Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele (ufunuo:20:9)
 
MNYAMA WA 666/
PEMBE NDOGO:
MNYAMA = Ufalme, Serikali, Nguvu ya kisiasa
(utawala) - Daniali 7:23
PEMBE = Mfalme au Ufalme - Danieli 7:24; 8:5, 21,
22; Zekaria 1:18, 19; Ufunuo 17:12
“MNYAMA“ na "PEMBE NDOGO"
1) “Pembe ndogo" ana “macho ya mwanadamu."
Danieli 7:8.
... “Mnyama" ana “hesabu ya kibinadamu." Ufunuo
13:18.
2) “Pembe ndogo" “anawadhoofisha watakatifu
wake Aliye juu." Danieli 7:35.
... “Mnyama" pia “anafanya vita na watakatifu."
Ufunuo 13:7.
3) “Pembe ndogo" hunena " maneno makuu
kinyume chake Aliye juu." Danieli 7:25.
... “Mnyama" pia “Akafunua kinywa chake
amtukane Mungu." Ufunuo 13:6.
4) “Pembe ndogo" aliibuka kati ya pembe kumi
(Majimbo 10 ya Rumi.) Danieli 7:8.
... “Mnyama“ akapokea “nguvu, kiti cha enzi, na
uwezo mwingi" kutoka Rumi
... (baada ya kuundwa kwa majimbo 10). Ufunuo
13:2.
SIFA ZA MNYAMA WA 666/ PEMBE NDOGO:
Zipo sifa nyingi za kumtambulisha, hebu na
tuangalie baadhi ya sifa hizo:
1. Aliibuka kutoka kwa mnyama wa nne (Danieli
7:7,8)
2. Aliibuka kati ya pembe kumi (Danieli 7:8)
3. Aliibuka baada ya pembe kumi (Danieli 7:24)
4. Alikuwa tofauti/mbali na wale wa kwanza (Dan.
7:24)
5. Alikuwa hodari kuliko wenzake (Danieli 7:20)
6. Aliangusha falme tatu (Danieli 7:8,20).
Heruli A.D.493, Vandals A.D.534 na Ostrogoths
A.D. 538.
7. Alikuwa na macho kama ya mwanadamu na
alinena maneno makuu kinyume chake Aliye juu
(Danieli 7:8,25; Ufunuo 13:5).
“Papa si mwakilishi tu wa Kristo Yesu, bali ni Yesu
Kristo aliyefichwa ndani ya vazi la mwili.” The
Catholic National, Julai, 1895.
Hapa duniani tunashikilia pahali pa Mungu Aliye
Juu (Nafasi ya Mungu Mwenyezi). Papa Leo XIII,
Encyclopedia, Juni 20, 1894).
Lakini Petro akamuinua, akasema, Simama, mimi
nami ni mwanadamu; Matendo 10:25,26.
Anayestahili kupigiwa magoti (kusujudiwa) ni
Mungu pekee wala siyo mwanadamu. Soma pia
Ufunuo 19:10.
Luka 5:21; 1Timotheo 2:5
8. Kuwadhoofisha watakatifu (Danieli 7:25; Ufunuo
13:7)
Hapa ndipo penye subira ya watakatifu, hao
wazishikao amri za Mungu, na imani ya YESU.
Ufunuo 14:12
Upapa uliwatesa na kuwaangamiza wale wote
waliokuwa kinyume nao, historia iko wazi kabisa
juu ya hili na hata Papa Yohana Paulo II aliwahi
kuomba msamaha kwa niaba ya kanisa la Rumi
(Katoliki) kwa mauaji na mateso yaliyofanywa na
kanisa.
9. Kubadili majira na sheria (Danieli 7:25)
“Jumapili ni amri ya Kikatoliki, na uabuduaji wake
waweza kuhifadhiwa tu chini ya misingi ya
kikatoliki…. toka mwanzo hadi mwisho wa
maandiko hapana kurasa hata moja inayoidhinisha
badiliko hili la ibada ya kila juma toka siku ya
mwisho kwenda ya kwanza.” Chapa ya Katolika
Sydney, Australia, Agosti 1900.
“Kanisa Katoliki linadai kwamba badiliko
walilifanya wao….na badiliko hilo ni alama ya
madaraka yake ya kanisa na mamlaka waliyo nayo
katika masuala ya kidini.” Letter, Oct. 28, 1895,
from C. F. Thomas
“Jumapili ni alama yetu ya madaraka…. Kanisa liko
juu ya Biblia, na huku kuhamishwa kwa utunzaji
wa Sabato ni kizibiti cha ukweli huo.” Catholic
Record, September 1, 1923.
“Papa ana mamlaka ya kubadilisha nyakati,
kubadili sheria, na kutupilia mbali vitu vyote, hata
mafundisho ya Kristo.” Decretal De Translat.
Espiscop. Cap.
“The Pope can modify divine law.” Prompta
Bibliotheca, Papa, art. 2.
Amebadili amri kumi za MUNGU – Amri ya pili
imetolewa na amri ya kumi imegawanywa ili
kutimiza idadi.
“Labda jambo la kijasiri la mabadiliko yaliyofanywa
na kanisa yalitokea katika karne ya kwanza. Siku
takatifu, Sabato, zilibadilishwa kutoka jumamosi
kwenda jumapili….sio kwa maagizo yoyote
yaliyoandikwa katika Biblia, lakini kwa kanisa
kujisikia lina mamlaka…. watu wanaofikiri kwamba
Biblia ndiyo mamlaka ya pekee, inabidi wawe Wa
Sabato, watunze Jumamosi.” Saint Catherine
Catholic Church, Sentinel, May 21, 1995.
10. Alitawala kwa wakati, nyakati mbili na nusu
wakati, au miezi 42 (Danieli 7:25; Ufunuo 13:5).
Upapa ulipata nguvu nyingi sana mwaka A.D
538-1798, uliwatesa na kuwaangamiza wale wote
waliokuwa kinyume nao.
“Vigilus…alikuwa Papa mwaka 538 BK chini ya
ulinzi wa majeshi ya Belisarius.” History of the
Christian Church, vol. 3, p.271
Miaka 1260: 538 BK 1798 BK
Kanuni ya siku = mwaka (Kiunabii) soma Ezra 4:6;
Hesabu 14:34; Ezekieli 4:6.
11. Alipata jeraha la mauti na jeraha la mauti
likapona (Ufunuo 13:3)
“Berthier entered Rome on the Tenth of February,
1798, and proclaimed a republic…. the Pope and
the Papacy was dead.” The Modern Papacy, Rev.
Joseph Rickaby. S.J… p. 1, Catholic Truth Society,
London
“Katika mwaka wa 1798 yeye (Berthier)…aliingia
Roma, AKAFUTA SERIKALI YA PAPA akasimamisha
utawala usio wa kidini.” The Encyclopedia
Americana, 1941 edition
POPE PIUS VI
Pontificated:
- 15 February 1775 – 29 August 1799
Died on 29th August, 1799
Condemned the French Revolution and was
expelled from the Papal States by French troops
from 1798 until his death.
Upapa ulirejeshewa mamlaka yake uliyokuwa
umenyang’anywa (10.02.1798), baada ya
kusainiwa mkataba wa Lateran (The Lateran
Treaty) uliosainiwa tarehe 11.02.1929 kati ya
PIETRO Cardinal GASPARRI [Kwa niaba ya Papa
PIUS XI (Papa PIUS Undecimus)] na BENITO
MUSSOLINI. Ingia kwenye mtandao utaupata huo
mkataba.
12. Jina lake huleta hesabu ya 666 (Ufunuo 13:18)
“What are the letters inscribed in the pope’s crown,
and what do they signify if anything?”
“The letters inscribed in the Pope’s mitre are these:
VICARIUS FILII DEI, which is the Latin for Vicar of
the Son of God.” Our Sunday Visitor, April 18, 1915
V . . 5 F . . 0 D . . 500
I . . 1 I . . 1 E . . 0
C . . 100 L . . 50 I . . 1
A . . 0 I . . 1
R . . 0 I . . 1 TOTAL 501
I . . 1
U . . 5 TOTAL 53
S . . 0
TOTAL 112
GRAND TOTAL 112 + 53+ 501 = 666
13. Yeye ni mama wa makahaba (Ufunuo 17:5 )
Woman, Pure - True Church - Jeremiah 6:2; 2
Corinthians 11:2; Ephesians 5:23-27
Woman, Corrupt - Apostate church - Ezk.
16:15-58; 23:2-21; Hos. 2:5; 3:1; Rev. 14:4
Ukahaba unaosemwa hapa ni ukahaba wa kiroho,
yaani kutofuata maagizo na mafundisho ya Kristo
aliye kichwa cha kanisa (mwanamke).
Kanisa Mama: “Lakini kwa vile Jumamosi, si
Jumapili, ndiyo imetamkwa katika Biblia, ni jambo
la kujiuliza kwamba ambao si wakatoliki
wanaosema wanachukua dini yao moja kwa moja
ndani ya Biblia na sio kutoka kwa kanisa
wanaitunza Jumapili badala ya Jumamosi? Ndiyo
kwa kweli kuna utata, lakini mabadiliko yalifanywa
karne ya 15 kabla uprotestanti haujazaliwa….
Wameendelea kutunza desturi hata kama ni juu ya
mamlaka ya kanisa katoliki na siyo katika Biblia.
Kule kutunza Jumapili kunabaki kukumbushia
kanisa Mama ambalo makanisa yasiyo ya kikatoliki
yalitoka – kama mvulana anayekimbia kutoka kwa
mama yake lakini bado mfukoni ana picha ya
mama yake au kifungio cha nywele zake.” The
Faith of Millions, Rev. John O’Brian, pp. 421,422
14. Ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao
wakaao juu ya nchi wamelevywa kwa mvinyo wa
uasherati wake (Ufunuo 17:2 )
Ufunuo 17:18
Mvinyo wa uasherati – mafundisho ya uongo
yaliyo kinyume na mafundisho ya Kristo, Matendo
20:28-30; Warumi 16:17-20
Kipindi cha dhiki kuu Kanisa litakuwepo Duniani
 
Naupenda kivipi, uislamu umeelezwa vzr na yohana ,katika ufunuo 9

Uislamu umeanzishwa na roman catholic ,

Mtoto wa muhamad aliyeitwa fatma alifia ureno,
Leo hii wakatolik wanaenda ureno kuhiji kuhusu huyo fatma , wanadai aliwatokea watoto watatu, wanadai ni bikira maria ,

Ukitaka ushahidi jinsi roma ilivyoanzisha uislamu nitakupa
Daah! Nimekudharau na kukuhurumia juu. Ushauri tubu na kutenda mema ili uje uzione mbingu.
 
Its about worship
FB_IMG_1541730344326.jpeg
 
Parece que estoy comunicandome con un loco!
here is a group of people known as Gods remnant church on earth, who are represented by these angels in Revelation 14, and they are giving a warning to the world to worship the Godwho created the heavens, the earth and the seas, and to keep the seventh day Sabbath Commandment.

This issue of the mark of the beast is all to do with worship. Who will we choose to worship and obey? Will we choose to worship and obey God, and keep His Commandments, including the Sabbath commandment? Or will we choose to worship satan by obeying the Roman Catholic Church and keep her sunday sabbath instead?

REMEMBER!! It is only those who keep God's Commandments and the faith of Jesus that do not receive the mark of the beast, as confirmed in Revelation 14:12

Revelation 13:16 ...'And he causeth all, both small and great, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads.'

So the mark is in the forehead orhand. Now apply this to the Sabbath.

Exodus 20:8 .....'Remember the sabbath day, to keep it holy.'

Where do we remember? In our FOREHEADS (our minds).

Exodus 20:9-10 .....'Six days shalt thou labour, and do all thy work: But the seventh day is the sabbath of the LORD thy God: in it thou shalt not do any work, thou, nor thy son, nor thy daughter, thy manservant, nor thy maidservant, nor thy cattle, nor thy stranger that is within thy gates.'

With what do we work? Our HANDS!

Are you seeing this important truth? Those who make a free will decision in their minds to give their allegiance to the beast (Roman Catholic Church) and keep their sunday sabbath instead of "remembering" and keeping God's seventh day Sabbath will receive the mark of the beast in their foreheads. Those who simply bow under economic pressure of not being able to "buy or sell", will receive the mark in their hand.

And just look at the state of the world today. Look at the economic troubles of the nations. Unemployment, debt. Look at how people rely so much on the lifestyles they have built up. Entertainment, food, having a good time. Satan is bringing about a position in this world where people will welcome the mark of the beast with open arms, in order to continue "buying and selling".

Do those who keep sunday as Sabbath have the mark of the beast now? No, because Sunday needs to be enforced by law in order to become the mark. And God still has many of His people within the Roman Catholic Church, and the other fallen churches, and is calling His people out of these sunday keeping churches

Revelation 18:4 ...'And I heard another voice from heaven, saying, Come out of her my people, that ye be not partakers of her sins, and that ye receive not of her plagues.'

So if God has people still in the Roman Catholic Church and other sunday keeping protestant churches, then they do not have the beast's mark yet. But when the National Sunday Law is enforced in America and throughout the world, then we will have a big decision to make. Do we reject that law, no matter how bad it gets and keep God's Law and receive His seal? Or do we accept the Sunday Law of the Papal church and receive the beast's mark? Friend, very soon we will all have a choice to make, and some are already making that choice, because Sunday laws have already been passed in certain places. No matter how much pressure you are put under, eternity is waiting for you if you just trust in God and keep His Commandments, including the seventh day Sabbath commandment, and keep the faith of Jesus Christ.

Please open your eyes to this truth and "Worship Him who made the heavens, the earth, and all that is in them."

FB_IMG_1541730344326.jpeg
 
here is a group of people known as Gods remnant church on earth, who are represented by these angels in Revelation 14, and they are giving a warning to the world to worship the Godwho created the heavens, the earth and the seas, and to keep the seventh day Sabbath Commandment.

This issue of the mark of the beast is all to do with worship. Who will we choose to worship and obey? Will we choose to worship and obey God, and keep His Commandments, including the Sabbath commandment? Or will we choose to worship satan by obeying the Roman Catholic Church and keep her sunday sabbath instead?

REMEMBER!! It is only those who keep God's Commandments and the faith of Jesus that do not receive the mark of the beast, as confirmed in Revelation 14:12

Revelation 13:16 ...'And he causeth all, both small and great, rich and poor, free and bond, to receive a mark in their right hand, or in their foreheads.'

So the mark is in the forehead orhand. Now apply this to the Sabbath.

Exodus 20:8 .....'Remember the sabbath day, to keep it holy.'

Where do we remember? In our FOREHEADS (our minds).

Exodus 20:9-10 .....'Six days shalt thou labour, and do all thy work: But the seventh day is the sabbath of the LORD thy God: in it thou shalt not do any work, thou, nor thy son, nor thy daughter, thy manservant, nor thy maidservant, nor thy cattle, nor thy stranger that is within thy gates.'

With what do we work? Our HANDS!

Are you seeing this important truth? Those who make a free will decision in their minds to give their allegiance to the beast (Roman Catholic Church) and keep their sunday sabbath instead of "remembering" and keeping God's seventh day Sabbath will receive the mark of the beast in their foreheads. Those who simply bow under economic pressure of not being able to "buy or sell", will receive the mark in their hand.

And just look at the state of the world today. Look at the economic troubles of the nations. Unemployment, debt. Look at how people rely so much on the lifestyles they have built up. Entertainment, food, having a good time. Satan is bringing about a position in this world where people will welcome the mark of the beast with open arms, in order to continue "buying and selling".

Do those who keep sunday as Sabbath have the mark of the beast now? No, because Sunday needs to be enforced by law in order to become the mark. And God still has many of His people within the Roman Catholic Church, and the other fallen churches, and is calling His people out of these sunday keeping churches

Revelation 18:4 ...'And I heard another voice from heaven, saying, Come out of her my people, that ye be not partakers of her sins, and that ye receive not of her plagues.'

So if God has people still in the Roman Catholic Church and other sunday keeping protestant churches, then they do not have the beast's mark yet. But when the National Sunday Law is enforced in America and throughout the world, then we will have a big decision to make. Do we reject that law, no matter how bad it gets and keep God's Law and receive His seal? Or do we accept the Sunday Law of the Papal church and receive the beast's mark? Friend, very soon we will all have a choice to make, and some are already making that choice, because Sunday laws have already been passed in certain places. No matter how much pressure you are put under, eternity is waiting for you if you just trust in God and keep His Commandments, including the seventh day Sabbath commandment, and keep the faith of Jesus Christ.

Please open your eyes to this truth and "Worship Him who made the heavens, the earth, and all that is in them."

View attachment 927087

External Share

  • Islam vs. Rome Where does the anti-Christ come from?
  • Published on June 5, 2017
Patrick Bishop (Double Your Web Site Traffic and Revenues)Double Your Web Site Traffic and Revenues, GUARANTEED!!
Many people are blinded and think that the anti-Christ comes out of Rome because Rome has seven hills. I used to believe the same thing until I studied Islam. People are so misled by that, it is incredible. Does Rome (the Catholic Church) deny that God is Father, Son and HolySpirit? Do they deny that Jesus rose from the dead? Do they behead Christians and Jews? Those are ery basic facts that prove it can not be Rome. Open your eyes.

The Bible says that the anti-Christ would do those things, so how can someone who does not do those things be the anti-Christ or be where the anti Christ comes from?
I am showing proof here in this article who the antichrist/beast are and where they come from. This is Part 1.
Here are a few Scriptures I would like you to meditate on
John 8:42: Jesus said to them, “If God were your Father, you would love Me, for I proceeded forth and came from God; nor have I come of Myself, but He sent Me.
1 John 2:22-23: Who is a liar but he who denies that Jesus is the Christ (Son of God)? He is antichrist who denies the Father and the Son. Whoever denies the Son does not have the Father either; he who acknowledges the Son has the Father also.
John 4:1-3: Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits, whether they are of God; because many false prophets have gone out into the world. By this you know the Spirit of God: Every spirit that confesses that Jesus Christ has come in the flesh is of God, and every spirit that does not confess that Jesus Christ has come in the flesh is not of God. And this is the spirit of the Antichrist which you have heard was coming, and is now already in the world.
(Note: Mohammed claimed that the Quran was dictated to him by the angel Gabriel.) 2 Corinthians 11:14-15: For Satan himself transforms himself into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also transform themselves into ministers of righteousness, whose end will be according to their works.
See also Galatians 1:8: But even if we, or an angel from heaven, preach any other gospel to you than what we have preached to you, let him be accursed.
2 John 1:7: For many deceivers have gone out into the world who do not confess Jesus Christ as coming in the flesh. This is a deceiver and an antichrist.
I want to ask you some hard questions:
1) What spirit being(s) would deny the Godhood of Jesus Christ? 2) What spirit being(s) would deny our Father-child relationship with God? 3) What spirit being(s) would deny that Jesus went to the Cross and died for our sins? 4) What spirit being(s) would deny that Jesus was resurrected from the dead?
Here are your choices of spirit beings: God, the Devil, angels & demons….
WHO was the spirit being that challenged Jesus in the beginning of His earthly ministry in the attempt to derail Him? WHAT kind of temptations did he throw at Jesus? (See Matthew & Luke 4.)
1)
Challenged His Godhood.
2)
Challenged His Father-Son relationship.
3)
Came back at the end (“the more opportune time” — Luke 4:13) to

challenge the work He was about to do on the Cross and the Resurrection: “the ruler of this world is coming but he has found nothing in Me.” (John 14:30, spoken the night before the Crucifixion.) Think of the opening scene in Passion of the Christ.
IN CONCLUSION I want to make something clear. In no way shape or form am I preaching hate toward the Muslim people. If you take that away you are misinterpreting the message. Another difference between Christianity and Islam is that Christians are commanded to LOVE our neighbor as ourselves (Matthew 22:39) and even to LOVE any people we consider enemies (Matthew 5:44). God’s desires are to be our desires and His desire is that none would perish but all would come to repentance and Salvation through Christ (2 Peter 3:9).
Our true enemy is the Devil and his demons (Ephesians 6:12) and I am here to expose any heresies and false teaching that he promotes. The Bible makes it clear that any doctrine, teaching, theology or “gospel” that takes away from the divinity, saving works and saving grace of Jesus Christ is ANTI-Christ and is not of God but of the Devil. The only path of Salvation to Heaven is Jesus. He is God in the flesh, the Messiah & the Savior!
Let’s now answer the questions we asked.
1) “Do Christians and Muslims worship the same god?”
NO: God the Father and Allah are clearly 2 different beings with vastly different qualities.
2) “Is Islam a religion of peace or …?”
Not for the fundamentalist Muslim who sees Jews & Christians as heretics and blasphemers and who are the enemies of Islam. Moderates have a strained “peace” but even they believe that one day Islam will rule the world. Liberal Muslims are peaceful people who do not believe in terrorism.
3) “How do the Bible and the Quran differ?”
VASTLY. The Quran claims that it’s the truth and that the Bible is corrupt.
4) “How do Jesus and Mohammed differ?”
GREATLY. Jesus is the divine Son of God, the Way, the Truth and the Life. The Savior. Mohammed was a regular guy who advocated violence, oppression of women, and marriage with young girls (his youngest wife was 6).
5) “What are the theological differences between Christianity and Islam and are they compatible?
To a true believer of either faith they are not compatible in the least. Only a liberal Christian or Muslim could make them compatible.




Islam, the Antichrist & the False Prophet
What is the Role of Islam in the End Times? Again we’ll compare the End Times scenario laid out in the Bible vs. the one presented in the Quran and discover some ASTONISHING revelations that will challenge traditional end times teaching such as:
1)
The mysterious “Eighth” Kingdom (Revelation 17:11).
2)
The true lineage and religious identity of the Antichrist and the
False Prophet.
3)
The true “mark” of the Beast and what it means.
4)
What Islamic End Times theology says about the Jewish Messiah.
5)
My take on the Last Days “lie” or “strong delusion”
(2 Thessalonians 2:11) that will deceive even “the very elect”
(Matthew 24:24).
…and much more

In the previous Chapter we discovered that Christianity and Islam are diametrically opposed to one another: what one holds to be sacred the other views as blasphemous.
This time we’re going to explore the End Times Scenario laid out by Islam and see how that differs from the one in the Judeo-Christian Bible. By the time this chapter is over you will know the TRUE religious identity and lineage of the Antichrist and False Prophet and that of their final empire known as “The Beast.”
If you’ve studied Eschatology (theology of the End Times right before the Second Coming of Christ) you’re aware of the 3 major characters: Jesus, the Antichrist and the False Prophet. If you’re a Christian, Jesus is the Good Guy, the Antichrist the main bad guy, and the False Prophet the secondary bad guy. Jesus represents God (John 1:1) whereas Antichrist and False Prophet represent the Devil (Revelation 13). The Antichrist and False Prophet are allowed to make their debut at the beginning of the final 7 years (Daniel 9:27) before the return of Christ known as Daniel’s 70th Week (one “week” in Hebrew is 7 years in English). They’re allowed to establish a powerful empire that will ATTEMPT to take over the world (Revelation 13).
At the end of the 7 years the armies of the Antichrist will gather together in the Valley of Megiddo—known as Armageddon—and there they will fight against Jesus and His Saints who come from the sky to the earth (Revelation 19). Jesus now comes as the Conquering King of kings and Lord of lords and will utterly destroy the Antichrist’s army and then cast both the Antichrist and False Prophet into the Lake of Fire. After that Jesus establishes His Millennial Reign on earth that lasts for 1000 years (Revelation 20:4).
CLASSIC end time teaching is that the Antichrist will come from Europe and that his final empire—known as the Beast—will be the European Union. I’ve taught that the False Prophet will be an apostate Christian who sides with the Antichrist and will become his religious leader…. I was WRONG on both counts and now officially retract those teachings in light of new revelations that have sprung up.
As much as its hurts to do that I’m also glad because I hunger for the truth and know you do too. Hebrews 1:1 states that revelation (about some things) is progressive and this is especially true when it comes to End Times teaching. The angel Gabriel told Daniel the Prophet that the closer we come to the Second Coming the more God would reveal about the end times to His people (Daniel 8:26, 9:24, 12:5-13). I must reveal something that has me excited and alarmed at the same time: I’ve received more End Times revelation in the last year than I have in the last 10 which tells me that the return of Christ may very well be nearer than we might think! These things have recently been revealed by the Holy Spirit to the global Church and we’re in on the “ground floor” of these revelations. They’re being unsealed now because truly we are in the Last Days—Jesus is preparing to mount up on His white horse and we need to be ready!
Here then is the true religious identity & lineage of the Antichrist, the False Prophet, and the “Beast” which is the final world empire: they will all be Islamic. Islam will not just have “a” role in the Tribulation but the LEAD role here on earth.
We’re going to start today with the Antichrist and False Prophet—their characteristics and actions according to the Bible, the Quran and the Hadith (the Hadith or Sunna are a separate work from the Quran and gives the history of Islam: what Mohammed did & said as well as his followers. The Quran is all theology & prayer and the Hadith are the historical records.)
NOTE: While most Muslims hold the Quran to be holy and Allah-inspired, not all feel that way about the Hadiths. Shiite Muslims have a greater tendency to cling to the Hadiths and the idea of an Islamic Messiah than the Sunni Muslims do, for example.
What many Christians don’t know is that Islam has their own version of the End Times and the last 7 years. Their version contains the same 3 major characters as ours . . . but turned completely around. (Please remember that we already discovered when we compared Islam & Christianity side by side—Mohammed took everything held as holy by Christians, turned it completely around, then called it “truth.”)
Before I continue any further I strongly suggest you read the book “God’s War on Terror” by Walid Shoebat. Walid was raised as a Muslim in Bethlehem, went on to become a terrorist for the PLO and converted to Christ in the early 1990’s. He is the one whom God has anointed to bring this fresh word to the Western Church and where the meat of this information has come from. Walid now preaches at most of the major prophecy conferences in the world and has been on The O’Reilly Factor, CNN, CBS and the BBC. You can go to his website at www.walidshoebat.com
THE MAHDI
Shiites and some Sunni Muslims are looking for the return of Imam-al-Mahdi or what we would call the Islamic Messiah. According to their legends, the 12th descendent of Mohammed is being held in a well deep in the earth by Allah perfectly preserved from which he will ascend and rise for the final 7 years before Judgment. At the beginning of that 7 year period he will come out of the well and begin to establish an Islamic world order that will dominate the entire world through false peace and then military conquest. Muslims say that their Madhi’s name will be “Muhammad bin Abdullah.”
The Bible calls the Antichrist “the beast who comes up out of the abyss” (Revelation 11:7). The similarities to the Madhi which is also said to ascend from an abyss or cave is too co-incidental.
The Bible links the 666 to the beast. A man named Adonikam who came out of Babylonian captivity, had 666 male children and grandchildren, Ezra 2:13 “The sons of Adonikam, six hundred and sixty six.”
Adonikam means the “Lord of Rising.” The meaning of his name perfectly depicts the Rising of the Madhi from the well or cave within the earth. Adonikam was not the beast, but his name suggests a clue which can be linked to the Madhi whom Islam is waiting to rise from the abyss. In Revelation 9:11 a fallen angel named Apollyon (the destroyer) is released from the Abyss. Biblical scholars believe that Apollyon is the Spirit of the Antichrist, the spirit of Destruction. This perfectly fits with the Madhi whom Islam claims will rise from the abyss and destroy the world conquering it for Islam. The 9/11 attack of the world trade centre, I believe was prophetically linked to Revelation 9:11 which is the very verse in which Apollyon appears. By using this date the Muslim Terrorists were revealing themselves and their coming Madhi, as Apollyon -the Destroyer in Revelation “9:11.”
(SIDE NOTE: Iranian President Mahmoud Ahmidinajead fully believes this theology and spoke it during his speech to the U.N. and many other times on TV and to newspapers. He believes he can “speed up” the coming of his Mahdi by attacking Israel. AGAIN I say: there is no separation of religion and state for Islamic nations. We might want nukes for political and security reasons but Iran is developing nukes totally for religious reasons.)
JESUS
Muslims believe that Jesus will return—remember they say He never died but was caught up to Heaven by Allah where he is being held even now. They say Allah will send him back down to earth in the final 7 years and he will declare to all one of two things: 1) that he LIED to everyone about being Allah’s son or 2) that everyone misinterpreted what he said and that he never claimed to be Allah’s son. This “Jesus” will then go on to declare that Islam is the way, the truth and the life and he will then admonish all Christians to convert or face the consequences.
Afterwards he and Madhi will team up and systematically kill all the Jews in the world and force everyone else to convert to Islam or die by the sword.
THE DAJJAL
At the end of the 7 year period Madhi and Muslim “Jesus” gather their armies together in the valley of Megiddo to fight the Dajjal. The Dajjal is their Antichrist, their bad guy, and they’ve been preparing their followers for 7 years to hate and fight him. LISTEN NOW! They acknowledge that the Dajjal is the Jewish Messiah, who is coming in the clouds to rescue the Jews! That He will have great powers so as even to control the weather. Mahdi, Muslim “Jesus” and their great army will fight against the Dajjal and win. In the end, the world is dominated by Islam and is finally at peace.
We will now compare, side by side, the characteristics of the Antichrist as given in the Bible to the characteristics of the Madhi given in Islamic theology. Let’s start with a big one that’s already on some of your minds:
LINEAGE: PEOPLE OF THE PRINCE TO COME
“And the people of the prince who is to come shall destroy the city and the sanctuary” (Daniel 9:26).
This verse is the one used by scholars for centuries to identify the lineage of the Antichrist as coming out of Europe. The “prince who is to come” is most certainly referring to the Antichrist, so now we need to examine the rest of the verse to correctly determine his lineage whether European or Arabic. The “city” referred to is Jerusalem and the “Sanctuary” is the Jewish Temple that existed in Jerusalem in the days of Jesus. Thus the lineage of Antichrist is hidden—or rather revealed—through “the people of the prince.”
In 68 A.D. the Jews rebelled against Rome and Rome sent the 10th Legion commanded by General Titus to quash the rebellion. In 70 A.D. all was said and done and Rome won the day. In complete fulfillment of the prophecy of Daniel 9:26 they sacked Jerusalem and destroyed the holy Temple. Because Titus was Roman and the army BELONGED to Rome prophecy scholars have thus assumed the Antichrist will come out of Europe . . . but let’s examine verse 26 of Daniel again. It’s the people of the prince to come who do the actual destroying of Jerusalem and the Temple, so therefore it’s from THEM the Antichrist will spring forth. Historical examination of the Roman 10th Legion gives us an astounding discovery.
While it was the Roman 10th Legion and the Legionnaires were Roman citizens, they were not from the Western half of the empire but the Eastern half which was the Middle East. General Titus was the commander of all the Eastern Legions and not the Western. The Roman 10th Legion that destroyed Jerusalem and the Temple consisted of Arabs, Syrians & Turks . . . all of which are now Muslim countries. Take a look at a modern map—the ENTIRE Middle East is Muslim except Israel. The Eastern half of the Roman Empire was the Middle East including North Africa all of which are Muslim nations.
NAMES OF ANTICHRIST
There are many names given in both Old and New Testaments for the Antichrist: “son of perdition,” “man of sin,” (2 Thessalonians 2:3), etc.
Some of the names are ones that speak to his lineage such as “The Assyrian” (Isaiah 10:24, 14:25 & Micah 5:5-6), “King of the North” (Daniel 11:40) & “King of Tyrus” (Ezekiel 28:2). Remember that Biblical perspective is geographically and spiritually from the standpoint of Israel and not the USA. Then the Antichrist must come from NORTH of Israel which leaves Lebanon, Syria, Turkey, or Russia. There is absolutely no Scriptural evidence that he comes from Russia even when you take things as allegorically as possible which leaves Lebanon, Syria & Turkey. Ancient Tyrus is modern day Lebanon which leads us into his next name, “The Assyrian.” If you check your old Bible maps all 3 of the aforementioned countries were part of the ancient Assyrian empire.
BLASPHEMES JESUS
“He shall speak pompous words against the Most High,” (Daniel 7:25). Several times throughout the Book of Daniel the Antichrist is shown to blaspheme God and even raise himself up to be equal to God (Daniel 7:8, 11, 20, 11:36). The New Testament confirms exactly the same thing about the Antichrist (2 Thessalonians 2:4, Revelation 13:5-8).
As we discovered before the teachings of the Quran and Allah’s prophet Mohammed both blasphemed Jesus by claiming that He was NOT God’s Son, nor Savior, nor went to the Cross, was not resurrected and called Him a liar. Both go on to say that Islam is the only path to Salvation and that Mohammed is Allah’s greatest messenger. The Islamic Mahdi—who will be a Muslim’s Muslim—will do exactly the same in the attempt to deceive Christians to cast off their faith. Backing him up will be the Islamic “Jesus” who will preach that he was the Jesus of the Bible and that he lied about being God’s Son and has thrown HIS lot in with Islam.
CHANGES TIMES AND LAWS
“And shall intend to change times and laws.” (Daniel 7:25). Islamic theology makes it clear that Madhi and Muslim Jesus establish a Caliphate—a Muslim empire—that will rule the world. A Caliphate (Islamic Empire) is to the Muslims as the Vatican is to Catholics. The Caliph (a person) is to the Muslims as the Pope is to the Catholics.
There has not been a Caliphate or Caliph since 1924 when the Ottoman Empire fell.
Islam has its own set of laws called “Sharia Law” which all Muslims are supposed to live by and Sharia Law will become the rule of the Islamic Empire, replacing any other laws and rules nations may have established. Time wise most of the world operates by the Gregorian Calendar which includes B.C. and A.D. The Muslims, however, operate by a different calendar called “Hijrah” and year 1 for them was 622 A.D. when Mohammed immigrated from Mecca to Medina. Thus 2010 A.D. for us is 1431 Hijrah or H for Muslims. Mahdi will force anyone in his empire to come under this calendar.
REJECTS OLD GODS
“He shall regard neither the gods of his fathers . . . nor regard any god; for he shall exalt himself above them all.” (Daniel 11:37). Some translations say “God of his fathers” which led many to falsely believe Antichrist must be Jewish since the word “god” is singular. The Hebrew word used here, however, is “elohiym” which is PLURAL—gods and NOT “God.” Thus it should read “he (Antichrist) shall not regard the gods of his fathers.” Before, Mohammed and the Arabs worshipped 360 gods and Allah was the Moon God (thus the crescent moon on the Islamic flag). Mohammed came along and declared all the other gods to be false and that Allah was alone in his godhood (Tawhid). Thus Mohammed “did not regard the gods of his fathers” and neither shall Antichrist-Madhi.
Antichrist-Madhi will also be possessed by Satan-Allah and thus he follows the same pattern Satan has since he was still in Heaven—he wants to replace and be God. Wants others to worship him as God . . . it’s the same old same old with Satan just likes it’s always been.
DOES NOT REGARD DESIRES OF WOMEN
In the same chapter and verse (Daniel 11:37) Antichrist is said to not regard the desires of women. This short part of the verse has puzzled prophecy buffs for years including myself. I was told this would mean 1 of 3 things: that Antichrist was homosexual, asexual, or that he cared nothing for the desires of Jewish women who want to birth the Messiah.
I immediately rejected the last as soon as I heard it because it was too much a stretch. I concluded it must mean one of the first two, although neither of those options sat well with me.
Earlier we mentioned that it would be Islamic Sharia Law, which the Antichrist-Madhi will impose. Sharia Law is VERY oppressive & denigrating toward women and was created by Mohammed. For example, Sharia Law dictates that it takes 2 women to testify against 1 man in Islamic court because Mohammed said women only have half a brain. If a Muslim wife disrespects her husband in any way he must bring her through a 3 step process of reconciliation. 1) Verbally admonish her. If that doesn’t work then 2) Deny her in the bedroom. No, ladies, I’m not kidding . . . Allah says this punishes YOU! If that terrible consequence doesn’t do the trick then 3) BEAT HER. (Surah 4:34) “Moderate” translations of the Quran ADD to that last command words like “lightly” or “with a toothpick” but the original says nothing of the kind.
A Muslim woman cannot marry a non-Muslim man, although a Muslim man can and is encouraged to marry non-Muslim women. If a Muslim wife commits adultery on her Muslim husband, she is to have her head cut off or be stoned to death. In case you think that only applied back in Mohammed’s day, think again. In the USA, in Buffalo, NY in 2009 a “moderate” Muslim man named Muzzammil “Mo” Hassan discovered his wife wanted a divorce and beheaded her. It made all the news. What was shocking was this man had formerly been hailed by the media as a moderate non-terrorist Muslim, because right after 9/11/2001 he made a series of videos and started his own TV station, for the sole purpose of introducing Islam to the West. He proclaimed himself to be a “bridge-builder” between Islam and the USA and he wanted to portray a non-terrorist, non-violent image of Islam.
Last but not least only Muslim men are given the “perks” of going to Paradise. The 72 virgins everyone talks about are special women created by Allah himself, but here is what the media never tells you, but it’s in the Quran: these 72 are buxom AND they don’t have personalities. (Surah 78:31). No wants or needs except to please the man to whom they’ve been assigned. Do you truly wonder why so many young Muslim men with their whole lives ahead of them, are willing to blow themselves up?
Some of you are asking why there are female suicide bombers then— what motivates them? FEAR. First is this: Mohammed told his men that Allah gave him a vision of Hell and, quote, “it was full of women.” This should scare any true believing Muslim woman that too many of her gender obviously fall short of doing enough good works, to earn paradise. Remember what the Quran says is the ONLY guarantee to paradise—Shahid: martyrdom in the cause of Allah. Keep something in mind as well: if a Muslim woman has premarital sex or is raped Sharia Law says to kill her. These women are given a choice: be stoned to death, or attach bombs to their bodies, and blow themselves up in a crowd of Jews, to redeem her soul and bring honor back to her family (who have been publicly shamed because of her sin).
Is there any doubt that Antichrist-Madhi, a Muslim’s muslim, will “not regard the desires of women”?
MASTER DECEIVER
Daniel 8:25, Matthew 24, 2 Thessalonians 2 and Revelation 13 all state the Antichrist-Madhi will be deceptive and will successfully deceive many, even the “very elect” as Jesus put it. Although the Quran says lying is a sin, the context is one Muslim lying to another. There are 3 Islamic terms we need to define: “Kitman,” “Taqiyya,” and “Hudna.”
Kitman and Taqiyya or “holy hypocrisy” (as Muslims call it) are very similar in that they both mean to conceal one’s Islamic faith to a non-Muslim, and this deception includes speaking lies and spreading disinformation in any form. Taqiyya is more precise in that this deception is for the purpose of self-preservation of life or reputation, and also includes hiding one’s intentions especially if they’re hostile. This is why terrorists live and work in the USA until one day they're caught in a plot to blow something up.
To be fair a moderate Muslim will claim this is only a theology practiced among Shiite Muslims, or others who are more fundamentalist . . . the Mahdi-Antichrist will be as fundamentalist as one can get! As we’ll cover in a moment, the Madhi-Antichrist starts off as a man of false peace, who may even play down or deny his Islamic faith to deceive Israel and the West….
(I know what some of you are thinking right now. A picture of Obama sprung up in your minds especially for the fact that he spent much time denying that he took on any of his father’s Muslim beliefs, and also the fact that he just won the Nobel Peace Prize. I do not believe at this time that Obama is the Mahdi-Antichrist, and one reason for that is that according to his birth certificate he was born in Kenya, Africa which is SOUTH of Israel and Madhi will come from the NORTH of Israel.)
Again we see the opposite nature of Christianity vs. Islam—Jesus tells us that our love and faith in Him should be the LIGHT of the world for ALL to see (Matthew 5). 11 of the 12 disciples were martyred because they would not conceal nor deny their love for Christ even in the face of torture and death. The one who lived, John, was exiled to the prison isle of Patmos for life because he would not renounce Jesus. Hundreds of thousands have been martyred since that time for exactly the same reason (Hebrews 11:35-38). Jesus told us that whoever proclaims His name publicly before others that He (Jesus) will proclaim before His Father and all the angels . . . but whoever denies His name before others will be denied by Jesus in Heaven (Matthew 10:32-33).
FALSE PEACE—WILL CONFIRM A COVENANT BETWEEN FACTIONS.
“Then he shall confirm a covenant with many for one week; But in the middle of the week, He shall bring an end to sacrifice and offering.” (Daniel 9:27). “Hudna” springs off Kitman and Taqiyya but is based on TREATIES with non-Muslims and Hudna states that a treaty with infidels does NOT have to be honored and should be kept a max of 10 years. This time frame gives the Muslims time to gather money and military power, to finally break the treaty and militarily attack those they formerly had a treaty with.
An excellent example is provided by Mohammed himself in the Hadith. When he first came to Medina he and his new followers were not powerful enough to take the city by force . . . so he made a peace treaty with them that was supposed to last 10 years. Within a few years after going on many raids his coffers increased and so did his number of followers. When he was finally powerful enough he broke the treaty and his army rode into the city and took it by force.
In 1993 Palestinian President Yasser Arafat was awarded the Nobel Peace Prize for signing a 7 year peace treaty with Israel called the Oslo accords. When asked by the media if he was going to grant Israel peace Arafat replied “I will give them the same peace Mohammed gave at Medina.” Hudna! He was biding his time. Since then there have been over a 100 “cease fires” agreed to by the PLO, Fatah and Hamas all of which those terrorist organizations always break.
In the current day do not be surprised if Iran agrees to “peace” with the West over its nuclear arms goals (Which they did!!). That “peace” will be totally false and act to buy them time to develop a fully operational warhead they can use to destroy Israel. Hudna! The Kitman and Taqiyya they continually use is to tell us what we want to hear and in their own country say “Death to Israel! Death to America!”
As far as the End Times are concerned and the final 7 year covenant he confirms, many believe it will be between the Jews and Arabs over creating a Palestinian State further dividing up the land of Israel and the city of Jerusalem. It’s also speculated that the “hook” for the Jews will be the building of their Temple on the Temple Mount in Jerusalem. Islamic theology states that Madhi will sign a 7 year peace agreement between Muslims and “the Romans” (which symbolizes the West) and that a Jew will preside over the confirmation process. According to Scripture antichrist breaks the treaty at mid “week” (3.5 years into it) and then begins a military conquest against the Jews and Christians of the world which is exactly the historical pattern & prophetic theology of Islam End Times. Again: another of MANY theological coincidences between the Antichrist and Islamic Mahdi.
MILITARY LEADER WHO LIKES WAR
Daniel 11:38 shows that Antichrist “honors the god of forces” and Revelation 13:4 shows people amazed at his military power/aggression saying “who can make war with the Beast and possibly win?”
In the Quran Allah demands war against unbelievers (Surah 9:124) and especially against Jews and Christians (Surah 9:29). Other “war” verses are Surah 5:34, 9:73, 123 & 191. The Mahdi & Muslim “Jesus” are predicted in Islamic End Times theology to make war on all those who do not convert to Islam and crush them.
PERSECUTES JEWS AND CHRISTIANS
Daniel 7:21, 25, 9:27, & Revelation 13 make it clear Mahdi-Antichrist makes war on the saints and PREVAILS against them. Several of the minor prophets of the Old Testament along with heavy hitters like Ezekiel and Isaiah (along with Daniel, of course) speak of great persecution of Jews by Antichrist. Jesus brings this same persecution up in Matthew 24 and Mark 13, telling the Jews to flee to the wilderness as soon as Madhi-Antichrist sets up the Abomination of Desolation in the Jewish Temple (the mysterious “image of the Beast.”) Deliverance doesn’t come until the end, when Christ returns and fights the Mahdi-Antichrist.
Islamic theology includes this militaristic persecution & conquest! Again Allah commands war against Jews & Christians (Surah 9:29) and Islamic theology states this will happen worldwide in the final 7 years.
FIGHTS AGAINST OTHER NATIONS
“Thus he shall act against the strongest fortresses with a foreign god” (Daniel 11:39). This verse is fascinating because it clearly shows that Antichrist will have OPPOSITION even before Christ returns from the “strongest” nations, who also worship a different God (different than Allah) than his. My hope and prayer is that the USA is one of these nations and it could very well be. Back in Genesis God Himself prophesied over Ishmael and his descendents (the Arabs) that “he will be a wild man, his hand would be against every man and every man’s hand against him” (Genesis 16:12). Again, Islamic End Times theology states Mahdi will fight against all unbelievers in the attempt to convert them to Islam and establish a worldwide Islamic order.
Who are The False Prophet & Allah?
In the previous chapters we discovered a major revelation that blew away previous erroneous teachings: that the Antichrist, the False Prophet and the final world empire a.k.a. “The Beast” will all be Islamic. We discovered that Islam has its own version of the End Times and they await the coming of The Mahdi—the Islamic Messiah—who will establish a Caliphate, and begin to convert the entire world to Islam. Alongside him is who the Quran calls “Isa,” also known as Muslim Jesus, who will return at the same time as Mahdi, and declare to the world that he lied about being God’s Son. He will then join with Mahdi in “evangelizing” the world for Islam. At the end of 7 years, Isa will fight the Dajjal—whom they admit is the Jewish Messiah coming in the clouds to rescue Israel. According to Islamic theology Isa kills the Dajjal and then Islam rules the entire world.
We compare the Islamic Mahdi and the Biblical Antichrist side by side, and discovered that only the Mahdi fulfills all the characteristics & actions of the Antichrist. We proved that he will NOT come out of the European Union as previously taught.
In this chapter we’ll delve into the mysterious figure known in the Book of Revelation as “The False Prophet.” In Revelation chapter 13:11-17 it says:
Then I saw another beast coming up out of the earth, and he had two horns like a lamb and spoke like a dragon. And he exercises all the authority of the first beast in his presence, and causes the earth and those who dwell in it to worship the first beast, whose deadly wound was healed. He performs great signs, so that he even makes fire come down from heaven on the earth in the sight of men. And he deceives those who dwell on the earth by those signs which he was granted to do in the sight of the beast, telling those who dwell on the earth to make an image to the beast who was wounded by the sword and lived. He was granted power to give breath to the image of the beast, that the image of the beast should both speak and cause as many as would not worship the image of the beast to be killed. He causes all, both small and great, rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hand or on their foreheads, and that no one may buy or sell except one who has the mark or the name of the beast, or the number of his name.
Revelation calls this man “The False Prophet” (16:13, 19:20 & 20:10). Let’s review what Revelation 13 lists as the characteristics of the False Prophet:
1)
Comes “up out of the earth.”
2)
Has 2 horns and resembles a lamb.
3)
Speaks like a dragon.
4)
Exercises great authority in Islam & the Caliphate.
5)
Causes people to convert to Islam.
6)
Performs “signs” such as calling “fire” from the sky to strike the
earth.
7)
Deceives people with these signs, causing them to convert to
Islam and “make an image” to worship.
8)
Creates the famous “Mark of the Beast” that people must take to
prove their loyalty.

Remember: Islam has all the same characters in its end times theology as Christians do—they just twist them around to make evil good and good evil (Isaiah 5:20). We’ve already established that their Messiah—the Mahdi—is our Antichrist. Who is the Mahdi’s right hand man? Isa, or the Muslim Jesus! I believe that Isa is The False Prophet of Revelation and I will give you Scripture to back up my position. Before we continue you should have already seen that Satan takes all of the truths of the Scripture and twists them as he’s always done, which can lead to confusion. His twisting and distortions contain enough “fact” to possibly deceive the very elect. The best liars are not those who tell all lies all the time, but those who use facts and truth, and twist them. Let us now take the 8 characteristics of the False Prophet from Revelation 13 and go through them one by one.
COMES FROM UNDER THE EARTH
According to Islamic End Times theology, one of the first signs of Judgment Day—LISTEN NOW
“And when the word shall come to pass against them (non-Muslims), We shall bring forth for them a Beast from the earth that shall wound (speak to) them, because people did not believe our revelations.” (Quran 27:82).
Another translation says “speak” instead of “wound” so in other words, this “Beast” will rebuke non-Muslims for not believing that the Quran is the final revelation of Allah and Mohammed his last and best Messenger (Prophet). Here’s a quote from Mohammed himself about this event:
“The first of the signs that will come is the rising of the sun from its place of setting and the emergence of the Beast upon the people. Whichever of these 2 occurs before then the other is right behind it.” (Hadith—Abdullah-b-Umar, Sahih Muslim).
Remember the first thing Isa—Muslim Jesus—will do when he returns, is to declare that he lied about being the son of God, convert to Islam by declaring that there is no god but Allah and Mohammed is his messenger. Then he will rebuke the Christians for calling him God’s son and call upon them to convert to Islam or die. Let those who have ears hear! Remember the first Islamic Beast kingdom (Revelation 13:1) is spoken of as coming out of the Sea, meaning the Islamic nations around Israel, but the false prophet is described as “coming up out of the earth” (Revelation 13:11). When this verse speaks about the earth, it can also be translated as “the Land,” meaning the land of Israel. So whereas the first Islamic Beast kingdom comes from the Islamic gentile nations around Israel “the sea,” a second Islamic Beast Kingdom, rises from the Land of Israel “the earth,” ruled by the False Prophet. By extension this could easily refer to a new Palestinian Kingdom, which rises from the conquered parts of Jerusalem and Israel.
HAS TWO HORNS AND RESEMBLES A LAMB
Its two horns, could also describe Fatah and Hamas, who both want to rule Israel. The false Prophet (Isa -Muslim Jesus) will be seen as a religious leader such as an Imam or Ayatollah. And may rise from Israel or Palestine.
The real Jesus Christ is called The Lamb 29 times in the New Testament. The False Prophet resembles a lamb which led many in the past—myself included—to conclude this man was a Christian, who falls away from the faith and sides with Antichrist. One of the prime candidates for years was whomever the Catholic Pope will be when Antichrist makes his debut and many still believe this.
We now see this as patently false in light of the new revelations God has opened up to us in these Last Days, unless that last Catholic Pope converts to radical Islam which is highly unlikely. The false god Allah,
a.k.a. Satan will produce someone who will claim to be the Jesus of the New Testament and who that is I know not. What I do know is that he will impersonate Jesus, the Lamb. Notice the description in Revelation 13:11—he has 2 horns . . . lambs don’t have horns! This shows us the false, deceptive nature of this man who is a wolf in sheep’s clothing. That he’s pretending to be a lamb, when in fact he’s a goat (and remember the goats are those who never had any love or compassion for “the least of these my brethren” (Matthew 25:31-46) signifying Jews and Christians and that most certainly is the case in fundamental and even moderate Islam.)
SPEAKS LIKE A DRAGON
The Dragon is Satan (Revelation chapters 12, 13, 16 & 20) and the reason the False Prophet speaks like Satan, is because he’s a liar like Satan is (John 8:44). Remember that Islam takes the truth of God & Jesus and calls it blasphemy and falsehood. They deny Jesus is Son of God, Savior & Messiah. They deny He went to the Cross and died for our sins and that He was raised from the dead. These lies are right from the mouth of the Dragon himself, who has always sought to undermine Christ and all of His works. The Dragon is the originator of calling evil good and good evil. The False Prophet will continue this work as he worships the
carol mackinnon and 8 others like this
 
External Share

  • Islam vs. Rome Where does the anti-Christ come from?
  • Published on June 5, 2017
Patrick Bishop (Double Your Web Site Traffic and Revenues)Double Your Web Site Traffic and Revenues, GUARANTEED!!
Many people are blinded and think that the anti-Christ comes out of Rome because Rome has seven hills. I used to believe the same thing until I studied Islam. People are so misled by that, it is incredible. Does Rome (the Catholic Church) deny that God is Father, Son and HolySpirit? Do they deny that Jesus rose from the dead? Do they behead Christians and Jews? Those are ery basic facts that prove it can not be Rome. Open your eyes.

The Bible says that the anti-Christ would do those things, so how can someone who does not do those things be the anti-Christ or be where the anti Christ comes from?
I am showing proof here in this article who the antichrist/beast are and where they come from. This is Part 1.
Here are a few Scriptures I would like you to meditate on
John 8:42: Jesus said to them, “If God were your Father, you would love Me, for I proceeded forth and came from God; nor have I come of Myself, but He sent Me.
1 John 2:22-23: Who is a liar but he who denies that Jesus is the Christ (Son of God)? He is antichrist who denies the Father and the Son. Whoever denies the Son does not have the Father either; he who acknowledges the Son has the Father also.
John 4:1-3: Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits, whether they are of God; because many false prophets have gone out into the world. By this you know the Spirit of God: Every spirit that confesses that Jesus Christ has come in the flesh is of God, and every spirit that does not confess that Jesus Christ has come in the flesh is not of God. And this is the spirit of the Antichrist which you have heard was coming, and is now already in the world.
(Note: Mohammed claimed that the Quran was dictated to him by the angel Gabriel.) 2 Corinthians 11:14-15: For Satan himself transforms himself into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also transform themselves into ministers of righteousness, whose end will be according to their works.
See also Galatians 1:8: But even if we, or an angel from heaven, preach any other gospel to you than what we have preached to you, let him be accursed.
2 John 1:7: For many deceivers have gone out into the world who do not confess Jesus Christ as coming in the flesh. This is a deceiver and an antichrist.
I want to ask you some hard questions:
1) What spirit being(s) would deny the Godhood of Jesus Christ? 2) What spirit being(s) would deny our Father-child relationship with God? 3) What spirit being(s) would deny that Jesus went to the Cross and died for our sins? 4) What spirit being(s) would deny that Jesus was resurrected from the dead?
Here are your choices of spirit beings: God, the Devil, angels & demons….
WHO was the spirit being that challenged Jesus in the beginning of His earthly ministry in the attempt to derail Him? WHAT kind of temptations did he throw at Jesus? (See Matthew & Luke 4.)
1)
Challenged His Godhood.
2)
Challenged His Father-Son relationship.
3)
Came back at the end (“the more opportune time” — Luke 4:13) to

challenge the work He was about to do on the Cross and the Resurrection: “the ruler of this world is coming but he has found nothing in Me.” (John 14:30, spoken the night before the Crucifixion.) Think of the opening scene in Passion of the Christ.
IN CONCLUSION I want to make something clear. In no way shape or form am I preaching hate toward the Muslim people. If you take that away you are misinterpreting the message. Another difference between Christianity and Islam is that Christians are commanded to LOVE our neighbor as ourselves (Matthew 22:39) and even to LOVE any people we consider enemies (Matthew 5:44). God’s desires are to be our desires and His desire is that none would perish but all would come to repentance and Salvation through Christ (2 Peter 3:9).
Our true enemy is the Devil and his demons (Ephesians 6:12) and I am here to expose any heresies and false teaching that he promotes. The Bible makes it clear that any doctrine, teaching, theology or “gospel” that takes away from the divinity, saving works and saving grace of Jesus Christ is ANTI-Christ and is not of God but of the Devil. The only path of Salvation to Heaven is Jesus. He is God in the flesh, the Messiah & the Savior!
Let’s now answer the questions we asked.
1) “Do Christians and Muslims worship the same god?”
NO: God the Father and Allah are clearly 2 different beings with vastly different qualities.
2) “Is Islam a religion of peace or …?”
Not for the fundamentalist Muslim who sees Jews & Christians as heretics and blasphemers and who are the enemies of Islam. Moderates have a strained “peace” but even they believe that one day Islam will rule the world. Liberal Muslims are peaceful people who do not believe in terrorism.
3) “How do the Bible and the Quran differ?”
VASTLY. The Quran claims that it’s the truth and that the Bible is corrupt.
4) “How do Jesus and Mohammed differ?”
GREATLY. Jesus is the divine Son of God, the Way, the Truth and the Life. The Savior. Mohammed was a regular guy who advocated violence, oppression of women, and marriage with young girls (his youngest wife was 6).
5) “What are the theological differences between Christianity and Islam and are they compatible?
To a true believer of either faith they are not compatible in the least. Only a liberal Christian or Muslim could make them compatible.




Islam, the Antichrist & the False Prophet
What is the Role of Islam in the End Times? Again we’ll compare the End Times scenario laid out in the Bible vs. the one presented in the Quran and discover some ASTONISHING revelations that will challenge traditional end times teaching such as:
1)
The mysterious “Eighth” Kingdom (Revelation 17:11).
2)
The true lineage and religious identity of the Antichrist and the
False Prophet.
3)
The true “mark” of the Beast and what it means.
4)
What Islamic End Times theology says about the Jewish Messiah.
5)
My take on the Last Days “lie” or “strong delusion”
(2 Thessalonians 2:11) that will deceive even “the very elect”
(Matthew 24:24).
…and much more

In the previous Chapter we discovered that Christianity and Islam are diametrically opposed to one another: what one holds to be sacred the other views as blasphemous.
This time we’re going to explore the End Times Scenario laid out by Islam and see how that differs from the one in the Judeo-Christian Bible. By the time this chapter is over you will know the TRUE religious identity and lineage of the Antichrist and False Prophet and that of their final empire known as “The Beast.”
If you’ve studied Eschatology (theology of the End Times right before the Second Coming of Christ) you’re aware of the 3 major characters: Jesus, the Antichrist and the False Prophet. If you’re a Christian, Jesus is the Good Guy, the Antichrist the main bad guy, and the False Prophet the secondary bad guy. Jesus represents God (John 1:1) whereas Antichrist and False Prophet represent the Devil (Revelation 13). The Antichrist and False Prophet are allowed to make their debut at the beginning of the final 7 years (Daniel 9:27) before the return of Christ known as Daniel’s 70th Week (one “week” in Hebrew is 7 years in English). They’re allowed to establish a powerful empire that will ATTEMPT to take over the world (Revelation 13).
At the end of the 7 years the armies of the Antichrist will gather together in the Valley of Megiddo—known as Armageddon—and there they will fight against Jesus and His Saints who come from the sky to the earth (Revelation 19). Jesus now comes as the Conquering King of kings and Lord of lords and will utterly destroy the Antichrist’s army and then cast both the Antichrist and False Prophet into the Lake of Fire. After that Jesus establishes His Millennial Reign on earth that lasts for 1000 years (Revelation 20:4).
CLASSIC end time teaching is that the Antichrist will come from Europe and that his final empire—known as the Beast—will be the European Union. I’ve taught that the False Prophet will be an apostate Christian who sides with the Antichrist and will become his religious leader…. I was WRONG on both counts and now officially retract those teachings in light of new revelations that have sprung up.
As much as its hurts to do that I’m also glad because I hunger for the truth and know you do too. Hebrews 1:1 states that revelation (about some things) is progressive and this is especially true when it comes to End Times teaching. The angel Gabriel told Daniel the Prophet that the closer we come to the Second Coming the more God would reveal about the end times to His people (Daniel 8:26, 9:24, 12:5-13). I must reveal something that has me excited and alarmed at the same time: I’ve received more End Times revelation in the last year than I have in the last 10 which tells me that the return of Christ may very well be nearer than we might think! These things have recently been revealed by the Holy Spirit to the global Church and we’re in on the “ground floor” of these revelations. They’re being unsealed now because truly we are in the Last Days—Jesus is preparing to mount up on His white horse and we need to be ready!
Here then is the true religious identity & lineage of the Antichrist, the False Prophet, and the “Beast” which is the final world empire: they will all be Islamic. Islam will not just have “a” role in the Tribulation but the LEAD role here on earth.
We’re going to start today with the Antichrist and False Prophet—their characteristics and actions according to the Bible, the Quran and the Hadith (the Hadith or Sunna are a separate work from the Quran and gives the history of Islam: what Mohammed did & said as well as his followers. The Quran is all theology & prayer and the Hadith are the historical records.)
NOTE: While most Muslims hold the Quran to be holy and Allah-inspired, not all feel that way about the Hadiths. Shiite Muslims have a greater tendency to cling to the Hadiths and the idea of an Islamic Messiah than the Sunni Muslims do, for example.
What many Christians don’t know is that Islam has their own version of the End Times and the last 7 years. Their version contains the same 3 major characters as ours . . . but turned completely around. (Please remember that we already discovered when we compared Islam & Christianity side by side—Mohammed took everything held as holy by Christians, turned it completely around, then called it “truth.”)
Before I continue any further I strongly suggest you read the book “God’s War on Terror” by Walid Shoebat. Walid was raised as a Muslim in Bethlehem, went on to become a terrorist for the PLO and converted to Christ in the early 1990’s. He is the one whom God has anointed to bring this fresh word to the Western Church and where the meat of this information has come from. Walid now preaches at most of the major prophecy conferences in the world and has been on The O’Reilly Factor, CNN, CBS and the BBC. You can go to his website at www.walidshoebat.com
THE MAHDI
Shiites and some Sunni Muslims are looking for the return of Imam-al-Mahdi or what we would call the Islamic Messiah. According to their legends, the 12th descendent of Mohammed is being held in a well deep in the earth by Allah perfectly preserved from which he will ascend and rise for the final 7 years before Judgment. At the beginning of that 7 year period he will come out of the well and begin to establish an Islamic world order that will dominate the entire world through false peace and then military conquest. Muslims say that their Madhi’s name will be “Muhammad bin Abdullah.”
The Bible calls the Antichrist “the beast who comes up out of the abyss” (Revelation 11:7). The similarities to the Madhi which is also said to ascend from an abyss or cave is too co-incidental.
The Bible links the 666 to the beast. A man named Adonikam who came out of Babylonian captivity, had 666 male children and grandchildren, Ezra 2:13 “The sons of Adonikam, six hundred and sixty six.”
Adonikam means the “Lord of Rising.” The meaning of his name perfectly depicts the Rising of the Madhi from the well or cave within the earth. Adonikam was not the beast, but his name suggests a clue which can be linked to the Madhi whom Islam is waiting to rise from the abyss. In Revelation 9:11 a fallen angel named Apollyon (the destroyer) is released from the Abyss. Biblical scholars believe that Apollyon is the Spirit of the Antichrist, the spirit of Destruction. This perfectly fits with the Madhi whom Islam claims will rise from the abyss and destroy the world conquering it for Islam. The 9/11 attack of the world trade centre, I believe was prophetically linked to Revelation 9:11 which is the very verse in which Apollyon appears. By using this date the Muslim Terrorists were revealing themselves and their coming Madhi, as Apollyon -the Destroyer in Revelation “9:11.”
(SIDE NOTE: Iranian President Mahmoud Ahmidinajead fully believes this theology and spoke it during his speech to the U.N. and many other times on TV and to newspapers. He believes he can “speed up” the coming of his Mahdi by attacking Israel. AGAIN I say: there is no separation of religion and state for Islamic nations. We might want nukes for political and security reasons but Iran is developing nukes totally for religious reasons.)
JESUS
Muslims believe that Jesus will return—remember they say He never died but was caught up to Heaven by Allah where he is being held even now. They say Allah will send him back down to earth in the final 7 years and he will declare to all one of two things: 1) that he LIED to everyone about being Allah’s son or 2) that everyone misinterpreted what he said and that he never claimed to be Allah’s son. This “Jesus” will then go on to declare that Islam is the way, the truth and the life and he will then admonish all Christians to convert or face the consequences.
Afterwards he and Madhi will team up and systematically kill all the Jews in the world and force everyone else to convert to Islam or die by the sword.
THE DAJJAL
At the end of the 7 year period Madhi and Muslim “Jesus” gather their armies together in the valley of Megiddo to fight the Dajjal. The Dajjal is their Antichrist, their bad guy, and they’ve been preparing their followers for 7 years to hate and fight him. LISTEN NOW! They acknowledge that the Dajjal is the Jewish Messiah, who is coming in the clouds to rescue the Jews! That He will have great powers so as even to control the weather. Mahdi, Muslim “Jesus” and their great army will fight against the Dajjal and win. In the end, the world is dominated by Islam and is finally at peace.
We will now compare, side by side, the characteristics of the Antichrist as given in the Bible to the characteristics of the Madhi given in Islamic theology. Let’s start with a big one that’s already on some of your minds:
LINEAGE: PEOPLE OF THE PRINCE TO COME
“And the people of the prince who is to come shall destroy the city and the sanctuary” (Daniel 9:26).
This verse is the one used by scholars for centuries to identify the lineage of the Antichrist as coming out of Europe. The “prince who is to come” is most certainly referring to the Antichrist, so now we need to examine the rest of the verse to correctly determine his lineage whether European or Arabic. The “city” referred to is Jerusalem and the “Sanctuary” is the Jewish Temple that existed in Jerusalem in the days of Jesus. Thus the lineage of Antichrist is hidden—or rather revealed—through “the people of the prince.”
In 68 A.D. the Jews rebelled against Rome and Rome sent the 10th Legion commanded by General Titus to quash the rebellion. In 70 A.D. all was said and done and Rome won the day. In complete fulfillment of the prophecy of Daniel 9:26 they sacked Jerusalem and destroyed the holy Temple. Because Titus was Roman and the army BELONGED to Rome prophecy scholars have thus assumed the Antichrist will come out of Europe . . . but let’s examine verse 26 of Daniel again. It’s the people of the prince to come who do the actual destroying of Jerusalem and the Temple, so therefore it’s from THEM the Antichrist will spring forth. Historical examination of the Roman 10th Legion gives us an astounding discovery.
While it was the Roman 10th Legion and the Legionnaires were Roman citizens, they were not from the Western half of the empire but the Eastern half which was the Middle East. General Titus was the commander of all the Eastern Legions and not the Western. The Roman 10th Legion that destroyed Jerusalem and the Temple consisted of Arabs, Syrians & Turks . . . all of which are now Muslim countries. Take a look at a modern map—the ENTIRE Middle East is Muslim except Israel. The Eastern half of the Roman Empire was the Middle East including North Africa all of which are Muslim nations.
NAMES OF ANTICHRIST
There are many names given in both Old and New Testaments for the Antichrist: “son of perdition,” “man of sin,” (2 Thessalonians 2:3), etc.
Some of the names are ones that speak to his lineage such as “The Assyrian” (Isaiah 10:24, 14:25 & Micah 5:5-6), “King of the North” (Daniel 11:40) & “King of Tyrus” (Ezekiel 28:2). Remember that Biblical perspective is geographically and spiritually from the standpoint of Israel and not the USA. Then the Antichrist must come from NORTH of Israel which leaves Lebanon, Syria, Turkey, or Russia. There is absolutely no Scriptural evidence that he comes from Russia even when you take things as allegorically as possible which leaves Lebanon, Syria & Turkey. Ancient Tyrus is modern day Lebanon which leads us into his next name, “The Assyrian.” If you check your old Bible maps all 3 of the aforementioned countries were part of the ancient Assyrian empire.
BLASPHEMES JESUS
“He shall speak pompous words against the Most High,” (Daniel 7:25). Several times throughout the Book of Daniel the Antichrist is shown to blaspheme God and even raise himself up to be equal to God (Daniel 7:8, 11, 20, 11:36). The New Testament confirms exactly the same thing about the Antichrist (2 Thessalonians 2:4, Revelation 13:5-8).
As we discovered before the teachings of the Quran and Allah’s prophet Mohammed both blasphemed Jesus by claiming that He was NOT God’s Son, nor Savior, nor went to the Cross, was not resurrected and called Him a liar. Both go on to say that Islam is the only path to Salvation and that Mohammed is Allah’s greatest messenger. The Islamic Mahdi—who will be a Muslim’s Muslim—will do exactly the same in the attempt to deceive Christians to cast off their faith. Backing him up will be the Islamic “Jesus” who will preach that he was the Jesus of the Bible and that he lied about being God’s Son and has thrown HIS lot in with Islam.
CHANGES TIMES AND LAWS
“And shall intend to change times and laws.” (Daniel 7:25). Islamic theology makes it clear that Madhi and Muslim Jesus establish a Caliphate—a Muslim empire—that will rule the world. A Caliphate (Islamic Empire) is to the Muslims as the Vatican is to Catholics. The Caliph (a person) is to the Muslims as the Pope is to the Catholics.
There has not been a Caliphate or Caliph since 1924 when the Ottoman Empire fell.
Islam has its own set of laws called “Sharia Law” which all Muslims are supposed to live by and Sharia Law will become the rule of the Islamic Empire, replacing any other laws and rules nations may have established. Time wise most of the world operates by the Gregorian Calendar which includes B.C. and A.D. The Muslims, however, operate by a different calendar called “Hijrah” and year 1 for them was 622 A.D. when Mohammed immigrated from Mecca to Medina. Thus 2010 A.D. for us is 1431 Hijrah or H for Muslims. Mahdi will force anyone in his empire to come under this calendar.
REJECTS OLD GODS
“He shall regard neither the gods of his fathers . . . nor regard any god; for he shall exalt himself above them all.” (Daniel 11:37). Some translations say “God of his fathers” which led many to falsely believe Antichrist must be Jewish since the word “god” is singular. The Hebrew word used here, however, is “elohiym” which is PLURAL—gods and NOT “God.” Thus it should read “he (Antichrist) shall not regard the gods of his fathers.” Before, Mohammed and the Arabs worshipped 360 gods and Allah was the Moon God (thus the crescent moon on the Islamic flag). Mohammed came along and declared all the other gods to be false and that Allah was alone in his godhood (Tawhid). Thus Mohammed “did not regard the gods of his fathers” and neither shall Antichrist-Madhi.
Antichrist-Madhi will also be possessed by Satan-Allah and thus he follows the same pattern Satan has since he was still in Heaven—he wants to replace and be God. Wants others to worship him as God . . . it’s the same old same old with Satan just likes it’s always been.
DOES NOT REGARD DESIRES OF WOMEN
In the same chapter and verse (Daniel 11:37) Antichrist is said to not regard the desires of women. This short part of the verse has puzzled prophecy buffs for years including myself. I was told this would mean 1 of 3 things: that Antichrist was homosexual, asexual, or that he cared nothing for the desires of Jewish women who want to birth the Messiah.
I immediately rejected the last as soon as I heard it because it was too much a stretch. I concluded it must mean one of the first two, although neither of those options sat well with me.
Earlier we mentioned that it would be Islamic Sharia Law, which the Antichrist-Madhi will impose. Sharia Law is VERY oppressive & denigrating toward women and was created by Mohammed. For example, Sharia Law dictates that it takes 2 women to testify against 1 man in Islamic court because Mohammed said women only have half a brain. If a Muslim wife disrespects her husband in any way he must bring her through a 3 step process of reconciliation. 1) Verbally admonish her. If that doesn’t work then 2) Deny her in the bedroom. No, ladies, I’m not kidding . . . Allah says this punishes YOU! If that terrible consequence doesn’t do the trick then 3) BEAT HER. (Surah 4:34) “Moderate” translations of the Quran ADD to that last command words like “lightly” or “with a toothpick” but the original says nothing of the kind.
A Muslim woman cannot marry a non-Muslim man, although a Muslim man can and is encouraged to marry non-Muslim women. If a Muslim wife commits adultery on her Muslim husband, she is to have her head cut off or be stoned to death. In case you think that only applied back in Mohammed’s day, think again. In the USA, in Buffalo, NY in 2009 a “moderate” Muslim man named Muzzammil “Mo” Hassan discovered his wife wanted a divorce and beheaded her. It made all the news. What was shocking was this man had formerly been hailed by the media as a moderate non-terrorist Muslim, because right after 9/11/2001 he made a series of videos and started his own TV station, for the sole purpose of introducing Islam to the West. He proclaimed himself to be a “bridge-builder” between Islam and the USA and he wanted to portray a non-terrorist, non-violent image of Islam.
Last but not least only Muslim men are given the “perks” of going to Paradise. The 72 virgins everyone talks about are special women created by Allah himself, but here is what the media never tells you, but it’s in the Quran: these 72 are buxom AND they don’t have personalities. (Surah 78:31). No wants or needs except to please the man to whom they’ve been assigned. Do you truly wonder why so many young Muslim men with their whole lives ahead of them, are willing to blow themselves up?
Some of you are asking why there are female suicide bombers then— what motivates them? FEAR. First is this: Mohammed told his men that Allah gave him a vision of Hell and, quote, “it was full of women.” This should scare any true believing Muslim woman that too many of her gender obviously fall short of doing enough good works, to earn paradise. Remember what the Quran says is the ONLY guarantee to paradise—Shahid: martyrdom in the cause of Allah. Keep something in mind as well: if a Muslim woman has premarital sex or is raped Sharia Law says to kill her. These women are given a choice: be stoned to death, or attach bombs to their bodies, and blow themselves up in a crowd of Jews, to redeem her soul and bring honor back to her family (who have been publicly shamed because of her sin).
Is there any doubt that Antichrist-Madhi, a Muslim’s muslim, will “not regard the desires of women”?
MASTER DECEIVER
Daniel 8:25, Matthew 24, 2 Thessalonians 2 and Revelation 13 all state the Antichrist-Madhi will be deceptive and will successfully deceive many, even the “very elect” as Jesus put it. Although the Quran says lying is a sin, the context is one Muslim lying to another. There are 3 Islamic terms we need to define: “Kitman,” “Taqiyya,” and “Hudna.”
Kitman and Taqiyya or “holy hypocrisy” (as Muslims call it) are very similar in that they both mean to conceal one’s Islamic faith to a non-Muslim, and this deception includes speaking lies and spreading disinformation in any form. Taqiyya is more precise in that this deception is for the purpose of self-preservation of life or reputation, and also includes hiding one’s intentions especially if they’re hostile. This is why terrorists live and work in the USA until one day they're caught in a plot to blow something up.
To be fair a moderate Muslim will claim this is only a theology practiced among Shiite Muslims, or others who are more fundamentalist . . . the Mahdi-Antichrist will be as fundamentalist as one can get! As we’ll cover in a moment, the Madhi-Antichrist starts off as a man of false peace, who may even play down or deny his Islamic faith to deceive Israel and the West….
(I know what some of you are thinking right now. A picture of Obama sprung up in your minds especially for the fact that he spent much time denying that he took on any of his father’s Muslim beliefs, and also the fact that he just won the Nobel Peace Prize. I do not believe at this time that Obama is the Mahdi-Antichrist, and one reason for that is that according to his birth certificate he was born in Kenya, Africa which is SOUTH of Israel and Madhi will come from the NORTH of Israel.)
Again we see the opposite nature of Christianity vs. Islam—Jesus tells us that our love and faith in Him should be the LIGHT of the world for ALL to see (Matthew 5). 11 of the 12 disciples were martyred because they would not conceal nor deny their love for Christ even in the face of torture and death. The one who lived, John, was exiled to the prison isle of Patmos for life because he would not renounce Jesus. Hundreds of thousands have been martyred since that time for exactly the same reason (Hebrews 11:35-38). Jesus told us that whoever proclaims His name publicly before others that He (Jesus) will proclaim before His Father and all the angels . . . but whoever denies His name before others will be denied by Jesus in Heaven (Matthew 10:32-33).
FALSE PEACE—WILL CONFIRM A COVENANT BETWEEN FACTIONS.
“Then he shall confirm a covenant with many for one week; But in the middle of the week, He shall bring an end to sacrifice and offering.” (Daniel 9:27). “Hudna” springs off Kitman and Taqiyya but is based on TREATIES with non-Muslims and Hudna states that a treaty with infidels does NOT have to be honored and should be kept a max of 10 years. This time frame gives the Muslims time to gather money and military power, to finally break the treaty and militarily attack those they formerly had a treaty with.
An excellent example is provided by Mohammed himself in the Hadith. When he first came to Medina he and his new followers were not powerful enough to take the city by force . . . so he made a peace treaty with them that was supposed to last 10 years. Within a few years after going on many raids his coffers increased and so did his number of followers. When he was finally powerful enough he broke the treaty and his army rode into the city and took it by force.
In 1993 Palestinian President Yasser Arafat was awarded the Nobel Peace Prize for signing a 7 year peace treaty with Israel called the Oslo accords. When asked by the media if he was going to grant Israel peace Arafat replied “I will give them the same peace Mohammed gave at Medina.” Hudna! He was biding his time. Since then there have been over a 100 “cease fires” agreed to by the PLO, Fatah and Hamas all of which those terrorist organizations always break.
In the current day do not be surprised if Iran agrees to “peace” with the West over its nuclear arms goals (Which they did!!). That “peace” will be totally false and act to buy them time to develop a fully operational warhead they can use to destroy Israel. Hudna! The Kitman and Taqiyya they continually use is to tell us what we want to hear and in their own country say “Death to Israel! Death to America!”
As far as the End Times are concerned and the final 7 year covenant he confirms, many believe it will be between the Jews and Arabs over creating a Palestinian State further dividing up the land of Israel and the city of Jerusalem. It’s also speculated that the “hook” for the Jews will be the building of their Temple on the Temple Mount in Jerusalem. Islamic theology states that Madhi will sign a 7 year peace agreement between Muslims and “the Romans” (which symbolizes the West) and that a Jew will preside over the confirmation process. According to Scripture antichrist breaks the treaty at mid “week” (3.5 years into it) and then begins a military conquest against the Jews and Christians of the world which is exactly the historical pattern & prophetic theology of Islam End Times. Again: another of MANY theological coincidences between the Antichrist and Islamic Mahdi.
MILITARY LEADER WHO LIKES WAR
Daniel 11:38 shows that Antichrist “honors the god of forces” and Revelation 13:4 shows people amazed at his military power/aggression saying “who can make war with the Beast and possibly win?”
In the Quran Allah demands war against unbelievers (Surah 9:124) and especially against Jews and Christians (Surah 9:29). Other “war” verses are Surah 5:34, 9:73, 123 & 191. The Mahdi & Muslim “Jesus” are predicted in Islamic End Times theology to make war on all those who do not convert to Islam and crush them.
PERSECUTES JEWS AND CHRISTIANS
Daniel 7:21, 25, 9:27, & Revelation 13 make it clear Mahdi-Antichrist makes war on the saints and PREVAILS against them. Several of the minor prophets of the Old Testament along with heavy hitters like Ezekiel and Isaiah (along with Daniel, of course) speak of great persecution of Jews by Antichrist. Jesus brings this same persecution up in Matthew 24 and Mark 13, telling the Jews to flee to the wilderness as soon as Madhi-Antichrist sets up the Abomination of Desolation in the Jewish Temple (the mysterious “image of the Beast.”) Deliverance doesn’t come until the end, when Christ returns and fights the Mahdi-Antichrist.
Islamic theology includes this militaristic persecution & conquest! Again Allah commands war against Jews & Christians (Surah 9:29) and Islamic theology states this will happen worldwide in the final 7 years.
FIGHTS AGAINST OTHER NATIONS
“Thus he shall act against the strongest fortresses with a foreign god” (Daniel 11:39). This verse is fascinating because it clearly shows that Antichrist will have OPPOSITION even before Christ returns from the “strongest” nations, who also worship a different God (different than Allah) than his. My hope and prayer is that the USA is one of these nations and it could very well be. Back in Genesis God Himself prophesied over Ishmael and his descendents (the Arabs) that “he will be a wild man, his hand would be against every man and every man’s hand against him” (Genesis 16:12). Again, Islamic End Times theology states Mahdi will fight against all unbelievers in the attempt to convert them to Islam and establish a worldwide Islamic order.
Who are The False Prophet & Allah?
In the previous chapters we discovered a major revelation that blew away previous erroneous teachings: that the Antichrist, the False Prophet and the final world empire a.k.a. “The Beast” will all be Islamic. We discovered that Islam has its own version of the End Times and they await the coming of The Mahdi—the Islamic Messiah—who will establish a Caliphate, and begin to convert the entire world to Islam. Alongside him is who the Quran calls “Isa,” also known as Muslim Jesus, who will return at the same time as Mahdi, and declare to the world that he lied about being God’s Son. He will then join with Mahdi in “evangelizing” the world for Islam. At the end of 7 years, Isa will fight the Dajjal—whom they admit is the Jewish Messiah coming in the clouds to rescue Israel. According to Islamic theology Isa kills the Dajjal and then Islam rules the entire world.
We compare the Islamic Mahdi and the Biblical Antichrist side by side, and discovered that only the Mahdi fulfills all the characteristics & actions of the Antichrist. We proved that he will NOT come out of the European Union as previously taught.
In this chapter we’ll delve into the mysterious figure known in the Book of Revelation as “The False Prophet.” In Revelation chapter 13:11-17 it says:
Then I saw another beast coming up out of the earth, and he had two horns like a lamb and spoke like a dragon. And he exercises all the authority of the first beast in his presence, and causes the earth and those who dwell in it to worship the first beast, whose deadly wound was healed. He performs great signs, so that he even makes fire come down from heaven on the earth in the sight of men. And he deceives those who dwell on the earth by those signs which he was granted to do in the sight of the beast, telling those who dwell on the earth to make an image to the beast who was wounded by the sword and lived. He was granted power to give breath to the image of the beast, that the image of the beast should both speak and cause as many as would not worship the image of the beast to be killed. He causes all, both small and great, rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hand or on their foreheads, and that no one may buy or sell except one who has the mark or the name of the beast, or the number of his name.
Revelation calls this man “The False Prophet” (16:13, 19:20 & 20:10). Let’s review what Revelation 13 lists as the characteristics of the False Prophet:
1)
Comes “up out of the earth.”
2)
Has 2 horns and resembles a lamb.
3)
Speaks like a dragon.
4)
Exercises great authority in Islam & the Caliphate.
5)
Causes people to convert to Islam.
6)
Performs “signs” such as calling “fire” from the sky to strike the
earth.
7)
Deceives people with these signs, causing them to convert to
Islam and “make an image” to worship.
8)
Creates the famous “Mark of the Beast” that people must take to
prove their loyalty.

Remember: Islam has all the same characters in its end times theology as Christians do—they just twist them around to make evil good and good evil (Isaiah 5:20). We’ve already established that their Messiah—the Mahdi—is our Antichrist. Who is the Mahdi’s right hand man? Isa, or the Muslim Jesus! I believe that Isa is The False Prophet of Revelation and I will give you Scripture to back up my position. Before we continue you should have already seen that Satan takes all of the truths of the Scripture and twists them as he’s always done, which can lead to confusion. His twisting and distortions contain enough “fact” to possibly deceive the very elect. The best liars are not those who tell all lies all the time, but those who use facts and truth, and twist them. Let us now take the 8 characteristics of the False Prophet from Revelation 13 and go through them one by one.
COMES FROM UNDER THE EARTH
According to Islamic End Times theology, one of the first signs of Judgment Day—LISTEN NOW
“And when the word shall come to pass against them (non-Muslims), We shall bring forth for them a Beast from the earth that shall wound (speak to) them, because people did not believe our revelations.” (Quran 27:82).
Another translation says “speak” instead of “wound” so in other words, this “Beast” will rebuke non-Muslims for not believing that the Quran is the final revelation of Allah and Mohammed his last and best Messenger (Prophet). Here’s a quote from Mohammed himself about this event:
“The first of the signs that will come is the rising of the sun from its place of setting and the emergence of the Beast upon the people. Whichever of these 2 occurs before then the other is right behind it.” (Hadith—Abdullah-b-Umar, Sahih Muslim).
Remember the first thing Isa—Muslim Jesus—will do when he returns, is to declare that he lied about being the son of God, convert to Islam by declaring that there is no god but Allah and Mohammed is his messenger. Then he will rebuke the Christians for calling him God’s son and call upon them to convert to Islam or die. Let those who have ears hear! Remember the first Islamic Beast kingdom (Revelation 13:1) is spoken of as coming out of the Sea, meaning the Islamic nations around Israel, but the false prophet is described as “coming up out of the earth” (Revelation 13:11). When this verse speaks about the earth, it can also be translated as “the Land,” meaning the land of Israel. So whereas the first Islamic Beast kingdom comes from the Islamic gentile nations around Israel “the sea,” a second Islamic Beast Kingdom, rises from the Land of Israel “the earth,” ruled by the False Prophet. By extension this could easily refer to a new Palestinian Kingdom, which rises from the conquered parts of Jerusalem and Israel.
HAS TWO HORNS AND RESEMBLES A LAMB
Its two horns, could also describe Fatah and Hamas, who both want to rule Israel. The false Prophet (Isa -Muslim Jesus) will be seen as a religious leader such as an Imam or Ayatollah. And may rise from Israel or Palestine.
The real Jesus Christ is called The Lamb 29 times in the New Testament. The False Prophet resembles a lamb which led many in the past—myself included—to conclude this man was a Christian, who falls away from the faith and sides with Antichrist. One of the prime candidates for years was whomever the Catholic Pope will be when Antichrist makes his debut and many still believe this.
We now see this as patently false in light of the new revelations God has opened up to us in these Last Days, unless that last Catholic Pope converts to radical Islam which is highly unlikely. The false god Allah,
a.k.a. Satan will produce someone who will claim to be the Jesus of the New Testament and who that is I know not. What I do know is that he will impersonate Jesus, the Lamb. Notice the description in Revelation 13:11—he has 2 horns . . . lambs don’t have horns! This shows us the false, deceptive nature of this man who is a wolf in sheep’s clothing. That he’s pretending to be a lamb, when in fact he’s a goat (and remember the goats are those who never had any love or compassion for “the least of these my brethren” (Matthew 25:31-46) signifying Jews and Christians and that most certainly is the case in fundamental and even moderate Islam.)
SPEAKS LIKE A DRAGON
The Dragon is Satan (Revelation chapters 12, 13, 16 & 20) and the reason the False Prophet speaks like Satan, is because he’s a liar like Satan is (John 8:44). Remember that Islam takes the truth of God & Jesus and calls it blasphemy and falsehood. They deny Jesus is Son of God, Savior & Messiah. They deny He went to the Cross and died for our sins and that He was raised from the dead. These lies are right from the mouth of the Dragon himself, who has always sought to undermine Christ and all of His works. The Dragon is the originator of calling evil good and good evil. The False Prophet will continue this work as he worships the
carol mackinnon and 8 others like this
Nilitaka uje,

Haya njoo ujibu maswali yangu

Mnyama ni nini

Pembe ni nini

Vichwa 7 ni nini

Je UISLAMU unaingiaje hapo nisaidie
 
Nilitaka uje,

Haya njoo ujibu maswali yangu

Mnyama ni nini

Pembe ni nini

Vichwa 7 ni nini

Je UISLAMU unaingiaje hapo nisaidie

Umeshasoma zile chapter nilizokuambia? Kama kweli unataka kuelewa soma, I will be otherwise wasting my time.
 
Umeshasoma zile chapter nilizokuambia? Kama kweli unataka kuelewa soma, I will be otherwise wasting my time.
Acha longo longo hakuna cha chapter ,

Nipe majibu hizo chapter hakuna majibu ,maana na wao wamedanganya ,wameungaunga

Njoo hapa nijibu haya maswali, sio kupelekana kasome kule ,sijui.kule,

Weka majibu hapa

Kila mtu aone
 
Acha longo longo hakuna cha chapter ,

Nipe majibu hizo chapter hakuna majibu ,maana na wao wamedanganya ,wameungaunga

Njoo hapa nijibu haya maswali, sio kupelekana kasome kule ,sijui.kule,

Weka majibu hapa

Kila mtu aone

Endelea kuamini unachoamini. I thought you had decided to engage in a mature academic debate but you keep coming back to illiterate way of thinking. I won't be part of such imbecilic attitude. Ciao!
 
Endelea kuamini unachoamini. I thought you had decided to engage in a mature academic debate but you keep coming back to illiterate way of thinking. I won't be part of such imbecilic attitude. Ciao!
Jibu maswali unayoulizwa ,acha kujificha ficha kwenye aya za kubumbabumba, hata Mashoga ,wez wanatumia aya kuhalalisha matendo yao

Sasa sisi tuaotaka kuchimba zaidi, tunakuita njoo ,tuanze na aya ya kwanza

MNYAMA NI NINI

PEMBE NI NINI

VICHWA 7 NI NINI

BAHARI NI NINI

JE UISLAMU UNAINGIAJE HAPO


hiyo ni aya ya 1 tu, unawayawaya ,je tukianza ya 2
 
Jibu maswali unayoulizwa ,acha kujificha ficha kwenye aya za kubumbabumba, hata Mashoga ,wez wanatumia aya kuhalalisha matendo yao

Sasa sisi tuaotaka kuchimba zaidi, tunakuita njoo ,tuanze na aya ya kwanza

MNYAMA NI NINI

PEMBE NI NINI

VICHWA 7 NI NINI

BAHARI NI NINI

JE UISLAMU UNAINGIAJE HAPO


hiyo ni aya ya 1 tu, unawayawaya ,je tukianza ya 2
Mnyama-Mwitu Mwenye Vichwa Saba Anayetajwa Kwenye Ufunuo Sura ya 13 Anawakilisha Nini?
Jibu la Biblia
Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba anayetajwa kwa mara ya kwanza katika Ufunuo 13:1 anawakilisha mfumo wa kisiasa wa ulimwenguni pote.
  • Mnyama-mwitu huyo ana mamlaka, nguvu, na kiti cha ufalme, kuonyesha kwamba ana uwezo wa kisiasa.—Ufunuo 13:2.
  • Ana mamlaka juu ya “kila kabila na watu na lugha na taifa,” na kwa hiyo hawezi kuwakilisha tu serikali ya nchi moja tu.—Ufunuo 13:7.
  • Mnyama-mwitu huyo ana sehemu zinazofanana na zile za wale wanyama wanne wanaofafanuliwa kwenye Danieli 7:2-8. Kwa mfano, anatajwa kuwa na sura ya chui, miguu ya dubu, kinywa cha simba, na pembe kumi. Wanyama wanaotajwa katika unabii wa Danieli wanawakilisha wafalme hususa, au falme za kisiasa, zinazotawala kwa kufuatana juu ya milki tofauti-tofauti. (Danieli 7:17, 23) Kwa hiyo, mnyama-mwitu anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13anawakilisha tengenezo lote la kisiasa.
  • Mnyama-mwitu huyo anapanda “kutoka katika bahari,” yaani, kutoka katika jamii za wanadamu zenye msukosuko. Jamii hizo ndizo chanzo cha serikali za wanadamu.—Ufunuo 13:1; Isaya 17:12, 13.
  • Biblia inasema kwamba jina au namba ya mnyama-mwitu huyo—666—ni “namba ya mwanadamu.” (Ufunuo 13:17, 18) Maneno hayo yanaonyesha kwamba mnyama anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13ana asili ya kibinadamu, wala si ya roho au roho mwovu.
Hata ingawa huenda mataifa yakakubaliana katika mambo kadhaa, lengo lao la kuungana ni kudumisha mamlaka yao wenyewe na si kunyenyekea chini ya Ufalme wa Mungu. (Zaburi 2:2) Mataifa hayohayo yataungana katika vita vya Har-Magedoni ili kupigana na jeshi la Mungu linaloongozwa na Yesu Kristo, lakini yataharibiwa kabisa.—Ufunuo 16:14, 16; 19:19, 20.
“Pembe kumi na vichwa saba”
Katika Biblia, namba fulani zina maana ya mfano. Kwa mfano, namba kumi na pia namba saba hutumiwa kufananisha kitu ambacho ni kamili, au kikamilifu. Ili kuelewa maana hasa ya “pembe kumi na vichwa saba” vya mnyama-mwitu wa Ufunuo sura ya 13 tutahitaji kuchunguza “sanamu ya mnyama-mwitu” ambayo inafafanuliwa baadaye katika Ufunuo kuwa mnyama mwenye rangi nyekundu, vichwa saba na pembe kumi. (Ufunuo 13:1, 14, 15; 17:3) Biblia inasema kwamba vichwa saba vya mnyama huyo mwenye rangi nyekundu vinamaanisha “wafalme saba,” au serikali.—Ufunuo 17:9, 10.
Hivyo basi, vichwa saba vya yule mnyama-mwitu katika Ufunuo 13:1vinawakilisha serikali saba: serikali hizo kuu ambazo zimekuwapo katika historia yote ya wanadamu na ambazo zimewakandamiza na kuwatesa watu wa Mungu ni—Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na serikali ya Uingereza na Marekani. Ikiwa zile pembe kumi zinawakilisha serikali zote za kisiasa, ziwe kubwa au ndogo, basi taji la kifalme lililoko juu ya kila pembe linaonyesha kwamba serikali hizo zote zinatawala wakati mmoja na serikali kuu ya ulimwengu inayotawala wakati huo.
 
Je alama ya mnyama ni nini? Kuna maelezo mengi yaliyotolewa na baadhi ya watu juu ya alama ya mnyama, wengine hudhani kuwa alama ya mnyama ni “chip” ya computa, au kadi, au kitu halisi kinachoweza kubebeka! Lakini Je Biblia inaelezea vipi kuhusu alama ya mnyama? Ngoja tuangalie Mungu anachokisema juu ya alama ya mnyama.

(NB: maneno “alama”, “muhuri”, “ishara” au “dalili” ni visawe).

Ufunuo 13:16-17 “Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa masikini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Kwanini alama hii ni ya muhimu kuelewa? Kama ukitaka kuthibitisha kwamba kitu flani ni chako, au ukitaka kuonyesha kuwa wewe ni mmiliki wa kitu flani, au ukitaka kutia alama kitu flani kuwa chako, siku zote kutakuwa na vitu vitatu tofauti.

*. Jina lako.
*. Cheo chako.
*. Mahali unapomiliki.

Hivyo, kama raisi wa Tanzania akitaka kuthibitisha kwamba kitu flani kimetoka kwake lazima athibitishe kama hivi:

*. Jina = Jakaya M. Kikwete
*. Cheo = raisi
*. Anapomiliki = Tanzania

Kuna serikali mbinguni (Isa. 9:6), na alama au muhuri wa Mungu ni sheria yake. Angalia katikati ya amri kumi na utaona muhuri wa Mungu, “Maana, kwa siku sita BWANA alifanya mbingu, na nchi, na bahari, na vyote vilivyomo, akastarehe siku ya saba;…” Kut. 20:11

JINA LAKE = BWANA (“Mimi ni BWANA; ndilo jina langu…” Isa. 42:8).CHEO CHAKE = MUUMBA (…BWANA…yeye aliyeziumba mbingu, na…nchi…” Isa. 42:5).ANAPOMILIKI = MBINGU NA NCHI (“Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya BWANA…” Zab. 24:1).

Hivyo, BWANA alipoziumba mbingu na nchi kwa siku sita, siku ya saba alipumzika ili kuweka alama au muhuri kwamba yeye ndiye aliyeziumba mbingu na nchi, kwa hiyo Sabato ni muhuri unaothibitisha kwamba BWANA:

Aliziumba mbingu na nchi.Alituumba sisi pamoja na vitu vingine vyote.Anamiliki mbingu na nchi, pamoja na vitu vyote vilivyomo.

Kwanini shetani anafanya bidii sana kuwaongoza watu wasiitambue Sabato? Ni kwa sababu shetani anataka kujifanya yeye kuwa kama muumba wa mbingu na nchi, hivyo anainaingiza alama yake ambayo ni kinyume na alama ya kweli ya Mungu. Sabato ni alama au muhuri wa Mungu, kwa hakika Mungu mwenye anathibitisha ukweli huu kwa kusema, “…Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote;…” Kut. 31:13. (Kumbuka! maneno ishara, muhuri, alama ni visawe, na yanaweza kutumika kwa kuyachanganya-changanya).

Njia rahisi na nyepesi ya kugundua alama ya mnyama, ni kutafuta kujua kwanza alama ya Mungu., harafu utaona kwamba alama ya mnyama ni kinyume na alama ya Mungu.

Ufunuo 7:2-3 “Nikaona malaika mwingine, akipanda kutoka mawio ya jua, mwenye mhuri wa Mungu aliye hai; akawapigia kelele kwa sauti kuu wale malaika wanne waliopewa kuidhuru nchi na bahari, akisema, Msiidhuru nchi, wala bahari, wala miti, hata tutakapokwisha kuwatia muhuri watumwa wa Mungu wetu juu ya vipaji vya nyuso zao.”

Kama tulivyoona huko nyuma kwamba muhuri na alama ni visawe! Hivyo watumwa wa Mungu wanawekwa alama katika vipaji vyao vya nyuso, kipaji cha uso hapa humaanisha akili, mawazo, au nia.

Wabrania 10:16 “Hili ni agano nitakaloagana nao baada ya siku zile, anena Bwana, Nitatia sheria zangu mioyoni mwao, Na katika nia zao nitaziandika…”

Pia Wanafisikolojia hutuambia kuwa ubongo wa mbele wa cerebrum [paji la uso] ndipo shughuri kama uamuzi, hukumu, na uhuru wa kutaka vinapofanyikia. Hivyo, Wakristo wanawekwa alama katika vipaji vya nyuso zao, pale tu wanapomkubali Yesu kuwa Mwokozi wao na kutunza amri kumi zote kwa kuhiari, au kutaka wao wenyewe bila kulazimishwa. Hii ndiyo maana muhuri au alama ya Mungu haiwekwi mkononi, kwa sababu Yesu hatawalazimisha watu kumwabudu na kuzitii amri zake. Mkono humaanisha kulazimishwa kufanya kitu furani kinyume na nia zetu.

Jeremia 38:23 “Na watawatoa wake zako, na watoto wako wote, na kuwachukua kwa Wakaldayo; wala wewe hutapona na mikono yao, bali utakamatwa kwa mkono wa mfalme wa Babeli, nawe utakuwa sababu ya kuteketezwa kwa mji huu.”

Yesu kamwe hatatulazimisha sisi kumwabudu, kwani anapendezwa kama tutamwabudu na kutunza sheria zake zote, kwa hiari yetu bila kulazimishwa.

Ufunuo 13:15-17 “Akapewa kutia pumzi katika ile sanamu ya mnyama, hata ile sanamu ya mnyama inene, na kuwafanya hao wote wasioisujudu sanamu ya mnyama wauawe. Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao; tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Alama ya mnyama inawekwa katika kipaji cha uso na kwenye mkono. Hivyo wale wote wanaokubali kwa hiari yao wenyewe kumfuata mnyama na kutii amri zake, hawa wamewekwa alama kwenye paji la uso; maana wamehiari wao wenyewe bila kulazimishwa. Na wale wanaopokea alama kwenye mkono, ni wale watakaotii amri za mnyama kwa kulazimishwa bila ridhaa yao. Kwa hofu ya kifo na kushindwa kununua wala kuuza, wanaamua kumtii mnyama ili wasipoteze vitu walivyovifanyia juhudi nyingi katika maisha yao na hili ni bonge la kosa.

Kwa sababu tumeelewa kwamba kuamua kumkubali Yesu kama Mwokozi wetu na kutunza mafundisho na amri zake zote, ni sawa na kupokea alama au muhuri wa Mungu. Tunatakiwa pia tuelewe kuwa kukubali amri, mafundisho, au mapokeo ya kanisa la Romani Katoliki au kanisa lingine lolote linalofuata imani ile ile na kufundisha mapokeo yake, inamaanisha tumepokea alama ya mnyama. Pia elewa kuwa kutakuwa na wengine ambao sio Wakatoliki lakini wanafanya kila kitu ambacho mnyama anaamru kwa kuogopa kufa, au kupoteza mahitaji ya kawaida kwa kuzuiliwa kuuza wala kununua, kitu ambacho kitapelekea kukubali kufuata matakwa ya mnyama. Hawa watapokea alama ya mnyama kwenye mkono kwa sababu wamelazimishwa kinyume na matakwa yao. Wakatoliki na Wakristo wengine ambao hukubali haya “mafundisho ya wanadamu” watakuwa wamepokea alama ya mnyama kwenye vipaji vya nyuso zao kwa sababu wamekubali kwa hiari kuwa kanisa lao liko sawa kwa kubadili maandiko na kuingiza “mapokeo” au “mafundisho ya wanadamu.” Na hii ilionywa katika unabii.

Wakolosai 2:8 “Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.”

Hivyo, kama ukipokea “alama” kwa kuchagua mwenyewe, hii inamaanisha umewekwa alama kwenye kipaji cha uso. Na kama ukipokea “alama” kwa kulazimisha, hii inamaanisha umewekwa alama kenye mkono wa kulia. Lakini kumbuka.

Mathayo 16:25 “Kwa kuwa mtu atakaye kuiokoa nafsi yake, ataipoteza; na mtu atakayepoteza nafsi yake kwa ajili yangu, ataiona.”

Mathayo 10:39 “Wala mtu asiyechukua msalaba wake akanifuata, hanistahili. Mwenye kuiona nafsi yake ataipoteza; naye mwenye kuipoteza nafsi yake kwa ajili yangu ataiona.”

Yohana 12:25 “Yeye aipendaye nafsi yake ataiangamiza; naye aichukiaye nafsi yake katika ulimwengu huu ataisalimisha hata uzima wa milele.”

Tukirudi kwenye alama ya mnyama kanisa la Romani Katoliki bila ya kutambua linatimiza unabii huu kwa maelezo yafuatayo.

“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –-H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons

“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” -–Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.

Kama unabii uko sawa unaposema jumapili ni alama ya mnyama, na Mungu anasema wazi wazi.

Kutoka 31:13 “…Hakika mtazishika Sabato zangu, kwa kuwa ni ishara kati ya mimi na ninyi katika vizazi vyenu vyote; ili mpate kujua mimi ndimi BWANA niwatakasaye ninyi.”

Ezekieli 20:12, 20 “Tena naliwapa sabato zangu, ziwe ishara kati ya mimi na wao, wapate kujua yakuwa mimi, BWANA, ndimi niwatakasaye…zitakaseni sabato zangu; zitakuwa ishara kati ya mimi na ninyi, mpate kujua yakuwa mimi ndimi BWANA, Mungu wenu.”

Maneno ishara, muhuri, na alama ni visawe, na yanaweza kutumika popote kwa kuyabadilisha-badilisha.

Hivyo, tuna uhakika wa ukweli wa Biblia kwamba Sabato ni ishara, muhuri, au alama ya Mungu. Na jumapili ni ishara, muhuri, au alama ya mnyama.

View attachment 920036




ACHA UPOTOSHAJI KWA MAFUNDISHO YA UONGO HIYO TAFASIRI YAKO NI YA UONGO NA NDIO MATOKEO YA KUJIGAWA GAWA KWENU WASABATO.





Mnyama-Mwitu Mwenye Vichwa Saba Anayetajwa Kwenye Ufunuo Sura ya 13 Anawakilisha Nini?
Jibu la Biblia
Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba anayetajwa kwa mara ya kwanza katika Ufunuo 13:1 anawakilisha mfumo wa kisiasa wa ulimwenguni pote.
  • Mnyama-mwitu huyo ana mamlaka, nguvu, na kiti cha ufalme, kuonyesha kwamba ana uwezo wa kisiasa.—Ufunuo 13:2.
  • Ana mamlaka juu ya “kila kabila na watu na lugha na taifa,” na kwa hiyo hawezi kuwakilisha tu serikali ya nchi moja tu.—Ufunuo 13:7.
  • Mnyama-mwitu huyo ana sehemu zinazofanana na zile za wale wanyama wanne wanaofafanuliwa kwenye Danieli 7:2-8. Kwa mfano, anatajwa kuwa na sura ya chui, miguu ya dubu, kinywa cha simba, na pembe kumi. Wanyama wanaotajwa katika unabii wa Danieli wanawakilisha wafalme hususa, au falme za kisiasa, zinazotawala kwa kufuatana juu ya milki tofauti-tofauti. (Danieli 7:17, 23) Kwa hiyo, mnyama-mwitu anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13anawakilisha tengenezo lote la kisiasa.
  • Mnyama-mwitu huyo anapanda “kutoka katika bahari,” yaani, kutoka katika jamii za wanadamu zenye msukosuko. Jamii hizo ndizo chanzo cha serikali za wanadamu.—Ufunuo 13:1; Isaya 17:12, 13.
  • Biblia inasema kwamba jina au namba ya mnyama-mwitu huyo—666—ni “namba ya mwanadamu.” (Ufunuo 13:17, 18) Maneno hayo yanaonyesha kwamba mnyama anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13ana asili ya kibinadamu, wala si ya roho au roho mwovu.
Hata ingawa huenda mataifa yakakubaliana katika mambo kadhaa, lengo lao la kuungana ni kudumisha mamlaka yao wenyewe na si kunyenyekea chini ya Ufalme wa Mungu. (Zaburi 2:2) Mataifa hayohayo yataungana katika vita vya Har-Magedoni ili kupigana na jeshi la Mungu linaloongozwa na Yesu Kristo, lakini yataharibiwa kabisa.—Ufunuo 16:14, 16; 19:19, 20.
“Pembe kumi na vichwa saba”
Katika Biblia, namba fulani zina maana ya mfano. Kwa mfano, namba kumi na pia namba saba hutumiwa kufananisha kitu ambacho ni kamili, au kikamilifu. Ili kuelewa maana hasa ya “pembe kumi na vichwa saba” vya mnyama-mwitu wa Ufunuo sura ya 13 tutahitaji kuchunguza “sanamu ya mnyama-mwitu” ambayo inafafanuliwa baadaye katika Ufunuo kuwa mnyama mwenye rangi nyekundu, vichwa saba na pembe kumi. (Ufunuo 13:1, 14, 15; 17:3) Biblia inasema kwamba vichwa saba vya mnyama huyo mwenye rangi nyekundu vinamaanisha “wafalme saba,” au serikali.—Ufunuo 17:9, 10.
Hivyo basi, vichwa saba vya yule mnyama-mwitu katika Ufunuo 13:1vinawakilisha serikali saba: serikali hizo kuu ambazo zimekuwapo katika historia yote ya wanadamu na ambazo zimewakandamiza na kuwatesa watu wa Mungu ni—Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na serikali ya Uingereza na Marekani. Ikiwa zile pembe kumi zinawakilisha serikali zote za kisiasa, ziwe kubwa au ndogo, basi taji la kifalme lililoko juu ya kila pembe linaonyesha kwamba serikali hizo zote zinatawala wakati mmoja na serikali kuu ya ulimwengu inayotawala wakati huo.
 
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo
Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha Danieli na Ufunuo. Tunapaswa kuyaacha maandiko yajitafisiri yenyewe; kwa maana “hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” 2Petro 1:20-21. Hatupaswi kumuacha mtu flani atafsri unabii kwa jinsi yake mwenyewe, badala yake tunapaswa kuiacha Biblia ijitafsiri yenyewe.
Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.
4814d0c0.gif

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”
Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.
Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”
Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”
Mnyama huwakilisha taifa au ufalme
Danieli 7:17 “Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani”
Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”
Kutokana na Ufunuo 17:3, mnyama huyu ana mwanamke aliyeketi juu yake, na kwa sababu unabii unatafisiri mwanamke kama kanisa, na mnyama kama taifa. Je kuna taifa au serikali ambayo imechanganywa pamoja na kanisa kama kitu kimoja? Ndiyo! Vatican, ni serikali au taifa ambalo limechanganywa pamoja na kanisa la Romani Katoliki kama kitu kimoja, na kuongozwa na mtu mmoja ambaye ni Papa.
4814d0c0.gif

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”
Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.
Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com
ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s /seven-hills-of-rome/
Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.
4814d0c0.gif

3. Mnyama atatoka baharini
Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.
Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”
Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.
Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.
4814d0c0.gif

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”
Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake MIEZI AROBAINI NA MBILI.”
Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.
Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.
Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).
Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,
Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”
Hesabu 14:34 “…siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka…”
Kutokana na Ezekieli 4:6 na Hesabu 14:34, ni hakika kwamba siku 1260 ni sawa na miaka 1260 ambayo Upapa ungetawala na kuwadhofisha watakatifu. Je hii ilitokea? Je unabii huu ulitimia? Au Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa unabii huu ulitimia?
Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.
“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327
Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.
Ukiongeza miaka 1260 katika mwaka ambao kanisa la Romani Katoliki lilianza kutawala kisiasa na kidini, mwaka 538 B.K., utapata 1798 B.K. Hivyo, unabii unasema utawala wa kwanza wa mnyama ungeisha 1798 B.K. Je utawala wa mnyama uliisha mwaka huo 1798 B.K?
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Kwa hakika, hizo ni miaka 3 na 1/2 au wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ambazo ni miezi 42 au siku 1260 za unabii ambazo mnyama angetawala kisha angepata pigo la mauti au kuchukuliwa mateka. Je mnyama alipata pigo la mauti mwaka huo 1798 B.K?
4814d0c0.gif

5. Mnyama atapokea jeraha la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lake la mauti likapona…”
Ufunuo 13:10 “Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga…”
Kama tulivyoona huko nyuma baada ya mnyama kutawala miaka 1260 angepata jeraha la mauti na kuuawa kwa upanga (upanga = vita). Baada ya mnyama kumaliza utawala wake wa miaka 1260, ambao ulianza 538 B.K. hadi 1798 B.K., Napoleon alimtuma Generali/Jemedari wake Berthier pamoja na jeshi lake, kwenda Roma kuuondoa utawala wa upapa.
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Napoleon alipomtuma Generali wake Berthier kwenda kumuondoa Papa madarakani, hapo ndipo jeraha la mauti lilipompata mnyama, na mwaka uliofuata 1799 B.K. Papa alikufa. Hii ndiyo sababu watoto wa kikatoliki katika parokia hufundishwa kuwa Napoleoni alikuwa mpinga Kristo.
“Nusu ya Ulaya walidhani…kwamba pamoja na papa upapa ulikuwa umekufa.” –Joseph Rickaby “The Modern Papacy” Lectures on the History of Religion, Lecture 24, (London Catholic Truth Society, 1910), p. 1
Lakini unabii ulisema kuwa jeraha hili lililompata mnyama lingepona. Je jeraha hili lilipona? Je utawala wa upapa ulipoondolewa madarakani na Generali Berthier ulipata nguvu zake tena?
4814d0c0.gif

6. Mnyama atapona jeraha lake la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, NA PIGO LAKE LA MAUTI LIKAPONA. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.”
Kama tulivyoona, upapa ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 B.K. Vaticani ilibaki kama kanisa tu bila nguvu za kisiasa, na unabii ulisema jeraha hili lingepona. Je jeraha la mauti lilipona? Baada ya jeraha la mauti kutokea miaka kadhaa badaye katika mwaka 1929 B.K. Italia ikautambua mji wa Vaticani kama serikali ya kujitegemea, hii ilimfanya papa kuwa na nguvu tena kama mtawala wa kisiasa na kidini. kama unabii ulivyosema kwamba jeraha la mauti lingepona, na upapa ungerudishiwa tena uwezo wake wa kanisa na serikali kwa pamoja. Hebu angalia magaziti yaliyotoa taarifa hiyo jinsi waandishi wake walivyotumia lugha ya unabii bila ya wao wenyewe kujua.
news1929.jpg

Kusaini kwa Mussolini na (Kadinali) Gasspari mkataba wa kihistoria wa Romani
“Suala la Romani usiku huu lilikuwa ni jambo lililopita, na Vaticani ilikuwa katika amani na Italia…katika kuweka sahihi kwenye mkataba wa kukumbukwa kuponya jeraha la miaka mingi, uchangamfu wa kupindukia ulionyeshwa na pande zote.” –The San Francisco Chronicle. Feb. 11, 1929
Papa Amekuwa Kiongozi Wa Serikali Tena
“Roma, Juni 7.–Kutoka saa 5 kamili asubuhi hii kulikuwa na mtawala mwingine wa serikali ya kujitegemea duniani. Katika mda huo waziri mkuu Mussolini, kama waziri wa mambo ya nje Italia akimuwakilisha mfalme Victor Emmanuel–waziri mkuu wa kwanza Italia kuvuka kizingiti cha chini cha mlango wa Vaticani–akibadilishana na kadinali Gasspari, wakala wa serikali ya upapa, akimuwakilisha papa Pius XI, makubaliano ya mikataba yalisainiwa katika ikulu ya Lateran Feb. 11. Kwa kitendo hicho rahisi mtawala wa serikali ya kujitegemea ya mji wa Vaticani amekuwepo.” — New York Times July 7, 1929
Hivyo, unabii huu ulitimia kikamilifu na jeraha la mauti lililoupata upapa 1798 B.K. lilipona kabisa tangu 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za “kisiasa na kidini” au “mwanamke juu ya mnyama.” Kwa kumaliza sehemu hii tunagundua kwamba mnyama huyu ndiye aliyekuwako, naye hayuko, na sasa yupo.
4814d0c0.gif

7. Mnyama aliyekuwako, naye hayuko, naye yuko.
Ufunuo 17:8 “Yule mnyama…alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari…”
Mnyama aliyekuwako: ni kanisa la Romani Katoliki tangu lilipoanza kutawala kama “kanisa & serikali” 538 B.K. na likaendelea mpaka. Napoleon alipomtuma Berthier kwenda kuuondoa utawala wa upapa. 1798 B.K.
…naye hayuko tokea 1798 B.K. mpaka kusaini kwa mkataba uliofanyika katika ikulu ya Lateran katika mwaka 1929 B.K. Vaticani ilikuwa kanisa tu bila uwezo wa kiserikali.
…naye yu tayari kutoka 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za kisiasa na kidini, “kanisa & sesikali” au mwanamke juu ya mnyama.
4814d0c0.gif

8. Mnyama atabadili majira na sheria za Mungu.
Danieli 7:25 “…naye ataadhimu kubadili majira na sheria…”
Unabii huu ni ushahidi ulio wazi sana ambao karibu kila mtu hawezi kusumbuka kuelewa kwamba ni kanisa gani hapa duniani lililobadilisha sheria za Mungu. Ni kanisa moja tu la Romani Katoliki ndilo lililobadilisha sheria za Mungu kama Danieli 7:25 inavyodai kuwa. Kanisa la Katoliki limebadilisha sheria ya pili inayozuia kuchonga sanamu ya kitu chochote kile (angalia Kut 20:4). Katika katekism kanisa limeirarua amri ya 2 kisha likaigawa amri ya 10 katika sehemu mbili ili kuonyesha amri 10 zote. Lakini Je ni nani hapa duniani anayedai kuwa anauwezo wa kubadili amri za Mungu?
“Papa anauwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo!” “Papa anayo mamlaka na mara nyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cap. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.
“Papa ni wa mamlaka kuu na nguvu kiasi kwamba anaweza kurekebisha, kuelezea au kutafsiri hata sheria za Mungu…Papa anaweza kurekebisha sheria ya Mungu, kwa sababu nguvu zake si za mwanadamu, bali ni nguvu za Mungu, na hutenda kama mwakilishi wa Mungu juu ya dunia.” –Lucius Ferraris,Prompta Ribliotheca, “Papa,” art. 2, translated.
Tangu kwamba papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia kubadili majira na sheria za Kristo, Je alibadili sheria ya Sabato? Je kanisa katoliki liliibadili Sabato ya siku ya saba ya wiki kwenda siku ya kwanza ya wiki? Kwa hakika kanisa lenye linakubali!
“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons
“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.
“Swali: Siku ipi ni siku ya Sabato?
Jibu: Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali: Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu: Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa katoliki, katika balaza la Laodikia (364 BK) liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine,p. 50, 3rd ed.
“Kanisa la Romani (Katoliki) liliigeuza amri ya nne kwa kuiondolea mbali Sabato ya neno la Mungu, na kuanzisha Jumapili kama siku ya mapumziko.” –Nicholas Summerbell, History of the Christian Church, 3rd edition, 1873, p. 415 [Christian Church (Christian Connection)].
“Na ni wapi tumeambiwa katika maandiko kwamba tutunze siku ya kwanza kabisa? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hakuna sehemu yoyote tuliyo amriwa kutunza siku ya kwanza. Sababu ya kutunza siku ya kwanza ya wiki kitakatifu badala ya siku ya saba ni kwa sababu ile ile kwamba tunatunza mambo mengine mengi, siyo kwa sababu ya Biblia, lakini kwa sababu kanisa, limeyaingiza [limeyaamuru].” –Isaac Williams, Plain Sermons on the Catechism, vol 1, pp. 334, 336 [Anglican].
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki liliibadili sheria ya Sabato na kuwaamuru watu watunze jumapili badala yake. Na mwaka 1582. Papa Gregory XIII, alianzisha kalenda mpya. Kwa vyovyote, ni Vaticani ndiyo ilitimiza unabii huu kwa ukamilifu kabisa, hakuna jumuiya, wala shirika, wala sehemu yoyote ya kidini au isiyo ya kidini ambayo imetimiza unabii huu, kama ilivyo Vaticani. Ni kanisa la Romani Katoliki pekee ambalo lilibadili sheria, na majira, na kuamuru siku ihesabiwe kuanzia saa sita usiku kinyume na Maandiko yanayothibitisha kuwa siku huanza kuhesabiwa jioni.
Mwanzo 1:5 “Mungu akaiita nuru Mchana, na giza Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.”
4814d0c0.gif

9. Mnyama atanena maneno ya makufuru juu ya Mungu.
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu…”
Ufunuo 17:3 “…nikaona mwanamke ameti juu ya mnyama…mwenye kujaa majina ya makufuru…”
Ufunuo 13:1 “…nikaona mnyama…mwenye…vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena makuu, ya makufuru…”
Kukufuru katika Biblia inaelezewa kama hali ya mtu kujifanya yeye mwenyewe kama Mungu.
Yohana 10:33 “Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwamadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.”
Je nani hujiita na kujifananisha na Mungu hapa duniani?
“Papa siyo mwakilishi tu wa Yesu Kristo, yeye ni Yesu Kristo mwenyewe, amejificha chini ya uficho wa mwili.” –Catholic National July 1895.
“Kwa kuwa wewe u mchungaji, wewe u tabibu, wewe u mwongozaji, wewe u mkulima, hatimaye wewe u Mungu mwingine duniani.” –Labbe and Cossart’s “History of the Councils.” Vol. XIV, col. 109
“Tunapachukulia juu ya dunia hii sehemu ya Mwenyezi Mungu…” –Pope Leo XIII Encyclical Letter of June 20, 1894,
Katika “The Bull Unam Sanctam” iliyotolewa na Papa Boniface VIII inasomeka kama ifuatavyo…
“Papa wa Roma huukumu watu wote, lakini yeye haukumiwi na mtu. Tunatangaza, kutetea, kuelezea, na kutamka; kutawaliwa na Papa wa Roma ni kwa kila kiumbe cha mwanadamu muhimu kwa ajili ya wokovu ambao ulisemwa na Kristo ‘Ameviweka vitu vyote chini ya miguu yake’ inaonekana vizuri imethibitishwa kwangu…Nina mamlaka ya Mfalme wa Wafalme. Mimi ni yote katika yote na juu ya yote, hivyo basi, Mungu Mwenyewe na mimi, kasisi wa Mungu tuna usawa mmoja, na ninaweza kufanya yote ambayo Mungu anaweza kufanya.”
“Mwokozi mwenyewe ni mlango wa zizi la kondoo; ‘Mimi ni mlango wa kondoo’. kwenye zizi hili la Yesu Kristo, hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka awe ameingizwa na Papa mtawalawa na ni pale tu kama wameunganika naye ndipo wanadamu wanaweza kuokolewa, kwa sababu Papa wa Roma ni kasisi wa Kristo na ni mwakilishi wake kwa nafisi duniani.” –(Pope John XXIII in his homily to the Bishops and faithful assisting at his coronation on November 4, 1958).
Kudai kuwa Mungu duniani Biblia inathibitisha kuwa ni kukufuru ju ya Mungu aliye hai. Kufuru nyingine ni kudai kuwa na uwezo wa kusamehe dhambi.
Marko 2:7 “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi ispokuwa mmoja, ndiye Mungu?”
Je makuhani wa kanisa la Romani Katoliki hudai wana uwezo wa kusamehe dhambi?
“Kuhani kiukweli kabisa husamehe dhambi kwa uwezo aliopewa na Kristo.” -Joseph Devarbe’s Catechism, p. 279
“Dhambi zinaweza kusamehewa kupitia sakramenti pekee…wote makuhani na sakramenti ni vifaa ambavyo Kristo anavitumia kukamilisha msamaha ndani yetu na neema ya utakaso.” -Catechism of Trent, p. 115.
“Haya mamlaka ya jaji (Judicial authority) yatajumuisha hata uwezo wa kusamehe dhambi.” –[The Catholic Encyclopaedia Vol 12, -article “Pope” pg 265]
“Na Mungu mwenyewe analazimika kufungwa na hukumu ya kuhani wake na ama kutokuomba msamaha au kuomba msamaha, kutokana na kama wanakataa kutoa ukamilifu, unaotoa toba inayoridhisha.” –Liguori, «Duties and Dignities of the Priest», p.27
4814d0c0.gif

10. Mnyama ana jina lenye namba 666.
Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”
Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”
Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666
Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.
“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.
Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.
Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.
00758020.png

“VICARIVS FILII DEI”
(Kasisi wa Mwana wa Mungu)​
V5I1C100A0R0I1V5S0F0I1L50I1I1D500E0I1Jumla666 Vicariusinamaanisha, katika nafasi yaFiliiMwanaDeiMungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.
4814d0c0.gif

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.
Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.
Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”
Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”
Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu.”
 
External Share

  • Islam vs. Rome Where does the anti-Christ come from?
  • Published on June 5, 2017
Patrick Bishop (Double Your Web Site Traffic and Revenues)Double Your Web Site Traffic and Revenues, GUARANTEED!!
Many people are blinded and think that the anti-Christ comes out of Rome because Rome has seven hills. I used to believe the same thing until I studied Islam. People are so misled by that, it is incredible. Does Rome (the Catholic Church) deny that God is Father, Son and HolySpirit? Do they deny that Jesus rose from the dead? Do they behead Christians and Jews? Those are ery basic facts that prove it can not be Rome. Open your eyes.

The Bible says that the anti-Christ would do those things, so how can someone who does not do those things be the anti-Christ or be where the anti Christ comes from?
I am showing proof here in this article who the antichrist/beast are and where they come from. This is Part 1.
Here are a few Scriptures I would like you to meditate on
John 8:42: Jesus said to them, “If God were your Father, you would love Me, for I proceeded forth and came from God; nor have I come of Myself, but He sent Me.
1 John 2:22-23: Who is a liar but he who denies that Jesus is the Christ (Son of God)? He is antichrist who denies the Father and the Son. Whoever denies the Son does not have the Father either; he who acknowledges the Son has the Father also.
John 4:1-3: Beloved, do not believe every spirit, but test the spirits, whether they are of God; because many false prophets have gone out into the world. By this you know the Spirit of God: Every spirit that confesses that Jesus Christ has come in the flesh is of God, and every spirit that does not confess that Jesus Christ has come in the flesh is not of God. And this is the spirit of the Antichrist which you have heard was coming, and is now already in the world.
(Note: Mohammed claimed that the Quran was dictated to him by the angel Gabriel.) 2 Corinthians 11:14-15: For Satan himself transforms himself into an angel of light. Therefore it is no great thing if his ministers also transform themselves into ministers of righteousness, whose end will be according to their works.
See also Galatians 1:8: But even if we, or an angel from heaven, preach any other gospel to you than what we have preached to you, let him be accursed.
2 John 1:7: For many deceivers have gone out into the world who do not confess Jesus Christ as coming in the flesh. This is a deceiver and an antichrist.
I want to ask you some hard questions:
1) What spirit being(s) would deny the Godhood of Jesus Christ? 2) What spirit being(s) would deny our Father-child relationship with God? 3) What spirit being(s) would deny that Jesus went to the Cross and died for our sins? 4) What spirit being(s) would deny that Jesus was resurrected from the dead?
Here are your choices of spirit beings: God, the Devil, angels & demons….
WHO was the spirit being that challenged Jesus in the beginning of His earthly ministry in the attempt to derail Him? WHAT kind of temptations did he throw at Jesus? (See Matthew & Luke 4.)
1)
Challenged His Godhood.
2)
Challenged His Father-Son relationship.
3)
Came back at the end (“the more opportune time” — Luke 4:13) to

challenge the work He was about to do on the Cross and the Resurrection: “the ruler of this world is coming but he has found nothing in Me.” (John 14:30, spoken the night before the Crucifixion.) Think of the opening scene in Passion of the Christ.
IN CONCLUSION I want to make something clear. In no way shape or form am I preaching hate toward the Muslim people. If you take that away you are misinterpreting the message. Another difference between Christianity and Islam is that Christians are commanded to LOVE our neighbor as ourselves (Matthew 22:39) and even to LOVE any people we consider enemies (Matthew 5:44). God’s desires are to be our desires and His desire is that none would perish but all would come to repentance and Salvation through Christ (2 Peter 3:9).
Our true enemy is the Devil and his demons (Ephesians 6:12) and I am here to expose any heresies and false teaching that he promotes. The Bible makes it clear that any doctrine, teaching, theology or “gospel” that takes away from the divinity, saving works and saving grace of Jesus Christ is ANTI-Christ and is not of God but of the Devil. The only path of Salvation to Heaven is Jesus. He is God in the flesh, the Messiah & the Savior!
Let’s now answer the questions we asked.
1) “Do Christians and Muslims worship the same god?”
NO: God the Father and Allah are clearly 2 different beings with vastly different qualities.
2) “Is Islam a religion of peace or …?”
Not for the fundamentalist Muslim who sees Jews & Christians as heretics and blasphemers and who are the enemies of Islam. Moderates have a strained “peace” but even they believe that one day Islam will rule the world. Liberal Muslims are peaceful people who do not believe in terrorism.
3) “How do the Bible and the Quran differ?”
VASTLY. The Quran claims that it’s the truth and that the Bible is corrupt.
4) “How do Jesus and Mohammed differ?”
GREATLY. Jesus is the divine Son of God, the Way, the Truth and the Life. The Savior. Mohammed was a regular guy who advocated violence, oppression of women, and marriage with young girls (his youngest wife was 6).
5) “What are the theological differences between Christianity and Islam and are they compatible?
To a true believer of either faith they are not compatible in the least. Only a liberal Christian or Muslim could make them compatible.




Islam, the Antichrist & the False Prophet
What is the Role of Islam in the End Times? Again we’ll compare the End Times scenario laid out in the Bible vs. the one presented in the Quran and discover some ASTONISHING revelations that will challenge traditional end times teaching such as:
1)
The mysterious “Eighth” Kingdom (Revelation 17:11).
2)
The true lineage and religious identity of the Antichrist and the
False Prophet.
3)
The true “mark” of the Beast and what it means.
4)
What Islamic End Times theology says about the Jewish Messiah.
5)
My take on the Last Days “lie” or “strong delusion”
(2 Thessalonians 2:11) that will deceive even “the very elect”
(Matthew 24:24).
…and much more

In the previous Chapter we discovered that Christianity and Islam are diametrically opposed to one another: what one holds to be sacred the other views as blasphemous.
This time we’re going to explore the End Times Scenario laid out by Islam and see how that differs from the one in the Judeo-Christian Bible. By the time this chapter is over you will know the TRUE religious identity and lineage of the Antichrist and False Prophet and that of their final empire known as “The Beast.”
If you’ve studied Eschatology (theology of the End Times right before the Second Coming of Christ) you’re aware of the 3 major characters: Jesus, the Antichrist and the False Prophet. If you’re a Christian, Jesus is the Good Guy, the Antichrist the main bad guy, and the False Prophet the secondary bad guy. Jesus represents God (John 1:1) whereas Antichrist and False Prophet represent the Devil (Revelation 13). The Antichrist and False Prophet are allowed to make their debut at the beginning of the final 7 years (Daniel 9:27) before the return of Christ known as Daniel’s 70th Week (one “week” in Hebrew is 7 years in English). They’re allowed to establish a powerful empire that will ATTEMPT to take over the world (Revelation 13).
At the end of the 7 years the armies of the Antichrist will gather together in the Valley of Megiddo—known as Armageddon—and there they will fight against Jesus and His Saints who come from the sky to the earth (Revelation 19). Jesus now comes as the Conquering King of kings and Lord of lords and will utterly destroy the Antichrist’s army and then cast both the Antichrist and False Prophet into the Lake of Fire. After that Jesus establishes His Millennial Reign on earth that lasts for 1000 years (Revelation 20:4).
CLASSIC end time teaching is that the Antichrist will come from Europe and that his final empire—known as the Beast—will be the European Union. I’ve taught that the False Prophet will be an apostate Christian who sides with the Antichrist and will become his religious leader…. I was WRONG on both counts and now officially retract those teachings in light of new revelations that have sprung up.
As much as its hurts to do that I’m also glad because I hunger for the truth and know you do too. Hebrews 1:1 states that revelation (about some things) is progressive and this is especially true when it comes to End Times teaching. The angel Gabriel told Daniel the Prophet that the closer we come to the Second Coming the more God would reveal about the end times to His people (Daniel 8:26, 9:24, 12:5-13). I must reveal something that has me excited and alarmed at the same time: I’ve received more End Times revelation in the last year than I have in the last 10 which tells me that the return of Christ may very well be nearer than we might think! These things have recently been revealed by the Holy Spirit to the global Church and we’re in on the “ground floor” of these revelations. They’re being unsealed now because truly we are in the Last Days—Jesus is preparing to mount up on His white horse and we need to be ready!
Here then is the true religious identity & lineage of the Antichrist, the False Prophet, and the “Beast” which is the final world empire: they will all be Islamic. Islam will not just have “a” role in the Tribulation but the LEAD role here on earth.
We’re going to start today with the Antichrist and False Prophet—their characteristics and actions according to the Bible, the Quran and the Hadith (the Hadith or Sunna are a separate work from the Quran and gives the history of Islam: what Mohammed did & said as well as his followers. The Quran is all theology & prayer and the Hadith are the historical records.)
NOTE: While most Muslims hold the Quran to be holy and Allah-inspired, not all feel that way about the Hadiths. Shiite Muslims have a greater tendency to cling to the Hadiths and the idea of an Islamic Messiah than the Sunni Muslims do, for example.
What many Christians don’t know is that Islam has their own version of the End Times and the last 7 years. Their version contains the same 3 major characters as ours . . . but turned completely around. (Please remember that we already discovered when we compared Islam & Christianity side by side—Mohammed took everything held as holy by Christians, turned it completely around, then called it “truth.”)
Before I continue any further I strongly suggest you read the book “God’s War on Terror” by Walid Shoebat. Walid was raised as a Muslim in Bethlehem, went on to become a terrorist for the PLO and converted to Christ in the early 1990’s. He is the one whom God has anointed to bring this fresh word to the Western Church and where the meat of this information has come from. Walid now preaches at most of the major prophecy conferences in the world and has been on The O’Reilly Factor, CNN, CBS and the BBC. You can go to his website at www.walidshoebat.com
THE MAHDI
Shiites and some Sunni Muslims are looking for the return of Imam-al-Mahdi or what we would call the Islamic Messiah. According to their legends, the 12th descendent of Mohammed is being held in a well deep in the earth by Allah perfectly preserved from which he will ascend and rise for the final 7 years before Judgment. At the beginning of that 7 year period he will come out of the well and begin to establish an Islamic world order that will dominate the entire world through false peace and then military conquest. Muslims say that their Madhi’s name will be “Muhammad bin Abdullah.”
The Bible calls the Antichrist “the beast who comes up out of the abyss” (Revelation 11:7). The similarities to the Madhi which is also said to ascend from an abyss or cave is too co-incidental.
The Bible links the 666 to the beast. A man named Adonikam who came out of Babylonian captivity, had 666 male children and grandchildren, Ezra 2:13 “The sons of Adonikam, six hundred and sixty six.”
Adonikam means the “Lord of Rising.” The meaning of his name perfectly depicts the Rising of the Madhi from the well or cave within the earth. Adonikam was not the beast, but his name suggests a clue which can be linked to the Madhi whom Islam is waiting to rise from the abyss. In Revelation 9:11 a fallen angel named Apollyon (the destroyer) is released from the Abyss. Biblical scholars believe that Apollyon is the Spirit of the Antichrist, the spirit of Destruction. This perfectly fits with the Madhi whom Islam claims will rise from the abyss and destroy the world conquering it for Islam. The 9/11 attack of the world trade centre, I believe was prophetically linked to Revelation 9:11 which is the very verse in which Apollyon appears. By using this date the Muslim Terrorists were revealing themselves and their coming Madhi, as Apollyon -the Destroyer in Revelation “9:11.”
(SIDE NOTE: Iranian President Mahmoud Ahmidinajead fully believes this theology and spoke it during his speech to the U.N. and many other times on TV and to newspapers. He believes he can “speed up” the coming of his Mahdi by attacking Israel. AGAIN I say: there is no separation of religion and state for Islamic nations. We might want nukes for political and security reasons but Iran is developing nukes totally for religious reasons.)
JESUS
Muslims believe that Jesus will return—remember they say He never died but was caught up to Heaven by Allah where he is being held even now. They say Allah will send him back down to earth in the final 7 years and he will declare to all one of two things: 1) that he LIED to everyone about being Allah’s son or 2) that everyone misinterpreted what he said and that he never claimed to be Allah’s son. This “Jesus” will then go on to declare that Islam is the way, the truth and the life and he will then admonish all Christians to convert or face the consequences.
Afterwards he and Madhi will team up and systematically kill all the Jews in the world and force everyone else to convert to Islam or die by the sword.
THE DAJJAL
At the end of the 7 year period Madhi and Muslim “Jesus” gather their armies together in the valley of Megiddo to fight the Dajjal. The Dajjal is their Antichrist, their bad guy, and they’ve been preparing their followers for 7 years to hate and fight him. LISTEN NOW! They acknowledge that the Dajjal is the Jewish Messiah, who is coming in the clouds to rescue the Jews! That He will have great powers so as even to control the weather. Mahdi, Muslim “Jesus” and their great army will fight against the Dajjal and win. In the end, the world is dominated by Islam and is finally at peace.
We will now compare, side by side, the characteristics of the Antichrist as given in the Bible to the characteristics of the Madhi given in Islamic theology. Let’s start with a big one that’s already on some of your minds:
LINEAGE: PEOPLE OF THE PRINCE TO COME
“And the people of the prince who is to come shall destroy the city and the sanctuary” (Daniel 9:26).
This verse is the one used by scholars for centuries to identify the lineage of the Antichrist as coming out of Europe. The “prince who is to come” is most certainly referring to the Antichrist, so now we need to examine the rest of the verse to correctly determine his lineage whether European or Arabic. The “city” referred to is Jerusalem and the “Sanctuary” is the Jewish Temple that existed in Jerusalem in the days of Jesus. Thus the lineage of Antichrist is hidden—or rather revealed—through “the people of the prince.”
In 68 A.D. the Jews rebelled against Rome and Rome sent the 10th Legion commanded by General Titus to quash the rebellion. In 70 A.D. all was said and done and Rome won the day. In complete fulfillment of the prophecy of Daniel 9:26 they sacked Jerusalem and destroyed the holy Temple. Because Titus was Roman and the army BELONGED to Rome prophecy scholars have thus assumed the Antichrist will come out of Europe . . . but let’s examine verse 26 of Daniel again. It’s the people of the prince to come who do the actual destroying of Jerusalem and the Temple, so therefore it’s from THEM the Antichrist will spring forth. Historical examination of the Roman 10th Legion gives us an astounding discovery.
While it was the Roman 10th Legion and the Legionnaires were Roman citizens, they were not from the Western half of the empire but the Eastern half which was the Middle East. General Titus was the commander of all the Eastern Legions and not the Western. The Roman 10th Legion that destroyed Jerusalem and the Temple consisted of Arabs, Syrians & Turks . . . all of which are now Muslim countries. Take a look at a modern map—the ENTIRE Middle East is Muslim except Israel. The Eastern half of the Roman Empire was the Middle East including North Africa all of which are Muslim nations.
NAMES OF ANTICHRIST
There are many names given in both Old and New Testaments for the Antichrist: “son of perdition,” “man of sin,” (2 Thessalonians 2:3), etc.
Some of the names are ones that speak to his lineage such as “The Assyrian” (Isaiah 10:24, 14:25 & Micah 5:5-6), “King of the North” (Daniel 11:40) & “King of Tyrus” (Ezekiel 28:2). Remember that Biblical perspective is geographically and spiritually from the standpoint of Israel and not the USA. Then the Antichrist must come from NORTH of Israel which leaves Lebanon, Syria, Turkey, or Russia. There is absolutely no Scriptural evidence that he comes from Russia even when you take things as allegorically as possible which leaves Lebanon, Syria & Turkey. Ancient Tyrus is modern day Lebanon which leads us into his next name, “The Assyrian.” If you check your old Bible maps all 3 of the aforementioned countries were part of the ancient Assyrian empire.
BLASPHEMES JESUS
“He shall speak pompous words against the Most High,” (Daniel 7:25). Several times throughout the Book of Daniel the Antichrist is shown to blaspheme God and even raise himself up to be equal to God (Daniel 7:8, 11, 20, 11:36). The New Testament confirms exactly the same thing about the Antichrist (2 Thessalonians 2:4, Revelation 13:5-8).
As we discovered before the teachings of the Quran and Allah’s prophet Mohammed both blasphemed Jesus by claiming that He was NOT God’s Son, nor Savior, nor went to the Cross, was not resurrected and called Him a liar. Both go on to say that Islam is the only path to Salvation and that Mohammed is Allah’s greatest messenger. The Islamic Mahdi—who will be a Muslim’s Muslim—will do exactly the same in the attempt to deceive Christians to cast off their faith. Backing him up will be the Islamic “Jesus” who will preach that he was the Jesus of the Bible and that he lied about being God’s Son and has thrown HIS lot in with Islam.
CHANGES TIMES AND LAWS
“And shall intend to change times and laws.” (Daniel 7:25). Islamic theology makes it clear that Madhi and Muslim Jesus establish a Caliphate—a Muslim empire—that will rule the world. A Caliphate (Islamic Empire) is to the Muslims as the Vatican is to Catholics. The Caliph (a person) is to the Muslims as the Pope is to the Catholics.
There has not been a Caliphate or Caliph since 1924 when the Ottoman Empire fell.
Islam has its own set of laws called “Sharia Law” which all Muslims are supposed to live by and Sharia Law will become the rule of the Islamic Empire, replacing any other laws and rules nations may have established. Time wise most of the world operates by the Gregorian Calendar which includes B.C. and A.D. The Muslims, however, operate by a different calendar called “Hijrah” and year 1 for them was 622 A.D. when Mohammed immigrated from Mecca to Medina. Thus 2010 A.D. for us is 1431 Hijrah or H for Muslims. Mahdi will force anyone in his empire to come under this calendar.
REJECTS OLD GODS
“He shall regard neither the gods of his fathers . . . nor regard any god; for he shall exalt himself above them all.” (Daniel 11:37). Some translations say “God of his fathers” which led many to falsely believe Antichrist must be Jewish since the word “god” is singular. The Hebrew word used here, however, is “elohiym” which is PLURAL—gods and NOT “God.” Thus it should read “he (Antichrist) shall not regard the gods of his fathers.” Before, Mohammed and the Arabs worshipped 360 gods and Allah was the Moon God (thus the crescent moon on the Islamic flag). Mohammed came along and declared all the other gods to be false and that Allah was alone in his godhood (Tawhid). Thus Mohammed “did not regard the gods of his fathers” and neither shall Antichrist-Madhi.
Antichrist-Madhi will also be possessed by Satan-Allah and thus he follows the same pattern Satan has since he was still in Heaven—he wants to replace and be God. Wants others to worship him as God . . . it’s the same old same old with Satan just likes it’s always been.
DOES NOT REGARD DESIRES OF WOMEN
In the same chapter and verse (Daniel 11:37) Antichrist is said to not regard the desires of women. This short part of the verse has puzzled prophecy buffs for years including myself. I was told this would mean 1 of 3 things: that Antichrist was homosexual, asexual, or that he cared nothing for the desires of Jewish women who want to birth the Messiah.
I immediately rejected the last as soon as I heard it because it was too much a stretch. I concluded it must mean one of the first two, although neither of those options sat well with me.
Earlier we mentioned that it would be Islamic Sharia Law, which the Antichrist-Madhi will impose. Sharia Law is VERY oppressive & denigrating toward women and was created by Mohammed. For example, Sharia Law dictates that it takes 2 women to testify against 1 man in Islamic court because Mohammed said women only have half a brain. If a Muslim wife disrespects her husband in any way he must bring her through a 3 step process of reconciliation. 1) Verbally admonish her. If that doesn’t work then 2) Deny her in the bedroom. No, ladies, I’m not kidding . . . Allah says this punishes YOU! If that terrible consequence doesn’t do the trick then 3) BEAT HER. (Surah 4:34) “Moderate” translations of the Quran ADD to that last command words like “lightly” or “with a toothpick” but the original says nothing of the kind.
A Muslim woman cannot marry a non-Muslim man, although a Muslim man can and is encouraged to marry non-Muslim women. If a Muslim wife commits adultery on her Muslim husband, she is to have her head cut off or be stoned to death. In case you think that only applied back in Mohammed’s day, think again. In the USA, in Buffalo, NY in 2009 a “moderate” Muslim man named Muzzammil “Mo” Hassan discovered his wife wanted a divorce and beheaded her. It made all the news. What was shocking was this man had formerly been hailed by the media as a moderate non-terrorist Muslim, because right after 9/11/2001 he made a series of videos and started his own TV station, for the sole purpose of introducing Islam to the West. He proclaimed himself to be a “bridge-builder” between Islam and the USA and he wanted to portray a non-terrorist, non-violent image of Islam.
Last but not least only Muslim men are given the “perks” of going to Paradise. The 72 virgins everyone talks about are special women created by Allah himself, but here is what the media never tells you, but it’s in the Quran: these 72 are buxom AND they don’t have personalities. (Surah 78:31). No wants or needs except to please the man to whom they’ve been assigned. Do you truly wonder why so many young Muslim men with their whole lives ahead of them, are willing to blow themselves up?
Some of you are asking why there are female suicide bombers then— what motivates them? FEAR. First is this: Mohammed told his men that Allah gave him a vision of Hell and, quote, “it was full of women.” This should scare any true believing Muslim woman that too many of her gender obviously fall short of doing enough good works, to earn paradise. Remember what the Quran says is the ONLY guarantee to paradise—Shahid: martyrdom in the cause of Allah. Keep something in mind as well: if a Muslim woman has premarital sex or is raped Sharia Law says to kill her. These women are given a choice: be stoned to death, or attach bombs to their bodies, and blow themselves up in a crowd of Jews, to redeem her soul and bring honor back to her family (who have been publicly shamed because of her sin).
Is there any doubt that Antichrist-Madhi, a Muslim’s muslim, will “not regard the desires of women”?
MASTER DECEIVER
Daniel 8:25, Matthew 24, 2 Thessalonians 2 and Revelation 13 all state the Antichrist-Madhi will be deceptive and will successfully deceive many, even the “very elect” as Jesus put it. Although the Quran says lying is a sin, the context is one Muslim lying to another. There are 3 Islamic terms we need to define: “Kitman,” “Taqiyya,” and “Hudna.”
Kitman and Taqiyya or “holy hypocrisy” (as Muslims call it) are very similar in that they both mean to conceal one’s Islamic faith to a non-Muslim, and this deception includes speaking lies and spreading disinformation in any form. Taqiyya is more precise in that this deception is for the purpose of self-preservation of life or reputation, and also includes hiding one’s intentions especially if they’re hostile. This is why terrorists live and work in the USA until one day they're caught in a plot to blow something up.
To be fair a moderate Muslim will claim this is only a theology practiced among Shiite Muslims, or others who are more fundamentalist . . . the Mahdi-Antichrist will be as fundamentalist as one can get! As we’ll cover in a moment, the Madhi-Antichrist starts off as a man of false peace, who may even play down or deny his Islamic faith to deceive Israel and the West….
(I know what some of you are thinking right now. A picture of Obama sprung up in your minds especially for the fact that he spent much time denying that he took on any of his father’s Muslim beliefs, and also the fact that he just won the Nobel Peace Prize. I do not believe at this time that Obama is the Mahdi-Antichrist, and one reason for that is that according to his birth certificate he was born in Kenya, Africa which is SOUTH of Israel and Madhi will come from the NORTH of Israel.)
Again we see the opposite nature of Christianity vs. Islam—Jesus tells us that our love and faith in Him should be the LIGHT of the world for ALL to see (Matthew 5). 11 of the 12 disciples were martyred because they would not conceal nor deny their love for Christ even in the face of torture and death. The one who lived, John, was exiled to the prison isle of Patmos for life because he would not renounce Jesus. Hundreds of thousands have been martyred since that time for exactly the same reason (Hebrews 11:35-38). Jesus told us that whoever proclaims His name publicly before others that He (Jesus) will proclaim before His Father and all the angels . . . but whoever denies His name before others will be denied by Jesus in Heaven (Matthew 10:32-33).
FALSE PEACE—WILL CONFIRM A COVENANT BETWEEN FACTIONS.
“Then he shall confirm a covenant with many for one week; But in the middle of the week, He shall bring an end to sacrifice and offering.” (Daniel 9:27). “Hudna” springs off Kitman and Taqiyya but is based on TREATIES with non-Muslims and Hudna states that a treaty with infidels does NOT have to be honored and should be kept a max of 10 years. This time frame gives the Muslims time to gather money and military power, to finally break the treaty and militarily attack those they formerly had a treaty with.
An excellent example is provided by Mohammed himself in the Hadith. When he first came to Medina he and his new followers were not powerful enough to take the city by force . . . so he made a peace treaty with them that was supposed to last 10 years. Within a few years after going on many raids his coffers increased and so did his number of followers. When he was finally powerful enough he broke the treaty and his army rode into the city and took it by force.
In 1993 Palestinian President Yasser Arafat was awarded the Nobel Peace Prize for signing a 7 year peace treaty with Israel called the Oslo accords. When asked by the media if he was going to grant Israel peace Arafat replied “I will give them the same peace Mohammed gave at Medina.” Hudna! He was biding his time. Since then there have been over a 100 “cease fires” agreed to by the PLO, Fatah and Hamas all of which those terrorist organizations always break.
In the current day do not be surprised if Iran agrees to “peace” with the West over its nuclear arms goals (Which they did!!). That “peace” will be totally false and act to buy them time to develop a fully operational warhead they can use to destroy Israel. Hudna! The Kitman and Taqiyya they continually use is to tell us what we want to hear and in their own country say “Death to Israel! Death to America!”
As far as the End Times are concerned and the final 7 year covenant he confirms, many believe it will be between the Jews and Arabs over creating a Palestinian State further dividing up the land of Israel and the city of Jerusalem. It’s also speculated that the “hook” for the Jews will be the building of their Temple on the Temple Mount in Jerusalem. Islamic theology states that Madhi will sign a 7 year peace agreement between Muslims and “the Romans” (which symbolizes the West) and that a Jew will preside over the confirmation process. According to Scripture antichrist breaks the treaty at mid “week” (3.5 years into it) and then begins a military conquest against the Jews and Christians of the world which is exactly the historical pattern & prophetic theology of Islam End Times. Again: another of MANY theological coincidences between the Antichrist and Islamic Mahdi.
MILITARY LEADER WHO LIKES WAR
Daniel 11:38 shows that Antichrist “honors the god of forces” and Revelation 13:4 shows people amazed at his military power/aggression saying “who can make war with the Beast and possibly win?”
In the Quran Allah demands war against unbelievers (Surah 9:124) and especially against Jews and Christians (Surah 9:29). Other “war” verses are Surah 5:34, 9:73, 123 & 191. The Mahdi & Muslim “Jesus” are predicted in Islamic End Times theology to make war on all those who do not convert to Islam and crush them.
PERSECUTES JEWS AND CHRISTIANS
Daniel 7:21, 25, 9:27, & Revelation 13 make it clear Mahdi-Antichrist makes war on the saints and PREVAILS against them. Several of the minor prophets of the Old Testament along with heavy hitters like Ezekiel and Isaiah (along with Daniel, of course) speak of great persecution of Jews by Antichrist. Jesus brings this same persecution up in Matthew 24 and Mark 13, telling the Jews to flee to the wilderness as soon as Madhi-Antichrist sets up the Abomination of Desolation in the Jewish Temple (the mysterious “image of the Beast.”) Deliverance doesn’t come until the end, when Christ returns and fights the Mahdi-Antichrist.
Islamic theology includes this militaristic persecution & conquest! Again Allah commands war against Jews & Christians (Surah 9:29) and Islamic theology states this will happen worldwide in the final 7 years.
FIGHTS AGAINST OTHER NATIONS
“Thus he shall act against the strongest fortresses with a foreign god” (Daniel 11:39). This verse is fascinating because it clearly shows that Antichrist will have OPPOSITION even before Christ returns from the “strongest” nations, who also worship a different God (different than Allah) than his. My hope and prayer is that the USA is one of these nations and it could very well be. Back in Genesis God Himself prophesied over Ishmael and his descendents (the Arabs) that “he will be a wild man, his hand would be against every man and every man’s hand against him” (Genesis 16:12). Again, Islamic End Times theology states Mahdi will fight against all unbelievers in the attempt to convert them to Islam and establish a worldwide Islamic order.
Who are The False Prophet & Allah?
In the previous chapters we discovered a major revelation that blew away previous erroneous teachings: that the Antichrist, the False Prophet and the final world empire a.k.a. “The Beast” will all be Islamic. We discovered that Islam has its own version of the End Times and they await the coming of The Mahdi—the Islamic Messiah—who will establish a Caliphate, and begin to convert the entire world to Islam. Alongside him is who the Quran calls “Isa,” also known as Muslim Jesus, who will return at the same time as Mahdi, and declare to the world that he lied about being God’s Son. He will then join with Mahdi in “evangelizing” the world for Islam. At the end of 7 years, Isa will fight the Dajjal—whom they admit is the Jewish Messiah coming in the clouds to rescue Israel. According to Islamic theology Isa kills the Dajjal and then Islam rules the entire world.
We compare the Islamic Mahdi and the Biblical Antichrist side by side, and discovered that only the Mahdi fulfills all the characteristics & actions of the Antichrist. We proved that he will NOT come out of the European Union as previously taught.
In this chapter we’ll delve into the mysterious figure known in the Book of Revelation as “The False Prophet.” In Revelation chapter 13:11-17 it says:
Then I saw another beast coming up out of the earth, and he had two horns like a lamb and spoke like a dragon. And he exercises all the authority of the first beast in his presence, and causes the earth and those who dwell in it to worship the first beast, whose deadly wound was healed. He performs great signs, so that he even makes fire come down from heaven on the earth in the sight of men. And he deceives those who dwell on the earth by those signs which he was granted to do in the sight of the beast, telling those who dwell on the earth to make an image to the beast who was wounded by the sword and lived. He was granted power to give breath to the image of the beast, that the image of the beast should both speak and cause as many as would not worship the image of the beast to be killed. He causes all, both small and great, rich and poor, free and slave, to receive a mark on their right hand or on their foreheads, and that no one may buy or sell except one who has the mark or the name of the beast, or the number of his name.
Revelation calls this man “The False Prophet” (16:13, 19:20 & 20:10). Let’s review what Revelation 13 lists as the characteristics of the False Prophet:
1)
Comes “up out of the earth.”
2)
Has 2 horns and resembles a lamb.
3)
Speaks like a dragon.
4)
Exercises great authority in Islam & the Caliphate.
5)
Causes people to convert to Islam.
6)
Performs “signs” such as calling “fire” from the sky to strike the
earth.
7)
Deceives people with these signs, causing them to convert to
Islam and “make an image” to worship.
8)
Creates the famous “Mark of the Beast” that people must take to
prove their loyalty.

Remember: Islam has all the same characters in its end times theology as Christians do—they just twist them around to make evil good and good evil (Isaiah 5:20). We’ve already established that their Messiah—the Mahdi—is our Antichrist. Who is the Mahdi’s right hand man? Isa, or the Muslim Jesus! I believe that Isa is The False Prophet of Revelation and I will give you Scripture to back up my position. Before we continue you should have already seen that Satan takes all of the truths of the Scripture and twists them as he’s always done, which can lead to confusion. His twisting and distortions contain enough “fact” to possibly deceive the very elect. The best liars are not those who tell all lies all the time, but those who use facts and truth, and twist them. Let us now take the 8 characteristics of the False Prophet from Revelation 13 and go through them one by one.
COMES FROM UNDER THE EARTH
According to Islamic End Times theology, one of the first signs of Judgment Day—LISTEN NOW
“And when the word shall come to pass against them (non-Muslims), We shall bring forth for them a Beast from the earth that shall wound (speak to) them, because people did not believe our revelations.” (Quran 27:82).
Another translation says “speak” instead of “wound” so in other words, this “Beast” will rebuke non-Muslims for not believing that the Quran is the final revelation of Allah and Mohammed his last and best Messenger (Prophet). Here’s a quote from Mohammed himself about this event:
“The first of the signs that will come is the rising of the sun from its place of setting and the emergence of the Beast upon the people. Whichever of these 2 occurs before then the other is right behind it.” (Hadith—Abdullah-b-Umar, Sahih Muslim).
Remember the first thing Isa—Muslim Jesus—will do when he returns, is to declare that he lied about being the son of God, convert to Islam by declaring that there is no god but Allah and Mohammed is his messenger. Then he will rebuke the Christians for calling him God’s son and call upon them to convert to Islam or die. Let those who have ears hear! Remember the first Islamic Beast kingdom (Revelation 13:1) is spoken of as coming out of the Sea, meaning the Islamic nations around Israel, but the false prophet is described as “coming up out of the earth” (Revelation 13:11). When this verse speaks about the earth, it can also be translated as “the Land,” meaning the land of Israel. So whereas the first Islamic Beast kingdom comes from the Islamic gentile nations around Israel “the sea,” a second Islamic Beast Kingdom, rises from the Land of Israel “the earth,” ruled by the False Prophet. By extension this could easily refer to a new Palestinian Kingdom, which rises from the conquered parts of Jerusalem and Israel.
HAS TWO HORNS AND RESEMBLES A LAMB
Its two horns, could also describe Fatah and Hamas, who both want to rule Israel. The false Prophet (Isa -Muslim Jesus) will be seen as a religious leader such as an Imam or Ayatollah. And may rise from Israel or Palestine.
The real Jesus Christ is called The Lamb 29 times in the New Testament. The False Prophet resembles a lamb which led many in the past—myself included—to conclude this man was a Christian, who falls away from the faith and sides with Antichrist. One of the prime candidates for years was whomever the Catholic Pope will be when Antichrist makes his debut and many still believe this.
We now see this as patently false in light of the new revelations God has opened up to us in these Last Days, unless that last Catholic Pope converts to radical Islam which is highly unlikely. The false god Allah,
a.k.a. Satan will produce someone who will claim to be the Jesus of the New Testament and who that is I know not. What I do know is that he will impersonate Jesus, the Lamb. Notice the description in Revelation 13:11—he has 2 horns . . . lambs don’t have horns! This shows us the false, deceptive nature of this man who is a wolf in sheep’s clothing. That he’s pretending to be a lamb, when in fact he’s a goat (and remember the goats are those who never had any love or compassion for “the least of these my brethren” (Matthew 25:31-46) signifying Jews and Christians and that most certainly is the case in fundamental and even moderate Islam.)
SPEAKS LIKE A DRAGON
The Dragon is Satan (Revelation chapters 12, 13, 16 & 20) and the reason the False Prophet speaks like Satan, is because he’s a liar like Satan is (John 8:44). Remember that Islam takes the truth of God & Jesus and calls it blasphemy and falsehood. They deny Jesus is Son of God, Savior & Messiah. They deny He went to the Cross and died for our sins and that He was raised from the dead. These lies are right from the mouth of the Dragon himself, who has always sought to undermine Christ and all of His works. The Dragon is the originator of calling evil good and good evil. The False Prophet will continue this work as he worships the
carol mackinnon and 8 others like this
To Understsnd This, One Need Prophetic Skills.
The Difference of You, mfiaukweli and Brother AROON, is That,
While Your are DebatingThe Logic Of
ANTI CHRIST,
Your Mate AROON Stand Still On Advocating The Philosopy Of, ANTI SABBATH.
Therefore it is no way you will undestand each other.
 
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo
Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha Danieli na Ufunuo. Tunapaswa kuyaacha maandiko yajitafisiri yenyewe; kwa maana “hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” 2Petro 1:20-21. Hatupaswi kumuacha mtu flani atafsri unabii kwa jinsi yake mwenyewe, badala yake tunapaswa kuiacha Biblia ijitafsiri yenyewe.
Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.
4814d0c0.gif

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”
Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.
Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”
Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”
Mnyama huwakilisha taifa au ufalme
Danieli 7:17 “Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani”
Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”
Kutokana na Ufunuo 17:3, mnyama huyu ana mwanamke aliyeketi juu yake, na kwa sababu unabii unatafisiri mwanamke kama kanisa, na mnyama kama taifa. Je kuna taifa au serikali ambayo imechanganywa pamoja na kanisa kama kitu kimoja? Ndiyo! Vatican, ni serikali au taifa ambalo limechanganywa pamoja na kanisa la Romani Katoliki kama kitu kimoja, na kuongozwa na mtu mmoja ambaye ni Papa.
4814d0c0.gif

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”
Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.
Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com
ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s /seven-hills-of-rome/
Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.
4814d0c0.gif

3. Mnyama atatoka baharini
Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.
Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”
Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.
Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.
4814d0c0.gif

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”
Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake MIEZI AROBAINI NA MBILI.”
Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.
Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.
Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).
Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,
Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”
Hesabu 14:34 “…siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka…”
Kutokana na Ezekieli 4:6 na Hesabu 14:34, ni hakika kwamba siku 1260 ni sawa na miaka 1260 ambayo Upapa ungetawala na kuwadhofisha watakatifu. Je hii ilitokea? Je unabii huu ulitimia? Au Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa unabii huu ulitimia?
Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.
“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327
Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.
Ukiongeza miaka 1260 katika mwaka ambao kanisa la Romani Katoliki lilianza kutawala kisiasa na kidini, mwaka 538 B.K., utapata 1798 B.K. Hivyo, unabii unasema utawala wa kwanza wa mnyama ungeisha 1798 B.K. Je utawala wa mnyama uliisha mwaka huo 1798 B.K?
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Kwa hakika, hizo ni miaka 3 na 1/2 au wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ambazo ni miezi 42 au siku 1260 za unabii ambazo mnyama angetawala kisha angepata pigo la mauti au kuchukuliwa mateka. Je mnyama alipata pigo la mauti mwaka huo 1798 B.K?
4814d0c0.gif

5. Mnyama atapokea jeraha la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lake la mauti likapona…”
Ufunuo 13:10 “Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga…”
Kama tulivyoona huko nyuma baada ya mnyama kutawala miaka 1260 angepata jeraha la mauti na kuuawa kwa upanga (upanga = vita). Baada ya mnyama kumaliza utawala wake wa miaka 1260, ambao ulianza 538 B.K. hadi 1798 B.K., Napoleon alimtuma Generali/Jemedari wake Berthier pamoja na jeshi lake, kwenda Roma kuuondoa utawala wa upapa.
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Napoleon alipomtuma Generali wake Berthier kwenda kumuondoa Papa madarakani, hapo ndipo jeraha la mauti lilipompata mnyama, na mwaka uliofuata 1799 B.K. Papa alikufa. Hii ndiyo sababu watoto wa kikatoliki katika parokia hufundishwa kuwa Napoleoni alikuwa mpinga Kristo.
“Nusu ya Ulaya walidhani…kwamba pamoja na papa upapa ulikuwa umekufa.” –Joseph Rickaby “The Modern Papacy” Lectures on the History of Religion, Lecture 24, (London Catholic Truth Society, 1910), p. 1
Lakini unabii ulisema kuwa jeraha hili lililompata mnyama lingepona. Je jeraha hili lilipona? Je utawala wa upapa ulipoondolewa madarakani na Generali Berthier ulipata nguvu zake tena?
4814d0c0.gif

6. Mnyama atapona jeraha lake la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, NA PIGO LAKE LA MAUTI LIKAPONA. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.”
Kama tulivyoona, upapa ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 B.K. Vaticani ilibaki kama kanisa tu bila nguvu za kisiasa, na unabii ulisema jeraha hili lingepona. Je jeraha la mauti lilipona? Baada ya jeraha la mauti kutokea miaka kadhaa badaye katika mwaka 1929 B.K. Italia ikautambua mji wa Vaticani kama serikali ya kujitegemea, hii ilimfanya papa kuwa na nguvu tena kama mtawala wa kisiasa na kidini. kama unabii ulivyosema kwamba jeraha la mauti lingepona, na upapa ungerudishiwa tena uwezo wake wa kanisa na serikali kwa pamoja. Hebu angalia magaziti yaliyotoa taarifa hiyo jinsi waandishi wake walivyotumia lugha ya unabii bila ya wao wenyewe kujua.
news1929.jpg

Kusaini kwa Mussolini na (Kadinali) Gasspari mkataba wa kihistoria wa Romani
“Suala la Romani usiku huu lilikuwa ni jambo lililopita, na Vaticani ilikuwa katika amani na Italia…katika kuweka sahihi kwenye mkataba wa kukumbukwa kuponya jeraha la miaka mingi, uchangamfu wa kupindukia ulionyeshwa na pande zote.” –The San Francisco Chronicle. Feb. 11, 1929
Papa Amekuwa Kiongozi Wa Serikali Tena
“Roma, Juni 7.–Kutoka saa 5 kamili asubuhi hii kulikuwa na mtawala mwingine wa serikali ya kujitegemea duniani. Katika mda huo waziri mkuu Mussolini, kama waziri wa mambo ya nje Italia akimuwakilisha mfalme Victor Emmanuel–waziri mkuu wa kwanza Italia kuvuka kizingiti cha chini cha mlango wa Vaticani–akibadilishana na kadinali Gasspari, wakala wa serikali ya upapa, akimuwakilisha papa Pius XI, makubaliano ya mikataba yalisainiwa katika ikulu ya Lateran Feb. 11. Kwa kitendo hicho rahisi mtawala wa serikali ya kujitegemea ya mji wa Vaticani amekuwepo.” — New York Times July 7, 1929
Hivyo, unabii huu ulitimia kikamilifu na jeraha la mauti lililoupata upapa 1798 B.K. lilipona kabisa tangu 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za “kisiasa na kidini” au “mwanamke juu ya mnyama.” Kwa kumaliza sehemu hii tunagundua kwamba mnyama huyu ndiye aliyekuwako, naye hayuko, na sasa yupo.
4814d0c0.gif

7. Mnyama aliyekuwako, naye hayuko, naye yuko.
Ufunuo 17:8 “Yule mnyama…alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari…”
Mnyama aliyekuwako: ni kanisa la Romani Katoliki tangu lilipoanza kutawala kama “kanisa & serikali” 538 B.K. na likaendelea mpaka. Napoleon alipomtuma Berthier kwenda kuuondoa utawala wa upapa. 1798 B.K.
…naye hayuko tokea 1798 B.K. mpaka kusaini kwa mkataba uliofanyika katika ikulu ya Lateran katika mwaka 1929 B.K. Vaticani ilikuwa kanisa tu bila uwezo wa kiserikali.
…naye yu tayari kutoka 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za kisiasa na kidini, “kanisa & sesikali” au mwanamke juu ya mnyama.
4814d0c0.gif

8. Mnyama atabadili majira na sheria za Mungu.
Danieli 7:25 “…naye ataadhimu kubadili majira na sheria…”
Unabii huu ni ushahidi ulio wazi sana ambao karibu kila mtu hawezi kusumbuka kuelewa kwamba ni kanisa gani hapa duniani lililobadilisha sheria za Mungu. Ni kanisa moja tu la Romani Katoliki ndilo lililobadilisha sheria za Mungu kama Danieli 7:25 inavyodai kuwa. Kanisa la Katoliki limebadilisha sheria ya pili inayozuia kuchonga sanamu ya kitu chochote kile (angalia Kut 20:4). Katika katekism kanisa limeirarua amri ya 2 kisha likaigawa amri ya 10 katika sehemu mbili ili kuonyesha amri 10 zote. Lakini Je ni nani hapa duniani anayedai kuwa anauwezo wa kubadili amri za Mungu?
“Papa anauwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo!” “Papa anayo mamlaka na mara nyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cap. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.
“Papa ni wa mamlaka kuu na nguvu kiasi kwamba anaweza kurekebisha, kuelezea au kutafsiri hata sheria za Mungu…Papa anaweza kurekebisha sheria ya Mungu, kwa sababu nguvu zake si za mwanadamu, bali ni nguvu za Mungu, na hutenda kama mwakilishi wa Mungu juu ya dunia.” –Lucius Ferraris,Prompta Ribliotheca, “Papa,” art. 2, translated.
Tangu kwamba papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia kubadili majira na sheria za Kristo, Je alibadili sheria ya Sabato? Je kanisa katoliki liliibadili Sabato ya siku ya saba ya wiki kwenda siku ya kwanza ya wiki? Kwa hakika kanisa lenye linakubali!
“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons
“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.
“Swali: Siku ipi ni siku ya Sabato?
Jibu: Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali: Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu: Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa katoliki, katika balaza la Laodikia (364 BK) liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine,p. 50, 3rd ed.
“Kanisa la Romani (Katoliki) liliigeuza amri ya nne kwa kuiondolea mbali Sabato ya neno la Mungu, na kuanzisha Jumapili kama siku ya mapumziko.” –Nicholas Summerbell, History of the Christian Church, 3rd edition, 1873, p. 415 [Christian Church (Christian Connection)].
“Na ni wapi tumeambiwa katika maandiko kwamba tutunze siku ya kwanza kabisa? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hakuna sehemu yoyote tuliyo amriwa kutunza siku ya kwanza. Sababu ya kutunza siku ya kwanza ya wiki kitakatifu badala ya siku ya saba ni kwa sababu ile ile kwamba tunatunza mambo mengine mengi, siyo kwa sababu ya Biblia, lakini kwa sababu kanisa, limeyaingiza [limeyaamuru].” –Isaac Williams, Plain Sermons on the Catechism, vol 1, pp. 334, 336 [Anglican].
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki liliibadili sheria ya Sabato na kuwaamuru watu watunze jumapili badala yake. Na mwaka 1582. Papa Gregory XIII, alianzisha kalenda mpya. Kwa vyovyote, ni Vaticani ndiyo ilitimiza unabii huu kwa ukamilifu kabisa, hakuna jumuiya, wala shirika, wala sehemu yoyote ya kidini au isiyo ya kidini ambayo imetimiza unabii huu, kama ilivyo Vaticani. Ni kanisa la Romani Katoliki pekee ambalo lilibadili sheria, na majira, na kuamuru siku ihesabiwe kuanzia saa sita usiku kinyume na Maandiko yanayothibitisha kuwa siku huanza kuhesabiwa jioni.
Mwanzo 1:5 “Mungu akaiita nuru Mchana, na giza Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.”
4814d0c0.gif

9. Mnyama atanena maneno ya makufuru juu ya Mungu.
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu…”
Ufunuo 17:3 “…nikaona mwanamke ameti juu ya mnyama…mwenye kujaa majina ya makufuru…”
Ufunuo 13:1 “…nikaona mnyama…mwenye…vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena makuu, ya makufuru…”
Kukufuru katika Biblia inaelezewa kama hali ya mtu kujifanya yeye mwenyewe kama Mungu.
Yohana 10:33 “Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwamadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.”
Je nani hujiita na kujifananisha na Mungu hapa duniani?
“Papa siyo mwakilishi tu wa Yesu Kristo, yeye ni Yesu Kristo mwenyewe, amejificha chini ya uficho wa mwili.” –Catholic National July 1895.
“Kwa kuwa wewe u mchungaji, wewe u tabibu, wewe u mwongozaji, wewe u mkulima, hatimaye wewe u Mungu mwingine duniani.” –Labbe and Cossart’s “History of the Councils.” Vol. XIV, col. 109
“Tunapachukulia juu ya dunia hii sehemu ya Mwenyezi Mungu…” –Pope Leo XIII Encyclical Letter of June 20, 1894,
Katika “The Bull Unam Sanctam” iliyotolewa na Papa Boniface VIII inasomeka kama ifuatavyo…
“Papa wa Roma huukumu watu wote, lakini yeye haukumiwi na mtu. Tunatangaza, kutetea, kuelezea, na kutamka; kutawaliwa na Papa wa Roma ni kwa kila kiumbe cha mwanadamu muhimu kwa ajili ya wokovu ambao ulisemwa na Kristo ‘Ameviweka vitu vyote chini ya miguu yake’ inaonekana vizuri imethibitishwa kwangu…Nina mamlaka ya Mfalme wa Wafalme. Mimi ni yote katika yote na juu ya yote, hivyo basi, Mungu Mwenyewe na mimi, kasisi wa Mungu tuna usawa mmoja, na ninaweza kufanya yote ambayo Mungu anaweza kufanya.”
“Mwokozi mwenyewe ni mlango wa zizi la kondoo; ‘Mimi ni mlango wa kondoo’. kwenye zizi hili la Yesu Kristo, hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka awe ameingizwa na Papa mtawalawa na ni pale tu kama wameunganika naye ndipo wanadamu wanaweza kuokolewa, kwa sababu Papa wa Roma ni kasisi wa Kristo na ni mwakilishi wake kwa nafisi duniani.” –(Pope John XXIII in his homily to the Bishops and faithful assisting at his coronation on November 4, 1958).
Kudai kuwa Mungu duniani Biblia inathibitisha kuwa ni kukufuru ju ya Mungu aliye hai. Kufuru nyingine ni kudai kuwa na uwezo wa kusamehe dhambi.
Marko 2:7 “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi ispokuwa mmoja, ndiye Mungu?”
Je makuhani wa kanisa la Romani Katoliki hudai wana uwezo wa kusamehe dhambi?
“Kuhani kiukweli kabisa husamehe dhambi kwa uwezo aliopewa na Kristo.” -Joseph Devarbe’s Catechism, p. 279
“Dhambi zinaweza kusamehewa kupitia sakramenti pekee…wote makuhani na sakramenti ni vifaa ambavyo Kristo anavitumia kukamilisha msamaha ndani yetu na neema ya utakaso.” -Catechism of Trent, p. 115.
“Haya mamlaka ya jaji (Judicial authority) yatajumuisha hata uwezo wa kusamehe dhambi.” –[The Catholic Encyclopaedia Vol 12, -article “Pope” pg 265]
“Na Mungu mwenyewe analazimika kufungwa na hukumu ya kuhani wake na ama kutokuomba msamaha au kuomba msamaha, kutokana na kama wanakataa kutoa ukamilifu, unaotoa toba inayoridhisha.” –Liguori, «Duties and Dignities of the Priest», p.27
4814d0c0.gif

10. Mnyama ana jina lenye namba 666.
Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”
Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”
Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666
Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.
“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.
Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.
Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.
00758020.png

“VICARIVS FILII DEI”
(Kasisi wa Mwana wa Mungu)​
V5I1C100A0R0I1V5S0F0I1L50I1I1D500E0I1Jumla666 Vicariusinamaanisha, katika nafasi yaFiliiMwanaDeiMungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.
4814d0c0.gif

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.
Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.
Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”
Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”
Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu.”

When one starts with false premises will inevitably end with a wrong conclusion. Msingi wa theory ya kuhusisha Kanisa Katoliki na Mpinga Kristo (ambae in turn anahusika moja kwa moja na Utawala wa mwisho - mnyama anaetajwa kwenye Ufunuo wa Yohana- kabla ya kurudi Yesu Kristo ni kuamini kuwa Dola ya Kirumi ama ipo bado (kwa mgongo wa Kanisa Katoliki) au Itafufuliwa (kupitia influence ya Kanisa Katoliki).

Ili mtu uamini theory hiyo basi NI LAZIMA UUPUZE Utabiri wa Danieli: Soma Hapo chini (na angalia msisitizo kwenye bold)

Danieli 2
31 Wewe, Ee Mfalme, uliona, na tazama, sanamu kubwa sana. Sanamu hii, iliyokuwa kubwa sana, na mwangaza wake mwingi sana, ilisimama mbele yako; na umbo lake lilikuwa lenye kutisha.
32 Na sanamu hii kichwa chake kilikuwa ni cha dhahabu safi; kifua chake na mikono yake ni ya fedha; tumbo lake na viuno vyake ni vya shaba;
33 miguu yake ni ya chuma; na nyayo za miguu yake nusu ya chuma na nusu ya udongo.
34 Nawe ukatazama hata jiwe likachongwa bila kazi ya mikono, nalo jiwe hilo likaipiga sanamu miguu yake, iliyokuwa ya chuma na udongo, likaivunja vipande vipande.
35 Ndipo kile chuma, na ule udongo, na ile shaba, na ile fedha, na ile dhahabu, vilivunjwa vipande vipande pamoja vikawa kama makapi ya viwanja vya kupepetea wakati wa hari; upepo ukavipeperusha hata pasionekane mahali pake; na lile jiwe lililoipiga hiyo sanamu likawa milima mikubwa, likaijaza dunia yote.
36 Hii ndiyo ile ndoto, nasi tutaihubiri tafsiri yake mbele ya mfalme.
37 Wewe, Ee mfalme, u mfalme wa wafalme, na Mungu wa mbinguni amekupa ufalme, na uwezo, na nguvu, na utukufu;
38 na kila mahali wakaapo wanadamu, wanyama wa kondeni na ndege wa angani amewatia mkononi mwako, naye amekumilikisha juu ya hao wote; wewe u kichwa kile cha dhahabu.
39 Na baada ya zamani zako utainuka ufalme mwingine mdogo kuliko wewe; na ufalme mwingine wa tatu wa shaba, utakaoitawala dunia yote.
40 Na ufalme wa nne utakuwa na nguvu mfano wa chuma; kwa maana chuma huvunja vitu vyote na kuvishinda; na kama chuma kisetavyo vitu hivi vyote, ndivyo utakavyovunja-vunja na kuseta.
41 Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope.
42 Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika.
43 Na kama vile ulivyokiona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope, watajichanganya nafsi zao kwa mbegu za wanadamu; lakini hawatashikamana, kama vile chuma kisivyoshikamana na udongo.

44 Na katika siku za wafalme hao Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaangamizwa milele, wala watu wengine hawataachiwa enzi yake; bali utavunja falme hizi zote vipande vipande na kuziharibu, nao utasimama milele na milele.
45 Na kama vile ulivyoona ya kuwa jiwe lilichongwa mlimani bila kazi ya mikono, na ya kuwa lilivunja-vunja kile chuma, na ile shaba na ule udongo, na ile fedha, na ile dhahabu; basi Mungu aliye mkuu amemjulisha mfalme mambo yatakayokuwa baadaye; na ndoto hii ni ya hakika, na tafsiri yake ni thabiti.

Soma tena Danieli sura ya 7:

Katika mwaka wa kwanza wa Belshaza, mfalme wa Babeli, Danieli aliona ndoto, na maono ya kichwa chake, kitandani mwake; basi akaiandika ndoto, akatoa habari ya jumla ya mambo hayo.
2 Danieli akanena, akisema, Naliona katika maono yangu wakati wa usiku; na tazama, hizo pepo nne za mbinguni zilivuma kwa nguvu juu ya bahari kubwa.
3 Ndipo wanyama wakubwa wanne wakatoka baharini, wote wa namna mbalimbali.
4 Wa kwanza alikuwa kama simba, naye alikuwa na mabawa ya tai; nikatazama, hata mabawa yake yakafutuka manyoya, akainuliwa katika nchi, akasimamishwa juu kwa miguu miwili kama mwanadamu; naye akapewa moyo wa kibinadamu.
5 Na tazama, mnyama mwingine, wa pili, kama dubu, naye aliinuliwa upande mmoja, na mifupa mitatu ya mbavu ilikuwamo kinywani mwake katika meno yake; wakamwambia mnyama huyo hivi, Inuka, ule nyama tele.
6 Kisha nikatazama, na kumbe! Mnyama mwingine, kama chui, naye juu ya mgongo wake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege; mnyama huyo alikuwa na vichwa vinne; akapewa mamlaka.
7 Baadaye nikaona katika njozi ya usiku, na tazama, mnyama wa nne, mwenye kutisha, mwenye nguvu, mwenye uwezo mwingi, naye alikuwa na meno ya chuma, makubwa sana; alikula na kuvunja vipande vipande, na kuyakanyaga mabaki kwa miguu yake; na umbo lake lilikuwa mbali kabisa na wale wa kwanza, naye alikuwa na pembe kumi.
8
Nikaziangalia sana pembe zake, na tazama, pembe nyingine ikazuka kati yao, nayo ilikuwa ndogo, ambayo mbele yake pembe tatu katika zile za kwanza zikang'olewa kabisa; na tazama, katika pembe hiyo mlikuwa na macho kama macho ya mwanadamu, na kinywa kilichokuwa kikinena maneno makuu.
9 Nikatazama hata viti vya enzi vikawekwa, na mmoja aliye mzee wa siku ameketi; mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi; kiti chake cha enzi kilikuwa miali ya moto, na gurudumu zake moto uwakao.
10 Mto kama wa moto ukatoka ukapita mbele zake; maelfu elfu wakamtumikia, na elfu kumi mara elfu kumi wakasimama mbele zake; hukumu ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa.
11 Nikatazama wakati huo; kwa sababu ya sauti ya yale maneno makubwa iliyoyasema ile pembe; nalitazama hata mnyama yule akauawa, mwili wake ukaharibiwa, akatolewa ateketezwe kwa moto.
12 Na kwa habari za wale wanyama wengine, walinyang'anywa mamlaka yao; walakini maisha yao yalidumishwa kwa wakati na majira.
13 Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye.
14 Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.
15 Basi, mimi Danieli, roho yangu ilihuzunika mwilini mwangu, na hayo maono ya kichwa changu yakanifadhaisha.
16 Nikamkaribia mmoja wa hao waliosimama karibu, nikamwuliza maana ya kweli ya hayo yote. Basi akaniambia, akanijulisha tafsiri ya mambo hayo.
17 Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani.
18 Lakini watakatifu wake Aliye juu wataupokea ufalme, na kuumiliki huo ufalme milele, naam hata milele na milele.
19 Kisha nalitaka kujua maana ya yule mnyama wa nne, aliyekuwa mbali na wenziwe wote, mwenye kutisha sana, ambaye meno yake yalikuwa ya chuma, na makucha yake ya shaba; aliyekula, na kuvunja vipande vipande, na kuyakanyaga mabaki kwa miguu yake;
20 na habari za zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake, na ile pembe nyingine iliyozuka, ambayo mbele yake zilianguka pembe tatu; yaani, pembe ile yenye macho, na kanwa lililonena makuu, ambayo kuonekana kwake kulikuwa hodari kuliko wenzake.

21 Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda;
22 hata akaja huyo mzee wa siku, nao watakatifu wake Aliye juu wakapewa hukumu; na majira yakawadia watakatifu waumiliki ufalme.
23 Akanena hivi, Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia, utakaokuwa mbali na falme zile zote, nao utakula dunia yote, na kuikanyaga, na kuivunja vipande vipande.
24 Na habari za zile pembe kumi, katika ufalme huo wataondoka wafalme kumi; na mwingine ataondoka baada ya hao; naye atakuwa mbali na hao wa kwanza; naye atawashusha wafalme watatu.
25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
26 Lakini hukumu itawekwa, nao watamwondolea mamlaka yake, kuipoteza na kuiangamiza, hata milele.
27 Na ufalme, na mamlaka, na ukuu wa ufalme, chini ya mbingu zote, watapewa watu wa watakatifu wake Aliye juu; ufalme wake ni ufalme wa milele, na wote wenye mamlaka watamtumikia na kumtii.


Ukisoma kitabu cha Ufunuo wa Yohana; tukio la mwisho kabla ya kurudi Yesu Kristo kuanzisha Utawala wake usio kuwa na mwisho ni kuharibiwa kwa mnyama na nabii wa uongo. Kwa mantiki rahisi kabisa Ufalme wa mwisho kwenye Danieli 2 na 7 NI LAZIMA AWE NDIE MNYAMA alietajwa kwenye Ufunuo wa Yohana.

Sifa za Utawala wa mwisho kwa mujibu wa Danieli:
1. Utakuwa umegawanyika (nusu chuma na nusu udongo); chuma na udongo haviwezi kuungana.
2. Utakuwa TOFAUTI NA FALME TATU ZILIZOTANGULIA (Daniel alionyeshwa falme NNE; Babeli iliyoondolewa na ufalme wa Waajemi, Ufalme wa Waajemi ukafuatiwa na Wayuyani/Wagiriki ambao waliondolewa na Dola ya Kirumi). Utawala wa Kirumi (legs) haukuwahi kushindwa kama tawala za nyuma ila tawala mbalimbali zilianza baada yake. Utawala utakaoinuka na kuwa wa mwisho (ni FEET SIO LEGS).
3. Utakuwa na WAFALME 10 (na mmoja atawashusha wafalme watatu)

Sasa linganisha na
Sifa za mnyama alielezwa kwenye Ufunuo wa Yohana
1. Ana pembe 10 na vichwa 7
2. Mnyama anampa uwezo na nguvu mnyama wa pili mwenye pembe 2
3. Mnyama ana jina la binadamu hesabu ya 666
4. Atawakosesha wakaao juu ya nchi (i.e. deceptive)

Mnyama na utawala wa mwisho hauwezi kuwa Kanisa Katoliki MAANA HAKUNA SIFA HATA MOJA kati ya zilizotajwa inayohusiana nalo. Ila UISLAMU UNA-FIT EXACTLY. Kivipi?
1. Uislamu umegawanyika kati ya Sunni na Shia - HAWAPATANI HATA KIDOGO
2. Kulikuwa na viongozi 10 wakati wa Mwanzo wa Uislamu. Baada ya Kifo cha Mohammad; kulitokea mgawanyiko wa nani awe mrithi wake (Makhalifa wa Mwanzo ni Sunni - Abubakar, Umar na Uthman); wa NNE ndie anakubaliwa na Shia: Kwa Washia Khalifa wao wa Kwanza nia Ally - hao watatu wa mwanzo wameshushwa.
3. Uislamu UPO TOFAUTI NA TAWALA ZOTE ZILIZOUTANGULIA MAANA UTAWALA WAKE NI WA KIDINI NA KISIASA PIA (tawala za zamani zilikuwa ni za kisiasa tu)
4. Namba 666 inafanana na punctuation marks kwenye shahada (TAMKO LINALOKANUSHA KILA KITU UKRISTO UNACHOSIMAMIA). Na kwa Waislamu 666 ni namba takatifu kwao.
5. Ndio eventually utakuwa dini PEKEE duniani (kwa nguvu): Hakuna dini nyingine itakayoruhusiwa kuwepo duniani - watakaokataa kuwa Waislamu itabidi ama wauwawe au wakubali kulipa kodi ya kutokuwa waislamu (JIZYA).





 
To Understsnd This, One Need Prophetic Skills.
The Difference of You, mfiaukweli and Brother AROON, is That,
While Your are DebatingThe Logic Of
ANTI CHRIST,
Your Mate AROON Stand Still On Advocating The Philosopy Of, ANTI SABBATH.
Therefore it is no way you will undestand each other.

That is why I have been telling him to read Daniel as well.
 
ACHA UPOTOSHAJI KWA MAFUNDISHO YA UONGO HIYO TAFASIRI YAKO NI YA UONGO NA NDIO MATOKEO YA KUJIGAWA GAWA KWENU WASABATO.





Mnyama-Mwitu Mwenye Vichwa Saba Anayetajwa Kwenye Ufunuo Sura ya 13 Anawakilisha Nini?
Jibu la Biblia
Mnyama-mwitu mwenye vichwa saba anayetajwa kwa mara ya kwanza katika Ufunuo 13:1 anawakilisha mfumo wa kisiasa wa ulimwenguni pote.
  • Mnyama-mwitu huyo ana mamlaka, nguvu, na kiti cha ufalme, kuonyesha kwamba ana uwezo wa kisiasa.—Ufunuo 13:2.
  • Ana mamlaka juu ya “kila kabila na watu na lugha na taifa,” na kwa hiyo hawezi kuwakilisha tu serikali ya nchi moja tu.—Ufunuo 13:7.
  • Mnyama-mwitu huyo ana sehemu zinazofanana na zile za wale wanyama wanne wanaofafanuliwa kwenye Danieli 7:2-8. Kwa mfano, anatajwa kuwa na sura ya chui, miguu ya dubu, kinywa cha simba, na pembe kumi. Wanyama wanaotajwa katika unabii wa Danieli wanawakilisha wafalme hususa, au falme za kisiasa, zinazotawala kwa kufuatana juu ya milki tofauti-tofauti. (Danieli 7:17, 23) Kwa hiyo, mnyama-mwitu anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13anawakilisha tengenezo lote la kisiasa.
  • Mnyama-mwitu huyo anapanda “kutoka katika bahari,” yaani, kutoka katika jamii za wanadamu zenye msukosuko. Jamii hizo ndizo chanzo cha serikali za wanadamu.—Ufunuo 13:1; Isaya 17:12, 13.
  • Biblia inasema kwamba jina au namba ya mnyama-mwitu huyo—666—ni “namba ya mwanadamu.” (Ufunuo 13:17, 18) Maneno hayo yanaonyesha kwamba mnyama anayetajwa katika Ufunuo sura ya 13ana asili ya kibinadamu, wala si ya roho au roho mwovu.
Hata ingawa huenda mataifa yakakubaliana katika mambo kadhaa, lengo lao la kuungana ni kudumisha mamlaka yao wenyewe na si kunyenyekea chini ya Ufalme wa Mungu. (Zaburi 2:2) Mataifa hayohayo yataungana katika vita vya Har-Magedoni ili kupigana na jeshi la Mungu linaloongozwa na Yesu Kristo, lakini yataharibiwa kabisa.—Ufunuo 16:14, 16; 19:19, 20.
“Pembe kumi na vichwa saba”
Katika Biblia, namba fulani zina maana ya mfano. Kwa mfano, namba kumi na pia namba saba hutumiwa kufananisha kitu ambacho ni kamili, au kikamilifu. Ili kuelewa maana hasa ya “pembe kumi na vichwa saba” vya mnyama-mwitu wa Ufunuo sura ya 13 tutahitaji kuchunguza “sanamu ya mnyama-mwitu” ambayo inafafanuliwa baadaye katika Ufunuo kuwa mnyama mwenye rangi nyekundu, vichwa saba na pembe kumi. (Ufunuo 13:1, 14, 15; 17:3) Biblia inasema kwamba vichwa saba vya mnyama huyo mwenye rangi nyekundu vinamaanisha “wafalme saba,” au serikali.—Ufunuo 17:9, 10.
Hivyo basi, vichwa saba vya yule mnyama-mwitu katika Ufunuo 13:1vinawakilisha serikali saba: serikali hizo kuu ambazo zimekuwapo katika historia yote ya wanadamu na ambazo zimewakandamiza na kuwatesa watu wa Mungu ni—Misri, Ashuru, Babiloni, Umedi na Uajemi, Ugiriki, Roma, na serikali ya Uingereza na Marekani. Ikiwa zile pembe kumi zinawakilisha serikali zote za kisiasa, ziwe kubwa au ndogo, basi taji la kifalme lililoko juu ya kila pembe linaonyesha kwamba serikali hizo zote zinatawala wakati mmoja na serikali kuu ya ulimwengu inayotawala wakati huo.
Wewe ndio mpotoshaji mkubwa, na inaonekana unababaisha huna uhakika na ikisemacho,

Huko ulikokopi ni mawazo ya mtu wa jumapili kuficha ukweli

Eti mnyama mwitu,

Kuna mnyama mwitu hapo?
 
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo
Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha Danieli na Ufunuo. Tunapaswa kuyaacha maandiko yajitafisiri yenyewe; kwa maana “hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” 2Petro 1:20-21. Hatupaswi kumuacha mtu flani atafsri unabii kwa jinsi yake mwenyewe, badala yake tunapaswa kuiacha Biblia ijitafsiri yenyewe.
Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.
4814d0c0.gif

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”
Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.
Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”
Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”
Mnyama huwakilisha taifa au ufalme
Danieli 7:17 “Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani”
Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”
Kutokana na Ufunuo 17:3, mnyama huyu ana mwanamke aliyeketi juu yake, na kwa sababu unabii unatafisiri mwanamke kama kanisa, na mnyama kama taifa. Je kuna taifa au serikali ambayo imechanganywa pamoja na kanisa kama kitu kimoja? Ndiyo! Vatican, ni serikali au taifa ambalo limechanganywa pamoja na kanisa la Romani Katoliki kama kitu kimoja, na kuongozwa na mtu mmoja ambaye ni Papa.
4814d0c0.gif

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.
Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”
Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.
Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”
Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?
“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.
“Je vilima saba vya Roma ni nini?
Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com
ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma
“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s /seven-hills-of-rome/
Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.
4814d0c0.gif

3. Mnyama atatoka baharini
Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.
Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”
Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.
Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.
4814d0c0.gif

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”
Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake MIEZI AROBAINI NA MBILI.”
Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.
Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.
Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).
Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,
Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”
Hesabu 14:34 “…siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka…”
Kutokana na Ezekieli 4:6 na Hesabu 14:34, ni hakika kwamba siku 1260 ni sawa na miaka 1260 ambayo Upapa ungetawala na kuwadhofisha watakatifu. Je hii ilitokea? Je unabii huu ulitimia? Au Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa unabii huu ulitimia?
Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.
“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327
Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.
Ukiongeza miaka 1260 katika mwaka ambao kanisa la Romani Katoliki lilianza kutawala kisiasa na kidini, mwaka 538 B.K., utapata 1798 B.K. Hivyo, unabii unasema utawala wa kwanza wa mnyama ungeisha 1798 B.K. Je utawala wa mnyama uliisha mwaka huo 1798 B.K?
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Kwa hakika, hizo ni miaka 3 na 1/2 au wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ambazo ni miezi 42 au siku 1260 za unabii ambazo mnyama angetawala kisha angepata pigo la mauti au kuchukuliwa mateka. Je mnyama alipata pigo la mauti mwaka huo 1798 B.K?
4814d0c0.gif

5. Mnyama atapokea jeraha la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lake la mauti likapona…”
Ufunuo 13:10 “Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga…”
Kama tulivyoona huko nyuma baada ya mnyama kutawala miaka 1260 angepata jeraha la mauti na kuuawa kwa upanga (upanga = vita). Baada ya mnyama kumaliza utawala wake wa miaka 1260, ambao ulianza 538 B.K. hadi 1798 B.K., Napoleon alimtuma Generali/Jemedari wake Berthier pamoja na jeshi lake, kwenda Roma kuuondoa utawala wa upapa.
“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition
Napoleon alipomtuma Generali wake Berthier kwenda kumuondoa Papa madarakani, hapo ndipo jeraha la mauti lilipompata mnyama, na mwaka uliofuata 1799 B.K. Papa alikufa. Hii ndiyo sababu watoto wa kikatoliki katika parokia hufundishwa kuwa Napoleoni alikuwa mpinga Kristo.
“Nusu ya Ulaya walidhani…kwamba pamoja na papa upapa ulikuwa umekufa.” –Joseph Rickaby “The Modern Papacy” Lectures on the History of Religion, Lecture 24, (London Catholic Truth Society, 1910), p. 1
Lakini unabii ulisema kuwa jeraha hili lililompata mnyama lingepona. Je jeraha hili lilipona? Je utawala wa upapa ulipoondolewa madarakani na Generali Berthier ulipata nguvu zake tena?
4814d0c0.gif

6. Mnyama atapona jeraha lake la mauti.
Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, NA PIGO LAKE LA MAUTI LIKAPONA. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.”
Kama tulivyoona, upapa ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 B.K. Vaticani ilibaki kama kanisa tu bila nguvu za kisiasa, na unabii ulisema jeraha hili lingepona. Je jeraha la mauti lilipona? Baada ya jeraha la mauti kutokea miaka kadhaa badaye katika mwaka 1929 B.K. Italia ikautambua mji wa Vaticani kama serikali ya kujitegemea, hii ilimfanya papa kuwa na nguvu tena kama mtawala wa kisiasa na kidini. kama unabii ulivyosema kwamba jeraha la mauti lingepona, na upapa ungerudishiwa tena uwezo wake wa kanisa na serikali kwa pamoja. Hebu angalia magaziti yaliyotoa taarifa hiyo jinsi waandishi wake walivyotumia lugha ya unabii bila ya wao wenyewe kujua.
news1929.jpg

Kusaini kwa Mussolini na (Kadinali) Gasspari mkataba wa kihistoria wa Romani
“Suala la Romani usiku huu lilikuwa ni jambo lililopita, na Vaticani ilikuwa katika amani na Italia…katika kuweka sahihi kwenye mkataba wa kukumbukwa kuponya jeraha la miaka mingi, uchangamfu wa kupindukia ulionyeshwa na pande zote.” –The San Francisco Chronicle. Feb. 11, 1929
Papa Amekuwa Kiongozi Wa Serikali Tena
“Roma, Juni 7.–Kutoka saa 5 kamili asubuhi hii kulikuwa na mtawala mwingine wa serikali ya kujitegemea duniani. Katika mda huo waziri mkuu Mussolini, kama waziri wa mambo ya nje Italia akimuwakilisha mfalme Victor Emmanuel–waziri mkuu wa kwanza Italia kuvuka kizingiti cha chini cha mlango wa Vaticani–akibadilishana na kadinali Gasspari, wakala wa serikali ya upapa, akimuwakilisha papa Pius XI, makubaliano ya mikataba yalisainiwa katika ikulu ya Lateran Feb. 11. Kwa kitendo hicho rahisi mtawala wa serikali ya kujitegemea ya mji wa Vaticani amekuwepo.” — New York Times July 7, 1929
Hivyo, unabii huu ulitimia kikamilifu na jeraha la mauti lililoupata upapa 1798 B.K. lilipona kabisa tangu 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za “kisiasa na kidini” au “mwanamke juu ya mnyama.” Kwa kumaliza sehemu hii tunagundua kwamba mnyama huyu ndiye aliyekuwako, naye hayuko, na sasa yupo.
4814d0c0.gif

7. Mnyama aliyekuwako, naye hayuko, naye yuko.
Ufunuo 17:8 “Yule mnyama…alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari…”
Mnyama aliyekuwako: ni kanisa la Romani Katoliki tangu lilipoanza kutawala kama “kanisa & serikali” 538 B.K. na likaendelea mpaka. Napoleon alipomtuma Berthier kwenda kuuondoa utawala wa upapa. 1798 B.K.
…naye hayuko tokea 1798 B.K. mpaka kusaini kwa mkataba uliofanyika katika ikulu ya Lateran katika mwaka 1929 B.K. Vaticani ilikuwa kanisa tu bila uwezo wa kiserikali.
…naye yu tayari kutoka 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za kisiasa na kidini, “kanisa & sesikali” au mwanamke juu ya mnyama.
4814d0c0.gif

8. Mnyama atabadili majira na sheria za Mungu.
Danieli 7:25 “…naye ataadhimu kubadili majira na sheria…”
Unabii huu ni ushahidi ulio wazi sana ambao karibu kila mtu hawezi kusumbuka kuelewa kwamba ni kanisa gani hapa duniani lililobadilisha sheria za Mungu. Ni kanisa moja tu la Romani Katoliki ndilo lililobadilisha sheria za Mungu kama Danieli 7:25 inavyodai kuwa. Kanisa la Katoliki limebadilisha sheria ya pili inayozuia kuchonga sanamu ya kitu chochote kile (angalia Kut 20:4). Katika katekism kanisa limeirarua amri ya 2 kisha likaigawa amri ya 10 katika sehemu mbili ili kuonyesha amri 10 zote. Lakini Je ni nani hapa duniani anayedai kuwa anauwezo wa kubadili amri za Mungu?
“Papa anauwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo!” “Papa anayo mamlaka na mara nyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cap. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.
“Papa ni wa mamlaka kuu na nguvu kiasi kwamba anaweza kurekebisha, kuelezea au kutafsiri hata sheria za Mungu…Papa anaweza kurekebisha sheria ya Mungu, kwa sababu nguvu zake si za mwanadamu, bali ni nguvu za Mungu, na hutenda kama mwakilishi wa Mungu juu ya dunia.” –Lucius Ferraris,Prompta Ribliotheca, “Papa,” art. 2, translated.
Tangu kwamba papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia kubadili majira na sheria za Kristo, Je alibadili sheria ya Sabato? Je kanisa katoliki liliibadili Sabato ya siku ya saba ya wiki kwenda siku ya kwanza ya wiki? Kwa hakika kanisa lenye linakubali!
“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons
“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.
“Swali: Siku ipi ni siku ya Sabato?
Jibu: Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali: Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu: Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa katoliki, katika balaza la Laodikia (364 BK) liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine,p. 50, 3rd ed.
“Kanisa la Romani (Katoliki) liliigeuza amri ya nne kwa kuiondolea mbali Sabato ya neno la Mungu, na kuanzisha Jumapili kama siku ya mapumziko.” –Nicholas Summerbell, History of the Christian Church, 3rd edition, 1873, p. 415 [Christian Church (Christian Connection)].
“Na ni wapi tumeambiwa katika maandiko kwamba tutunze siku ya kwanza kabisa? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hakuna sehemu yoyote tuliyo amriwa kutunza siku ya kwanza. Sababu ya kutunza siku ya kwanza ya wiki kitakatifu badala ya siku ya saba ni kwa sababu ile ile kwamba tunatunza mambo mengine mengi, siyo kwa sababu ya Biblia, lakini kwa sababu kanisa, limeyaingiza [limeyaamuru].” –Isaac Williams, Plain Sermons on the Catechism, vol 1, pp. 334, 336 [Anglican].
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki liliibadili sheria ya Sabato na kuwaamuru watu watunze jumapili badala yake. Na mwaka 1582. Papa Gregory XIII, alianzisha kalenda mpya. Kwa vyovyote, ni Vaticani ndiyo ilitimiza unabii huu kwa ukamilifu kabisa, hakuna jumuiya, wala shirika, wala sehemu yoyote ya kidini au isiyo ya kidini ambayo imetimiza unabii huu, kama ilivyo Vaticani. Ni kanisa la Romani Katoliki pekee ambalo lilibadili sheria, na majira, na kuamuru siku ihesabiwe kuanzia saa sita usiku kinyume na Maandiko yanayothibitisha kuwa siku huanza kuhesabiwa jioni.
Mwanzo 1:5 “Mungu akaiita nuru Mchana, na giza Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.”
4814d0c0.gif

9. Mnyama atanena maneno ya makufuru juu ya Mungu.
Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu…”
Ufunuo 17:3 “…nikaona mwanamke ameti juu ya mnyama…mwenye kujaa majina ya makufuru…”
Ufunuo 13:1 “…nikaona mnyama…mwenye…vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”
Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena makuu, ya makufuru…”
Kukufuru katika Biblia inaelezewa kama hali ya mtu kujifanya yeye mwenyewe kama Mungu.
Yohana 10:33 “Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwamadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.”
Je nani hujiita na kujifananisha na Mungu hapa duniani?
“Papa siyo mwakilishi tu wa Yesu Kristo, yeye ni Yesu Kristo mwenyewe, amejificha chini ya uficho wa mwili.” –Catholic National July 1895.
“Kwa kuwa wewe u mchungaji, wewe u tabibu, wewe u mwongozaji, wewe u mkulima, hatimaye wewe u Mungu mwingine duniani.” –Labbe and Cossart’s “History of the Councils.” Vol. XIV, col. 109
“Tunapachukulia juu ya dunia hii sehemu ya Mwenyezi Mungu…” –Pope Leo XIII Encyclical Letter of June 20, 1894,
Katika “The Bull Unam Sanctam” iliyotolewa na Papa Boniface VIII inasomeka kama ifuatavyo…
“Papa wa Roma huukumu watu wote, lakini yeye haukumiwi na mtu. Tunatangaza, kutetea, kuelezea, na kutamka; kutawaliwa na Papa wa Roma ni kwa kila kiumbe cha mwanadamu muhimu kwa ajili ya wokovu ambao ulisemwa na Kristo ‘Ameviweka vitu vyote chini ya miguu yake’ inaonekana vizuri imethibitishwa kwangu…Nina mamlaka ya Mfalme wa Wafalme. Mimi ni yote katika yote na juu ya yote, hivyo basi, Mungu Mwenyewe na mimi, kasisi wa Mungu tuna usawa mmoja, na ninaweza kufanya yote ambayo Mungu anaweza kufanya.”
“Mwokozi mwenyewe ni mlango wa zizi la kondoo; ‘Mimi ni mlango wa kondoo’. kwenye zizi hili la Yesu Kristo, hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka awe ameingizwa na Papa mtawalawa na ni pale tu kama wameunganika naye ndipo wanadamu wanaweza kuokolewa, kwa sababu Papa wa Roma ni kasisi wa Kristo na ni mwakilishi wake kwa nafisi duniani.” –(Pope John XXIII in his homily to the Bishops and faithful assisting at his coronation on November 4, 1958).
Kudai kuwa Mungu duniani Biblia inathibitisha kuwa ni kukufuru ju ya Mungu aliye hai. Kufuru nyingine ni kudai kuwa na uwezo wa kusamehe dhambi.
Marko 2:7 “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi ispokuwa mmoja, ndiye Mungu?”
Je makuhani wa kanisa la Romani Katoliki hudai wana uwezo wa kusamehe dhambi?
“Kuhani kiukweli kabisa husamehe dhambi kwa uwezo aliopewa na Kristo.” -Joseph Devarbe’s Catechism, p. 279
“Dhambi zinaweza kusamehewa kupitia sakramenti pekee…wote makuhani na sakramenti ni vifaa ambavyo Kristo anavitumia kukamilisha msamaha ndani yetu na neema ya utakaso.” -Catechism of Trent, p. 115.
“Haya mamlaka ya jaji (Judicial authority) yatajumuisha hata uwezo wa kusamehe dhambi.” –[The Catholic Encyclopaedia Vol 12, -article “Pope” pg 265]
“Na Mungu mwenyewe analazimika kufungwa na hukumu ya kuhani wake na ama kutokuomba msamaha au kuomba msamaha, kutokana na kama wanakataa kutoa ukamilifu, unaotoa toba inayoridhisha.” –Liguori, «Duties and Dignities of the Priest», p.27
4814d0c0.gif

10. Mnyama ana jina lenye namba 666.
Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”
Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”
Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666
Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.
“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.
Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.
Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.
00758020.png

“VICARIVS FILII DEI”
(Kasisi wa Mwana wa Mungu)​
V5I1C100A0R0I1V5S0F0I1L50I1I1D500E0I1Jumla666 Vicariusinamaanisha, katika nafasi yaFiliiMwanaDeiMungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.
4814d0c0.gif

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.
Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.
Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”
Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”
Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu.”
Sasa wewe ,unapinga nini

Mbona nilichoeleza ndio hicho hicho

Halafu umeenda kukopi kwenye BLOG YANGU

halafu unakuja kunipinga, hichi kitu mimi nilishakieleza humu,
 
Back
Top Bottom