Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Wewee hebu TUKOME kabisa wa Tabora 🙂 Kama vipi, pata LIMAO.....

kapuya.jpg


Tabora sijui nisemeje na watu wake
 
huyu jamaa anyeonekana kwenye picha zote kama vile ni mtu wa idara

Katika suala hili hebu tujaribu kuwa makini ili tusije tukatoka kwenye mstari sahihi kuhusu usaliti wa Lipumba na namna alivyotumiwa na magamba ili kudhoofisha Ukawa, kwa kuiondosha CUF kwenye umoja lakini akashindwa na mwisho wa siku akaamua kung'atuka yeye kwa aibu.
Nitajaribu kueleza kitu hapa. Ni kweli huyo jamaa aliye kwenye hizo picha zote ni mtu mmoja bila ubishi, pia ni kweli kuwa Lipumba alisafiri akiwa na kijana huyo alipoondoka toka Dar es Salaam hadi Kigali, lakini si kweli kwamba ni mtu wa Idara, (nadhani ulikusudia TISS).
Huyo jamaa aliye katika hizo picha zote anaitwa Mohammed Kamonja ambaye ni mfanyakazi wa Alosco ambayo ni kampuni mama makampuni kadhaa kama vile Home Shopping Centre (HSC), Msasani City Mall, Pugu Mall, Africa Logistics Solutions Limited na miradi mengine inayofikia tisa.
Ila kwa namna huyo dogo alivyokuwa karibu na Lipumba inamaanisha kuwa kazi nzima ya ushawishi ilifanywa na familia ya mkuu wa kaya kwa kushirikiana na Salaah Mohamed Saad wa HSC ambaye ndiye yule kuna wakati alidaiwa kateuliwa na mkuu wa kaya kuwa Balozi China.
Salaah humtumia sana huyo Kamonja kwenye mambo yake ya ushirikiano na familia ya mkuu wa kaya, yale yanayohusu siasa na figisufigisu, ndio maana anajulikana sana kwa familia ya mkuu wa kaya, na amekuwa akihudhuria shughuli zote za familia ya mkuu wa kaya.
Kwa maana hiyo kwa kuunganisha dot kwa hizi picha, maana yake OBR inahusika moja kwa moja na uamuzi wa Lipumba, na kwamba pesa nyingi zimetumika ili kufanikisha kuupindua msimamo wake.
Kwa sababu mambo karibu yote ya OBR yanayohusu matumizi ya pesa nyingi hutumiwa Salaah ambaye yuko vizuri sana kipesa na ndiye anayemfanya Wema Sepetu aishi kwa jeuri hapa mjini coz ndiye anayekula mzigo kwa sasa. Hata wakati ule ZZK anasumbua Chadema wakati ule, huyo huyo Kamonja ndio alikuwa kiungo.

Ova
 
anakula bata na watoto wazuri wa kinyarwanda, kachoka kuendeshwa na mbowe
 
Lipumba alidhani akitoka UKAWA na CUF Vitatetereka sana cha ajabu vyote vimepaa mara dufu,ni bahati mbaya kwamba Lipumba watu wengi walishamfahamu na kwa sasa wanampuuza.
 
Wana Jf msitumie nguvu nyingi kwa prof Lipumba, mnachotakiwa kujua yule neture yake ndiyo inayo zengua. Mnyamwezi, Muha haya makabila uwa ni wasaliti. Hata siku moja usimuamini mnyamwezi na muha.
 
Wana Jf msitumie nguvu nyingi kwa prof Lipumba, mnachotakiwa kujua yule neture yake ndiyo inayo zengua. Mnyamwezi, Muha haya makabila uwa ni wasaliti. Hata siku moja usimuamini mnyamwezi na muha.

Hahahahaa me mwenyew mnyamwez ni kwel
 
Back
Top Bottom