Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 830
- 184
WanaJF naomba kujua kama kweli jana Umma uliweza kumfikishia ujumbe Kikwete kuwa hatumtaki na tumemchoka huku nchi ikiwa imemshinda.
WanaJF naomba kujua kama kweli jana Umma uliweza kumfikishia ujumbe Kikwete kuwa hatumtaki na tumemchoka huku nchi ikiwa imemshinda.
Wewe unategemea Mangi atakuwa na mawazo gani zaidi ya Uchagga na CDM
kichwa kwa mama yakojamaa amepewa phd ya 5 jana na ndio anakuwa rais wa kwanza tanzania na afrika kwa ujumla kupata phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
Wee jibu swali kama hujui nyamaza kama mimi
jamaa amepewa phd ya 5 jana na ndio anakuwa rais wa kwanza tanzania na afrika kwa ujumla kupata phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
jk jana alidhania anaenda ofisi za bakwata akaipatapataunataka jibu gani tena wakati kaishajibiwa au na wewe mangi cdm...mimi siwezi kunyamazishwa na wewe pumba tupu
Unataka jibu gani tena wakati kaishajibiwa au na wewe Mangi CDM...mimi siwezi kunyamazishwa na wewe pumba tupu
Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
Zinaitwa kupiga kona na kuwahi kufunga.Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
kabakisha mbili tu amfikie MugabeJamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
Wewe unategemea Mangi atakuwa na mawazo gani zaidi ya Uchagga na CDM
Labda wewe na wenzio wenye akili kama zako ndio hamjamchoka na hizo Phd za kupewa zisizo na maana.Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
Wewe unategemea Mangi atakuwa na mawazo gani zaidi ya Uchagga na CDM
Wewe unategemea Mangi atakuwa na mawazo gani zaidi ya Uchagga na CDM