GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 4,694
- 6,396
Mwenge wa uhuru? Kivipi?
Umeleta unafuu gani katika nchi hii zaidi ya hasara ya mabilioni ya pesa?
Umeleta uhuru au utumwa? Unajua jinsi watumishi wa umma wanavyolazimishwa kuchangia fedha za kuunywesha mafuta na kushinikizwa kuhudhuria mkesha wa mwenge?
Watumishi wa umma wanalazimishwa kuhudhuria! Mikoa mingine, wakuu wa idara huitisha majina ya watu walio chini yao kubaini kama kuna mfanyakazi aliyetoroka mkesha wa mwenge! Uhuru wenyewe ndiyo huo?
Uovu unaofanyika wakati wa mkesha wa mwenge unafahamika? Huo ndiyo uhuru wenyewe? Uhuru ulioletwa na mwenge ni wa kulewa, ngono na kuteketeza mabilioni ya pesa kwa mambo yasiyokuwa na tija? Huo ni uhuru au utwesaji wa utu?
Mwenge ulivumbuliwa na mchawi gwiji, Forojo Ganze, kufuatia "ufunuo" alioupata baada ya kwenda kufanya mazungumzo na Shetani kuhusiana na masuala ya utawala wa Tanganyika. Kwa maneno mengine, ni Shetani ndiye aliyeagiza mwenge ukimbizwe Tanganyika.
Kama hayo masimulizi yana ukweli ndani yake, unatarajia mwenge uwe na mema kwa nchi yetu?
• Kwa nini watawala wasieleze ukweli halisi wa chimbuko la mwenge?
• Kuna siri nyuma ya mbio za mwenge ambayo ni watawala tu ndiyo wanaoijua na hawaruhusiwi kuwajulisha wananchi?
• Watawala wanaotaka viongozi wa dini waiombee nchi na huku wanajua kuwa inatawaliwa kwa maagizo ya kuzimu wanaitakia mema nchi yetu? Huko si kuitaabisha nchi?
• Ikiwa mwenge ulivumbuliwa Tanganyika ikiwa imeshapata uhuru, ni uhuru gani huo Forojo Ganze aliouzungumzia kuhusiana na nchi yetu baada ya kikao chake na Shetani?
• Kuna mtu anayeweza kuwaaminisha Watanzania kuwa hicho kinachoitwa mwenge wa uhuru umeleta uhuru wa kweli na siyo utumwa?
Umeleta unafuu gani katika nchi hii zaidi ya hasara ya mabilioni ya pesa?
Umeleta uhuru au utumwa? Unajua jinsi watumishi wa umma wanavyolazimishwa kuchangia fedha za kuunywesha mafuta na kushinikizwa kuhudhuria mkesha wa mwenge?
Watumishi wa umma wanalazimishwa kuhudhuria! Mikoa mingine, wakuu wa idara huitisha majina ya watu walio chini yao kubaini kama kuna mfanyakazi aliyetoroka mkesha wa mwenge! Uhuru wenyewe ndiyo huo?
Uovu unaofanyika wakati wa mkesha wa mwenge unafahamika? Huo ndiyo uhuru wenyewe? Uhuru ulioletwa na mwenge ni wa kulewa, ngono na kuteketeza mabilioni ya pesa kwa mambo yasiyokuwa na tija? Huo ni uhuru au utwesaji wa utu?
Mwenge ulivumbuliwa na mchawi gwiji, Forojo Ganze, kufuatia "ufunuo" alioupata baada ya kwenda kufanya mazungumzo na Shetani kuhusiana na masuala ya utawala wa Tanganyika. Kwa maneno mengine, ni Shetani ndiye aliyeagiza mwenge ukimbizwe Tanganyika.
Kama hayo masimulizi yana ukweli ndani yake, unatarajia mwenge uwe na mema kwa nchi yetu?
• Kwa nini watawala wasieleze ukweli halisi wa chimbuko la mwenge?
• Kuna siri nyuma ya mbio za mwenge ambayo ni watawala tu ndiyo wanaoijua na hawaruhusiwi kuwajulisha wananchi?
• Watawala wanaotaka viongozi wa dini waiombee nchi na huku wanajua kuwa inatawaliwa kwa maagizo ya kuzimu wanaitakia mema nchi yetu? Huko si kuitaabisha nchi?
• Ikiwa mwenge ulivumbuliwa Tanganyika ikiwa imeshapata uhuru, ni uhuru gani huo Forojo Ganze aliouzungumzia kuhusiana na nchi yetu baada ya kikao chake na Shetani?
• Kuna mtu anayeweza kuwaaminisha Watanzania kuwa hicho kinachoitwa mwenge wa uhuru umeleta uhuru wa kweli na siyo utumwa?