Ngwasu89
Senior Member
- Sep 8, 2017
- 103
- 87
Mshindi anapata nini? Ulemavu huo ni km UPI kwa mfano ili tuwafahamu watu hao wasije wakawa ndo tunakutana nao wamekaa pembezoni mwa barabara kumbe madizo.Ndio hivyo ila kwa wale walio na uelewa mdogo wengi ufariki au kupata ulemavu. Na sio uchawi tu ni uwe na nguvu kubwa ya kichawi kwani mchezo huu ni full mauzauza