Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

huyo jamaa aliyetokea kwenye picha zote anaitwa Mohamed Kamonja,
Bila shaka ndiye huyu pia

wa kwanza kutoka kulia
MOHAMED KAMONJA.JPG

P 2. Mohamed Kamonja (kushoto) wa Alasco na Feisal Mohamed.JPG


JOB TRUE TRUE... WAKINA YUDA WATAKUWEPO MPAKA MWISHO WA DUNIA UTAKAPOTIMIA.
 
Mnafiki, shetwani, Hivi ukawa wakichukuwa nchi lipumba atakimbilia wapi? alifikiri ndio ameua ukawa kumbe amejiua yeye mwenyewe na ccm yake. Alipokuwa anasema nafsi yake inamsuta alikuwa anaaminisha mshiko aliouchukuwa kutoka kwa genge la wahuni wa lumumba
hapana..alikua anamaanisha ile shs bil 10 aliyohongwa mbowe ili auze cdm. cdm sasa ina new master wewe kaaga kalakabao. i pitty you with your enthuasiasm in ukawa.
 
Wanajamvi salaamu!
Lipumba mkwala wote kwa Serikali kumbe alikuwa anazuga ndiyo maaana CUF ina wabunge wawili tu bara.
MTU mzima kaumbuka vibaya, live bila chenge anajifanya ustadhi kumbe anakamata pombe kama kawaida na usaliti kwa UKAWA!
 
No saw na kunguru aliechukua mfuko wenye kitu kumbe umetoboka lipumbaa
 
Wanajamvi salaamu!
Lipumba mkwala wote kwa Serikali kumbe alikuwa anazuga ndiyo maaana CUF ina wabunge wawili tu bara.
MTU mzima kaumbuka vibaya, live bila chenge anajifanya ustadhi kumbe anakamata pombe kama kawaida na usaliti kwa UKAWA!

Ukweli unatabia ya kukawia na mwongo mpe muda
 
mnafiki mkubwa mwambie huku #UKAWA imezidi kuimarika sana baada ya yeye kuondoka ikiwezekana abaki huko huko nyumbani kwao rwanda asirudi tena huku.
11825199_766301470147496_6115789845700875402_n.jpg
Huku ni shangwe kesho barabara za dar zitafungwa kwa muda kumpitisha mgombea uraisi kupitia #UKAWA kwenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi .
 
Back
Top Bottom