Ukweli mchungu kuhusu Magari used

Ukweli mchungu kuhusu Magari used

Ume generalize magari used

Used ya nje kuluta hayo usemayo ni uongo na kama ingekuwa kweli
Basi soko lake lisingekuwepo

Kingine jifunze maana ya used
 
Gari used mbaya zaidi unakuta hata mfumo wa "eksozi" mtumiaji wa awali ameshauharibu, inatia hasira sana na unakuta umetoa hela nyingi kulinunua.
Hapo ndipo inauma zaidi. Gari nyingi used unakuta wamiliki wa awali walifanyia fantasy zao ambazo kamwe hawawezi kuzifanya kwenye magari yao mapya. Used nyingi hazichuji hewa ya ukaa, unakuta wameng'oa kibuyu au DPF.
 
Ume generalize magari used

Used ya nje kuluta hayo usemayo ni uongo na kama ingekuwa kweli
Basi soko lake lisingekuwepo

Kingine jifunze maana ya used
usichukulie serious sana mkuu, hili ni jukwaa la MMU

ungeanza kujifunza kuelewa mada
 
Hapo ndipo inauma zaidi. Gari nyingi used unakuta wamiliki wa awali walifanyia fantasy zao ambazo kamwe hawawezi kuzifanya kwenye magari yao mapya. Used nyingi hazichuji hewa ya ukaa, unakuta wameng'oa kibuyu au DPF.
na wengi wakishajua hawana plan ya kulitumia hilo gari kwa mda mrefu, wanalitumia vibaya sana, wanalipitisha tu barabara zote za lami hadi za tope,

Kuna muda unakuta tairi ni kipara imepasuka na wanaendelea kutembelea rim
 
Mzee kwani nawe si unakuwa ushaendesha gari nyingine,
Ununue gari mpya nawe uwe ndio dereva mpya.
We dereva ushaendesha mitandam huko, gari breki unauma meno, clutch unakanyaga mpaka mwisho kisha Leo unataka mpya, si utapasua CLUTCH.

Na wewe ushauza gari, bado unaitamani huo ni unywanywa, uliiuzia nini?

Masuala ya mabikra tunawaachia nyie,
Sisi tunataka mijitu konkodi, mguu wa mtoto wanaupaka asali, mara kalamba NYANYA MSHENZI
😂
Dereva aliyeendesha magari mengi ana uzoefu - sifa nzuri.

Gari lililotumika sana ni scrap - sifa mbaya.

That's nature. 😁
 
Dereva aliyeendesha magari mengi ana uzoefu - sifa nzuri.

Gari lililotumika sana ni scrap - sifa mbaya.

That's nature. 😁
Gari iliyotumika sana haina tabu, ina experience, hata kuingia madimbwini, kwenye makorongo haiogopi, ila inaogopa 😂🤣
 
Acheni tu tuendeshe magari used. Sisi wenyewe ni mafundi haswaa, ushasikiaga chombo ya fundi? Alaa.....ndiyo hiyo sasa!

Clutch mpaka mguu unauma, mbavu na mabega yanauma kuzungusha steering, brake mpaka mwisho na gia ushushe ndio isimame. Mvua ikinyesha wipers hakuna....na dirisha halifungi. Utajua hujui!

Sisi wenyewe tumeendesha sana migari na mpaka sasa watu wameichukua jumla. Na bado kuna gari za watu wenyewe wakiwa hawapo wanaozitunza wanatuletea funguo tuendeshe. Tunakichafua sana huko.

Nyie mnaojifanya mnataka 0km kwanza literally haipo....wakati wanalisogeza sogeza mpaka kuliingiza kwenye container lifike huku Africa kuna wana waliendesha japo hawajafaidi kama utakavyofaidi wewe!

Anyway, 0km zipo za kubahatisha......nilikutana nayo mwaka 2016 at 23 years of age. Nenda Pemba wapo, lakini ndio unaoa kichwani empty set.....no exposure, no education, actually nothing labda sasa uanze kumtengeneza utakavyo. We don't have time for that bro. Na siku ukisikia hiyo 0km yako imechapwa na dereva wa nje hutaona hata thamani ya wewe kuwa wa kwanza. That pains more.

Nnachotaka kusema hivi, KATAA NDOA wanaongoza 2-0 mpaka sasa.
 
Back
Top Bottom