Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
tumuache prof..na maisha yake..tuendelee na kuimarisha ukawa nafikiri haita poteza dira..kwani mwenyekiti ajala zile 10b..?
nifafanulie picha basi mkuu
Kwa hiyo ccm wameamua kuwekeza kwenye kununua watu badala ya kuwekeza kwenye huduma za jamii.yaani akili Yao inawaambia pesa inaweza ikaendelea kuwaweka madarakani?Huyo dogo ni wa ikulu na ndio deal maker wa lipumba kukubali mzigo uingie kwenye akaunti na kusepa
Nasikitika kuona mnaopiga kelele si wafuasi wa Lipumba bali ni misukule ya Kinondoni plus nyumbu wa LowasaLipumba Pumba Kabisa Yaani Tunampuuza Ila Ajue Huku Ukawa Mambo Bado Mazuri Hajaharibu Kitu
Tehetehetehetehe. Mbowe kwa kupiga mihela!Mpinzani wa ukweli ni Mbowe tu;
labda labda na Lowassa kwa kuwa ana hasira na ccm.