Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Nimegundua kitu. Kumbe unajua sana ila Imani yako inakutatiza. Kumbe unajua kuwa Constantine alikuwa mpagani kabla hajawa Mkiristo. Ukijua hii kitu unaweza ukawa unakaribia kuujua ukweli. Sasa unaweza eleza miungu ya baba zake ilikuwa ipi. Tusaidie hilo mkuu.(Nakuomba tena usituwekee link) Itaje tu miungu ya baba zake na Constantine ambaye umemtaja hapo juu na kutoka kwenye hiyo miungu tutajifunza kitu. Tunasubiri tu utaje miungu ya baba zake Constantine ambayo aliahidi kutokuiabudu. Kwa kizungu ''list/mention/name of gods'' Tunasubiri Mkuu wangu
 
Barikiwa mtumishi,endelea kumchambulia Neno ambalo ni ushindi,
 
Lakini ili ibilisi aweze kufanya Kazi zake sawia ni lazima amtumie mwanadamu,plz tuambie mnyama ni nani??
 

You got it wrong. Constantine hakuwa anaabudu miungu yeyote. Ni wewe unaelazimisha Constantine awe na miungu. Yeye alikuwa mfalme kwenye jamii iliyokuwa inaabudu miungu - and again that is an historical fact. Najua utataka kusema kuwa aliabudu mungu jua etc, lakini hiyo ilikuwa ni miungu ya Wagiriki (Wayuyani) na Costanine hakuwa Mgiriki bali Mrumi.
 
Hebu tusaidie wasabato wameachaje mafundisho ya Yesu. Yaani ni fundisho lipi waliloliacha. nahisi kama huelewi maswali vizuri ila hili ni rahisi utalielewa. Taja mafundisho ya ya Yesu ambayo wasabato wameyaacha
Wewe ni Msabato au Mkristo ?
Jibu kwanza hili swali.
 
Yaani wewe unachekesha sana!! Kwa hiyo unaezakusema yeye hakuwa na miungu au mungu. Acha kujidanganya. Yeye aongoze watu wenye kuabudu miungu akiwepo mungu jua na yeye asiabudu.
Kumbuka huyu jamaa alitangaza tu ni Mkiristo lakini hakubatizwa hadi wakati anakaribia kufa ndio akabatizwa
Kwa herufi kubwa kabisa huyo uliyemtaja alikuwa miongoni mwa miungu wake
A Christian who Worshiped the Sun?
''Constantine grew up in the court of the emperor Constantine Chlorus, who was a Neoplatonist and a devotee of the Unconquered Sun. His mother, Empress Helena, was a Christian who traveled through the Middle East searching for key sites connected to Jesus. According to the ancient texts, she was the one who identified the most important places known in the Bible. Young Constantine didn't appear as a follower of his mother's religious interests. He worshiped the Sun, or was devoted to Mithraism''


By Natalia Klimczak

Hide References
References:
Ramsay MacMullen, Christianizing the Roman Empire, 1986
Charles M. Odahl, Constantine and the Christian Empire, 2004.
Michael Grant, Constantine the Great: The Man and His Times,1994.
http://www.biblicalcatholic.com/apologetics/ConstantinePaganChristian.htm
http://sententias.org/2013/05/19/was-constantine-a-christian-or-pagan/
.
 

Angalia reference zako. Source ni Msabato, should I say more? Why don't you seek an alternative source so that you make comparisons? Umeshikiwa akili kwani?
 
Angalia reference zako. Source ni Msabato, should I say more? Why don't you seek an alternative source so that you make comparisons? Umeshikiwa akili kwani?
Mbona wewe hutoi sources zako zinazoonyesha hakuwa mwabudu miungu
 
Ni nani walikuwepo
Matendo ya Mitume 11 : 26 inasema kuwa Wakristo wa Kwanza walijitambulisha kwa mara ya kwanza, katika Mji wa Antiokia, baada ya Yesu Kristo kupaa mbinguni.
Huko nyuma Ukristo haukuwepo kulikuwa na Uyahudi.
Sasa ninyi mnaojiita wa SDA mmetokea wapi ?
Nani aliye wanzisha na lini ?
 

Namsubiri aje hapa aseme aliambiwa na nani kuwa hao Wakristo wa kwanza walikuwa wanasali Jumamosi.
 
Kusoma biblia na kutafasri/ knowledgeable vitu viwili tofauti. Ukifanikiwa kusoma somo la ATR (African traditional religion) inaweza kukusaidia kidogo. Tatizo la wasabato badala ya kuhuburi neno/ injili wao wako busy kukashifu imani za wengine. Na ukiona dhehebu/ mtu fulani anakashifu imani ya mwingine tambua mapema ana taarifa za kutosha na nirahisi kurubuniwa.
 
acha wizu wa kiboya wewe.. Pambaneni na hali yenu... Hao mnaoshinda kwenye mitandao kuwachafu, ndio wanabarikiwa kila siku na mwenyezi Mungu, nyie mnabaki makapuku na majungu yenu..! Pambavu kabisa wewe.
Povu la nini?

Anayewachafua basi wakwanza ni Mungu mwenyewe

Tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa, kwa maana wameziasi sheria, wameibadili amri, wamelivunja agano la milele". ISAYA 24:3-5.

NDIO MAANA MNAHANGAIKA SASA HIVI NA USHOGA , NA HAMTAFANIKIWA MAANA MMEZIASI SHERIA NA MMEIBADILI AMRI YA MUNGU

MUNGU KASEMA ikumbuke siku ya sabato..

PAPA KASEMA shika kitakatifu siku ya DOMINICA
 
Wewe ni Msabato au Mkristo ?
Jibu kwanza hili swali.
Hivi wewe unadhani kuabudu ibada ya jumapili

Kufanya ibada za wafu

Kunywa pombe usilewe

Kufanya siku kuu za kipagani kama x mass ,easter

Kuabudu masanamu

Kupata komunyo

Na mapokeo mengine ya ROMA

ndio UKRISTO?

HEBU NIAMBIE UKRISTO NI NINI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…