wamempoteza zaidi maana phd-permanent head damage itazidi kumharibu zaidi kichwa chake.Kichwa au dafu?
Wee jibu swali kama hujui nyamaza kama mimi
Ndugu zangu, fikiria pia, Uchumi haukui kwa kumtegemea rais tu, Tujiulize mtu mmoja mmoja Tanzania anachangiaje pato la taifa?
Tupo katika wakati mgumu wakati watu wengi tunataka mabadiliko bila kujali faida na athali zake. Rais wetu si kilaza kama wengine wanavyotaka kutuaminisha ila yuko katikati ya dilemma. Afanye lipi aache lipi akiwa na very limited resources kuanzia watu wanaolalama bila kuchangia pato la taifa lakini wakihitaji huduma, muundo wa mfumo wa serikali ambao umekuwepo toka huko nyuma, wanasiasa walio na nia ya kupata mali kwenye siasa, wawekezaji wanojivunia mitaji yao na technologia tusioijua na pengine mapenzi ya mwenyezi Mungu
Ebana usirudie tena siku nyingine kutoa comment ya ajabu kiasi hiko!! Yani acha kabisa...
Ndugu zangu, fikiria pia, Uchumi haukui kwa kumtegemea rais tu, Tujiulize mtu mmoja mmoja Tanzania anachangiaje pato la taifa?
Tupo katika wakati mgumu wakati watu wengi tunataka mabadiliko bila kujali faida na athali zake. Rais wetu si kilaza kama wengine wanavyotaka kutuaminisha ila yuko katikati ya dilemma. Afanye lipi aache lipi akiwa na very limited resources kuanzia watu wanaolalama bila kuchangia pato la taifa lakini wakihitaji huduma, muundo wa mfumo wa serikali ambao umekuwepo toka huko nyuma, wanasiasa walio na nia ya kupata mali kwenye siasa, wawekezaji wanojivunia mitaji yao na technologia tusioijua na pengine mapenzi ya mwenyezi Mungu
Sijui Ritz yuko wapi, maana hachelewi na wewe kukuita Mangi CDM na kumalizia na pumba tupu!