Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Hapana. Naelewa Kiswahili tena vizuri tu. Ila nahitaji uandike kwa Kiingereza ili nipime uelewa wako (maana reference nyingi ni za Kiingereza). Nakuruhusu utumie hata wiki moja.
Hahahha wewe jamaa akili yako fupi sana, yaan unipime kwa kingereza mimi?

Hebu jibu maswali yangu hapa tena kwa kiswahili kila mtu aone

MNYAMA NI NINI

PEMBE NI NINI

BAHARI NI NINI

VICHWA 7 NI NINI

JE UISLMU UNAHUSIKAJE NA HAYO MANENO

HAYA TWENDE KAZI,

Nimekuuliza kwa kiswahili jibu kwa kiswahili

USITAFUTE KICHAKA ,
 
Hapana hujajibu swali langu nililo kuuliza.
Naomba aya inayo watambulisha
Seventh Day Adventist kwenye biblia.
SDA IN THE BIBLE PROPHECY

"Ndipo yule Joka [Ibilisi] akamkasirikia sana
yule mwanamke [Kanisa la Mungu], akaenda
zake afanye vita dhidi ya wazao wake waliosalia
- wale wanaozitii amri za Mungu na kuwa na
ushuhuda wa Yesu." - (Ufunuo 12:17).

UTANIAMBIA NI KANISA GANI LINATII AMRI ZOTE KUMI NA KUZIFUNDISHA NA LINA USHUHUDA(ROHO YA UNABII) KATIKA HIZI SIKU ZA MWISHO , KAMA SIO SDA TU, MAANA MAKANISA MENGINE YOTE YAMEREJEA KWA MAMA.YAO ROMAN CATHOLIC NA YANAZIDI KUMTUKUZA KWA KUKUMBATIA AMRI ZAKE FAKE NA MAPOKEO IKIWEPO IBADA YA JUMAPILI, IBADA ZA SANAMU N.K



Unabii huu unalenga katika siku zetu hizi. Shetani
amekasirika sana; anafanya vita dhidi ya wazao
wa mwanamke waliosalia" - yaani, dhidi ya watu
wa Mungu wa siku hizi. Angalia alama zao
zinazowatambulisha:
(1)Waumini hao wa siku za mwisho wanao
"ushuhuda wa Yesu." Kwa uaminifu
wakiyang'ang'ania mafundisho safi ya Neno la
Mungu, wanamshuhudia Yesu kwa njia ya maisha
yao yenye nguvu nyingi ya Kikristo.
(2) Wakristo hao wa siku za mwisho ni watu wa
unabii. Kuupokea ule "ushuhuda wa Yesu Kristo"
kulimwezesha Yohana kukiandika kitabu kile cha
Ufunuo (Ufunuo 1:1-3). Kundi hilo la mwisho la
waumini linapokea karama ile ile: yaani, ushuhuda
wa moja kwa moja toka kwa Mungu kupitia kwa
mjumbe wa kibinadamu. Karama yao ya unabii
inalenga juu ya ufunuo wa Mungu kuhusu utume
wao na mwisho wao.
(3) Wakristo hao wa siku hizi za mwisho
wanatambulikana pia kama "wale wanaozitii Amri
[kumi] za Mungu." Hawatetei tu ukamilifu wa
hizo Amri Kumi, bali wanazitii pia. Upendo wa
Mugu ulio mioyoni mwao unawaletea utii
unaotolewa kwa moyo wa furaha (Warumi 5:5;
13:8-10).
Wakristo hao wa siku hizi za mwisho wanakifuata
kielelezo cha Kristo na cha kanisa lile la kwanza
kwa kuzitii amri [kumi] za Mungu. Jambo hilo
linamkasirisha vibaya sana yule Joka - yaani, yule
Ibilisi. Naye anapigana vita dhidi ya "wazao" wa
mwanamke "waliosalia" kwa sababu wanatoa
ushuhuda kwamba upendo wao kwa Mungu
unawafanya wafuasi wake hao kuwa watii. Kama
vile Kristo alivyoagiza, aliposema:
"Mkinipenda, mtazishika amri zangu" - Yohana
14:15.
Maisha ya Wakristo hao wa siku hizi za mwisho
yanaonyesha kwamba uwezekano upo wa
kumpenda Mungu kwa mioyo yetu yote na
kuwapenda wenzetu kama sisi tunavyojipenda
wenyewe. Kulingana na maneno ya Yesu, sifa hizo
za tabia, yaani, upendo kwa Mungu na upendo
kwa watu, hufanya muhtasari wa Amri kumi za
Mungu (Mathayo 22:35-40).
Ya nne katika hizo amri inatutaka sisi kuitunza
Jumamosi, siku ya saba ya juma, kama Sabato.
Kwa kuwa upendo wao kwa Yesu umezitia ndani
ya mioyo yao amri zote kumi [Ebr. 8:10; Kut.
20:3-17; Yak. 2:10-12], basi, Wakristo hao wa
siku hizi za mwisho ni Wasabato.
Sabato ndicho kiini cha ujumbe wa mwisho wa
Mungu kwa watu wake katika kitabu cha Ufunuo,
sura ya 12 na 14:6-15. Nguvu zote za mbinguni
zinajipanga nyuma ya Wakristo hao wa siku hizi
za mwisho walioelezwa katika sura hizo.
Mwokozi wao aliye hai ndiye rafiki yao daima, na
Roho Mtakatifu anafanya kazi yake "kuwafanya
imara kwa nguvu katika utu wao wa ndani."
Ahadi yake ni ya hakika. WATAmshinda Shetani
"kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la
ushuhuda wao" (Ufunuo 12:11).
Je! unataka kuwa mmoja wa Wakristo hao wa
siku hizi za mwisho ambao "wanazitii amri [kumi]
za Mungu" tena wa"na ushuhuda wa Yesu"? Kwa
nini usikate shauri sasa hivi?
FB_IMG_1541791370057.jpeg
 
Hapana hujajibu swali langu nililo kuuliza.
Naomba aya inayo watambulisha
Seventh Day Adventist kwenye biblia.

Jamaa yangu; tuachane na hii masalia maana haijielewi hii kitu (angekuwa mtu angeelewa anachoambiwa). We are probably communicating with a robot that has no thinking ability.
 
😂😂😂😂 Mimi nabaki kuwa mwangalizi tu nawalindia Amani maanamsabato yupo Radhi kutunga uongo wowote kumhusu Papa ila Aweza mtetea muislam ....ila kuhusu 666 Wote mnaofundshwa ni fulan basi mpo shimoni Mnatakiwa mkasome Lugha asili ya kitabu chaBiblia ili muone Ellen Avyowaingza chaka.............. Nawapongeza Waislam Kwa kuwa Quran Yao inaelewekaKwaLugha Asilia Ivo hawakhitilifian sana. Japo na pamoja na. Hayo Wanatakiwa Wampate. bwana Yesu ili Wawe na. uhakika. Na Usafir wakuelekea Mbingun
 
Jamaa yangu; tuachane na hii masalia maana haijielewi hii kitu (angekuwa mtu angeelewa anachoambiwa). We are probably communicating with a robot that has no thinking ability.
Asante,
Ninaitii hekima yako,
Huyo Roboti kila nikimwuliza Seventh Day Adventist ninini, anabaki anahangaika tu.
Kama haipo kwenye Biblia si anajibu tu haipo, kwani kuna shida gani.
Sasa mtu anaionea aibu dini yake ata aminikaje na watu wenye busara tele.
Nami naachana naye Rasmi.
 
Mimi nabaki kuwa mwangalizi tu nawalindia Amani maanamsabato yupo Radhi kutunga uongo wowote kumhusu Papa ila Aweza mtetea muislam ....ila kuhusu 666 Wote mnaofundshwa ni fulan basi mpo shimoni Mnatakiwa mkasome Lugha asili ya kitabu chaBiblia ili muone Ellen Avyowaingza chaka.............. Nawapongeza Waislam Kwa kuwa Quran Yao inaelewekaKwaLugha Asilia Ivo hawakhitilifian sana. Japo na pamoja na. Hayo Wanatakiwa Wampate. bwana Yesu ili Wawe na. uhakika. Na Usafir wakuelekea Mbingun
ACHA UONGO, LETA USHAHID AU MANENO AMBAYO UPAPA UMESINGIZIWA LETA HAPA ,TUTAKUTHIBITISHIA

NA USICHOKIJUA UISLAMU NI.DHEHEBU LA UKATOLIKI

MKIAMBIWA UKWELI MNAKIMBILIA MMETUKANWA, MIMI NASEMA BASI

MUNGU ndie wa kwanza kuwatukana
...

inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu; Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema “wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani, “Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).
FB_IMG_1540120884074.jpeg
 
😂😂😂😂 Mimi nabaki kuwa mwangalizi tu nawalindia Amani maanamsabato yupo Radhi kutunga uongo wowote kumhusu Papa ila Aweza mtetea muislam ....ila kuhusu 666 Wote mnaofundshwa ni fulan basi mpo shimoni Mnatakiwa mkasome Lugha asili ya kitabu chaBiblia ili muone Ellen Avyowaingza chaka.............. Nawapongeza Waislam Kwa kuwa Quran Yao inaelewekaKwaLugha Asilia Ivo hawakhitilifian sana. Japo na pamoja na. Hayo Wanatakiwa Wampate. bwana Yesu ili Wawe na. uhakika. Na Usafir wakuelekea Mbingun

😀
 
ACHA UONGO, LETA USHAHID AU MANENO AMBAYO UPAPA UMESINGIZIWA LETA HAPA ,TUTAKUTHIBITISHIA

NA USICHOKIJUA UISLAMU NI.DHEHEBU LA UKATOLIKI

MKIAMBIWA UKWELI MNAKIMBILIA MMETUKANWA, MIMI NASEMA BASI

MUNGU ndie wa kwanza kuwatukana
...

inajulikana wazi kwamba kiti cha upapa kilitoka katika upagani wa Uislamu; Alexander Hislop, akizungumza juu ya kiti cha enzi cha Petro au kiti cha enzi anachokalia Papa, anasema “wakati askari wa Ufaransa chini ya Jemedari Bonaparte walipoimiliki Roma mwaka 1795, walikuta nyuma yake, kwa Kiarabu, sentensi hii inayojulikana sana kutoka kwenye Korani, “Hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu, na Mohhomed ni Mtume Wake” — (The Two Babylons, Page 213, Chapter 6, Religious Orders, Section L).View attachment 928078
Mimi Sina mda wa kubishana na Msabato Maana Kwanza Ameambiwa Mbinguni kuna Wasabato ...ihali Biblia inasema Wako Watakatifu tu Wala si wakatoliki waislam wala walokole..


Huo mda wa kushindana na mtu anaeshadia Uongo Sinaa. ila usipofungua Akili utakufa kwa kuendelea kutetea uongo wa Ellen na Kanisa lake.


Wengi Wamekufa na walitegemea kushuhudia uongo wa Ellen Kutmia ingawa hawakujua kuwa ni uongo basi watoto wao walirithi na kuendeleza utetez huo wauingo naww ivoivo utakufa na watoto wako wakija usabatoni watakufa kwa kuendelea kutetea uongo wa ellen hadi Yesu Atakaporud atawakuta Wapo Wanaoendelea kuutetea.


Kuhusu Uisla kuwa Ukatoliki huo ni umama mtu kumladhimisha Akubali ivo! Maana huna ushahid wowote ...muislam Anatumia Quran Na Mkatolik Anatumia Biblia.

Hakuna dhiki Kuu zaidi Ya walioipitia Mitume stop!

Hakuna Mnyama Wa 666 Zaidi Ya yule aliewatesa mitume Stop!

Hakuna Kahaba mkuu Zaidi ya mji wa zaman wa Yerusalem stoo!
 
Mimi Sina mda wa kubishana na Msabato Maana Kwanza Ameambiwa Mbinguni kuna Wasabato ...ihali Biblia inasema Wako Watakatifu tu Wala si wakatoliki waislam wala walokole..


Huo mda wa kushindana na mtu anaeshadia Uongo Sinaa. ila usipofungua Akili utakufa kwa kuendelea kutetea uongo wa Ellen na Kanisa lake.


Wengi Wamekufa na walitegemea kushuhudia uongo wa Ellen Kutmia ingawa hawakujua kuwa ni uongo basi watoto wao walirithi na kuendeleza utetez huo wauingo naww ivoivo utakufa na watoto wako wakija usabatoni watakufa kwa kuendelea kutetea uongo wa ellen hadi Yesu Atakaporud atawakuta Wapo Wanaoendelea kuutetea.


Kuhusu Uisla kuwa Ukatoliki huo ni umama mtu kumladhimisha Akubali ivo! Maana huna ushahid wowote ...muislam Anatumia Quran Na Mkatolik Anatumia Biblia.

Hakuna dhiki Kuu zaidi Ya walioipitia Mitume stop!

Hakuna Mnyama Wa 666 Zaidi Ya yule aliewatesa mitume Stop!

Hakuna Kahaba mkuu Zaidi ya mji wa zaman wa Yerusalem stoo!
Hujui.kitu zaidi UMEMEZESHWA UONGO, NINGEKUONA UNA AKILI UNGEKUJA NA MAANDIKO
 
Hujui.kitu zaidi UMEMEZESHWA UONGO, NINGEKUONA UNA AKILI UNGEKUJA NA MAANDIKO
Yote niliyoyaandka hapa nimetoa kweny maandko sema kumbe hata Biblia husomi hadi upewe Namba za Vesers na Aya ...basi sema andko gani unataka hapo nikulete
 
Yote niliyoyaandka hapa nimetoa kweny maandko sema kumbe hata Biblia husomi hadi upewe Namba za Vesers na Aya ...basi sema andko gani unataka hapo nikulete
Eti umetoa kwenye biblia ,

Sema aya gani , acha uongo ,

Mmezoea kudanganywa na mnataka kudanganya,
 
MCHENI MUNGU NA KUZISHIKA AMRI ZAKE

Dunia inaomboleza,inazimia,ulimwengu unadhoofika,unazimia,watu wakuu wa dunia wanadhoofika.tena dunia imetiwa unajisi kwa watu wanaoikaa,kwa maana wameziasi sheria,wameibadili amri.wamelivunja agano la milele.Ndiyo sababu laana imeila dunia hii,na watu wanaoikaa wameonekana kuwa na hatia,ndiyo sababu watu wanaoikaa dunia wameteketea,watu waliosalia wakawa wachache tu” ISAYA 24:4-6
Mpendwa i,tafakari sana aya hizi

unaweza kuungana na kile maandiko yanachoonyesha kuhusu hali halisi ya Dunia yetu hii leo.

Laana inaila dunia yetu hii leo kwa sababu zifuatazo
1. “Wameziasi sheria”
2. “Wameibadili amri”
3. “wamelivunja agano la milele”
Hivyo katika waraka huu, mungu anahitaji kutuonyesha namna ya kuepukana na laana hiyo.ila tu nai mpaka pale tutakapogundua mambo yafuatayo:-
1. Amri hizo za Mungu ni zipi?na ni ngapi?
2. Amri hizo za Mungu ni za muhimu mpaka sasa?(kizazi hiki)
3. Amri hizo za Mungu,kila mtu anapaswa kuzijua na kuzitii?

Na anawajibishwa kwa kutozifahamu au kuzivunja? Kwa hayo na yanayotokana na hayo ndiyo lengo la waraka huu. Mungu akubariki unaposoma Neno Lake
FB_IMG_1541730363955.jpeg
 
Yote niliyoyaandka hapa nimetoa kweny maandko sema kumbe hata Biblia husomi hadi upewe Namba za Vesers na Aya ...basi sema andko gani unataka hapo nikulete
Itakuwa maandiko ya katekisimu ya papa
 
MFAHAMU KAHABA MKUU WA UFUNUO 17

Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17

anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii: “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.”

Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18. Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao], mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,”

kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo. Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.
FB_IMG_1541822831781.jpeg
 
MFAHAMU KAHABA MKUU WA UFUNUO 17

Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17

anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii: “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.”

Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18. Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao], mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,”

kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo. Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.View attachment 928353
Shida yako ni moja tu

Mahaba ya kidini yamevuka mpaka na upofu umekuzonga
 
Mkiambiwa ukweli mnaumia
Ukweli gani mpya..!? mpaka iniume...!
Nipinge kwa hoja ,mimi sinaga mahaba kwenye dini, mimi natwanga tu
Sijaona hoja mpaka niipinge

Zaidi ya masimulizi ya mang'amung'amu ya Njozi aliyoota mtu kweusi uko

Wewe unaangaika nayo 2018 unaona ni unabii
 
Ukweli gani mpya..!? mpaka iniume...!
Sijaona hoja mpaka niipinge

Zaidi ya masimulizi ya mang'amung'amu ya Njozi aliyoota mtu kweusi uko

Wewe unaangaika nayo 2018 unaona ni unabii
Ninyi ni wa ibilisi na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzifanya ,yeye alikuwa muongo toka mwanzo
 
Ninyi ni wa ibilisi na tamaa za baba yenu ndizo mpendazo kuzifanya ,yeye alikuwa muongo toka mwanzo
Hujielewi wewe

Ibilisi wa kwanza mkubwa mkubwa kabla yangu mimi na wengine ni Mungu wako

Iliyejigeuza nyoka edeni akamlaghai hawa halafu jisalaba akamdondoshea kaka yetu Shetani

Tena huyo huyo aliyesema kuua ni dhambi muda mfupi baadaye akasahau akaamuru watu wake waue kizazi cha kanan karibia chote mpaka na kuku

Nahisi mimi na kaka yetu Shetani tulijifunza kwake roho mbaya
 
Mkiambiwa ukweli mnaumia

Nipinge kwa hoja ,mimi sinaga mahaba kwenye dini, mimi natwanga tu
Vipi pumzi imeisha...!?

Nataka ukatae shutuma zangu kwa hoja nije na level 2
 
Back
Top Bottom