Nilikuja kuliona hili jibu lakini halikuniridhisha mkuu"Kutokana na wengi kutokujua mchezo huu nia yake haswa.
Zawadi pekee ni uhai tu unapona ila napo ni kwa kiasi kidogo sana." Damaso
Hilo ndiyo jibu alilonipa Mkuu
Nimekupata mkuuKama umeziangalia hizo movie na ukijaribu kumuelewa mleta mada ni kwamba wengi waliocheza hilo game walicheza bila kulijua au kujua kusudi la hilo game sasa baada ya kuanza kucheza na kujua unapigania uhai wako basi ndio ushindi wenyewe
Ok, mfano hii JUMANJI imejenga/inajenga uhalisia upi kwenye jamii yetu?Ni kweli tambua kuwa hizi myth ndo zinajenga uhalisia Wa vitu vinavyoendelea katika jamii yetu.
Hata mimi sijaridhika nalo.Nilikuja kuliona hili jibu lakini halikuniridhisha mkuu
British Royal Family wanapata nini kuhusiana na jumanj?Kwa karne ya sasa hakuna takwimu haswa zaidi ya kuwa kwenye domain ya British Royal family
Mkuu kwa hali ya kawaida tunawaona kama ni watu wa kawaida lakini Hawa ni kati ya makundi machache tu duniani ambayo yanamiliki vitu vya ajabu pamoja na vitu vya kale vyenye historia. Jumanji inadaiwa ilikuwa inanadiwa katika minada ya siri sana ya Illuminat. Na kwa kuwa Royal family ya uingereza ina ushawishi pamoja na pesa kwa kiwango kikubwa, wao ndo walipata nafasi pekee ya kununua hiki kidumbwana.British Royal Family wanapata nini kuhusiana na jumanj?
AhsanteMkuu kwa hali ya kawaida tunawaona kama ni watu wa kawaida lakini Hawa ni kati ya makundi machache tu duniani ambayo yanamiliki vitu vya ajabu pamoja na vitu vya kale vyenye historia. Jumanji inadaiwa ilikuwa inanadiwa katika minada ya siri sana ya Illuminat. Na kwa kuwa Royal family ya uingereza ina ushawishi pamoja na pesa kwa kiwango kikubwa, wao ndo walipata nafasi pekee ya kununua hiki kidumbwana.
Hapo nadhani umenipata mkuu.