Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Ukweli Kuhusu Prof. Lipumba huu hapa

Huyu mzee alikuwa anabania vijana nafasi ashukuriwe Mungu aliejuu aliemuhonga hizo ela
 
bavicha bana,,,,sasa ata tuseme ni kuna dot za kuunga kwani kuna tatizo gani?,
hizo ndo siasa zilivyo,msione ajabu sana hata kama lipumba karubuniwa,ndo siasa ziko hivyo.
ungemcheki miezi michache iliyopita netanyau akihangaika kuunda coalition ya kumpa ushindi,inafikia mpaka anarudi kumbembeleza hasimu yake.
mambo ya kawaida inaitwaga DECAMPING.

Sasa bavicha wanadhani ni bigdeal sana,mara ooh tutawapeleka the hague,ooh oooh bla blah.
 
KUMBE PROF ANAGONGA MAJI YA MENDE KAMA HANA AKILI NZURI...

ILA KAMA NI KWELI KAPOKEA PESA BASI KUNA SIKU ATAJUTA SANA, SISIEMU HAWANA URAFIKI WA KUDUMU, WAMERUBUNI WATU WENGI SANA NA KUWATELEKEZA BAADA YA MATUMIZI, ALIKUWEPO MREMA, WALE WAKINA MWAMPAMBA, JULIANA WA KUFYONZWA et al...

KWELI KUWA NA ELIMU KUBWA SI KIGEZO CHA KUAMINIKA...
 
hamjui kusoma lugha ya picha?hamna macho???photo shop hyo!!
 
Amekua mkimbizi kwenye nchi yake
 
Kumbe anakunyws bia naona na kiroba kakilaza pembeni ya gilasi ana machungu kweli ndo hana jinsi ameshindwa kuwatumikia mabwana wawili
 
attachment.php

kwani kaponaa ugonjwa wake
 
Back
Top Bottom