Ukweli mchungu kuhusu Magari used

Ukweli mchungu kuhusu Magari used

Mzee kwani nawe si unakuwa ushaendesha gari nyingine,
Ununue gari mpya nawe uwe ndio dereva mpya.
We dereva ushaendesha mitandam huko, gari breki unauma meno, clutch unakanyaga mpaka mwisho kisha Leo unataka mpya, si utapasua CLUTCH.

Na wewe ushauza gari, bado unaitamani huo ni unywanywa, uliiuzia nini?

Masuala ya mabikra tunawaachia nyie,
Sisi tunataka mijitu konkodi, mguu wa mtoto wanaupaka asali, mara kalamba NYANYA MSHENZI
😂
ha ha labda kama huna plan ya kukaa na hilo li gari lililochoka kwa muda mrefu
 
Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo.
Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa.

Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:

“Hii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.”

Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyo😀😀.

Na mbaya zaidi?

Mmiliki wa zamani bado ana spare key – anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.

Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.

kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi – chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.
u mean used women (non virgin ladies)???
 
Mzee kwani nawe si unakuwa ushaendesha gari nyingine,
Ununue gari mpya nawe uwe ndio dereva mpya.
We dereva ushaendesha mitandam huko, gari breki unauma meno, clutch unakanyaga mpaka mwisho kisha Leo unataka mpya, si utapasua CLUTCH.

Na wewe ushauza gari, bado unaitamani huo ni unywanywa, uliiuzia nini?

Masuala ya mabikra tunawaachia nyie,
Sisi tunataka mijitu konkodi, mguu wa mtoto wanaupaka asali, mara kalamba NYANYA MSHENZI
😂
NYANYA MSHENZI😄😄😄
 
ha ha labda kama huna plan ya kukaa na hilo li gari lililochoka kwa muda mrefu
Magari mapya yoote nawaachia nyingi.
Mie yangu Yale Yale ya kitambo, gari unakunja kona umesimama.
Gari unaiendesha kitambaa cha kufutia jasho pembeni
Fiat, Leyland.. 😂🤣
 
Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo.
Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa.

Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:

“Hii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.”

Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyo😀😀.

Na mbaya zaidi?

Mmiliki wa zamani bado ana spare key – anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.

Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.

kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi – chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.
Gari ni gari, bibie mzuri ni bibie mzuri.
Kuwa na angalizo tu, binadamu yoyote hajawahi kumkabidhi mtu mwingine utamu wake,, na huyo mwingine akaondoka nao na kuuhodhi.
Butamu unabaki pale pale.
 
Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo.
Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa.

Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:

“Hii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.”

Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyo😀😀.

Na mbaya zaidi?

Mmiliki wa zamani bado ana spare key – anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.

Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.

kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi – chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.
Na huyo ndio atakua wife matirio😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom