Ukweli Mchungu Kuhusiana na wanawake

Ukweli Mchungu Kuhusiana na wanawake

Labda niwape code tu ndugu zangu mnaoteswa na wanawake.

Issue inayo kufanya mpaka leo mwanamke akutumie na kuku dharau ni kwasababu wewe ni kapuku,period.

Toka nianze ku advance kifedha nimekuja kuona siri nzito ya kisaikolojia iliyopo nyuma ya wanaoumizwa na mapenzi.

Issue ni kuwa huna maokoto ya wewe kuwa versatile, yaani unategemea mwanamke wako pekee, what do I mean?

Kijana mpambanaji, anatafuta kwa jasho ili aweke familia yake au mahusiano yake stable, let alone survival.

Ila baadae anakuja kugundua ukweli Mchungu kuwa mwanamke anawigo Mpana wa machaguzi, akiona unacho mpea hakimtoshi anauwezo wa kutafuta mwanaume mwingine kujiegesha akiwa anajua fika kuwa, value yako kwake ni hamna kabisa.

That's a paniful truth ambayo watu huikwepa ila kwa sababu ya maisha ya kileo hauwezi kwepa hiyo fact, with life being expensive.. Lazima uchapiwe tu ndugu....

One fact ni kuwa, mwanaume mpambanaji na mwenye kipato cha chini hutegemea mpenziye ndo awe driving force kumpa moyo ili aweze kufanikisha hata zaidi katika mihangaiko yake.

Ila ubaya wa hawa wadada wasio na malezi ndo hivyo wanakutumia na kikunyonya kile kidogo ulicho nacho maana unakuwa vulnerable kwao, you depend on her to be a comfort in your struggle.

My friend, achana na pussy, jipate uone jinsi pussy hazina maana kabisa. Ni vyombo vya starehe kwa wenye nazo.

Mtu mwenye mawe huwezi kuta anahangaika because all Power iko mkononi mwake, pisi zinajilengesha kwake na ile kuzitafuna unagundua hakuna jipya kabisa. Unakuja kuona kumbe mapenzi na kulia lia ni vya watu maskini tu. Watu masikini hawana option,. Mwanamke asiye na foundation hugeuka kuwa kama bidhaa. Na huyo mwanamke uliye fikiri ana uspesho kipindi filulani ukisha jipata unaona ulikuwa unafuga parasite, na uka disguise wa kufa na kupona.

So my friend amka, Achana na wanawake kama unajua hakuna reciprocity kwenye relationship jichenge na ujenge maisha kwanza. Vitobo na mawezele yapo ya kutosha sana ukiwa nazo.

Happy weekend.
Kwani hufahamu kuwa thamani ya mwanamke ni purity?
 
Hya
Labda niwape code tu ndugu zangu mnaoteswa na wanawake.

Issue inayo kufanya mpaka leo mwanamke akutumie na kuku dharau ni kwasababu wewe ni kapuku,period.

Toka nianze ku advance kifedha nimekuja kuona siri nzito ya kisaikolojia iliyopo nyuma ya wanaoumizwa na mapenzi.

Issue ni kuwa huna maokoto ya wewe kuwa versatile, yaani unategemea mwanamke wako pekee, what do I mean?

Kijana mpambanaji, anatafuta kwa jasho ili aweke familia yake au mahusiano yake stable, let alone survival.

Ila baadae anakuja kugundua ukweli Mchungu kuwa mwanamke anawigo Mpana wa machaguzi, akiona unacho mpea hakimtoshi anauwezo wa kutafuta mwanaume mwingine kujiegesha akiwa anajua fika kuwa, value yako kwake ni hamna kabisa.

That's a paniful truth ambayo watu huikwepa ila kwa sababu ya maisha ya kileo hauwezi kwepa hiyo fact, with life being expensive.. Lazima uchapiwe tu ndugu....

One fact ni kuwa, mwanaume mpambanaji na mwenye kipato cha chini hutegemea mpenziye ndo awe driving force kumpa moyo ili aweze kufanikisha hata zaidi katika mihangaiko yake.

Ila ubaya wa hawa wadada wasio na malezi ndo hivyo wanakutumia na kikunyonya kile kidogo ulicho nacho maana unakuwa vulnerable kwao, you depend on her to be a comfort in your struggle.

My friend, achana na pussy, jipate uone jinsi pussy hazina maana kabisa. Ni vyombo vya starehe kwa wenye nazo.

Mtu mwenye mawe huwezi kuta anahangaika because all Power iko mkononi mwake, pisi zinajilengesha kwake na ile kuzitafuna unagundua hakuna jipya kabisa. Unakuja kuona kumbe mapenzi na kulia lia ni vya watu maskini tu. Watu masikini hawana option,. Mwanamke asiye na foundation hugeuka kuwa kama bidhaa. Na huyo mwanamke uliye fikiri ana uspesho kipindi filulani ukisha jipata unaona ulikuwa unafuga parasite, na uka disguise wa kufa na kupona.

So my friend amka, Achana na wanawake kama unajua hakuna reciprocity kwenye relationship jichenge na ujenge maisha kwanza. Vitobo na mawezele yapo ya kutosha sana ukiwa nazo.

Happy weekend.
Hayanaga formula bhana tajiri wa mwanza pamoja na kuwa na Kila kitu mkewe akienda kuangalia real Madrid mwisho ni fired. So hamna formula ya mapenz
 
Explain mkuu
Mwanamke pure anakuwa hajaexperience emotional trauma kutokana na break ups na pia emotionally anakuwa yuko stable.
Na hao kadiri ya tafiti mbalimbali wana low divorce rates.
Sikuzote wanawake wengi mioyo yao inaharibiwa na mwanaume wa kwanza aliyemtoa ubikra, so kuheal that trauma inachukua muda na pia mwanamke kukubali kurekebisha eidha makosa yake au kulet it go.
 
Mwanamke pure anakuwa hajaexperience emotional trauma kutokana na break ups na pia emotionally anakuwa yuko stable.
Na hao kadiri ya tafiti mbalimbali wana low divorce rates.
Sikuzote wanawake wengi mioyo yao inaharibiwa na mwanaume wa kwanza aliyemtoa ubikra, so kuheal that trauma inachukua muda na pia mwanamke kukubali kurekebisha eidha makosa yake au kulet it go.
Facts, ila ndo dunia tuishiyo kwa sasa, wanawake pure hawapo ni almost impossible kuwapata
 
Yote hayo ya nini?
Em acha kutisha wenzio, mapenzi ni burudani..!!
Burudani ni kwa mwanaume mwenye nazo, ila kwa asiye na kitu anakuwa fursa tu.

Lazima tuoeane kodi na kuambiana ukweli
 
Mwanamke pure anakuwa hajaexperience emotional trauma kutokana na break ups na pia emotionally anakuwa yuko stable.
Na hao kadiri ya tafiti mbalimbali wana low divorce rates.
Sikuzote wanawake wengi mioyo yao inaharibiwa na mwanaume wa kwanza aliyemtoa ubikra, so kuheal that trauma inachukua muda na pia mwanamke kukubali kurekebisha eidha makosa yake au kulet it go.
Mkuu unanitisha aiseee huyu mwanamke nilienae sasa ananiambia kaliwa na mtu mmoja tu hivi kweli hatakuja kunisumbua mbeleni?
 
Facts, ila ndo dunia tuishiyo kwa sasa, wanawake pure hawapo ni almost impossible kuwapata
Uko sahihi maana hata makanisani nowadays, wanawake wanaojitokeza wana past mbaya, hata kama ameanza kubadilika ila inahitaji juhudi kubwa kutoka kwake.
Ndo maana mwanaume ukishagundua umeoa mwanamke si bikra, inatakiwa yeye ndo awe na juhudi kwenye mahusiano na sio wewe. Wewe mpende ila yeye ndo aonyeshe juhudi na umueleze kabisa mapema.
Wanawake wa sasa kuishi nao unaishi nao kama ambavyo Mungu anaishi na sisi , ukimkaribia kwa juhudi utamuona, ukiwa na kiburi, hutamuona. So treat mwanamke vizuri kadiri anavyoongeza juhudi kukuheshimu na kukutreat vizuri kukuzidi, akianza kiburi, usimwache kumpenda ila withdraw your attention na pia basics ulizokuwa unampa .
 
Kuna demu tulisoma wote O level, alikuwa ana figure nzuri, bright ila hakuwa na bahati kwenye mahusiano, kuna mshkaji wangu ndo alikuwa anakamata, ila kichwa yake ilikuwa haijatulia kabisa, alimbikiri yule dem halafu akaanza kumsumbua.

Miaka ikaenda kipindi tupo advance nilikuwa na mawasiliano na demu, alikuwa akinipa mikasa ya jamaa kutoka na mademu wengine.
Miaka ikaenda demu akafanikiwa kwenda chuo, na huko ndo ukurasa wa maisha mengine ukaanza.

Nakumbuka kipindi tunawasiliana demu alinisimulia kwamba kuna mshikaji very talented kwenye mambo ya sanaa ya kuchora(alikuwa anasomea DM hapohapo chuo) alikuwa amefall kwa demu.
Nikamwambiya awe makini asije akawa kama mshikaji wangu. Kiufupi jamaa alishamuoa na wana mtoto, pia wanapendana sana.

Hii stori ina fundisho sana kama utaielewa mkuu, Ngono ni adui wa akili na Mali.
Je mkuu unavyomuona huyo demu je siku mshkaji wako aliembikiri akihitaji tena mali unaona kutakuwa na ugumu?
 
Bado ana low count, ila swali la muhimu: kwa mtu wa aina hiyo je anakuonyesha kwa vitendo kuwa anakupenda?
Je anakuwaje akikasirika?
Note only two things
Anaonyesha kabisa ananipenda ila hofu yangu ni huyo aliembikiri aisee kwasababu mimi nimemchukua wakati yupo nae huyo mshkaji
 
Pesa inampa mwanaume njozi ya udhibiti(illusion of control). Unajihisi umekuwa wa thamani sana kumbe hiyo pesa ndo ya thamani sio wewe. Ikiondoka tu kwisha.

Hakuna cha ajabu kuhusu wanawake, wao ni watu tu. Mambo ya kuumizana ni ubinadamu na humpata kila mtu hata nje ya mahusiano kwenye maisha ya kila siku.

Chamsingi ni kujifunza kuzikubali hizo hisia hasi za kukataliwa. Lazima ukataliwe. Kuwa mtu bora; Heshimu watu, jitume, epuka hila, na utampata wako tu.
 
Uko sahihi maana hata makanisani nowadays, wanawake wanaojitokeza wana past mbaya, hata kama ameanza kubadilika ila inahitaji juhudi kubwa kutoka kwake.
Ndo maana mwanaume ukishagundua umeoa mwanamke si bikra, inatakiwa yeye ndo awe na juhudi kwenye mahusiano na sio wewe. Wewe mpende ila yeye ndo aonyeshe juhudi na umueleze kabisa mapema.
Wanawake wa sasa kuishi nao unaishi nao kama ambavyo Mungu anaishi na sisi , ukimkaribia kwa juhudi utamuona, ukiwa na kiburi, hutamuona. So treat mwanamke vizuri kadiri anavyoongeza juhudi kukuheshimu na kukutreat vizuri kukuzidi, akianza kiburi, usimwache kumpenda ila withdraw your attention na pia basics ulizokuwa unampa .
Akili ndo kitu pekee kinahitajika, ujue namna ya ku dance according to the beat
 
Pesa inampa mwanaume njozi ya udhibiti(illusion of control). Unajihisi umekuwa wa thamani sana kumbe hiyo pesa ndo ya thamani sio wewe. Ikiondoka tu kwisha.

Hakuna cha ajabu kuhusu wanawake, wao ni watu tu. Mambo ya kuumizana ni ubinadamu na humpata kila mtu hata nje ya mahusiano kwenye maisha ya kila siku.

Chamsingi ni kujifunza kuzikubali hizo hisia hasi za kukataliwa. Lazima ukataliwe. Kuwa mtu bora; Heshimu watu, jitume, epuka hila, na utampata wako tu.
Haya I giza hii mindset oune cha mtema kuni.

Unachosema illuision of power ndo kitu pekee kinacho iendesha hii dunia..

Mr nice guy, dunia haijali kuhusu wewe. Kama huna mali na pesa utaendelea kusugua gaga kihisia na kimaisha kwa ujumla
 
Haya I giza hii mindset oune cha mtema kuni.

Unachosema illuision of power ndo kitu pekee kinacho iendesha hii dunia..

Mr nice guy, dunia haijali kuhusu wewe. Kama huna mali na pesa utaendelea kusugua gaga kihisia na kimaisha kwa ujumla
Pesa ni rasilimali inayoisha. Haiwezekani kila mtu akawa tajiri. Unapounganisha furaha yako na rasilimali inayoisha unakosea. Usipoipata rasilimali hiyo ama ikikuishia utakosa furaha.

Tafuta rasilimali zisizoisha ambazo ni upendo na amani.
 
Pesa ni rasilimali inayoisha. Haiwezekani kila mtu akawa tajiri. Unapounganisha furaha yako na rasilimali inayoisha unakosea. Usipoipata rasilimali hiyo ama ikikuishia utakosa furaha.

Tafuta rasilimali zisizoisha ambazo ni upendo na amani.
Amani gani na upendo gani mwanaume utapata endapo hautakuwa na uwezo wa ku provide?
 
Back
Top Bottom