Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukweli kuhusu alama ya mnyama

Ukitaka kujifunza zaidi anagalia hii

Si kweli mkuu, uislamu sio mnyama hana hizo sifa

Kama upo tayari njoo tujadili aya kwa aya, tuainishe sifa za mnyama ,tuone UISLAMU unazitimiza vipi, na ALAMA YAKE ni nini

UISLAMU ni kikundi tu ambacho kimeanzishwa na hao hao roma ,
 
Si kweli mkuu, uislamu sio mnyama hana hizo sifa

Kama upo tayari njoo tujadili aya kwa aya, tuainishe sifa za mnyama ,tuone UISLAMU unazitimiza vipi, na ALAMA YAKE ni nini

UISLAMU ni kikundi tu ambacho kimeanzishwa na hao hao roma ,

Acha mzaha basi!
 
HII NI SEHEMU YA MWISHO
SASA TUANZE NA AYA HII...
“Nikaona kimoja cha vichwa
vyake kana kwamba kimetiwa
jeraha la mauti, na pigo lake la
mauti likapona. Dunia yote
ikamstaajabia mnyama yule.
Wakamsujudu yule JOKA kwa
sababu alimpa huyo mnyama
uwezo wake; nao wakamsuju yule
mnyama, wakisema NI NANI
AFANANAYE NA MNYAMA
HUYU? TENA NI NANI AWEZAYE
KUFANYA VITA NAYE?. NAYE
AKAPEWA KINYWA CHA KUNENA
MANENO MAKUU, YA
MAKUFURU. AKAPEWA UWEZO
WA KUFANYA KAZI YAKE MIEZI
42. AKAFUNUA KINYWA CHAKE
AMTUKANE MUNGU, NA
KULITUKANA JINA LAKE, NA
MASKANI YAKE, NAO WAKAAO
MBINGUNI, TENA AKAPEWA
KUFANYA VITA NA WATAKATIFU
NA KUWASHINDA, akapewa
uwezo juu ya kila kabila na
jamaa na lugha na taifa” (Ufu.
13:3-7)
Nabii Daniel naye anafunua wazi
siri hii ya unabii kwa mafungu
yafuatayo: (Daniel na Ufunuo =
Kufuli na Funguo).
Nabii Daniel anaota ufafanuzi juu
ya mamlaka ya pembe ndogo.
Sifa za pembe ndogo zinafanana
kabisa na mamlaka au sifa za
mnyama huyu wa Ufu. 13.
(a) Pembe ndogo nayo
inamtukana MUNGU – “Naye
atanena maneno kinyume chake
aliye juu, NAYE ATAAZIMU
KUBADILI AMRI NA SHERIA”
Daniel 7:25)
Amri za MUNGU zilivyobadilishwa
(TAFUTA KATEKISIMU AU MISALE
FANANISHA NA ZA BIBLIA,utalia
machozi)
(b) Pembe ndogo iliwadhoofisha
watakatifu/iliwatesa watu wa
MUNGU. (Dan. 7:25) \
(c) Pembe ndogo ilifanya vita na
watakatifu ikawashinda (Dan.
7:21)
(d) Kipindi maalumu cha utawala
wa Pembe ndogo
“Wakati, Nyakati mbili, na Nusu
wakati” (Dan. 7:25). Hiki ni
kipindi ambacho MNYAMA huyu
alitesa kuuwa watu wa MUNGU.
William Tyndale aliuliwa na
kanisa la ROMA kwa kutafsiri
biblia kwa lugha ya kiingereza.
Je, utawala wa kipapa unakidhi
hivi vigezo vya unabii wa Daniel
na Ufunuo? Soma kwa makini
mafungu haya.
(a) Ufunuo 13: 3-7
(b) Daniel 7:21, 25, 8
1. USHAHIDI WA KIDINI –
“Kunena maneno makuu, maneno
ya makufuru, mnyama alifunua
kinywa chake na KUMTUKANA
MUNGU”
(1) Papa ni mwenye kuheshimiwa
sana na aliyetukuzwa, yeye si
mtu tu, bali ni kama aliye
MUNGU, na KASISI wa MUNGU
Papa huvishwa taji iliyo na
tabaka 3 – MFALME WA
MBINGUNI, DUNIANI NA
AHERA………Papa ni kama aliye
MUNGU duniani”. Prompt
Bibliotheca Article ‘Papa’ Vol. II
pp. 26-29.
Soma madai ya YESU: Mat
28:18.
Madai ya MNYAMA huyu ni sawa
na madai ya Lusifer – Isaya
14:13-14. Lusifer aliporomoshwa
chini, pembe ndogo/mnyama
huyu naye ataporomoshwa,
atashushwa – 2Thes. 2:3-12,
Dan. 7:11, 26.
(2) “Papa ni mkuu mno……. Yeye
ni MUNGU na aliye badala ya
MUNGU (Vicar of God). Papa ni
MUNGU duniani. Mfalme mkuu
wa wafalme, mwenye uwezo
mwingi”. (Prompta Bibliotheca
Canonical Juridical Moralis
Theological, vol. VI, Uk 25-29.
(3) Papa ni HAKIMU Mkuu wa
waumini wote, hukumu ya Papa
haina rufaa; kwa kuwa hakuna
mamlaka yaliyo juu
yake” (KITABU kiitwacho Papa ni
NANI, uk. 27 kinapatikana
kwenye BOOKSHOP ZOTE ZA RC)
(4) Papa ana mamlaka ya
kusamehe dhambi “Egote
absolve” (Kilatini, nakusamehe
wewe), Dignity and Duties of the
Priest, pg. 34-36.
Muumini akisamehewa DHAMBI
na PADRE au ASKOFU
Biblia ina msimamo gani juu ya
jambo hili.??soma Luka 5:20 –
24; Isaya 1:18; 1Yoh. 2:1-2;
Isaya 43:25; Mar. 2:7.
2. USHAHIDI WA KIHISTORIA.
AKAPEWA UWEZO WA KUFANYA
KAZI YAKE MIEZI 42: (Ufu. 13:5)
Historia inaonyesha kwamba
kipindi ambacho UPAPA
ulitawala dunia ni kuanzia
mwaka 538 – 1798 = siku 1260.
1. MIEZI 42: Ufunuo 13:15
Mwezi 1 = siku 30
Miezi 42 = siku
30 x 42 = siku 1260
2. WAKATI, NYAKATI MBILI NA
NUSU WAKATI (Dan. 7:25)
WAKATI = MWAKA 1 = SIKU 360
NYAKATI = MIAKA 2 = SIKU 720
NUSU WAKATI = NUSU MWAKA =
SIKU 180
= SIKU 1260 (Ufu. 12:6)
NOTE: Siku 1 = Mwaka: Hesabu
14:30; Ezekiel 4:6
Mfalme JUSTINIAN wa ROMA
alitoa amri kwamba ASKOFU wa
ROMA, “PAPA” awe ndiye mkuu
wa makanisa yote. Amri hii
ilianza kutumika A.D. 538 –
1798.
Mwishoni mwa mwaka 1798
Jemadari wa Ufaransa
mheshimiwa Berthier aliingia
mjini ROMA, akatangaza jamhuri
kwa agizo la Rais wa Ufaransa
Napoleon na kumteka nyara
PAPA PIUS (VI) akafia gerezani
nchini Ufaransa 1798 – mwisho
wa zama za giza” (Lecky’s
History of Rationalism in Europe,
Vol. II pg. 32.
BERTHIER, NAPOLEON. PAPA
PIUS (VI)
“AKAPEWA KUFANYA VITA NA
WATAKATIFU NA
KUWASHINDA” (Dan. 7:21; Ufu.
13:7)
Je, Upapa ulifanya vita juu ya
watakatifu na kuwashinda?
1. “Wakati wa zama za giza 538
B.K wakristo wapatao milioni 50
waliteswa na kuuawa na upapa.
Kanisa la KIRUMI limemwaga
damu isiyo na hatia kuliko
utawala mwingine wowote
uliokuwako zamani, kwa
MPROTESTANTI aliye mjuzi wa
historia hatakuwa na shaka”.
(Lecky’s history of Rationalism in
Europe, Vol. II, pg 32)
2. “Kanisa la KIRUMI limetesa.
Mwanafunzi tu (mtu mjinga
sana) katika historia ndiye
atakaye kanusha neno hili.
Miaka 150 baada ya
CONSTANTINE, wakristo wa
Afrika Kas (DONATISTS)
waliteswa katika Ufaransa na
Spain kwa kibali kamili cha
kanisa la KIRUMI”. (The Western
Watchman, Dec. 24, 1908)
3. Papa MARTIN (V) A.D 1417 -
1431 alitoa agizo kwa mfalme wa
POLAND kuhusu wakristo wafuasi
wa JOHN HUSS: “Wajibika
kuwaangamiza kabisa wafuasi
wa HUSS. Kumbuka kwamba
watu hawa wasiomheshimu
MUNGU wanadiriki kutangaza
kanuni za uhuru. Wanashikilia
kwamba KRISTO alikuja duniani
kupiga marufuku utumwa,
wanawatangazia watu uhuru….
Wachome moto, waue, fanya
majanga kila mahali, kwa sababu
hakuna kitu kinchoweza
kukkubalika kwa MUNGU zaidi ya
kitendo hicho, au kuwa cha
manufaa zaidi kwa ajili ya
wafalme kuliko mauaji ya hawa
wafuasi wa HUSS”. (The Public
and Private History of the Popes
of Rome Vol. II. Pg 116-117)
“Nikaona kimoja cha vichwa
vyake kana kwamba kimetiwa
jeraha la mauti, na pigo lake la
mauti likapona” (Ufu. 13:3).
Jeraha la mauti lilipona vipi?
1978 Papa Pius (VI) alikamatwa
na Jemadari wa Ufaransa
BETHIER, aliingia mjini ROMA
chini ya agizo la aliyekuwa Rais
wa Ufaransa NAPOLEON.
Alitangaza jamhuri, Papa
akakamatwa na kufungwa
gerezani hadi kifo 1978.
(MNYAMA AKAPOKEA JERAHA
LA MAUTI).
Jeraha la mauti lilipona vipi?
Tarehe 11/02/1929, waziri mkuu
wa Ufaransa, Mussolini alisaini
mikataba upya na upapa na
kurudisha mali zote za kanisa
zilizokuwa zimetaifishwa.
Mkataba wa kuurejeshea upapa
nguvu ukisainiwa
Jeraha la mauti likapona hadi
leo.
MWISHO
Jiandae kwa SOMO LINALOHUSU
YULE KAHABA MKUU WA
UFUNUO 17
 
Huu upuuzi mnaobishanaga mnanishangaza sana, kila mtu abaki na imani yake jamani! Wa kwenda mbinguni wataenda wa motoni wataenda! Amna haja ya kuhitillafiana na kupakazana matope kwamba dini flani zuri au baya!
 
Naomba nikujibu
ifuatavyo...Aaron
Tuanze na utawala wa kipapa
Utawala huu unatambulika nchi
ya vatican na kwa kanisa katoliki
la Roma pekee(hakujawahi kua
na utawala wa papa kwa dunia
nzima). Labda kwa faida ya
wengi nkupe historia kidogo ya
falme zilizowahi kutiisha dunia.
1.Ufalme wa babeli
Uthibitisho katika biblia anieli
2:32,-hapa unafananishwa na
kichwa cha dhahabu na mstari
wa 38 ambayo ndo tafsiri yake
"wewe u kichwa kile cha
dhahabu"
Danieli 7:4-unafananishwa na
simba& mstari wa 17 inasema ni
wafalme wanne watakaotokea
"duniani"
Katika historia ufalme huu
ulitawala miaka 73 na ni katika
kipindi hiki hekalu la Yerusalemu
alilojenga suleiman lilivunjwa
kabisa(patakatiu pa patakatifu)
2 Ufalme wa Medi na Uajemi
Uthibitisho katika biblia anieli
2:32-ambapo katika sanamu ya
mtu ni sehemu ya kifua na
mikono ya fedha.
Danieli 7:5-ufalme huu
unafananishwa na dubu(bear)
3. Ufalme wa kiyunani au kigiriki
Ufalme huu ulikua chini ya
Alexander mkuu(alexander the
great) na baada ya kifo chake
utawala wake ukagawanywa kwa
majenerali wake wanne.
Danieli8:8 Daniel 8:8
[8]Na yule beberu akajitukuza
sana; na alipokuwa na nguvu,
pembe ile kubwa ilivunjika; na
badala yake zikazuka pembe nne
mashuhuri zilizoelekea pepo nne
za mbinguni.
Uthibitisho katika biblia
anieli2:32,39-hapa
unafananishwa na tumbo na
viuno vya shaba
Danieli 7:7-hapa unafananishwa
na chui.
4. Ufalme wa Rumi( Roman
empire)
Uthibitisho: Danieli 2:33- hapa
unafananishwa na miguu ya
chuma na kama miguu ilivyo
miwili nao uligawanyika mara
mbili yani eastern empire
(byzantine) na western empire
(makao makuu roma).
Ikumbukwe sababu ya
kugawanyika n kuwa kubwa na
kushindwa kuwa na central rule
na kipind chote hiki hakuna papa
aliyekua anatawala na dini ilikua
roman religion na christianity
(watakatifu waishio roma)
Danieli 7:7
Upapa ulikuja vipi
Kulkua na civil wars na mfalme
wa kipindi hicho kabla ya
kugawanyika aliiwa Costantine
aliota akibeba bendera yenye
msalaba atashinda na alishinda
na akaamua kubatizwa na kua
mkristu na hapo mauaji ya
wakristu yakakoma,ikumbukwe
wakristu walichomwa moto na
kuteswa sana. Alipokufa utawala
ukagawanyika na ni kipindi
mapapa wakaanza kutawala na
eastern empire ilikua na makao
makuu yale ktk mji wa
costantinople(leo instambul) na
western yalikua roma. Tawala zte
mbili zlianguka na western
ilianguka 47AD na Eastern
ilianguka 1453AD sbb pia ya mji
mkuu wao kuitwa instambul leo.
Unaweza kuonyesha upapa
ulivotawala dunia,mana hata hao
mapapa wakat wako roma
mataifa kama ufaransa na europe
yalkua na wafalme wao.
Au hujui kua mitume wte wa
Yesu waliuawa chini ya utawala
wa Roma(petro alisulubiwa hapo
hapo roma,italia) ili uone rumi
haikua na ukristu mpka kwa
mfalme constantine.
Kwa kukusaidia tu katizame tena
hao watakatifu wa alexandria
uliowataja waliuawa vipi na nani
mana hata roma inawaita
watakatifu wake ikiwa na maana
kanisa halikuwaua.
Pembe ndogo!
Inatajwa katika danieli7:8 huyu
ni mnyama mwenye pembe kumi
na vichwa saba(wafalme saba)
utamuona pia katika ufunuo
13:1-2 na ufunuo17:3,7.
Danieli 7:24 anaelezea hzo
pembe kumi na kutokea kwa hyo
pembe ndogo(ni mpinga kristu)
ambaye ataangusha wafalme
watatu(pembe tatu ktk hzo
kumi). Hawa wafalme kumi ni
watakaoazimu juu ya
kuishambulia israeli nyakati za
mwsho tizama ufunuo17:12-
inasema "na zile pembe kumi ni
wafalme kumi ambao
hawajapokea ufalme bado,lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa sa moja pamoja na
yule mnyama na mstari wa 13
hawa wana shauri moja pamoja
na yule mnyama,nao wampa yule
mnyama nguvu zao na mamlaka
yao(linganisha hii na ufunuo
13:4 mnyama anapewa nguvu na
joka)
Sasa sijui wewe imetoa wapi
mambo ya huyo papa uliyemtaja
na musolini na sijui wawezaje
kuuelezea huo mkutano wao
kutokea kwenye biblia. Au biblia
yako yamtaja musolini kama joka
aliyempa uwezo yule mnyama?
Laba nikujibu pia habari ya
jeraha katika vichwa saba
ambazo biblia inatuambia ni
wafalme saba kuitawala dunia,
ufunuo 13:3 nasema kimoja cha
vichwa vyake kina jeraha la
mauti kati ya vile vichwa saba au
wafalme saba ukiangalia pia
ufunuo17:10 na 11 inataja
mfalme wa nane ambae pia ndo
wa saba,sasa ni ufalme upi
kuitawala dunia una jeraha?
Kabla ya falme nne nilizozitaja
hapo juu kulkua na falme za
ashuru na misri ambazo
zilitawala so ukiunganisha na
hzo nne znakua sita. Ya saba ni
Ottoman empire iliyoangusha
utawala wa roma na kubadl mji
wa constantinople mpka kuitwa
instambul. Huu pia ndo uliovunja
hekalu la pili la jerusalmu na
kujenga msikiti uliopo jerusalem
hata leo,ni jeraha sababu
ulifutwa na mataifa makubwa
yakiongozwa na uingereza na
unatazamiwa kuibuka tena siku
za mwisho. Hekaru la pili Yesu
ailikuta na lilijengwa na mfalme
herode wa dola ya rumi.
Kubadili amri na sheria na
majira ni kaz y mpinga kristu
atakayeleta dhana ya 666 katika
kununua na kuuza kma ufunuo
13:17-18 au chukizo la uharibifu
kama mathayo24:15 hapo
atakaposimama katika hekalu la
tatu na kunena makufuru. Na
huyu ndiye mnyama atakayekaa
miezi 42(ufunuo13:5) mwenye
kinywa kinenacho makufuru
ambaye atakua na ishara nyingi
hata kushusha moto toka
mbinguni na hata watakatifu wa
siku za mwisho hawatamuweza.
Naomba niishie hapa na
nihifadhi vinginw ili utakapoleta
udanganyifu mwingine
nikuadhibu.
Nlikuwa nasubiri upanic kama
leo hv ili nikutwange vizuri
usirudie tena.
Haya tuanze hv,umesema
kutabiriwa kwa RC ndani ya
biblia na ukanukuu kitabu cha
ufunuo kinapoelezea kuhusu
mnyama wa nne ambaye
umesema ni utawala wa Rumi
(sawa kabisa), mnyama huyu ana
vichwa saba na pembe kumi,
nikinukuu Danieli7:24(inafafanua
kua pembe kumi ni wafalme kumi
na hyo pembe ndogo n mfalme
ambaye atainuka na kuangusha
falme tatu),nikinukuu pia ufunuo
17:10 Revelation 17:12 inasema,
[12]And the ten horns which thou
sawest are ten kings, which have
received no kingdom as yet; but
receive power as kings one hour
with the beast.
Na zile pembe kumi ulizoziona ni
wafalme kumi, ambao
hawajapokea ufalme bado, lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa saa moja pamoja na
yule mnyama.(kumbe hawa
wafalme bado hawajapokea
mamlaka zao na wakipokea
watatawala pamoja na mnyama
ambaye ni mnyama wa
pili,kwahyo tuseme pembe ndogo
ikitokea hawa kumi watakua
washatawala na sasa hoja
inakuja kama umesema pembe
ndogo ni upapa au utawala wa
kipapa waweza onyesha hao
wafalme kumi na hao watatu
ambao upapa umewaangusha na
pia waweza kutuonyesha huyo
mnyama ambae alitawala na hao
wafalme kumi?umesema m nko
shallow lbda unisaidie hapa.
Huyu mnyama ni yule mnyama
wa pili wa ufunuo 13:11 ambaye
atakuja kutengeneza sanamu ya
mnyama huyo wa kwanza
mwenye vichwa saba na pembe
kumi.
Njoo hapa ufunuo
17:9-10,nanukuu Revelation
17:9-10
[9]And here is the mind which
hath wisdom. The seven heads
are seven mountains, on which
the woman sitteth.
Hapo ndipo penye akili zenye
hekima. Vile vichwa saba ni
milima saba anayokalia
mwanamke huyo.
[10]And there are seven kings:
five are fallen, and one is, and the
other is not yet come; and when
he cometh, he must continue a
short space.
Navyo ni wafalme saba. Watano
wamekwisha kuanguka, na
mmoja yupo, na mwingine hajaja
bado. Naye atakapokuja
imempasa kukaa muda mchache.
Ok kumbe vile vichwa saba
ambacho kimoja kina jeraha ni
wafalme saba na watano
wameshaanguka na mmoja
yupo,na wa saba bado hajaja.
Sasa umesema katika hoja zako
kuwa jeraha ni papa pius vi
alivotekwa na kufungwa gerezani
mwaka 1978(kwa maandishi
yako) sasa swali ni upapa au
huyu papa ni mfalme yup kati ya
hao watano waliokwisha anguka
au huyu wa saba ambaye
hajaja?kama ni katika hao
watano waweza taja hao wanne
waliotangulia mana sidhan kama
tangu upapa ulivoanza kutawala
kwa maelezo yako ya mwaka 538
mpka kwa huyu 1978 walikuwa n
mapapa wanne tu(labda
kibashite bashite). Na swali
linakuja zaid toka katika hoja
zako ss kati ya wale wafalme
kumi kunakotokea pembe ndogo
na huku katika vichwa saba kupi
ss ndo ulipo utawala wa upapa
mana umetolea maelezo kotekote
na mifano ya kusupport claim
yako hii. Au upapa bac n
mnyama wote wa nne? Hili
haliwezekani mana umeshasema
mnyama ni utawala wa
rumi.utakuwa na maelezo mazuri
labda ww uliye deep.
Katika maelezo yako umesema
utawala wa kipapa ulianza
538-1798 ambazo umesema ni
sawa na siku 1260 ili usupport
maneno ya biblia uliyonukuu
kuwa hyo pembe ndogo itatawala
miezi 42. Sasa je kutoka
538-1798 ni miezi 42?
(unatufanya mabashite?
watudanganya au hujui hta
unachokiongea?) Mi sijui nko
shallow umesema
Labda nije kwenyw mfano wako
wa namna gani hlo jeraha
lilipona. Umesema huyu papa
pius vi alitekwa 1978(ndo jeraha
la mauti kwa maelezo yako) na
jeraha likapona mwaka 1929
benito mussolini alipoingia
makubaliano na papa na
kurudisha mali zte za kanisa na
ukamalizia kwa kusema upapa
au jeraha likapona mpaka leo.
Swali je hukusema upapa
ulitawala siku 1260 ambazo ni
miezi 42 ya unabii wa ndani ya
biblia ambayo kwa maelezo yako
ni kati ya 538-1798? Na sasa
huu ulielezea kwa habari ya vile
vichwa saba ambapo kimoja kina
jeraha na hatujui n kipi mana
hujatwambia ila biblia inasema
vitano vishaanguka,cha sita kipo
ss na cha saba bado hakijaja tna
katika ufunuo 17:11 inasema
hicho sa saba ndicho cha nane
(sasa wa saba na wa nane sijui
ndo atakua papa yupi sasa,au
tufanye tuliteleza upapa hauko
huku kwenye vichwa saba uko
kule kwenye vichwa kumi)majibu
yote unayo lbda.Na mimi sijui
labda nisaidie katika hili,jeraha
linatokea 1978 na linapona
nyuma ambapo ni 1929 hii mbna
naona mapicha picha. Basi
geuza hapo 1978 iwe 1798
iendane n zile siku zako 1260 ili
na hapo nikuulize kwahyo upapa
ulishakoma au bado,kama bado
basi hyo pembe ndogo sio upapa
mana biblia imesema pembe
ndogo itatawala miezi 42 tu.
Ukiuhamishia upapa katika vile
vichwa saba unambie hao
wafalme watano walioanguka ss
sijui watakua mapapa na huyo
sa saba ambaye ni wa nane kwa
kadiri ya ufunuo17:11.
Nanukuu
Ufunuo 17:11
Revelation 17:11
[11]And the beast that was, and
is not, even he is the eighth, and
is of the seven, and goeth into
perdition.
Na yule mnyama aliyekuwako
naye hayuko, yeye ndiye wa nane,
naye ni mmoja wa wale saba,
naye aenenda kwenye uharibifu.
Labda nikuoneshe na habari
nyingine ya vle vichwa kumi
ambapo kutatokea pembe ndogo.
Ntanukuu ufunuo 17
Revelation 17:12-14
[12]And the ten horns which thou
sawest are ten kings, which have
received no kingdom as yet; but
receive power as kings one hour
with the beast.
Na zile pembe kumi ulizoziona ni
wafalme kumi, ambao
hawajapokea ufalme bado, lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa saa moja pamoja na
yule mnyama.
[13]These have one mind, and
shall give their power and
strength unto the beast.
Hawa wana shauri moja, nao
wampa yule mnyama nguvu zao
na mamlaka yao.(wale wafalme
kumi au pembe kumi wana
shauri moja nao watampa yule
mnyama nguvu zao na
mamlaka,sasa kama bado uko na
upapa na u RC labda uweke
maneno yako hapa utuelezee
huyu mnyama alipewa lini nguvu
na mamlaka na haya mataifa
kumi ambayo matatu
yalidondoka ikatoka pembe
ndogo upapa kwa maelezo yako)
[14]These shall make war with
the Lamb, and the Lamb shall
overcome them: for he is Lord of
lords, and King of kings: and they
that are with him are called, and
chosen, and faithful.
Hawa watafanya vita na Mwana-
Kondoo, na Mwana Kondoo
atawashinda, kwa maana Yeye ni
Bwana wa Mabwana, na Mfalme
wa Wafalme, na hao walio
pamoja naye ndio walioitwa, na
wateule, na waaminifu.(ahaa
kumbe zile pembe kumi pamoja
na mnyama wa pili watafanya
vita na mwana kondoo yani Yesu
kristu ambaye atawashinda,sasa
hapa uliye deep sijui utaelezea
vp mana wamafunz wako tuko
shallow hatujui)
Aaaah na mwisho kabsa kuna
makara yako uliyoandika
"mfahamu kahaba wa ufunuo 17"
na huko ukataja kahaba kama
kanisa katoliki, sasa naomba
unielezee katika mistari hii ya
ufunuo 17Revelation
17:6,9,15-16
[6]And I saw the woman drunken
with the blood of the saints, and
with the blood of the martyrs of
Jesus: and when I saw her, I
wondered with great admiration.
(Hapa ulitoa mfano wa kanisa
kumuua jamaa aliyetafsiri biblia
kwenda kingereza with the
picture of tombstone)
Nikamwona yule mwanamke
amelewa kwa damu ya
watakatifu, na kwa damu ya
mashahidi wa Yesu. Nami
nilipomwona nikastaajabu ajabu
kuu.
[9]And here is the mind which
hath wisdom. The seven heads
are seven mountains, on which
the woman sitteth.
Hapo ndipo penye akili zenye
hekima. Vile vichwa saba ni
milima saba anayokalia
mwanamke huyo.(kwahyo hapa
sijui ndo utasema mapapa saba
wametawala kanisa ambaye
mmoja ss atatakiwa awe na
jeraha la mauti,wa saba awe ndo
wa nane pia na pia watano wawe
wameshaanguka tayari....mimi
nachanganyikiwa tu hebu toa
ufafanuzi)
[15]And he saith unto me, The
waters which thou sawest, where
the whore sitteth, are peoples,
and multitudes, and nations, and
tongues.
Kisha akaniambia, Yale maji
uliyoyaona, hapo aketipo yule
kahaba, ni jamaa na makutano
na mataifa na lugha.(hapa sijui
ndo utasema waumini wengi
duniani wa RC...jibu unalo ww)
[16]And the ten horns which thou
sawest upon the beast, these
shall hate the whore, and shall
make her desolate and naked,
and shall eat her flesh, and burn
her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona,
na huyo mnyama, hao
watamchukia yule kahaba, nao
watamfanya kuwa mkiwa na uchi,
watamla nyama yake,
watamteketeza kabisa kwa moto.
( hapa ss ndo pagumu mana
unatuaminisha kahaba ni kanisa
katoliki na umetuambia pembe
ndogo itakayotoka katika hizi
kumi ni upapa...sasa sijui
tuseme upapa utamchukia kbsa
ukatoliki na kumteketeza kabisa?
hii hata haielewek ss mana hapo
hapo na mnyama yupo na hao
wafalme kumi watajichukua
kumteketeza kabisa huyu
ukatoliki na hii cjui itakua
ilitokea lini huko nyuma kbla ka
pembe kadogo ka upapa
kunyanyuka na kukuta ukatoliki
ushateketezwa kabsa...sijui
nicheke,vsijui nilie,sijui
nikuhurumie!!!
Siku nyingine usipende kuwekewa
maneno na kukalilishwa,soma
biblia mwnyw
 
HII NI SEHEMU YA MWISHO
SASA TUANZE NA AYA HII...
“Nikaona kimoja cha vichwa
vyake kana kwamba kimetiwa
jeraha la mauti, na pigo lake la
mauti likapona. Dunia yote
ikamstaajabia mnyama yule.
Wakamsujudu yule JOKA kwa
sababu alimpa huyo mnyama
uwezo wake; nao wakamsuju yule
mnyama, wakisema NI NANI
AFANANAYE NA MNYAMA
HUYU? TENA NI NANI AWEZAYE
KUFANYA VITA NAYE?. NAYE
AKAPEWA KINYWA CHA KUNENA
MANENO MAKUU, YA
MAKUFURU. AKAPEWA UWEZO
WA KUFANYA KAZI YAKE MIEZI
42. AKAFUNUA KINYWA CHAKE
AMTUKANE MUNGU, NA
KULITUKANA JINA LAKE, NA
MASKANI YAKE, NAO WAKAAO
MBINGUNI, TENA AKAPEWA
KUFANYA VITA NA WATAKATIFU
NA KUWASHINDA, akapewa
uwezo juu ya kila kabila na
jamaa na lugha na taifa” (Ufu.
13:3-7)
Nabii Daniel naye anafunua wazi
siri hii ya unabii kwa mafungu
yafuatayo: (Daniel na Ufunuo =
Kufuli na Funguo).
Nabii Daniel anaota ufafanuzi juu
ya mamlaka ya pembe ndogo.
Sifa za pembe ndogo zinafanana
kabisa na mamlaka au sifa za
mnyama huyu wa Ufu. 13.
(a) Pembe ndogo nayo
inamtukana MUNGU – “Naye
atanena maneno kinyume chake
aliye juu, NAYE ATAAZIMU
KUBADILI AMRI NA SHERIA”
Daniel 7:25)
Amri za MUNGU zilivyobadilishwa
(TAFUTA KATEKISIMU AU MISALE
FANANISHA NA ZA BIBLIA,utalia
machozi)
(b) Pembe ndogo iliwadhoofisha
watakatifu/iliwatesa watu wa
MUNGU. (Dan. 7:25) \
(c) Pembe ndogo ilifanya vita na
watakatifu ikawashinda (Dan.
7:21)
(d) Kipindi maalumu cha utawala
wa Pembe ndogo
“Wakati, Nyakati mbili, na Nusu
wakati” (Dan. 7:25). Hiki ni
kipindi ambacho MNYAMA huyu
alitesa kuuwa watu wa MUNGU.
William Tyndale aliuliwa na
kanisa la ROMA kwa kutafsiri
biblia kwa lugha ya kiingereza.
Je, utawala wa kipapa unakidhi
hivi vigezo vya unabii wa Daniel
na Ufunuo? Soma kwa makini
mafungu haya.
(a) Ufunuo 13: 3-7
(b) Daniel 7:21, 25, 8
1. USHAHIDI WA KIDINI –
“Kunena maneno makuu, maneno
ya makufuru, mnyama alifunua
kinywa chake na KUMTUKANA
MUNGU”
(1) Papa ni mwenye kuheshimiwa
sana na aliyetukuzwa, yeye si
mtu tu, bali ni kama aliye
MUNGU, na KASISI wa MUNGU
Papa huvishwa taji iliyo na
tabaka 3 – MFALME WA
MBINGUNI, DUNIANI NA
AHERA………Papa ni kama aliye
MUNGU duniani”. Prompt
Bibliotheca Article ‘Papa’ Vol. II
pp. 26-29.
Soma madai ya YESU: Mat
28:18.
Madai ya MNYAMA huyu ni sawa
na madai ya Lusifer – Isaya
14:13-14. Lusifer aliporomoshwa
chini, pembe ndogo/mnyama
huyu naye ataporomoshwa,
atashushwa – 2Thes. 2:3-12,
Dan. 7:11, 26.
(2) “Papa ni mkuu mno……. Yeye
ni MUNGU na aliye badala ya
MUNGU (Vicar of God). Papa ni
MUNGU duniani. Mfalme mkuu
wa wafalme, mwenye uwezo
mwingi”. (Prompta Bibliotheca
Canonical Juridical Moralis
Theological, vol. VI, Uk 25-29.
(3) Papa ni HAKIMU Mkuu wa
waumini wote, hukumu ya Papa
haina rufaa; kwa kuwa hakuna
mamlaka yaliyo juu
yake” (KITABU kiitwacho Papa ni
NANI, uk. 27 kinapatikana
kwenye BOOKSHOP ZOTE ZA RC)
(4) Papa ana mamlaka ya
kusamehe dhambi “Egote
absolve” (Kilatini, nakusamehe
wewe), Dignity and Duties of the
Priest, pg. 34-36.
Muumini akisamehewa DHAMBI
na PADRE au ASKOFU
Biblia ina msimamo gani juu ya
jambo hili.??soma Luka 5:20 –
24; Isaya 1:18; 1Yoh. 2:1-2;
Isaya 43:25; Mar. 2:7.
2. USHAHIDI WA KIHISTORIA.
AKAPEWA UWEZO WA KUFANYA
KAZI YAKE MIEZI 42: (Ufu. 13:5)
Historia inaonyesha kwamba
kipindi ambacho UPAPA
ulitawala dunia ni kuanzia
mwaka 538 – 1798 = siku 1260.
1. MIEZI 42: Ufunuo 13:15
Mwezi 1 = siku 30
Miezi 42 = siku
30 x 42 = siku 1260
2. WAKATI, NYAKATI MBILI NA
NUSU WAKATI (Dan. 7:25)
WAKATI = MWAKA 1 = SIKU 360
NYAKATI = MIAKA 2 = SIKU 720
NUSU WAKATI = NUSU MWAKA =
SIKU 180
= SIKU 1260 (Ufu. 12:6)
NOTE: Siku 1 = Mwaka: Hesabu
14:30; Ezekiel 4:6
Mfalme JUSTINIAN wa ROMA
alitoa amri kwamba ASKOFU wa
ROMA, “PAPA” awe ndiye mkuu
wa makanisa yote. Amri hii
ilianza kutumika A.D. 538 –
1798.
Mwishoni mwa mwaka 1798
Jemadari wa Ufaransa
mheshimiwa Berthier aliingia
mjini ROMA, akatangaza jamhuri
kwa agizo la Rais wa Ufaransa
Napoleon na kumteka nyara
PAPA PIUS (VI) akafia gerezani
nchini Ufaransa 1798 – mwisho
wa zama za giza” (Lecky’s
History of Rationalism in Europe,
Vol. II pg. 32.
BERTHIER, NAPOLEON. PAPA
PIUS (VI)
“AKAPEWA KUFANYA VITA NA
WATAKATIFU NA
KUWASHINDA” (Dan. 7:21; Ufu.
13:7)
Je, Upapa ulifanya vita juu ya
watakatifu na kuwashinda?
1. “Wakati wa zama za giza 538
B.K wakristo wapatao milioni 50
waliteswa na kuuawa na upapa.
Kanisa la KIRUMI limemwaga
damu isiyo na hatia kuliko
utawala mwingine wowote
uliokuwako zamani, kwa
MPROTESTANTI aliye mjuzi wa
historia hatakuwa na shaka”.
(Lecky’s history of Rationalism in
Europe, Vol. II, pg 32)
2. “Kanisa la KIRUMI limetesa.
Mwanafunzi tu (mtu mjinga
sana) katika historia ndiye
atakaye kanusha neno hili.
Miaka 150 baada ya
CONSTANTINE, wakristo wa
Afrika Kas (DONATISTS)
waliteswa katika Ufaransa na
Spain kwa kibali kamili cha
kanisa la KIRUMI”. (The Western
Watchman, Dec. 24, 1908)
3. Papa MARTIN (V) A.D 1417 -
1431 alitoa agizo kwa mfalme wa
POLAND kuhusu wakristo wafuasi
wa JOHN HUSS: “Wajibika
kuwaangamiza kabisa wafuasi
wa HUSS. Kumbuka kwamba
watu hawa wasiomheshimu
MUNGU wanadiriki kutangaza
kanuni za uhuru. Wanashikilia
kwamba KRISTO alikuja duniani
kupiga marufuku utumwa,
wanawatangazia watu uhuru….
Wachome moto, waue, fanya
majanga kila mahali, kwa sababu
hakuna kitu kinchoweza
kukkubalika kwa MUNGU zaidi ya
kitendo hicho, au kuwa cha
manufaa zaidi kwa ajili ya
wafalme kuliko mauaji ya hawa
wafuasi wa HUSS”. (The Public
and Private History of the Popes
of Rome Vol. II. Pg 116-117)
“Nikaona kimoja cha vichwa
vyake kana kwamba kimetiwa
jeraha la mauti, na pigo lake la
mauti likapona” (Ufu. 13:3).
Jeraha la mauti lilipona vipi?
1978 Papa Pius (VI) alikamatwa
na Jemadari wa Ufaransa
BETHIER, aliingia mjini ROMA
chini ya agizo la aliyekuwa Rais
wa Ufaransa NAPOLEON.
Alitangaza jamhuri, Papa
akakamatwa na kufungwa
gerezani hadi kifo 1978.
(MNYAMA AKAPOKEA JERAHA
LA MAUTI).
Jeraha la mauti lilipona vipi?
Tarehe 11/02/1929, waziri mkuu
wa Ufaransa, Mussolini alisaini
mikataba upya na upapa na
kurudisha mali zote za kanisa
zilizokuwa zimetaifishwa.
Mkataba wa kuurejeshea upapa
nguvu ukisainiwa
Jeraha la mauti likapona hadi
leo.
MWISHO
Jiandae kwa SOMO LINALOHUSU
YULE KAHABA MKUU WA
UFUNUO 17

Ndugu, usichokijua ni kuwa hata wewe mwenyewe imani yako inasaidia kupotosha wengi zaidi. Lisahau Kanisa Katoliki (ambalo leo hii ushawishi wake unazidi kupungua siku hadi siku Ulimwenguni). Kanisa Katoliki KAMWE haliwezi tena kuwa na ushawishi liliokuwa nalo zamani. Na hatuwezi kusema kuwa MUNGU WA ISRAELI aliewafunulia watumishi wake Daniel na Yohana (alieandika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana) hakuwa na uwezo wa kuwafunulia kuwa Kanisa Katoliki ndio utakuwa ufalme wa mwisho (kwanza Utawala wa Rumi ulikuwa ni utawala wa kisiasa NA KAMWE HAUKUHUSISHA IMANI YA DINI YEYOTE, na utawala walioonyeshwa Daniel na Yohana LAZIMA UWE NI UTAWALA WA KISIASA NA KIDINI - kitu ambacho kila Muislamu anaefuatilia kwa dhati mafundisho ya Quran na Suna atakuambia kuwa Uislamu unaaunganisha imani ya dini, siasa na uchumi).

Amka ndugu yangu.
 
Ndugu, usichokijua ni kuwa hata wewe mwenyewe imani yako inasaidia kupotosha wengi zaidi. Lisahau Kanisa Katoliki (ambalo leo hii ushawishi wake unazidi kupungua siku hadi siku Ulimwenguni). Kanisa Katoliki KAMWE haliwezi tena kuwa na ushawishi liliokuwa nalo zamani. Na hatuwezi kusema kuwa MUNGU WA ISRAELI aliewafunulia watumishi wake Daniel na Yohana (alieandika Kitabu cha Ufunuo wa Yohana) hakuwa na uwezo wa kuwafunulia kuwa Kanisa Katoliki ndio utakuwa ufalme wa mwisho (kwanza Utawala wa Rumi ulikuwa ni utawala wa kisiasa NA KAMWE HAUKUHUSISHA IMANI YA DINI YEYOTE, na utawala walioonyeshwa Daniel na Yohana LAZIMA UWE NI UTAWALA WA KISIASA NA KIDINI - kitu ambacho kila Muislamu anaefuatilia kwa dhati mafundisho ya Quran na Suna atakuambia kuwa Uislamu unaaunganisha imani ya dini, siasa na uchumi).

Amka ndugu yangu.
Hujui kitu uliza

Uislamu hauna sifa zilizosemwa na nabii daniel au yohana

Ukitaka hapa tujadiliane,sema tuweke sura nzima ,tuchambue aya kwa aya

Roma katoliki imetoka ndan ya roma ya kipagani

Na bado ilibeba maelfu ya mafundisho au tamaduni za roma ya kipagani

Papa ni rais wa vatcan pia ni kiongoz wa dini

Vatcan ina ubaloz karibu kila nchi,

HEBU NIAMBIE UPO TAYAR TUFANYE MJADALA?
 
Naomba nikujibu
ifuatavyo...Aaron
Tuanze na utawala wa kipapa
Utawala huu unatambulika nchi
ya vatican na kwa kanisa katoliki
la Roma pekee(hakujawahi kua
na utawala wa papa kwa dunia
nzima). Labda kwa faida ya
wengi nkupe historia kidogo ya
falme zilizowahi kutiisha dunia.
1.Ufalme wa babeli
Uthibitisho katika biblia anieli
2:32,-hapa unafananishwa na
kichwa cha dhahabu na mstari
wa 38 ambayo ndo tafsiri yake
"wewe u kichwa kile cha
dhahabu"
Danieli 7:4-unafananishwa na
simba& mstari wa 17 inasema ni
wafalme wanne watakaotokea
"duniani"
Katika historia ufalme huu
ulitawala miaka 73 na ni katika
kipindi hiki hekalu la Yerusalemu
alilojenga suleiman lilivunjwa
kabisa(patakatiu pa patakatifu)
2 Ufalme wa Medi na Uajemi
Uthibitisho katika biblia anieli
2:32-ambapo katika sanamu ya
mtu ni sehemu ya kifua na
mikono ya fedha.
Danieli 7:5-ufalme huu
unafananishwa na dubu(bear)
3. Ufalme wa kiyunani au kigiriki
Ufalme huu ulikua chini ya
Alexander mkuu(alexander the
great) na baada ya kifo chake
utawala wake ukagawanywa kwa
majenerali wake wanne.
Danieli8:8 Daniel 8:8
[8]Na yule beberu akajitukuza
sana; na alipokuwa na nguvu,
pembe ile kubwa ilivunjika; na
badala yake zikazuka pembe nne
mashuhuri zilizoelekea pepo nne
za mbinguni.
Uthibitisho katika biblia
anieli2:32,39-hapa
unafananishwa na tumbo na
viuno vya shaba
Danieli 7:7-hapa unafananishwa
na chui.
4. Ufalme wa Rumi( Roman
empire)
Uthibitisho: Danieli 2:33- hapa
unafananishwa na miguu ya
chuma na kama miguu ilivyo
miwili nao uligawanyika mara
mbili yani eastern empire
(byzantine) na western empire
(makao makuu roma).
Ikumbukwe sababu ya
kugawanyika n kuwa kubwa na
kushindwa kuwa na central rule
na kipind chote hiki hakuna papa
aliyekua anatawala na dini ilikua
roman religion na christianity
(watakatifu waishio roma)
Danieli 7:7
Upapa ulikuja vipi
Kulkua na civil wars na mfalme
wa kipindi hicho kabla ya
kugawanyika aliiwa Costantine
aliota akibeba bendera yenye
msalaba atashinda na alishinda
na akaamua kubatizwa na kua
mkristu na hapo mauaji ya
wakristu yakakoma,ikumbukwe
wakristu walichomwa moto na
kuteswa sana. Alipokufa utawala
ukagawanyika na ni kipindi
mapapa wakaanza kutawala na
eastern empire ilikua na makao
makuu yale ktk mji wa
costantinople(leo instambul) na
western yalikua roma. Tawala zte
mbili zlianguka na western
ilianguka 47AD na Eastern
ilianguka 1453AD sbb pia ya mji
mkuu wao kuitwa instambul leo.
Unaweza kuonyesha upapa
ulivotawala dunia,mana hata hao
mapapa wakat wako roma
mataifa kama ufaransa na europe
yalkua na wafalme wao.
Au hujui kua mitume wte wa
Yesu waliuawa chini ya utawala
wa Roma(petro alisulubiwa hapo
hapo roma,italia) ili uone rumi
haikua na ukristu mpka kwa
mfalme constantine.
Kwa kukusaidia tu katizame tena
hao watakatifu wa alexandria
uliowataja waliuawa vipi na nani
mana hata roma inawaita
watakatifu wake ikiwa na maana
kanisa halikuwaua.
Pembe ndogo!
Inatajwa katika danieli7:8 huyu
ni mnyama mwenye pembe kumi
na vichwa saba(wafalme saba)
utamuona pia katika ufunuo
13:1-2 na ufunuo17:3,7.
Danieli 7:24 anaelezea hzo
pembe kumi na kutokea kwa hyo
pembe ndogo(ni mpinga kristu)
ambaye ataangusha wafalme
watatu(pembe tatu ktk hzo
kumi). Hawa wafalme kumi ni
watakaoazimu juu ya
kuishambulia israeli nyakati za
mwsho tizama ufunuo17:12-
inasema "na zile pembe kumi ni
wafalme kumi ambao
hawajapokea ufalme bado,lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa sa moja pamoja na
yule mnyama na mstari wa 13
hawa wana shauri moja pamoja
na yule mnyama,nao wampa yule
mnyama nguvu zao na mamlaka
yao(linganisha hii na ufunuo
13:4 mnyama anapewa nguvu na
joka)
Sasa sijui wewe imetoa wapi
mambo ya huyo papa uliyemtaja
na musolini na sijui wawezaje
kuuelezea huo mkutano wao
kutokea kwenye biblia. Au biblia
yako yamtaja musolini kama joka
aliyempa uwezo yule mnyama?
Laba nikujibu pia habari ya
jeraha katika vichwa saba
ambazo biblia inatuambia ni
wafalme saba kuitawala dunia,
ufunuo 13:3 nasema kimoja cha
vichwa vyake kina jeraha la
mauti kati ya vile vichwa saba au
wafalme saba ukiangalia pia
ufunuo17:10 na 11 inataja
mfalme wa nane ambae pia ndo
wa saba,sasa ni ufalme upi
kuitawala dunia una jeraha?
Kabla ya falme nne nilizozitaja
hapo juu kulkua na falme za
ashuru na misri ambazo
zilitawala so ukiunganisha na
hzo nne znakua sita. Ya saba ni
Ottoman empire iliyoangusha
utawala wa roma na kubadl mji
wa constantinople mpka kuitwa
instambul. Huu pia ndo uliovunja
hekalu la pili la jerusalmu na
kujenga msikiti uliopo jerusalem
hata leo,ni jeraha sababu
ulifutwa na mataifa makubwa
yakiongozwa na uingereza na
unatazamiwa kuibuka tena siku
za mwisho. Hekaru la pili Yesu
ailikuta na lilijengwa na mfalme
herode wa dola ya rumi.
Kubadili amri na sheria na
majira ni kaz y mpinga kristu
atakayeleta dhana ya 666 katika
kununua na kuuza kma ufunuo
13:17-18 au chukizo la uharibifu
kama mathayo24:15 hapo
atakaposimama katika hekalu la
tatu na kunena makufuru. Na
huyu ndiye mnyama atakayekaa
miezi 42(ufunuo13:5) mwenye
kinywa kinenacho makufuru
ambaye atakua na ishara nyingi
hata kushusha moto toka
mbinguni na hata watakatifu wa
siku za mwisho hawatamuweza.
Naomba niishie hapa na
nihifadhi vinginw ili utakapoleta
udanganyifu mwingine
nikuadhibu.
Nlikuwa nasubiri upanic kama
leo hv ili nikutwange vizuri
usirudie tena.
Haya tuanze hv,umesema
kutabiriwa kwa RC ndani ya
biblia na ukanukuu kitabu cha
ufunuo kinapoelezea kuhusu
mnyama wa nne ambaye
umesema ni utawala wa Rumi
(sawa kabisa), mnyama huyu ana
vichwa saba na pembe kumi,
nikinukuu Danieli7:24(inafafanua
kua pembe kumi ni wafalme kumi
na hyo pembe ndogo n mfalme
ambaye atainuka na kuangusha
falme tatu),nikinukuu pia ufunuo
17:10 Revelation 17:12 inasema,
[12]And the ten horns which thou
sawest are ten kings, which have
received no kingdom as yet; but
receive power as kings one hour
with the beast.
Na zile pembe kumi ulizoziona ni
wafalme kumi, ambao
hawajapokea ufalme bado, lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa saa moja pamoja na
yule mnyama.(kumbe hawa
wafalme bado hawajapokea
mamlaka zao na wakipokea
watatawala pamoja na mnyama
ambaye ni mnyama wa
pili,kwahyo tuseme pembe ndogo
ikitokea hawa kumi watakua
washatawala na sasa hoja
inakuja kama umesema pembe
ndogo ni upapa au utawala wa
kipapa waweza onyesha hao
wafalme kumi na hao watatu
ambao upapa umewaangusha na
pia waweza kutuonyesha huyo
mnyama ambae alitawala na hao
wafalme kumi?umesema m nko
shallow lbda unisaidie hapa.
Huyu mnyama ni yule mnyama
wa pili wa ufunuo 13:11 ambaye
atakuja kutengeneza sanamu ya
mnyama huyo wa kwanza
mwenye vichwa saba na pembe
kumi.
Njoo hapa ufunuo
17:9-10,nanukuu Revelation
17:9-10
[9]And here is the mind which
hath wisdom. The seven heads
are seven mountains, on which
the woman sitteth.
Hapo ndipo penye akili zenye
hekima. Vile vichwa saba ni
milima saba anayokalia
mwanamke huyo.
[10]And there are seven kings:
five are fallen, and one is, and the
other is not yet come; and when
he cometh, he must continue a
short space.
Navyo ni wafalme saba. Watano
wamekwisha kuanguka, na
mmoja yupo, na mwingine hajaja
bado. Naye atakapokuja
imempasa kukaa muda mchache.
Ok kumbe vile vichwa saba
ambacho kimoja kina jeraha ni
wafalme saba na watano
wameshaanguka na mmoja
yupo,na wa saba bado hajaja.
Sasa umesema katika hoja zako
kuwa jeraha ni papa pius vi
alivotekwa na kufungwa gerezani
mwaka 1978(kwa maandishi
yako) sasa swali ni upapa au
huyu papa ni mfalme yup kati ya
hao watano waliokwisha anguka
au huyu wa saba ambaye
hajaja?kama ni katika hao
watano waweza taja hao wanne
waliotangulia mana sidhan kama
tangu upapa ulivoanza kutawala
kwa maelezo yako ya mwaka 538
mpka kwa huyu 1978 walikuwa n
mapapa wanne tu(labda
kibashite bashite). Na swali
linakuja zaid toka katika hoja
zako ss kati ya wale wafalme
kumi kunakotokea pembe ndogo
na huku katika vichwa saba kupi
ss ndo ulipo utawala wa upapa
mana umetolea maelezo kotekote
na mifano ya kusupport claim
yako hii. Au upapa bac n
mnyama wote wa nne? Hili
haliwezekani mana umeshasema
mnyama ni utawala wa
rumi.utakuwa na maelezo mazuri
labda ww uliye deep.
Katika maelezo yako umesema
utawala wa kipapa ulianza
538-1798 ambazo umesema ni
sawa na siku 1260 ili usupport
maneno ya biblia uliyonukuu
kuwa hyo pembe ndogo itatawala
miezi 42. Sasa je kutoka
538-1798 ni miezi 42?
(unatufanya mabashite?
watudanganya au hujui hta
unachokiongea?) Mi sijui nko
shallow umesema
Labda nije kwenyw mfano wako
wa namna gani hlo jeraha
lilipona. Umesema huyu papa
pius vi alitekwa 1978(ndo jeraha
la mauti kwa maelezo yako) na
jeraha likapona mwaka 1929
benito mussolini alipoingia
makubaliano na papa na
kurudisha mali zte za kanisa na
ukamalizia kwa kusema upapa
au jeraha likapona mpaka leo.
Swali je hukusema upapa
ulitawala siku 1260 ambazo ni
miezi 42 ya unabii wa ndani ya
biblia ambayo kwa maelezo yako
ni kati ya 538-1798? Na sasa
huu ulielezea kwa habari ya vile
vichwa saba ambapo kimoja kina
jeraha na hatujui n kipi mana
hujatwambia ila biblia inasema
vitano vishaanguka,cha sita kipo
ss na cha saba bado hakijaja tna
katika ufunuo 17:11 inasema
hicho sa saba ndicho cha nane
(sasa wa saba na wa nane sijui
ndo atakua papa yupi sasa,au
tufanye tuliteleza upapa hauko
huku kwenye vichwa saba uko
kule kwenye vichwa kumi)majibu
yote unayo lbda.Na mimi sijui
labda nisaidie katika hili,jeraha
linatokea 1978 na linapona
nyuma ambapo ni 1929 hii mbna
naona mapicha picha. Basi
geuza hapo 1978 iwe 1798
iendane n zile siku zako 1260 ili
na hapo nikuulize kwahyo upapa
ulishakoma au bado,kama bado
basi hyo pembe ndogo sio upapa
mana biblia imesema pembe
ndogo itatawala miezi 42 tu.
Ukiuhamishia upapa katika vile
vichwa saba unambie hao
wafalme watano walioanguka ss
sijui watakua mapapa na huyo
sa saba ambaye ni wa nane kwa
kadiri ya ufunuo17:11.
Nanukuu
Ufunuo 17:11
Revelation 17:11
[11]And the beast that was, and
is not, even he is the eighth, and
is of the seven, and goeth into
perdition.
Na yule mnyama aliyekuwako
naye hayuko, yeye ndiye wa nane,
naye ni mmoja wa wale saba,
naye aenenda kwenye uharibifu.
Labda nikuoneshe na habari
nyingine ya vle vichwa kumi
ambapo kutatokea pembe ndogo.
Ntanukuu ufunuo 17
Revelation 17:12-14
[12]And the ten horns which thou
sawest are ten kings, which have
received no kingdom as yet; but
receive power as kings one hour
with the beast.
Na zile pembe kumi ulizoziona ni
wafalme kumi, ambao
hawajapokea ufalme bado, lakini
wapokea mamlaka kama wafalme
muda wa saa moja pamoja na
yule mnyama.
[13]These have one mind, and
shall give their power and
strength unto the beast.
Hawa wana shauri moja, nao
wampa yule mnyama nguvu zao
na mamlaka yao.(wale wafalme
kumi au pembe kumi wana
shauri moja nao watampa yule
mnyama nguvu zao na
mamlaka,sasa kama bado uko na
upapa na u RC labda uweke
maneno yako hapa utuelezee
huyu mnyama alipewa lini nguvu
na mamlaka na haya mataifa
kumi ambayo matatu
yalidondoka ikatoka pembe
ndogo upapa kwa maelezo yako)
[14]These shall make war with
the Lamb, and the Lamb shall
overcome them: for he is Lord of
lords, and King of kings: and they
that are with him are called, and
chosen, and faithful.
Hawa watafanya vita na Mwana-
Kondoo, na Mwana Kondoo
atawashinda, kwa maana Yeye ni
Bwana wa Mabwana, na Mfalme
wa Wafalme, na hao walio
pamoja naye ndio walioitwa, na
wateule, na waaminifu.(ahaa
kumbe zile pembe kumi pamoja
na mnyama wa pili watafanya
vita na mwana kondoo yani Yesu
kristu ambaye atawashinda,sasa
hapa uliye deep sijui utaelezea
vp mana wamafunz wako tuko
shallow hatujui)
Aaaah na mwisho kabsa kuna
makara yako uliyoandika
"mfahamu kahaba wa ufunuo 17"
na huko ukataja kahaba kama
kanisa katoliki, sasa naomba
unielezee katika mistari hii ya
ufunuo 17Revelation
17:6,9,15-16
[6]And I saw the woman drunken
with the blood of the saints, and
with the blood of the martyrs of
Jesus: and when I saw her, I
wondered with great admiration.
(Hapa ulitoa mfano wa kanisa
kumuua jamaa aliyetafsiri biblia
kwenda kingereza with the
picture of tombstone)
Nikamwona yule mwanamke
amelewa kwa damu ya
watakatifu, na kwa damu ya
mashahidi wa Yesu. Nami
nilipomwona nikastaajabu ajabu
kuu.
[9]And here is the mind which
hath wisdom. The seven heads
are seven mountains, on which
the woman sitteth.
Hapo ndipo penye akili zenye
hekima. Vile vichwa saba ni
milima saba anayokalia
mwanamke huyo.(kwahyo hapa
sijui ndo utasema mapapa saba
wametawala kanisa ambaye
mmoja ss atatakiwa awe na
jeraha la mauti,wa saba awe ndo
wa nane pia na pia watano wawe
wameshaanguka tayari....mimi
nachanganyikiwa tu hebu toa
ufafanuzi)
[15]And he saith unto me, The
waters which thou sawest, where
the whore sitteth, are peoples,
and multitudes, and nations, and
tongues.
Kisha akaniambia, Yale maji
uliyoyaona, hapo aketipo yule
kahaba, ni jamaa na makutano
na mataifa na lugha.(hapa sijui
ndo utasema waumini wengi
duniani wa RC...jibu unalo ww)
[16]And the ten horns which thou
sawest upon the beast, these
shall hate the whore, and shall
make her desolate and naked,
and shall eat her flesh, and burn
her with fire.
Na zile pembe kumi ulizoziona,
na huyo mnyama, hao
watamchukia yule kahaba, nao
watamfanya kuwa mkiwa na uchi,
watamla nyama yake,
watamteketeza kabisa kwa moto.
( hapa ss ndo pagumu mana
unatuaminisha kahaba ni kanisa
katoliki na umetuambia pembe
ndogo itakayotoka katika hizi
kumi ni upapa...sasa sijui
tuseme upapa utamchukia kbsa
ukatoliki na kumteketeza kabisa?
hii hata haielewek ss mana hapo
hapo na mnyama yupo na hao
wafalme kumi watajichukua
kumteketeza kabisa huyu
ukatoliki na hii cjui itakua
ilitokea lini huko nyuma kbla ka
pembe kadogo ka upapa
kunyanyuka na kukuta ukatoliki
ushateketezwa kabsa...sijui
nicheke,vsijui nilie,sijui
nikuhurumie!!!
Siku nyingine usipende kuwekewa
maneno na kukalilishwa,soma
biblia mwnyw
Huyo alimix mambo ,

Mimi nikieleza vzr sana kwa kutumia biblia na historia

Sasa sijui na wewe upo tayari tuuchambue huo unabii ? Kwa biblia na historia?
 
Huu upuuzi mnaobishanaga mnanishangaza sana, kila mtu abaki na imani yake jamani! Wa kwenda mbinguni wataenda wa motoni wataenda! Amna haja ya kuhitillafiana na kupakazana matope kwamba dini flani zuri au baya!
Huwez kuzui UKWELI usisemwe kwa hoja mufilis et kila mtu abak na iman yake,

Bas hata mwanadamu alipopote , Yesu na yeye angesema hivo , kila mtu abak na iman yake , na wapotee
 
Huwez kuzui UKWELI usisemwe kwa hoja mufilis et kila mtu abak na iman yake,

Bas hata mwanadamu alipopote , Yesu na yeye angesema hivo , kila mtu abak na iman yake , na wapotee
kwaiyo wewe ni Yesu..!?

Fala kweli wewe dogo...... umelaaniwa na kanisa lako la SDA, pomoja na huyu mwanamke aliyeanziasha dhehebu lenu la upotoshaji!
 
kwaiyo wewe ni Yesu..!?

Fala kweli wewe dogo...... umelaaniwa na kanisa lako la SDA, pomoja na huyu mwanamke aliyeanziasha dhehebu lenu la upotoshaji!
Ok, but HUWEZ KUZUI UKWELI, USISEMWE , TUTASEMA HADI TUNAINGIA KABURINI
FB_IMG_1540964219457.jpeg
 
Ok, but HUWEZ KUZUI UKWELI, USISEMWE , TUTASEMA HADI TUNAINGIA KABURINIView attachment 923079
acha wizu wa kiboya wewe.. Pambaneni na hali yenu... Hao mnaoshinda kwenye mitandao kuwachafu, ndio wanabarikiwa kila siku na mwenyezi Mungu, nyie mnabaki makapuku na majungu yenu..! Pambavu kabisa wewe.
 
acha wizu wa kiboya wewe.. Pambaneni na hali yenu... Hao mnaoshinda kwenye mitandao kuwachafu, ndio wanabarikiwa kila siku na mwenyezi Mungu, nyie mnabaki makapuku na majungu yenu..! Pambavu kabisa wewe.
Bas aliyeanza kuwachafua ni MUNGU mwenyewe aliyewatuma YOHANA NA DANIEL wawafunue mlivyo
FB_IMG_1540964211457.jpeg
 
Unapokosa hoja au ujumbe unapokuchoma moyoni ,suluhisho sio MATUSI
Sio kukosa ujumbe.
Wasabato toka mnapoanza kujifunza masomo ya Sunday School, Mtaala wenu wote wa mafundisho umejaa somo la kuishambulia Imani ya Roman Katholic.
Kuanzia chekechea yenu hadi PHD ya Divinity yenu, ajenda kuu ni "Sabato" na "Roman Kathoric" pekee.
Hivyo mmejipanga sana kwa kuzipangilia aya za kwenye Biblia zote mnazielekeza kwenye Sabato na Katoriki na Jumapili na Jumamosi.
Makongomano yenu yote mahubiri ya Msingi ni Roman Kathoric na Sabato.
Hivyo mnazo Notisi za muda mrefu toka ambazo Mchochezi Ellen G White amewarithisha hizo hizo na mnazitumia miaka yote na wakati ujao.
Ndio maana ukimwuliza Swali lolote Msabato kuhusu, Roman Kathoric, Jumamosi, Jumapili, Sabato. Kila msabato anajibu majibu yele yale, na kwa kutumia aya zile zile.
Ni kwamba Wasabato mme karirishwa, kila Swali na jibu lake hilo hilo miaka yote.
Hivyo Wasabato mmefundishwa kabisa kuto jihusisha na jambo lolote zaidi ya Roman Kathoric na Sabato.
Ukiingia katika Ibada ya Wasabato huwezi kukosa somo la Sabato, na Roman Kathoric, kila siku, usiku na mchana, jioni na asubuhi mada ni hizo hizo.
Wasabato maswala ya Wokovu mmetupilia mbali, wala mambo ya Msingi ya Kristo kama, Upendo, Ubatizo, Msamaha, Hekima, Ujumbe wa Kristo nk hamna habari nazo.
Nyie Aya na Mistari yenu ya kwenye Biblia ni ile ile mliyoelekezwa na mchochezi Ellen G White.
Mchochezi wa kuendekeza Chuki, Uhasama, Ugomvi, Vita, na aina zote za uadui na Waroman Kathoric kwa miaka yote toka kanisa lenu lianzishwe.
Angalieni mnavyo wakosoa Wakatoriki mnatumia maneno makali ya dharau, kejeli na majitapo utadhani nyie ndio mmesha pata tiketi ya kuingia Mbinguni.
Mmeshindwa kabisa kuwaelimisha hao mnaowaona wana dhambi kwa Upole na Upendo wa Kristo, badala yake mnazidi kuwapandikiza roho za chuki watoto na wajukuu zenu kuhusu mahusiano yenu na Wakatoriki.
Je hivyo ndivyo alivyowagiza Yesu Kristo kufanya...! kuhubiri Injiri kwa chuki na kejeli ?
Wasabato mmefikia mahali Yesu Kristo, mmemtupilia mbali na mmeamua kumfuata huyo mchochezi Ellen G White na mmeelekeza macho masikio na akili yenu yote kwake.
Yesu alikuja kwa wenye dhambi na aliwahubiria kwa upendo na unyenyekevu mkubwa pamoja na hadhi yake kubwa ya Uungu lakini alijinyenyekesha kwa wenye dhambi.
Ellen White kaanzisha kanisa kwa kigezo kimoja tu cha Sabato lakini kaja kuwapandikizia dhambi kubwa ya chuki dhidi ya Wasio Wasabato na hususan Roman Kathoric.
Wasabato hii dhambi itawatafuna miaka yote na hamuwezi kuiacha kama hamtatubu kwa dhati na kuamua kuihubiri Injiri ya Yesu Krsto kwa mataifa yasiyofikiwa na Habari Njema.
Mtabaki mkiishika Imani kama Maroboti, mkiimba nyimbo hiyohiyo, miaka nenda rudi kila kukicha,
Nyimbo ya Kisabato ya, Roman Kathoric, Jumapili, Jumamosi, Sabato, Papa.
Roman Kathorik, Jumapili, Jumamosi, Sabato, Papa....
Na Mistari yenu itabaki hiyo hiyo kwenye Biblia,
Kutoka 20 : 8
Kumbukumbu la Torati 5 : 12
Kitabu cha Daniel,
Kitabu cha ufunuo wa Yohana sura ya 13 na 14.
Elleni anawachezesha hapohapo hadi siku ya kiama inafika inawakuta mmetoa macho kwenye Aya hizo hizo.

Hiyo ndiyo imani ya Seventh Day Adventist Church, au
WASABATO
Ni imani tofauti kabisa na imani ya KIKRISTO.

Imani ya Kikristo imejengwa katika mandiko haya.

" Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo "
Warumi 10 : 17.

" Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari "
Mathayo 28 : 19 - 20.

Mkristo ni yule anayeshika, na kuyafuata na kuyafundisha yale tu ambayo bwana wetu Yesu Kristo aliyaagiza.
Ukristo ni Neno la Kristo.

Nyie endeleeni kuvutana na kugombea Dini zenu na Manabii wenu.
 
Sio kukosa ujumbe.
Wasabato toka mnapoanza kujifunza masomo ya Sunday School, Mtaala wenu wote wa mafundisho umejaa somo la kuishambulia Imani ya Roman Katholic.
Kuanzia chekechea yenu hadi PHD ya Divinity yenu, ajenda kuu ni "Sabato" na "Roman Kathoric" pekee.
Hivyo mmejipanga sana kwa kuzipangilia aya za kwenye Biblia zote mnazielekeza kwenye Sabato na Katoriki na Jumapili na Jumamosi.
Makongomano yenu yote mahubiri ya Msingi ni Roman Kathoric na Sabato.
Hivyo mnazo Notisi za muda mrefu toka ambazo Mchochezi Ellen G White amewarithisha hizo hizo na mnazitumia miaka yote na wakati ujao.
Ndio maana ukimwuliza Swali lolote Msabato kuhusu, Roman Kathoric, Jumamosi, Jumapili, Sabato. Kila msabato anajibu majibu yele yale, na kwa kutumia aya zile zile.
Ni kwamba Wasabato mme karirishwa, kila Swali na jibu lake hilo hilo miaka yote.
Hivyo Wasabato mmefundishwa kabisa kuto jihusisha na jambo lolote zaidi ya Roman Kathoric na Sabato.
Ukiingia katika Ibada ya Wasabato huwezi kukosa somo la Sabato, na Roman Kathoric, kila siku, usiku na mchana, jioni na asubuhi mada ni hizo hizo.
Wasabato maswala ya Wokovu mmetupilia mbali, wala mambo ya Msingi ya Kristo kama, Upendo, Ubatizo, Msamaha, Hekima, Ujumbe wa Kristo nk hamna habari nazo.
Nyie Aya na Mistari yenu ya kwenye Biblia ni ile ile mliyoelekezwa na mchochezi Ellen G White.
Mchochezi wa kuendekeza Chuki, Uhasama, Ugomvi, Vita, na aina zote za uadui na Waroman Kathoric kwa miaka yote toka kanisa lenu lianzishwe.
Angalieni mnavyo wakosoa Wakatoriki mnatumia maneno makali ya dharau, kejeli na majitapo utadhani nyie ndio mmesha pata tiketi ya kuingia Mbinguni.
Mmeshindwa kabisa kuwaelimisha hao mnaowaona wana dhambi kwa Upole na Upendo wa Kristo, badala yake mnazidi kuwapandikiza roho za chuki watoto na wajukuu zenu kuhusu mahusiano yenu na Wakatoriki.
Je hivyo ndivyo alivyowagiza Yesu Kristo kufanya...! kuhubiri Injiri kwa chuki na kejeli ?
Wasabato mmefikia mahali Yesu Kristo, mmemtupilia mbali na mmeamua kumfuata huyo mchochezi Ellen G White na mmeelekeza macho masikio na akili yenu yote kwake.
Yesu alikuja kwa wenye dhambi na aliwahubiria kwa upendo na unyenyekevu mkubwa pamoja na hadhi yake kubwa ya Uungu lakini alijinyenyekesha kwa wenye dhambi.
Ellen White kaanzisha kanisa kwa kigezo kimoja tu cha Sabato lakini kaja kuwapandikizia dhambi kubwa ya chuki dhidi ya Wasio Wasabato na hususan Roman Kathoric.
Wasabato hii dhambi itawatafuna miaka yote na hamuwezi kuiacha kama hamtatubu kwa dhati na kuamua kuihubiri Injiri ya Yesu Krsto kwa mataifa yasiyofikiwa na Habari Njema.
Mtabaki mkiishika Imani kama Maroboti, mkiimba nyimbo hiyohiyo, miaka nenda rudi kila kukicha,
Nyimbo ya Kisabato ya, Roman Kathoric, Jumapili, Jumamosi, Sabato, Papa.
Roman Kathorik, Jumapili, Jumamosi, Sabato, Papa....
Na Mistari yenu itabaki hiyo hiyo kwenye Biblia,
Kutoka 20 : 8
Kumbukumbu la Torati 5 : 12
Kitabu cha Daniel,
Kitabu cha ufunuo wa Yohana sura ya 13 na 14.
Elleni anawachezesha hapohapo hadi siku ya kiama inafika inawakuta mmetoa macho kwenye Aya hizo hizo.

Hiyo ndiyo imani ya Seventh Day Adventist Church, au
WASABATO
Ni imani tofauti kabisa na imani ya KIKRISTO.

Imani ya Kikristo imejengwa katika mandiko haya.

" Basi imani, chanzo chake ni kusikia; na kusikia huja kwa neno la Kristo "
Warumi 10 : 17.

" Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu; na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote hata ukamilifu wa dahari "
Mathayo 28 : 19 - 20.

Mkristo ni yule anayeshika, na kuyafuata na kuyafundisha yale tu ambayo bwana wetu Yesu Kristo aliyaagiza.
Ukristo ni Neno la Kristo.

Nyie endeleeni kuvutana na kugombea Dini zenu na Manabii wenu.
Naweza kuchelea kusema huujui usabato

Na nilichokiona kwako , UKWELI UNAKUCHOMA SANA

KUHUSU UPOTOVU WA RC HATA KINA LUTHER ,CALVIN WAMEUELEZEA SANA

SEMA BAADA YA KUFA HAO ,MAKANISA YAO YAKARUD ROMA NA KUPIGA MAGOTI

WASABATO SDA , BIBLIA WANAISOMA MWANZO MWISHO, WAMEJENGWA JUU.YA BIBLIA NA BIBLIA PEKEE, VITABU VYA EGW NI NURU NDOGO HATA YEYE ALIITA HIVO

kwakuwa umekuwa unatoa shutuma kuwa sisi tunawasakama WAKATOLIKI , nilikuomba uje hapa tufanye mjadala kuhusu MNYAMA AYA KWA AYA ukakimbia

Maana niliwahi kufanya hivo na wakatolik wenzako kina otorongongo WAKAKIMBIA MAANA WALIJIKUTA WANABANWA

NILIKUSHANGAA SANA HUJUI HATA MNYAMA NI NANI , MAANA BIBLIA IMEMUELEZA VZR ,TENA INAKWAMBIA ANAKAA JUU YA VILIMA 7 ,

NA PALE VATICAN IPO JUU YA VILIMA 7

KANISA KATOLIK LILIPOONA HUU UNABII UNASAMBAA SANA NA UNALIFUNUA

WALIWAUA WATU WENGI SANA ,BAADAE WAKAANZISHA KIKOS KAZ KIITWACHO MAJESUIT

sasa wewe nakushangaa unashupaza shingo ,umejaa lawama tupu,

Hebu toka nje ya box, mimi nimeishi mishen ya ROMA miaka 12 , nimezaliwa kwenye uislamu ,

Lakin niliamua kutoka nje ya box , nikajua mengi,


Sio unabak unalaumu,

Je unaweza kuniambia hizo AYA ZINAMUHUSU NANI KAMA SIO ROMA?

NA UTAKAPOSEMA SIO ROMA ,MIMI NIMEKUOMBA TUFANYE MJADALA TUKITUMIA BIBLIA NA HISTORIA ,tuthibitishe

Iwapo itathibitika upo sahihi ,mimi nitaamua kukubaliana na wewe.

Mimi nilishaikana iman ya kiislamu Ndan ya msikiti na kuachana nayo, ni baada ya kufanya nao mjadala wakashindwa kunijibu , zaid wakidai YESU ALIKUWA MUISLAMU NA ALISALI MSIKITINI

NIKAWAPA AYA QURAN 22:40 , NIKAWAULIZA MBONA MUHAMAD ANAYATAJA MAJENGO YA IBADA MANNE , NA ANATOFAUTISHA MSIKITI NA SINAGOGI ,WHY MNATAKA KUNIDANGANYA? hapo nikiwa kijana mdogo

Tulihojiana sana , ikabid waniruhusu niachane na UISLAMU,

SASA WEWE UMEBAK UNAKOMAA KISA BABA NI MKATOLIKI,

HEBU TOKA NJE YA BOX ,ujifunze taratibu

Kama kina martin luther waliokuwa makasisi , Alipotoka nje ya box alikuta kwa harakaharaka Makosa 95 .

FB_IMG_1541033098088.jpeg
FB_IMG_1540876717133.jpeg
FB_IMG_1540964205378.jpeg
 
TUANZE HAPA

UFUNUO 13

1 Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.
2 Na yule mnyama niliyemwona alikuwa mfano wa chui, na miguu yake ilikuwa kama miguu ya dubu, na kinywa chake kama kinywa cha simba, yule joka akampa nguvu zake na kiti chake cha enzi na uwezo mwingi.
3 Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake la mauti likapona. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.
4 Wakamsujudu yule joka kwa sababu alimpa huyo mnyama uwezo wake; nao wakamsujudu yule mnyama, wakisema, Ni nani afananaye na mnyama huyu? Tena ni nani awezaye kufanya vita naye?
5 Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake miezi arobaini na miwili.

TWENDE KWENYE HIZO AYA 5 TU,

NAOMBA NIJIBU MASWALI HAYA KWA AYA YA 1
Nomba nisaidie Mnyama ni nini, Mnyama huyo ni nani, PEMBE ni nini, pembe kumi ni nani, zitaje ,vilemba ni nini, vilemba hivo ni nani,

Makufuru hayo ni yapi ,makufuru ni nini

Majibu yasapotiwe na biblia na historia

AYA Ya 2 ina maana gani inamaanisha nini inaposema hivo....UKITUMIA BIBLIA NA HISTORIA naomba majibu

AYA YA 3. ,Jeraha la mauti ni nini na lilitokeaje kwenye huo uislamu na ilikuwa lini, na lilipona lini

Aya YA 4 .,JOKA NI NANI, JE JOKA ALIMPA NGUVU UISLAMU KIVIPI

AYA YA 5.,MANENO GANI MAKUFURU ALIYANENA ,JE MAKUFURU NI NINI

HIYO MIEZI 42 NI NINI, JE ILIANZA LINI NA KUISHA LINI


TUANZIE HAPO KWANZA KWA AYA HIZO , TU KABLA SIJAKUSHUSHIA MZIGO
 
Back
Top Bottom