Mfilisti
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 3,727
- 19,465
Ukinunua gari used/ mtumba, utabeba mzigo wote wa aliyepita nalo.
Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa.
Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:
“Hii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.”
Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyo😀😀.
Na mbaya zaidi?
Mmiliki wa zamani bado ana spare key – anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.
Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.
kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi – chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.
Dent, engine knock, interior mbovu – zote ni zako sasa.
Cha kuchekesha, yule mmiliki wa kwanza aloyekuuzia bado analiangalia kwa jicho la kumbukumbu, na kuna muda analitamani kabisa hilo gari aliendeshe tena.
Kila akikuona nalo barabarani, anajisemea:
“Hii ngoma nimesukuma zaidi ya km 200,000 kwa miaka niliyokaa nalo si mchezo.”
Atawaambia marafiki zake, majirani, na hata waliomshuhudia akilikabidhi kwa mwingine.
Na wengine walilitumia tu hadi likaisha radha, ulivyo bumunda ukanunua hivyo hivyo😀😀.
Na mbaya zaidi?
Mmiliki wa zamani bado ana spare key – anaweza kulifikia hilo gari lako muda wowote na akaliendesha so sad.
Mwandishi hauwawi kazi yangu ni kuwaandikia wamiliki wa magari used, kila la kheri kwenu wamiliki wa magari used.
kama unaplan kumiliki gari jitahid usiwe dereva wa gari lililopitia mikononi mwa kila mtu
Kama una nafasi – chukua jipya, uanze mwenyewe, na ulipe direction unayotaka.