Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Kiukweli, Prof amefanya wrong move this time. Ni bora asingesema kitu.
 
usimwamini mwanadamu hata siku moja, usimpe mwanadamu mwenzio kila ufunguo wa maisha yako, atakuja kukuacha solemba. sasa huyo nasikia kakimbia na sera ya uchumi ya ukawa ilikuwa kwenye laptop yake na ameondoka ghafla hivyo ili ukawa kesho wahangaike kutangaza rais bila sera za uchumi, ameondoka na siri na vitu vingi vya muhimu vya ukawa. ni msaliti wa ajabu sana. na serikali ya ukawa ikiingia madarakani itabidi atafute nchi ya kwenda.
 
Huyo kijana mbona kafanana na huyu
1439153342860.jpg
 
huyu profesa ma.ta.ko kweli pmj na elimu yake anafuata nyayo za ayatoioilaa zzk
 
Ukawa c cuf, we kula batatu lakin angalia licje lika kushindakumeza.2016 c mbali.
 
huyo kijana pembeni ya lipumba anaitwa mohamedi kamonja, namjua ananijua nimesoma nae ni mtanzania mtafuteni insta kwa jina hilo mtampata, ni kinega wa rizmoko!
swali ni kwamba yuko kigali na lipumba kama nani?kwa nini?
 
Kumbe ni photoshop??kweli team dodoki mmepagawa
 
Back
Top Bottom