwiko!), kula chochote (hata kitimoto), kunywa chochote(pombe), hapa Zanzibar watalii wanapita kwa siku zisizozidi tatu (kushangaa mchanga mweupe wa beach ambao umegundulika umejaa vilivyo kule Tanganyika (Kigamboni), kutafuna machoko wakizenji na kubwia unga kwa uhuru kisha kusepa zao). Bahati mbaya sana na huo utalii pekee hautoshi kuendesha maisha ya wazanzibar zaidi ya 1.5milioni kwa siku zaidi ya 90.
Yote kwa yote, mmasai ameshaingia Zanzibar na sasa anataka kutawala utaliii wote.
Nasema hivi, Zanzibar bila Tanganyika twafaa!
Mtanganyika anatujali mnooo.
Wewe mchaga kutoka machame upo Zanzibar kuuza vinyago toka lini umekua Mzanzibari ?Japokuwa huu muungano ni kichefu chefu tu kwa wazanzibar lakini ukweli mchungu ni kuwa, bila huruma na upendo wa Tanganyika basi huenda Zanzibar tusiweze kutoboa hata miezi mitatu.
Kuanzia Ulinzi, Usalama mpaka umeme tunapewa bureee na watanganyika. Kodi na rasimali za watanganyika ndio zinatupa maisha wazanzibar.
Rasimali na mapato yetu ya ndani ya Zanzibar hayawezi kutosha kugharamia ulinzi, usalama, umeme na huduma zingine muhimu za kijamii kwa zaidi ya miezi mitatu, tutaangamia!
Uunguja na upemba utawasumbua sana, jamaa hawapatani kabisa, wanaishi kinafiki sana... ila ukikaa nao utasikia "mpemba sio mtu kabisa, sio ndugu zetu wale"Na Wazanzibari wakumbuke nje ya Muungano hakuna Uzanzibari;Kuna taifa la Unguja na Pemba!
Kwa hili nakubaliana nawe.Labda kama tutaanza kuchimba mafuta, lakini tukianza tu basi mfaransa, muingereza, mmarekani, mchina au mrusi ataweka kambi na huo ndio utakuwa mwanzo wa mwisho wa sisi waswahili pale Zenji.
Huyu jamaa ni mchaga anapondea waislamu , ni mkristo wala hapajua zanzibaranajitekenya mwenyewe.Moja ya kasoro wa Vijana wa Bavicha ni kujipa majina ya sehemu au kabila fulani alafu kuigiza kama wanatoka hayo maeneo alafu mahalo pengine wanajisahau na kuponda hizi sehemu
Zanzibar-ASP
Filosofia ya Rorya
Mmawia
Kadhi Mkuu 1
Rufiji
MK254
Hawa wote ni wakina mangi
Kazi gani ya kiuchumi inayowatambulisha hao wajuba?Ni sawa na kusema Tanzania bila ya misaada ya Ulaya isinge toboa.
Hivi kuna kisiwa duniani hakiwezi jiendesha wenyewe?.
Sio mzanzibar huyu ni muongo, ni mchagaNIMEFURAHI UMEKUWA MKWELI NA MUWAZI HASA!
-POSSIBLY ENDAPO TUTATENGANA ZANZIBAR WAKAVURUGANA IKAWA DHAHMA KUBWA!, MANAKE KILA MTU MJUAJI.
Huyo jamaa znz Asp ni mchaga kutoka machame yupo Zanzibar anauza vinyagoUkweli usemwe wewe sio mzanzibar