Chanzo chako cha habari za ukawa ndio hicho kimeondoka pole sana sasa habari za ukawa utazisikia jfNasikitika kuona mnaopiga kelele si wafuasi wa Lipumba bali ni misukule ya Kinondoni plus nyumbu wa Lowasa
Kwa hiyo hapo ushahidi wa Lipumba kuhongwa upo wapi?
Nasikitika kuona mnaopiga kelele si wafuasi wa Lipumba bali ni misukule ya Kinondoni plus nyumbu wa Lowasa
anaitwa mohamed kamonji,mpambe wa rizmokoHuyo ni mtoto wa mama saidi wa zanzibar mwenezi wa cuf kisiwani.
Mbowe ni zaidi ya yuda unawezaje kuuza chama kwa mafisadi papa maizi ya taifa hili.Duh, Lipumba ni Yuda kwelikweli, vipande hamsini vya Kaisali vimetosha kuichoma UKAWA na CUF
Hapana dogo wa zanzibar kisiwani namjua hebu mwangalie vizuri ni mtoto wa mama said.anaitwa mohamed kamonji,mpambe wa rizmoko
tumuache prof..na maisha yake..tuendelee na kuimarisha ukawa nafikiri haita poteza dira..kwani mwenyekiti ajala zile 10b..?
tatzo liko wapi lipumba akihamia CCM??
Mkuu heshima yako
samahani huyu jamaa anayeonekana kukaa na prof ni nani?? Maana katika picha ya pili anaonekana yuko na kikwete??
Kweli pesa sabuni ya roho
Sasa nimejua kwa nini Rwanda inakuwa kiuchumi
Waswahili walisema we Ukiona Wa nini sie tunawaza tutampata lini
Big up Rwanda kwa kukitumia vzr kichwa hucho cha Kinyamwezi
Acha wenye Siasa zao za Maji taka waendelee Kununua Madodoki
Hapana dogo wa zanzibar kisiwani namjua hebu mwangalie vizuri ni mtoto wa mama said.
Sasa nimejua kwa nini Rwanda inakuwa kiuchumi
Waswahili walisema we Ukiona Wa nini sie tunawaza tutampata lini
Big up Rwanda kwa kukitumia vzr kichwa hucho cha Kinyamwezi
Acha wenye Siasa zao za Maji taka waendelee Kununua Madodoki