Ukweli kuhusu kuzomewa kwa Kikwete

Ukweli kuhusu kuzomewa kwa Kikwete

Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !

Angekuwa kichwa naamini serikali ya Nyerere isingemwacha asote mikiani na ukatubu wa chama kwa miaka zaidi ya 15. Vichwa vilipewa uwaziri au ukuu wa mkoa. Sasa hao wanaompa PhD tano ndani ya miaka mitano hawakumuona mika yote kuwa ni kichwa mpaka alipoupta Urahisi!!
 
Hata hao wanaompa PhD JK kwa lengo la kujikomba ili wakombolewe na wavivu wa kufikiri, wanafiki wa fikra na wendawazimu kabisa. Wakati huu ambapo hata makahaba pale Jollie Club hawataki kumsikia huyu rais aliyeua uchumi wa nchi huku maisha bora yamegeuka kuwa njaa bora, sio timing nzuri ya kumpachika digrii za dezo ambazo yeyote anatilia shaka. Mukandara bana, unajiaibisha tu...
 
Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !

Kichwa au dafu?
 
Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !
mbona hujamalizia statement yako kua JAMAA NI KICHWA .....!tehe..tehe...tehe
 
Sasa Mkuu Chuo ambacho wanajumiya yake WAMEKUZOMEA halafu wanakupa PhD si DHIHAKA hiyo

You bet that.! Jamaa kilaza, ph.D 5 Hana hata M.A au MBA..haha hah ha kweli za heshima ,na anavyopenda sifa inabidi awe anaitwa Mh. Dr(5) kiketwe, aonekane msomi na intelligent kuliko wa-tz ote.!
 
Angekuwa kichwa naamini serikali ya Nyerere isingemwacha asote mikiani na ukatubu wa chama kwa miaka zaidi ya 15. Vichwa vilipewa uwaziri au ukuu wa mkoa. Sasa hao wanaompa PhD tano ndani ya miaka mitano hawakumuona mika yote kuwa ni kichwa mpaka alipoupta Urahisi!!

inathibitisha kuna unafiki flani
 
Ni sawa na mtu ambaye hajaenda driving school halafu unampatia Class C ya udereva.......ataendesha kweli hilo gari?
 
JK nchi inamshinda namuonea huruma atakaa vipi akimaliza muda wake maana tutasikia mengi sana sana atafute mrithi atakaekubali kufukia mashimo yake na madhambi yoote
 
Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !


inategemea kichwa gani......sisi hatutaki PhD tunachotaka ni visible developments na sio PhD
 
Alikuwa anaimbiwa na TMK wanaume family"Kikwete Njoo Sister sister tukutambulishe kwa Wanaume" nae anacheka na kucheza kama zoba huyu jamaa ni Juha.
 
Pamoja na kumzomea ingekuwa safi zaidi kama wangempopoa kwa mayai viza, Nchi inazidi kudidimia yeye anabaki kukenua meno na kuuza sura ughaibuni bila kujali chochote
 
Jamaa amepewa Phd ya 5 jana na ndio anakuwa Rais wa kwanza Tanzania na Afrika kwa ujumla kupata Phd 5 kwa muda mfupi. Watanzania wanamtaka na hawajamchoka , labda wewe ambae uko ughaibuni na ni raia wa burundi . Jamaa ni kichwa !


Kuna kitu nilitaka nikupongeze, lkn bahati mbaya nimekisahau. Itoshe tu kusema jamaa ni Kichwa cha mnyama mwenye magamba. Bravo.
 
Ndugu zangu, fikiria pia, Uchumi haukui kwa kumtegemea rais tu, Tujiulize mtu mmoja mmoja Tanzania anachangiaje pato la taifa?
Tupo katika wakati mgumu wakati watu wengi tunataka mabadiliko bila kujali faida na athali zake. Rais wetu si kilaza kama wengine wanavyotaka kutuaminisha ila yuko katikati ya dilemma. Afanye lipi aache lipi akiwa na very limited resources kuanzia watu wanaolalama bila kuchangia pato la taifa lakini wakihitaji huduma, muundo wa mfumo wa serikali ambao umekuwepo toka huko nyuma, wanasiasa walio na nia ya kupata mali kwenye siasa, wawekezaji wanojivunia mitaji yao na technologia tusioijua na pengine mapenzi ya mwenyezi Mungu
 
Siasa za bongo na serikali yake ni full kubebana uchafu mtupu!
 
Back
Top Bottom