Ukweli juu ya mchezo wa Jumanji

Ukweli juu ya mchezo wa Jumanji

Halaf aliigiza movie moja inaitwa mrs doughtfire ahaha nilisikitika kusikia kajinyonga na ile jumanji yake kwangu ndio ilikua best kuliko hii wameact kina kelvin hart
Huyu Robin Williams alijiuwa kwa kujinyonga na ndie ali act jumanji ya kwanza
Kuna kuunganisha dot hapo?
 
Ukiiangalia ile jumanji ya kwanza utaona ni watoto waliokota kama kanda zile za vhc then wakakuta kuna kete wakajikuta wanacheza kumbe ndio wameingia kwenye huo mchezo na walitakiwa wacheze mpaka neno jumanji litokee katika ile kanda walipata misuko suko mingi sana na kadri walovyokua wanacheza ndio mitihani kwao ilizidi kua migumu japo waliweza
Hata mimi sijaridhika nalo.
Yaani HAIWEZEKANI mtu,u take risk HIVYO halafu et zawadi ikawa uhai/kunusurika
Kama HIVYO HAKUNA maana ya kucheza huo mchezo.
 
Halaf aliigiza movie moja inaitwa mrs doughtfire ahaha nilisikitika kusikia kajinyonga na ile jumanji yake kwangu ndio ilikua best kuliko hii wameact kina kelvin hart
Mrs Daubtfire [emoji23][emoji23] very funny yaani unatamani kuiangalia kila wakati
Jumanji ilikuwa nzuri sana halafu jamaa alikuwa ni talent, kweli kifo kilishtua wengi na mke wake mwisho alikuja kusema kuwa alikufa kwa ugonjwa wa (DLB) Dementia with Lewy Bodies
Unakuwa na hallucinations za ajabu ajabu sana mpaka unajiua
Dunia hii
 
Labda inauhusiano na hiyo jumanji juu ya kifo chake kwa kweli

Ile movie me naipenda sana yan aliona watoto atakua mbali nao bora ajifanye baby sitter hahahahhahaa na jumanji alioact yeye ndio best hii movie nakumbuka home nilikuwaga na game linaitwa snakeleader kwa ndani ni draft ukiliweka sawa ndio unacheza hiyo snale leader nililiogopa mana niliona kama naweza cheza jumanji
Mrs Daubtfire [emoji23][emoji23] very funny yaani unatamani kuiangalia kila wakati
Jumanji ilikuwa nzuri sana halafu jamaa alikuwa ni talent, kweli kifo kilishtua wengi na mke wake mwisho alikuja kusema kuwa alikufa kwa ugonjwa wa (DLB) Dementia with Lewy Bodies
Unakuwa na hallucinations za ajabu ajabu sana mpaka unajiua
Dunia hii
 
Labda inauhusiano na hiyo jumanji juu ya kifo chake kwa kweli

Ile movie me naipenda sana yan aliona watoto atakua mbali nao bora ajifanye baby sitter hahahahhahaa na jumanji alioact yeye ndio best hii movie nakumbuka home nilikuwaga na game linaitwa snakeleader kwa ndani ni draft ukiliweka sawa ndio unacheza hiyo snale leader nililiogopa mana niliona kama naweza cheza jumanji
Daah snake leader umenikumbusha kitambo sana, mjomba wangu alitufuma tunacheza karibia kila siku. Sasa siku moja tunatoka shule Jamaa tukakuta Jamaa amelitia moto bhana, hapo ni kilio cha hatari. Yeye anadai kuwa tutaleta masuala ya ajabu ajabu ndani ya nyumba.
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Labda inauhusiano na hiyo jumanji juu ya kifo chake kwa kweli

Ile movie me naipenda sana yan aliona watoto atakua mbali nao bora ajifanye baby sitter hahahahhahaa na jumanji alioact yeye ndio best hii movie nakumbuka home nilikuwaga na game linaitwa snakeleader kwa ndani ni draft ukiliweka sawa ndio unacheza hiyo snale leader nililiogopa mana niliona kama naweza cheza jumanji
Yaani kifo chake hata director wa jumanji 2 baada ya miaka yote hiyo bado alikuwa nervous sana alipokuwa anai direct ni kwa ajili ya kifo cha Robin
[emoji3] kwa hiyo ulikuwa ukicheza ya nyoka unaona ukimezwa tu umeenda kuzimu
Nimecheka sana
 
Yaani kifo chake hata director wa jumanji 2 baada ya miaka yote hiyo bado alikuwa nervous sana alipokuwa anai direct ni kwa ajili ya kifo cha Robin
[emoji3] kwa hiyo ulikuwa ukicheza ya nyoka unaona ukimezwa tu umeenda kuzimu
Nimecheka sana
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna wakati nashangaa yaani movies zingine ni from scary real & true stories halafu bado kuna MTU anakwenda kucheza daah hawezi kuuliza hata the summary of what real happened....
Wazungu Hawa ni noumah sana
 
Duh pole langu nilipoteza karibu kete zote isipokua tatu mbili na ile dice ya kuchezea snake leader ndio lilikua game langu tangu nione jumanji nikaogopa
Daah snake leader umenikumbusha kitambo sana, mjomba wangu alitufuma tunacheza karibia kila siku. Sasa siku moja tunatoka shule Jamaa tukakuta Jamaa amelitia moto bhana, hapo ni kilio cha hatari. Yeye anadai kuwa tutaleta masuala ya ajabu ajabu ndani ya nyumba.
[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Haha yan kuzungusha ile dice peke yake na vile unachezesha kete nilikua najiona nacheza jumanji hivihivi



Sjui kwa nn aliamua kujiua jamani
Yaani kifo chake hata director wa jumanji 2 baada ya miaka yote hiyo bado alikuwa nervous sana alipokuwa anai direct ni kwa ajili ya kifo cha Robin
[emoji3] kwa hiyo ulikuwa ukicheza ya nyoka unaona ukimezwa tu umeenda kuzimu
Nimecheka sana
 
Duh pole langu nilipoteza karibu kete zote isipokua tatu mbili na ile dice ya kuchezea snale leader ndio lilikua game langu tangu bione jumanji nikaogopa
Sisi aliyeharibu alikuwa ni aunt ndo aliyeleta hii movie sasa kipindi kile ndio kuna utamaduni wa kukaa wote sebuleni mnacheki movie Kumbe Uncle anatupimia tu...
Daah [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom