Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
hizo picha za kutengeneza tu cdm hawajambo kwa propaganda ila chama wameuza
Afadhali wewe unaye jiuza
hizo picha za kutengeneza tu cdm hawajambo kwa propaganda ila chama wameuza
Kama kusoma hujui basi tazama hata picha na utapata jibu.....
hizo picha za kutengeneza tu cdm hawajambo kwa propaganda ila chama wameuza
Acheni propaganda huyo jamaa hana uhusiano wowote na issue zozote zinazohusiana na Mambo ya Ikulu wala kujiuzulu kwa Prof lipumba. CDM jikwamueni toka kwenye makucha ya fisadi Lowassa badala ya kutokwa na mapovu hapa jf.
hamjui kusoma lugha ya picha?hamna macho???photo shop hyo!!
Duh,ndo mmeona ni njia ya kuwapooza wafuasi wa Ukawa kwa kutengeneza picha? Kweli mmeishiwa propaganda,hadi huruma!
anaitwa mohamedi kamonja pitia insta kwa jina hilo umuone vizuri namjua kitambo sana huyu dogo!
usimwamini mwanadamu hata siku moja, usimpe mwanadamu mwenzio kila ufunguo wa maisha yako, atakuja kukuacha solemba. sasa huyo nasikia kakimbia na sera ya uchumi ya ukawa ilikuwa kwenye laptop yake na ameondoka ghafla hivyo ili ukawa kesho wahangaike kutangaza rais bila sera za uchumi, ameondoka na siri na vitu vingi vya muhimu vya ukawa. ni msaliti wa ajabu sana. na serikali ya ukawa ikiingia madarakani itabidi atafute nchi ya kwenda.
Ccm wamempoteza huyo, akitoka huko aende Tabora kusimamia kilimo cha viazi
Kama mbowe alivyochukua b10 kutoka kwa mafisadiMkuu heshima yako
samahani huyu jamaa anayeonekana kukaa na prof ni nani?? Maana katika picha ya pili anaonekana yuko na kikwete??
Kweli pesa sabuni ya roho