Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Vipi pumzi imeisha...!?

Nataka ukatae shutuma zangu kwa hoja nije na level 2
Kuna shutuma yoyote hapo

Sinimewauliza maswali humu kupinga kuwa upapa sio MNYAMA mekimbia mnaleta matusi
 
Ukweli gani mpya..!? mpaka iniume...!
Sijaona hoja mpaka niipinge

Zaidi ya masimulizi ya mang'amung'amu ya Njozi aliyoota mtu kweusi uko

Wewe unaangaika nayo 2018 unaona ni unabii
Kumbe najadili na ma ATHEIST

Kama hauamini hata uwepo Wa MUNGU , HUAMINI BIBLIA , utajadili nini na mimi?

Wewe subir siku unapokata pumzi , NDIO UTAELEWA
 
Kuna shutuma yoyote hapo

Sinimewauliza maswali humu kupinga kuwa upapa sio MNYAMA mekimbia mnaleta matusi
Nishakujibu kuwa ni maluweluwe yanayotokana na njaa ndani ya gereza

Huoni hata kufananisha wanyama alikuwa anashindwa..!

Mara nyoka mwenye pembe saba_ mara kiumbe mfano wa chui naye ana pembe_mara mwanakondoo mwenye pembe mbili_mara kondoo huyo huyo kapata kibali cha kufungua miuri... Ovyooo

Kuielewa Njozi hiyo lazima ujitoe akili
 
Kumbe najadili na ma ATHEIST

Kama hauamini hata uwepo Wa MUNGU , HUAMINI BIBLIA , utajadili nini na mimi?

Wewe subir siku unapokata pumzi , NDIO UTAELEWA
Na ingekuwa uyo Mungu anaeleweka kwa kitabu kama hicho

Sidhani kama kungekuwa na mkristo
 
Nishakujibu kuwa ni maluweluwe yanayotokana na njaa ndani ya gereza

Huoni hata kufananisha wanyama alikuwa anashindwa..!

Mara nyoka mwenye pembe saba_ mara kiumbe mfano wa chui naye ana pembe_mara mwanakondoo mwenye pembe mbili_mara kondoo huyo huyo kapata kibali cha kufungua miuri... Ovyooo

Kuielewa Njozi hiyo lazima ujitoe akili
Kazi ipo🙂🙂🙂 Kama Sauli/Paulo alokolewa naamini hata wewe utaokolewa kwa Neeama ya Mungu
 
MFAHAMU KAHABA MKUU WA UFUNUO 17

Mwanamke (yule Babeli) wa Ufunuo 17

anaelezwa kuwa “alikuwa amevikwa nguo ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. Na katika kipaji cha uso wake alikuwa na jina limeandikwa, Siri [2 The. 2:7], Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba” [Ufu. 17:5, KJV].

Asema hivi yule Nabii: “Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu.”

Babeli anatangazwa tena kuwa ni “mji ule mkubwa wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.” Ufunuo 17:4-6,18. Mamlaka ile iliyodumisha utawala wake wa kidikteta juu ya wafalme wa Ulimwengu ule wa Kikristo kwa karne nyingi ni Roma. Rangi ile ya zambarau na nyekundu, dhahabu na kito cha thamani, na lulu, huonyesha waziwazi picha ya utukufu wake na fahari yake iliyozidi ile ya kifalme [angalia pia rangi za sare za viongozi na mapambo yao], mambo ambayo jimbo lile la Roma ( Vatikani), lenye majivuno makuu, lilijigamba kuwa nayo. Wala hakuna mamlaka [serikali] nyingine ambayo kweli ingetangazwa kuwa ilikuwa imelewa kwa damu ya watakatifu,”

kama ya kanisa lile ambalo kwa ukatili mbaya sana limewatesa wafuasi wake Kristo. Babeli pia anashtakiwa kwa dhambi ya kuungana isivyo halali [kuzini] na “wafalme wa nchi.” Ilikuwa ni kwa njia ya kujitenga mbali na Bwana, na kuungana na washenzi [wapagani], ndipo kanisa lile la Kiyahudi likageuka na kuwa kahaba [Soma Ezekieli 23]; naye Roma [kama kanisa], akifanya uasherati [ukahaba] unaolandana kabisa na ule na kutafuta msaada [kuungwa mkono] toka kwa mamlaka [serikali] zile za kidunia, anapata lawama iyo hiyo.View attachment 928353
Mkuu Mimi Nakuonea Huruma Sana kwa kuwa umeuvika Ubongo wako Wingi la mafundsho ya Ellen Basi Ngoj nikuache maana Yohana Anasema Mwanamke Kahaba ni Mji ww unasema Ni Kanisa inabid watu wanaoptia uzi huu wang'amue tu wenyewe wAfuate unayosema ww au Yohana
 
Mkuu Mimi Nakuonea Huruma Sana kwa kuwa umeuvika Ubongo wako Wingi la mafundsho ya Ellen Basi Ngoj nikuache maana Yohana Anasema Mwanamke Kahaba ni Mji ww unasema Ni Kanisa inabid watu wanaoptia uzi huu wang'amue tu wenyewe wAfuate unayosema ww au Yohana
Kweli wewe biblia huijui

Mwanamke ni kanisa kwa mujibu wa biblia

Huyo mwanamke Yohana anasema anakaa kwenye mji wenye vilima 7

Sasa utajiuliza ni kanisa gan linakaa kwenye Mji wenye vilima 7
 
Mkuu Mimi Nakuonea Huruma Sana kwa kuwa umeuvika Ubongo wako Wingi la mafundsho ya Ellen Basi Ngoj nikuache maana Yohana Anasema Mwanamke Kahaba ni Mji ww unasema Ni Kanisa inabid watu wanaoptia uzi huu wang'amue tu wenyewe wAfuate unayosema ww au Yohana
UNGEANZA KUJIONEA HURUMA WEWE AMBAYE UMEPOTEA , MAANA INAONESHA BIBLIA HUSOMI ILA UNASOMEWA

BIBLIA IPO WAZI MWANAMKE HUYO NI NANI

FUNGU 1: “Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi;”

Mwanamke katika unabii huwakilisha kanisa (angalia Ufunuo 19:7; 21:2; na 2 Wakorinto 11:2). Katika kitabu cha Ufunuo sura ya 12 ametajwa mwanamke safi ambaye anawakilisha kanisa la kweli la Mungu, lakini mwanamke anayezungumziwa katika Ufunuo 17 ni mchafu na ametajawa kama Kahaba. Mwanamke huyu anawakilisha kanisa ambalo limeacha kumtii Mungu na amri zake, na likafanya uzinzi na shetani kwa kufuata maagizo yake.

Kahaba Mkuu: Hii wakati inapotumika katika unabii, ni mfano unaowakilisha kanisa ambalo limeachia kutii Neno la Mungu na badala yake linatii neno la shetani. Mfano huu siku zote hutumika kuwalenga watu ambao walikuwa kama jumuiya wakitumiwa na Mungu kufanya mapenzi yake, lakini wakaiacha njia yake na wakaachia kuisikiza sauti yake na kufuata uovu. Wayahudi katika historia yao katika Agano la Kale walitangazwa mara nyingi kuwa kahaba, kila walipoacha kufuata maagizo ya Mungu. Yeremia alisema: “Tena, Bwana akaniambia siku za mfalme Yosia, Je! Umeyaona aliyotenda Israeli mwenye kuasi? Amepanda juu ya kila mlima mrefu, akafanya huko mambo ya ukahaba, tena, chini ya kila mti wenye majani mabichi. 7 Nami nalisema baada ya yeye kuyatenda hayo yote, Atanirudia mimi, lakini hakurudi;. . . 8 Nami nikaona, wakati nilipokuwa nimemwacha Israeli mwenye kuasi, nikampa hati ya talaka kwa sababu hiyo ya kuzini, dada yake, Yuda mwenye hiana, hakufanya hofu; bali yeye naye akaenda akafanya mambo ya ukahaba. 9 Hata ikawa, kwa sababu alikuwa mwepesi wa kufanya ukahaba, nchi ikatiwa unajisi, naye akazini na mawe na miti.” (3:6-9; angalia pia Ezekieli 16,17 na Hosea 2).

Kwa hiyo mfumo wa kanisa kuitwa Kahaba, inaonyesha kuwa kama jumuiya wameasi kutoka katika uongozi wa Mungu, na wanafuata njia zao wenyewe wala hawasikilizi sauti ya Mungu wala kutii amri zake na maagizo yake. Na kwa kuwa malaika hapa anatumia neno “kahaba mkuu” hii inaonyesha wazi kwamba kuna makahaba wengine wengi ambao ni mifumo ya makanisa ya leo yaliyoasi kutoka kwenye ukweli wa neno la Mungu na kufuata mapokeo ya wanadamu. Hii imethibitishwa katika fungu la 5 ambapo huyu kahaba mkuu ametajwa kama “MAMA WA MAKAHABA”, hii inaweza pekee kumaanisha kwamba hawa makahaba wengine ambao ni binti zake wameanguka kutoka katika njia ya Mungu kwa sababu ya kufuata njia za kahaba huyu, na ndio maana ni mama yao na ni kahaba mkuu kwao.

Kanisa katoliki hujiita mama wamakanisa. Katika barua waliotumiwa maaskofu wote wa ulimwengu, Cardinal Joseph Ratzinger aliandika hivi: "Yapasa izidi kueleweka waziwazi ya kwamba kanisa moja lilio takatifu, la kikatoliki na la mitume linalozaa dunia nzima, hilo sio dada bali ni mama wa makanisa yote" (Daily telegraph, September 4, 2000).

Matangazo ya aina hii huchangia kuhakikisha ya kwamba kanisa katoliki ndilo linalo utimiza unabii wa Ufunuo 17:5.


NAKUSIHI JIONEE HURUMA WEWE , AMBAYE HUWEZI KUSOMA BIBLIA MWENYEWE MPAKA USOMEWE NA PADRI
 
Wasabato hujenga msingi wao kwenye kitabu cha ufunuo
Biblia nzima

Ila kwakuwa wengi kitabu cha ufunuo na danieli hamkielewi ,zaid ya wasabato waliofunuliwa ,huwa mnadhan wanajenga huko tu

Makanisa yote yaliyoasi hutayasikia yakizungumzia hivo vitabu maana hawavielewi na vinawasonta wao

Zaid mtahubiriwa injiri laini, na kuambiwa mtoe sadaka za mavuno
 
Dunia yote inamwinamia mnyama

Ufunuo 13:3,4 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule. 4 Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye?”
Unabii unatabiri kwaba baada ya mnyama kupata jeraha la mauti katika kichwa chake kimoja, na jeraha hilo kupona, ndipo dunia yote ingemstaajabia mnyama huyo na kumwabudu. Kama ushahidi wa historia na Biblia unavyosema wazi kwamba mnyama huyu ni upapa wa kanisa la Romani Katholiki ambao ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 b. k., wakati jemedari Berithier alipoenda na majeshi yake kuuondoa upapa madarakani, papa alichukuliwa mateka na mwaka uliofuata, 1799, alikufa. Lakini unabii pia ulikuwa umetabiri kuwa mnyama huyu Roma, baada ya kupata jeraha la mauti kwenye ichwa chake kimoja ambacho ni Vatican, hatimaye tena jeraha hilo la mauti lingepona. Kama Neno la Mungu ambavyo haliwezi kukosea, tunaona jeraha hilo la mauti lililosababisha serikali ya Vatican na upapa kuangamizwa, lilipona mwaka 1929 b.k, ambapo Vatican na upapa walirudishiwa tena nguvu za kiserikali na papa akawa na mamlaka tena ya kutawala kanisa na serikali kwa wakati mmoja kwamba upapa kwa hakika ulipokea jeraha la mauti na jeraha hilo lilipona mwaka 1929 kama Biblia ilivyotabiri.
FB_IMG_1541823734968.jpeg
 
Haha,Mimi sina hata kaubavu ka kushindana,ila huyu mnyama anaeongelewa anataka kushindana na Mungu,kama vile ana,test vile,,,ila ATAJUA -HAJUI, !!!!!
Wewe pia waweza shindana na Mungu kama hulifuati Neno lake inavyopasika.
Wengi mnatoa macho kuonesha vibanzi kwenye macho ya wengine huku mkiacha maboliti kwenye macho yenu.
Neno la Mungu linasema wazi kabisa kuwa, kila mtu amefanya dhambi mbele za Mungu na anahitaji msamaha wake ili aweze kuurithi ufalme wa Mbingu.
Linasisitiza pia kuwa Mtakatifu ni Mungu peke yake.
Sisi tuna washaanga baadhi yenu mnaojiona ni wadilifu sana na Watakatifu na kujipa haki ya kuhukumu wengine hali ya kuwa Neno linawaonya mara nyingi kuto jivika vazi la ujaji mbele za Mungu.
Mmeyasahau kabisa maboriti katika macho yenu na kuanza kurukia vibanzi kwenye mboni za wenzenu.
 
Wewe pia waweza shindana na Mungu kama hulifuati Neno lake inavyopasika.
Wengi mnatoa macho kuonesha vibanzi kwenye macho ya wengine huku mkiacha maboliti kwenye macho yenu.
Neno la Mungu linasema wazi kabisa kuwa, kila mtu amefanya dhambi mbele za Mungu na anahitaji msamaha wake ili aweze kuurithi ufalme wa Mbingu.
Linasisitiza pia kuwa Mtakatifu ni Mungu peke yake.
Sisi tuna washaanga baadhi yenu mnaojiona ni wadilifu sana na Watakatifu na kujipa haki ya kuhukumu wengine hali ya kuwa Neno linawaonya mara nyingi kuto jivika vazi la ujaji mbele za Mungu.
Mmeyasahau kabisa maboriti katika macho yenu na kuanza kurukia vibanzi kwenye mboni za wenzenu.
Hivi mtu akikuonya na kukuambia kuwa unakosea kuasi amr za Mungu, unakosea kuabudu masanamu, anakuwa amekuhukumu?

Au hujui maana ya kuhukumu
 
Angalia reference zako. Source ni Msabato, should I say more? Why don't you seek an alternative source so that you make comparisons? Umeshikiwa akili kwani?

Here is a quote about Constantine that comes from the web site shown below:
" History readily records that Constantine was a sun-worshiper. In one decree he declared, "On the venerable Day of the Sun let the magistrates and people residing in cities rest, and let all workshops be closed" (March 7, 321). He made this decree in honor of the sun after his supposed conversion to Christianity! Constantine, even after his "conversion," remained a pagan"

History records that Constantine was baptized just prior to his death. Many people doubt that he was truly converted.

You can read more about him at: http://www.marytruth.com/home/constantine-cover-up-and-sun-worship

Another web site ( https://www.allaboutjesuschrist.org/emperor-constantine-faq.htm ) says " He worshipped the pantheon of Roman gods as all his predecessors had done and especially the Roman sun god, Sol".

You can also read more about Constantine on Wikipedia: https://en.wikipedia.org/wiki/Religious_policies_of_Constantine_I

I hope these articles are helpful. May the Eternal God guide you into all truth,
 
Unatarajia elimu yako ambayo effectively ni sawa na ya darasa la saba la shule za siku hizi uelewe concept inayostahili angalau uwe na effective education of at least a proper diploma?
Your intellectual capacity is simply too low to comprehend what am presenting here. Kawatafute wachungaji wako wakutafsirie (na utafute mchungaji at least mwenye degree ya theology) maana wewe hutaelewa kitu. HUNA UWEZO HUO KUELEWA NILICHOANDIKA HAPA!
Most likely na wewe ni mmoja wa wale sabato masalia mliokaa airport mnasubiri muujiza wa kwenda "kuhubiri" Ulaya bila passport, viza wala nauli.

Ciao!
Unamaanisha mtu wa darasa la saba hatakiwi kujua Imani yake na kuilezea kwa wasioijua?
Ufunuo 1 fungu la 3 inasema
Ufunuo 1:3 Mwenye furaha+ ni yeye anayesoma kwa sauti+ na wale wanaosikia maneno ya unabii huu,+ na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo;+ kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.
hivyo hata wasio na elimu wanaweza kusomewa na roho mtakatifu akafanya kazi yake
 
Here is a quote about Constantine that comes from the web site shown below:
" History readily records that Constantine was a sun-worshiper. In one decree he declared, "On the venerable Day of the Sun let the magistrates and people residing in cities rest, and let all workshops be closed" (March 7, 321). He made this decree in honor of the sun after his supposed conversion to Christianity! Constantine, even after his "conversion," remained a pagan"

History records that Constantine was baptized just prior to his death. Many people doubt that he was truly converted.

You can read more about him at: http://www.marytruth.com/home/constantine-cover-up-and-sun-worship

Another web site ( https://www.allaboutjesuschrist.org/emperor-constantine-faq.htm ) says " He worshipped the pantheon of Roman gods as all his predecessors had done and especially the Roman sun god, Sol".

You can also read more about Constantine on Wikipedia: https://en.wikipedia.org/wiki/Religious_policies_of_Constantine_I

I hope these articles are helpful. May the Eternal God guide you into all truth,

References zako zote ni za source ile ile. Ni sawa na mtu awaulize watu 10 na wote wakiwa ni wapenzi wa Simba kuhusu Yanga halafu a-justify kwa kusema "unaona; wote hawa niliowauliza wajibu hivyo hivyo, kwa hiyo hilo jambo lazima liwe la ukweli". That is a fallacy my friend.
Tatizo la Wasabato ni moja; kupuuza ushahidi mwingine. Sifa za Mpinga Kristo zipo nyingi (na lazima zote zilizotajwa zihusike bila kuacha hata moja). Kanisa Katoliki linahusishwa na dola ya Kirumi na hicho pekee mlichokishikilia huku mkiacha sifa zifuatazo:
1. Uhusiano wa Mpinga Kristo na waliobomoa Hekalu la Jerusalem (people of the prince to come). Kumbuka kuwa Hekalu lilibomolewa mwaka 70 AD na huyo "the prince to come". Constantine aliingia ukristo karne ya 16 (miaka 1500+ baadae), unahusisha vipi hayo matukio mawili?
2. Utawala utakaotumika na Mpinga Kristo ni lazima uwe umegawanyika makundi mawili ambayo hayatapatana, Kanisa Katoliki limegawanyikaje?
 
Back
Top Bottom