Acha kuwa empty minded na kujitia ujinga kwa makusudi, Huo ukweli mkubwa unaouna ni upi, uthibitisho wa udini wa Dr Dau uko wapi? Je kushuka kwa ufanisi na ubadhirifu? Sefue kashindwa kuthibisha haya akapigwa chini! Huo ukweli unaouona wewe uweke hapa!!Nondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.
Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.
Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Nani kakuambia Crdb ya uma,ona mlivyo na akili finyu
Sawa Muimba Kaswida nimekuelewa...Huwez kuiweka kando hoja ya udini..
Hizo hoja zake zoote ni hoja mama...lazima tuzidiscuss zoote.
Na anaposema kuhusu hoja ya ubadhirifu inapaswa aweke na uthibitisho na siyo kupiga ramli...
Na pia anaposema kuwa Nssf ina underperform anafanya comparison na pension fund gan?
Au anaongea tuh kama. Bata.
Hizo chuki zao za kidini safari hii tutadeal nazo perpendicular..!
Waimba kwaya wamejisahau sana na kudhan kwamba kanisa ndilo lenye hati miliki na nchi hii..
Hii Notion inabid iondoke kichwan mwao na after all hakuna walichokifanya kwa taifa hili zaid zaid ya wiz na ufisadi tuh.
Nyie ni wabaguzi na wadini ndio mana hata chadema imekufaNondo Kama hizi ndio zinahitajika na Idara ya Usalama wa Taifa inapaswa ianzie hapa kupata details za kutosha.
Hapa naona kama kuna ukweli kwa asilimia kubwa.
Hii ni hujuma ya kutisha kabisa kwa shirika nyeti kama NSSF.
Hili ndilo la msingi...Badala ya kumtetea mimi ningefikiria kuwepo TUME huru ya kuchunguza hayo.
huo uclean wadau umeharibiwa na udini wake,ufisadi,project zisizo na tija kwa taifa na matumizi mabaya ya public office.Mnaangalia watu kibaguzi kishenzi na kihusda. Dr Dau ni clean. Tatizo lake ni imani yake. Kila alipo muislam mnanuna na kufitini as if nyie ndio wenye miliki na haki ya kuishi peke yenu.
Hivi Yeriko Nyerere kumbe bado upo?Mada hii washavamia wadini hawa basi na mada ishabadilika
Wadini nyie msiopenda kuona majina ya kina juma. Mnadhani hii ni nchi ya wakristo pekee. Mnadhani hao mnaowabagua ni wajinga na hawaoni.Mada hii washavamia wadini hawa basi na mada ishabadilika
Hili ni la kweli kabisa mkuu,hivi sababu ni nini kwanini hakuna wapangaji mle?Hili la majengo hapa Arusha ni jambo la kweli kabisa yapo majengo mawili moja lipo mkabala round about Kaloleni halina wapangaji 95% na lingine lipo mkabala na Christ church halina wapangaji kabisa yaani hadi unashangaa hizi fedha zetu zinavyochezewa.
Ingawa nakuunga mkono kwa hili andiko lako 100% ila msimamo wako kiujumla haueleweki. Teuzi za bwana JPM ni totaly biased ila always uko kimyaSijawahi kuona Wakirto wana roho za husda na za kibaguzi kama wa Tanzania wao wamejazana kila idara serikalini mashirika ya umma, karibua wizara zote wamejaa Wakisrto watupu lakini wao wanaona sawa wala neno udini alitumiki lakini wakiona Muislam mmoja tu kapewa nafasi serikalini mnaita udini tafsiri yenu udini mnamaanisha Uislam daaha!!!
mkuu kwenye hili hakuna umbeya,sababu mtoa mada nimtumishi wa nssf anayajua mengi na mengi ameyashuhudia.,,,,inshu ya kuajili watu kwa muktadha wa dini ni janga kubwa kuliko hata ubadhirifu.Zaidi ya Udini ambao naona watu wamejikita(nadhani mtoa mada alikosea hapa, hasa namna alivyowasilisha)...
Kuna ishu nyingine amezizungumzia ambazo ni:
1. UBADDHIRIFU
2. KUSHUKA KWA UFANISI na
3. KUONGEZEKA KWA GHARAMA.
Nadhani watu wangeachana na hilo la Udini na kujikita kwenye hayo matatu..Suala la kuunda Tume ya uchunguzi ama kufanya ukaguzi maalum (special audit) kama ilivopendekezwa na mtoa mada ni la muhimu sana...Matokeo ya haya yataondoa figisufigisu na umbea wote uliopo sasa...
Sawa Muimba Kaswida nimekuelewa...
Tuliweke hilo la udini pembeni...Jamaa amekosea sana kulitanguliza hilo la udini..Hajafanya vizuri...
Tujadili haya ya 1. UFISADI, 2. KUSHUKA KWA UFANISI na 3. KUONGEZEKA KWA GHARAMA ZA UENDESHAJI..
Tukiacha hisia za udini pembeni...Hauoni umuhimu wa kuyajadili haya?
mkuu azam sio taasisi ya ummaAzam mbo
Azam mbona kawaajiri mafirauni hatuhoji