ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Ukraine inadai kutungua ndege ya kisasa ya Urusi A-50 AWACS. Kazi kubwa ya ndege ilikua ni kuelekeza makombora ya S-400 kuweza kutungua ndege Vita za ukraine zikiwa umbali mrefu zaidi.
Urusi inadai inaweza kuona kombora likiwa umbali wa zaidi ya kilometa 1000 na ndege umbali zaidi ya km 400. Urusi ilikua na ndege 8 tu za aina hii.
Ndege hii inadaiwa kutunguliwa na mfumo wa Patriot. Urusi bado haijathibisha taarifa hizi.
Urusi inadai inaweza kuona kombora likiwa umbali wa zaidi ya kilometa 1000 na ndege umbali zaidi ya km 400. Urusi ilikua na ndege 8 tu za aina hii.
Ndege hii inadaiwa kutunguliwa na mfumo wa Patriot. Urusi bado haijathibisha taarifa hizi.