kwanza kabisa kama ilivyotanabahishwa kwenye website ya TRA(Tanzania Revenue Authority - E-Fiscal Devices (EFD))
kuna aina tatu za EFDs, TRA na Serikali wanatakiwa kuchambua wazi ni aina ipi ya hizo devices ambayo inafaa kwa kwa mazingira yetu ya Kitanzania , aina ipi ni kwa kundi lipi la wafanyabiashara? na ichambue bei ya kila divice(kwa mfano Nchi ya Republic of Georgia ni Georgian Lari GEL350 ( The price of the cash register and its maintenance), ambazo si zaidi ya TSH330,000/-)
Watueleze kwa wamejipanga vipi katika kuwaelimisha wafanyabiashara na wateja, ufuatiliaji, management and controlling ya kodi kwa kutumia hizo mashine.
watuambie kama mtu binafsi anaweza kujinunulia yake binafsi na TRA kuja kuinstall programme zao au kama makampuni binafsi wanaweza kusambaza tofauti na wao TRA kwani ni soko huria.
Anyway,
kama wewe unaujua ukweli wowote kuhusu manunuzi, usambazaji, upatikanaji, njia bora ya usimamizi wa kodi kupitia hizi mashine kulingana na mazingira yetu ya kitanzania( ki-Techolojia ,ki-hulka za wafanyabiashara na wateja na rushwa), tafadhali tuungane pamoja kuweka ukweli na ushawishi wetu hapa kuliko kuingia katika malumbano ya kuwalaumu wafanyabiashara au kuwalaumu TRA na serikali bali tujikite katika kuweka ukweli bayana na data sahihi kuhusu huu mradi wa TRA !
mimi naanza na link za upatikanaji wa EFDs
Daisy Technology - The fiscal devices your business needs
Cash Register Manufacturer, Retail Cash Registers, Restaurant Cash Registers, POS Systems
Home page
CASIO 140-CR ELECTRONIC CASH REGISTER RETAIL SHOP TILL | eBay
pt=LH_DefaultDomain_3&hash=item27c87bfaea
Bora tuwe wawazi na wakweli na tukosoe panapofaa kuliko kuingia katika malumbano kati ya hizi pande mbili
Aksante
kuna aina tatu za EFDs, TRA na Serikali wanatakiwa kuchambua wazi ni aina ipi ya hizo devices ambayo inafaa kwa kwa mazingira yetu ya Kitanzania , aina ipi ni kwa kundi lipi la wafanyabiashara? na ichambue bei ya kila divice(kwa mfano Nchi ya Republic of Georgia ni Georgian Lari GEL350 ( The price of the cash register and its maintenance), ambazo si zaidi ya TSH330,000/-)
Watueleze kwa wamejipanga vipi katika kuwaelimisha wafanyabiashara na wateja, ufuatiliaji, management and controlling ya kodi kwa kutumia hizo mashine.
watuambie kama mtu binafsi anaweza kujinunulia yake binafsi na TRA kuja kuinstall programme zao au kama makampuni binafsi wanaweza kusambaza tofauti na wao TRA kwani ni soko huria.
Anyway,
kama wewe unaujua ukweli wowote kuhusu manunuzi, usambazaji, upatikanaji, njia bora ya usimamizi wa kodi kupitia hizi mashine kulingana na mazingira yetu ya kitanzania( ki-Techolojia ,ki-hulka za wafanyabiashara na wateja na rushwa), tafadhali tuungane pamoja kuweka ukweli na ushawishi wetu hapa kuliko kuingia katika malumbano ya kuwalaumu wafanyabiashara au kuwalaumu TRA na serikali bali tujikite katika kuweka ukweli bayana na data sahihi kuhusu huu mradi wa TRA !
mimi naanza na link za upatikanaji wa EFDs
Daisy Technology - The fiscal devices your business needs
Cash Register Manufacturer, Retail Cash Registers, Restaurant Cash Registers, POS Systems
Home page
CASIO 140-CR ELECTRONIC CASH REGISTER RETAIL SHOP TILL | eBay
pt=LH_DefaultDomain_3&hash=item27c87bfaea
Bora tuwe wawazi na wakweli na tukosoe panapofaa kuliko kuingia katika malumbano kati ya hizi pande mbili
Aksante