Issa SLuu
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 2,303
- 1,804
Acha kuamini kila kitu jishughulishe kufikiri.Nssf kila mwaka ongezeko la wanachama linazidi kukua ukilinganisha na mifuko mingine ya hifadhi ya jamii ambayo iko taabani.huduma bora na ubunifu wa dr dau ndio umechangia shirika kuaminika kila uchwao.
Mjinga Huyo,eti usalama wa taifa wafanyie kazi upuuzi alioleta mleta mada,,,,kwanza inatakiwa mleta mada akamatwe ahojiwe na ubaguzi wake