Ukweli kuhusu hali ya mh. Zitto Kabwe - 29 Oct 2011

Pole sana ila huduma ya haraka ya matibabu uliyopewa wewe si watanzania wote tunapewa priority kama wewe mheshimiwa, watanzania wengi tunakufa kutokana na kukosa huduma haraka ya matibabu!

Mara ngapi tunaona mtoto mdogo anapelekwa kwenye TV kuomba msaada wa matibabu kisa eti mganga mkuu wa wilaya au mkoa anataka shilingi 2milioni za opearation?

HIVYO KUNA UBAGUZI MKUBWA KATI YA ALIYENACHO NA ASIYENACHO katika kupata huduma ya afya.
 
Get well soon mkuu.atleast tumefarijika kupata neno kutoka kwako.mungu akujalie upone haraka kiongozi.
 
Ndugu Zitto, ugua pole na asante sana kwa taarifa ya kina. Ni matumaini yangu kuwa madaktari wa India wataweza kutibu tatizo la muda mrefu kama ulivyotueleza.

Kitu kimoja ambacho utakuwa umetusaidia sana sisi watanzania wenzako ni jinsi Aga Khan Hospital walivyo bomu. Kuna mama amefia hospitalini hapo kutokana na malaria. Narudia, yuko mama kafia hapo Aga Khan kutokana na malaria. Hawa watu pamoja na ku-charge hela nyingi ni bomu kabisa na ndio maana watu wanasema Aga Khan ni kitanda kizuri cha kufia. Na kiburi chao kinatokana na kwamba mashirika/makumpuni mengi wamejiunga nao hivyo wana uhakika wa kupata wateja. Upone usipone hilo sio juu yao, wao wanataka pesa!

Pengine muda umefika sasa kwa wagonjwa kuwa na haki ya kuwashitaki madaktari/hospitali pale wanavurunda. Huu mtindo wa madaktari kuendelea kufanya biashara na maisha ya watu ukomeshwe. Ningefurahi kama waandishi wa habari wangewaanika hawa Aga Khan. Wanashindwaje kugundua malaria wakati hata vi-dispensary vidogo huku mtaani wanaona? Hawafai hawa.
 
Pole sana Mh.ZITTO, mimi nilisha kataza familia yangu kwenda pale Agha Khan kwa maswala ya kupimwa malaria, huwa nashindwa kuelewa hao jamaa wa mahabara wana elimu ya kiwango gani - sisi imekwisha tutokea zaidi ya mara nne kuambiwa blood slide hazionyeshi vidudu vya malaria! Tukienda hospitali nyingine for a second opinion unakata vimelea vya malaria vimejaa tele, je kama utata unakuwa kwenye malaria je vipimo vingine watasema nini si hatari hii?

Siwasemi vibaya Agha Khan lakini ukweli unabaki pale pale kwamba laboratory technicians wao wawafanyie usahiri tena, haiwezekani wakawa wanatoa majibu ya kufikilika/kubuni tu au huwa hawatumii darubini kabisa nini! Uongozi wa Hospitali hiyo unapaswa kulifanyia kazi swala hili.
 
Pole sana kamanda wangu na mbunge wangu. Nakuombea kwa Mungu upone upesi ili urejee kwenye majukumu. Taifa hili na watu wake tunakuhitaji bado.
 
Mungu mkubwa pangalo hakuna mwanadam anayeweza kupangua,GET WELL SOON KAMANDA.
 
Daaaaaah! afadhali Mh Kabwe umetupatia taarifa kupata mwanga wa ilivokuwa na hali yako ya sasa. Ugua pole. Jah will guide you!
 
pole kaka,pia nakushukuru kwa kutuondoa hofu juu ya afya yako. nakutakia afya njema ndugu,upone haraka tuendelee kulijenga taifa.
 
Mungu aendelee kukulinda. Akuponye na maumivu. Na mwisho urejee salama kutimiza majukumu yako. Amen
 
pole sana, Inshaallah huo upasuaji utaenda salama pia. kweli kila mwaadam atakufa lakini hospital zingine zinachangia, kama hii aga khan hata hiko namna pale, ukilazwa pale wajameni unashindiliwa midawa balaa, mradi tu bill hiwe nyoofu.
 
Tatizo lililogundulika ni SINUSITIS, ambayo tayari imekuwa sugu. Daktari Bingwa wa magonjwa haya Dkt. Kimaryo akanieleza kwa kirefu juu ya tatizo hili na kuniambia suluhisho ni 'surgery' na pale Hospitali ya Taifa hawafanyi hiyo operesheni. Akashauri niletwe India ambapo kuna Daktari mpasuaji wa ugonjwa huu. Nikakubali.

Sinusitis

Sinusitis means your sinuses are infected or inflamed. Your sinuses are hollow air spaces within the bones surrounding the nose. They produce mucus, which drains into the nose. If your nose is swollen, this can block the sinuses and cause pain and infection.
Sinusitis can be acute, lasting for less than four weeks, or chronic, lasting much longer. Acute sinusitis often starts as a cold, which then turns into a bacterial infection. Allergies, pollutants, nasal problems and certain diseases can also cause sinusitis.
Symptoms of sinusitis can include fever, weakness, fatigue, cough and congestion. There may also be mucus drainage in the back of the throat, called postnasal drip. Treatments include antibiotics, decongestants and pain relievers. Using heat pads on the inflamed area, saline nasal sprays and vaporizers can also help.
NIH: National Institute of Allergy and Infectious Diseases
So ina maana kama wange mdiagnose mapema,then angetakiwa kuzingatia haya.....
Treatments to relieve symptoms
Your doctor may recommend treatments to help relieve sinusitis symptoms. These include:
  • Saline nasal spray, which you spray into your nose several times a day to rinse your nasal passages.
  • Nasal corticosteroids. These nasal sprays help prevent and treat inflammation. Examples include fluticasone (Flonase), budesonide (Rhinocort Aqua), triamcinolone (Nasacort AQ), mometasone (Nasonex) and beclomethasone (Beconase AQ).
  • Oral or injected corticosteroids. These medications are used to relieve inflammation from severe sinusitis, especially if you also have nasal polyps. Examples include prednisone and methylprednisolone. Oral corticosteroids can cause serious side effects when used long term, so they're used only to treat severe asthma symptoms.
  • Decongestants. These medications are available in over-the-counter (OTC) and prescription liquids, tablets and nasal sprays. Examples of OTC oral decongestants include Sudafed and Actifed. An example of an OTC nasal spray is oxymetazoline (Afrin). These medications are generally taken for a few days at most; otherwise they can cause the return of more severe congestion (rebound congestion).
  • Over-the-counter pain relievers such as aspirin, acetaminophen (Tylenol, others) or ibuprofen (Advil, Motrin, others). Because of the risk of Reye's syndrome - a potentially life-threatening illness - never give aspirin to anyone younger than age 18.
  • Aspirin desensitization treatment if you have reactions to aspirin that cause sinusitis. However, this treatment can have serious complications such as intestinal bleeding or severe asthma attacks.
Antibiotics
Antibiotics are sometimes necessary for sinusitis if you have a bacterial infection. However, chronic sinusitis is usually caused by something other than bacteria, so antibiotics usually won't help.
Antibiotics used to treat chronic sinusitis caused by a bacterial infection include amoxicillin (Amoxil, others), doxycycline (Doryx, Monodox, others) or the combination drug trimethoprim-sulfamethoxazole (Bactrim, Septra, others). If the infection doesn't subside or if the sinusitis comes back, your doctor may try a different antibiotic.
If your doctor does prescribe antibiotics, it's critical to take the entire course of medication. Generally, this means you'll need to take them for 10 to 14 days or even longer - even after your symptoms get better. If you stop taking them early, your symptoms may come back.
Immunotherapy
If allergies are contributing to your sinusitis, allergy shots (immunotherapy) that help reduce the body's reaction to specific allergens may help treat the condition.
Kutokana na maelezo ya Zitto,tatizo hilo limekuwa likimsumbua na hakujuwa kuwa hiyo ni sinusitis hadi ilipogundulika juzi kabla ya kupelekwa India.

Na kwahivyo daktari huyo hakuona umuhimu wa kufuata ushauri huo hapo juu,ametoa ushauri wa surgery kabla hata hawaja jaribu kumtibu through those ways kama inavyoshauriwa.

Surgery ni last option kama walizingatia matibabu ya sinusitis na hayakufanya kazi.

Ama kumtibu malaria ndiyo wana maanisha kuwa walikuwa wakiitibu hiyo sinusitis?

Bado naona kuna ukurupukaji wa kiana,sijui wa kulaumiwa ni nani?

Tatizo alilonalo Zitto halikuwa tatizo la kusumbua watu vichwa na hata kutumia gharama zote hadi India.Inaonyesha kabisa tuko hovyo hovyo.

Hakuna taratibu za kufuatwa kama a civilised society!

Mtu anaumwa one thing lakini anatibiwa something else,halafu wanapogunduwa hilo,bado hawajaribu kushughulikia tatizo jinsi lilivyo,yani this time try to contain the sinusitis proplem before opting for a surgery which should be the last resort!Imenikumbushia sana ile issue ya mgonjwa aliyehitaji upasuaji wa mguu alipopasuliwa kichwa instead!Na ilikuwa hapo hapo Muhimbili!
Surgery
In cases that continue to resist treatment or medication, endoscopic sinus surgery may be an option. For this procedure, the doctor uses an endoscope, a thin, flexible tube with an attached light, to explore your sinus passages. Then, depending on the source of obstruction, the doctor may use various instruments to remove tissue or shave away a polyp that's causing nasal blockage. Enlarging a narrow sinus opening also may be an option to promote drainage.
 
Back
Top Bottom