Nachoshindwa kuelewa mtu ameshaachia ngazi.bado anaandamwa.
Mbona bado alikuwa anatetea kama yeye ni nabii ambae hakosei au umekuwa kipofu kuona thread hii tu kuhusu Dau
Nachoshindwa kuelewa mtu ameshaachia ngazi.bado anaandamwa.
OK CRDB ya bwashee KIMEINani kakuambia Crdb ya uma,ona mlivyo na akili finyu
O nmbona hakuna wabara znssf kwahiyo znssf ni wabaguzi syo?Duh,
Tatizo wagalatia wanajua kila muislamu ni mpemba ....
Ok wafukuzeni wapemba maana wao kwao magengeni na baharini kuvua samaki.....
Hawana hadhi ya kufanya kazi NSSF...
Hapo panawafaa nyinyi Wachaga , Wanyakyusa na Wahaya.
Na wewe tukuite Muimba Kaswida??...Ufisadi gan sasa.
Na vip nyinyi mlipohusisha had makanisa na maaskofu kwenye wizi wa mali za umma kama ule wa escrow?
Au mmesahau?
Shida yenu wengi wenu waimba kwaya mmezoea sana kubebwa.
Mkuu wangu hapo ndiyo uwa nachoka kweli Mods hawataki hawa jamaa wajibiwe lakini wanaruhusu waanzishe uzi.wagalatia bana , haya Dr keshaondoka mleteni mkristo mwenzenu aongoze... ondoeni hao waislam wote,, na hao mnaosema wapemba ... maana ishakuwa shida sasa ....
huko TRA na mashirika mengine mliko jazana wakristo sio udini ...
hii ni zaidi ya upumbavu!...
mods mada kama hizi wanaacha lakini tuki comment upande wa pili wa shilingi mnafuta comment zetu ..
sasa inabidi kila uteuzi kila kitengo alicho muislam tuite UDINI...
JANA NIMEWASAIDIA BAADA YA WAZIRI MKUU KUMKABIDHI ZAWADI YA LAPTOP JABIR NKASEMA HUU NI UDINI IWEJE JABIRI APEWE LAPTOP MKAIFUTA COMMENT HARAKA!! LAKINI ANGEANDIKA MGALATIA INGEACHWA...
Hakuna anaesema nchi ya peke yetu ila hakuna anaekubali kuitwa kafiri au mgalatia ndani ya ofisi za A umma ila yeye dau kwake kuita wenzake hivyo halalng'ombe mko wengi sana humu. Wenye akili za punda na fisi. Mnadhani hii nchi ni yenu peke yenu.
Unabisha upumbavu tu.. sasa kama hampendi shule mnakaa madrasa unategemea hizo kazi kwenye mashirika mngepewa kwa kuimba taraweh? Hoja iliyoletwa na iliyo mezani ni kwamba Dr. Dau ameendekeza udini na kuajiri watu wasiokuwa na vigezo halafu mbaya zaidi ni waislam... kwenye mambo ya operation kwenye taasisi kubwa kama hizo hakuna miujiza mkuu kama umeajiri vilaza usitegemee performance iwe kubwa.
sipati picha yule dr aliyeteuliwa juzi na kutimuliwa angekuwa na jina la kiislamu...wangeandamana nchi nzima
Hapa sasa umezidisha. Hata kama waislamu hamtupendi this is too much. Mimi ni mwanachama wa NSSF na ninavyojua huo utaratibu wa Sugestion Box ulishafutwa zamani. Now wanatumia system ya HappyOrNot. Nimeikuta sana katika ofisi zao za dar es salaam. CHUKI IKIZIDI SANA NI UPOFU
Nilimwona mfanyakazi wao kwenye moja ya majengo yao ulikuwa siku ya jmosi akitoa karatasi kwenye box la maoni nikafikiri anaenda kuziifadhi matokeo yake alienda chamber na kuzichanachana,mm nilikuwa juu kwenye balcon alikuwa hanioni.Hiyo ndio Nssf yetu bhana!;Watu wakiandikiwa Uzi hapa wanasema ni udini.
Zaidi ya Udini ambao naona watu wamejikita(nadhani mtoa mada alikosea hapa, hasa namna alivyowasilisha)...
Kuna ishu nyingine amezizungumzia ambazo ni:
1. UBADDHIRIFU
2. KUSHUKA KWA UFANISI na
3. KUONGEZEKA KWA GHARAMA.
Nadhani watu wangeachana na hilo la Udini na kujikita kwenye hayo matatu..Suala la kuunda Tume ya uchunguzi ama kufanya ukaguzi maalum (special audit) kama ilivopendekezwa na mtoa mada ni la muhimu sana...Matokeo ya haya yataondoa figisufigisu na umbea wote uliopo sasa...
Hivi ikifanyika forensic audit ikagundulika kwamba kulikuwa na ufisadi wa kutisha NSSF mtaficha nyuso zenu wapi?
My advise: In this country anything is possible. Don't forget ule mradi wa daraja la Kigamboni Magufuli aliupinga sana kutokana na costs kuwa inflated ila alipigwa chini na ofisi kubwa!
Watch this space! Usiyemtaka ndo kafika! Nyerere alishawahi kusema..Ukweli unaweza kuuchezea kama unavyotaka..lakini kamwe utajulikana tuu! Yangu macho.
Teh! Teh! Teh! Teh! Hivi Mkuu TBL na CRDB ni mashirika ya Umma nilikuwa sijui kabisaDuuu hata wewe?mnaanza kuwapa point akina Faiza kwa wanayoyasema kwa Chadema kama moja ya maofisa wake unaunga mkono ukaburu!hivi udin ni kuajiri Waislam wengi tu?mbona hamsemi kuhusu ajira za Crdb,Nssf,PPF,TBL nk?