Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,195
- 10,709
- Thread starter
- #41
Mkuu naomba nikueleweshe kuwa:Zawadi ni uhai kivipi wakati unaanza mchezo ukiwa hai?
Sijakuelewa mkuu labda ufafanue kiasi OK,
Ukianza kucheza ni lazma mtu awe hai ila sasa ili zawadi ya kufanikisha kukwepa vikwazo ndani ya mission yako ni kutoka ukiwa hai, tofauti na hivyo ukifeli inakuwa ni kifo moja kwa moja.