Tanesco..Tra..Pspf..Lapf..Gepf
Ewura..just to mention but a few of them wamejazana waimba kwaya na wakristo utadhan kuna misa za maombi stil hawaon na hawazungumz kuhusu udini..
Nssf kuongozwa na DG Muislam na kuonekana baadh ya waislam wanaojitambua kuwapo huko imekua nongwa...kutwa kucha mapambio ya chuki na mahubiri ya uhasama hayakomi.
Hamtaki waislam waajiriwe huko mnataka nan sasa waajiriwe?
Nchi hii kwan ni mali ya kanisa?
Na kikubwa zaid ni kwamba mbona mmejazana sana huko na hakuna cha maana mnachofanya zaid zaid ya wizi na ufisadi?
Mkuu mbona Tra alikuwa Rashed Bade na ameondolewa au sababu yule alikuwa hana time yeye anapiga whisky na wine mkaona anafanana na kafiri kama mnavyolabel wenyewe basi hakuna noma tutamwambia magufuri majipu ampeleke Prof Assad au Mzee wa whisky Rashed Bade kidogo mtatulia