BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Pole sana ila huduma ya haraka ya matibabu uliyopewa wewe si watanzania wote tunapewa priority kama wewe mheshimiwa, watanzania wengi tunakufa kutokana na kukosa huduma haraka ya matibabu!
Mara ngapi tunaona mtoto mdogo anapelekwa kwenye TV kuomba msaada wa matibabu kisa eti mganga mkuu wa wilaya au mkoa anataka shilingi 2milioni za opearation?
HIVYO KUNA UBAGUZI MKUBWA KATI YA ALIYENACHO NA ASIYENACHO katika kupata huduma ya afya.
Mara ngapi tunaona mtoto mdogo anapelekwa kwenye TV kuomba msaada wa matibabu kisa eti mganga mkuu wa wilaya au mkoa anataka shilingi 2milioni za opearation?
HIVYO KUNA UBAGUZI MKUBWA KATI YA ALIYENACHO NA ASIYENACHO katika kupata huduma ya afya.