Ukraine waanza maandalizi ya wapiganaji milioni moja ili kutwaa miji ambayo Urusi aliambulia

Mkuu, tulia tu kwanza wakishairudisha ndo uvimbe. Narudia tena, bora kutulia, na usidhani namsapoti Puttin, NO.

Samaki mkunje akiwa bado mbichi, huu ndio muda wake, mbele kwa mbele...
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwa wanajeshi wake walivyouawa pale Kyev na limsafara lote la kilomita 64km kufyekwa, ni dhahiri alipiga mahesabu ya hovyo....
Sikatai wala kukubaliana nawe.
Naangalia impact maana vita hupiganwa ndani na nje.

Ninachokiona ni kwamba Urusi inapigana na mataifa ya ulaya na US wakijificha nyuma ya vikwazo na kuisaidia kisilaha Ukraine.

Hawawazii amani ya dunia bali ufundi na teknolojia yao ya mitambo ya kuua watu.

Yeyote anayeshabikia kwa upande wowote wa vita hii niwendawazimu wa karne
 
Asiyejua ustaarabu mwoga mwoga hupiga mabomu hata kwenye mall, sehemu raia wametulia hawana hili au lile, wapo wanacheza bao ghafla mzinga unatua na kulipukaMall wapi kulikuwa na ghala la silaha nearby lilipolipuliwa moto ukafika kwenye mall

Asiyejua ustaarabu mwoga mwoga hupiga mabomu hata kwenye mall, sehemu raia wametulia hawana hili au lile, wapo wanacheza bao ghafla mzinga unatua na kulipuka......
Mall?? Fuatilia vizuri Russia alilipua ghala la silaha liliokua karibu na mall ndio moto ukafika hadi kwenye mall, nadhani umesesema kila raia saivi ni mpiganaji so kaa kwa utulivu
 
Mwambieni Mrusi akosee njia ashambulie kataifa kamoja ka NATO ndio muone nini maana ya NATO.....
Mpaka sasa mnalizwa na wabeba javelin waliofyeka msafara wote...
Kalime wewe acha porojo, ndugu zako hawana chakula we umekaza unyolo tu kubishana humu
 
Hakuna raia wa Ukraine ama nchi yoyote atakayeshoboka kuomba uraia wa nchi maskini na ya kidikteta kama Russia.

Russia ni nchi mojawapo ya Africa iliyochangamka.

Hapo tu anahangaika na Ukraine kwa miezi sasa tena baada ya kuishambulia Ukraine kwa kushtukiza. Vipi kama angetoa onyo kabla la kuishambulia Ukraine wakajipanga?

Hakuna kitu Putin anakijutia kama kuivamia Ukraine ndo maana amekuwa akiwatimua na kuwabadilisha majenerali wake kila mara akiamini wanamhujumu kumbe amedodewa na mambo.

Russia ni maskini unajua ina rank nafas ya ngapi?? Uchumi wa dunia umeyumba kisa Russia. Unajikuta keyboard warrior ukiwa umekaa kwa shemeji hapo
 
Samaki mkunje akiwa bado mbichi, huu ndio muda wake, mbele kwa mbele...
Kwenye hili mkunja samaki ni NATO na Urusi.
La muhimu hapa ni kupongeza tukio kama lipo in Ukraine favour, sio kufurahia tukio ambalo halijatokea bado na Urusi mwenyewe ameshaprove kuwa anaweza kuhimili misukosuko.
 
Haka kainchi saizi ya mkoa wa Urusi kameshindikana kufumua....supapawa la hovyo

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Epukeni kununua nyama za makopo kutoka Ukraine, Russia anafungua bucha za nguruwe wa kizungu
 
Sikatai wala kukubaliana nawe.
Naangalia impact maana vita hupiganwa ndani na nje.

Ninachokiona ni kwamba Urusi inapigana na mataifa ya ulaya na US wakijificha nyuma ya vikwazo na kuisaidia kisilaha Ukraine.

Hawawazii amani ya dunia bali ufundi na teknolojia yao ya mitambo ya kuua watu.

Yeyote anayeshabikia kwa upande wowote wa vita hii niwendawazimu wa karne

hao Marekani na wengine wote bado hawajatia mguu pale, kwa kweli mpaka sasa nashangaa sana hawa hawa Urusi niliowaogopa miaka yote ndio wamelizwa na kainchi kadogo saizi ya mkoa wao mmoja mpaka wanaita reserves, wamepoteza zana zaidi ya zilivyomilikiwa na majeshi yote ya EAC na wameambulia tumiji twa mipakani.
 
Mall?? Fuatilia vizuri Russia alilipua ghala la silaha liliokua karibu na mall ndio moto ukafika hadi kwenye mall, nadhani umesesema kila raia saivi ni mpiganaji so kaa kwa utulivu

Amekua mjinga wa kuogopa ogopa na kusambaratisha kila kitu mbele yake, hataki kujua ni makazi ya raia au jeshi....hana uwezo wa kuviziana wanajeshi kwa wanajeshi.
 
Kwenye hili mkunja samaki ni NATO na Urusi.
La muhimu hapa ni kupongeza tukio kama lipo in Ukraine favour, sio kufurahia tukio ambalo halijatokea bado na Urusi mwenyewe ameshaprove kuwa anaweza kuhimili misukosuko.

Urusi ameonyesha udhaifu wake, amesomwa alivyo useless, kainchi kadogo kamemliza kisi kwamba sasa hivi hawezi kulianzisha hata na Finland hapo maana ataisha, alisema Finland au Sweden asithubutu kujiunga NATO, sasa wanaifanya kwa jeuri maana wamemona alivyo hovyoo supapawa wa mchongo.
 
Epukeni kununua nyama za makopo kutoka Ukraine, Russia anafungua bucha za nguruwe wa kizungu

Hehehe!! Kweli mumechanganyikiwa, nilijua dini yenu hairuhusu hata kutaja neno nguruwe, yaani mpaka huu ugomvi unaisha...hehehe hapa nawaza tu.
 
Mrusi ajiandae kwa armaggedon, Ukraine wanaendelea kupata silaha kali za maangamizi makubwa na pia mzuka unazidi kuwapanda, wanajipanga kutiririka milioni moja kutwaa tumiji miji tudogo twa huko mipakani ambapo Mrusi aliambulia baada ya yeye Urusi kuingia hasara kubwa sana.

---
Ukraine is planning to arm a million-strong force with western-supplied weapons as it seeks to retake southern territories seized by Russia, Kyiv’s defence minister has claimed.

President Volodymyr Zelensky has told Ukraine’s military to retake coastal areas vital to the country’s economy, Oleksii Reznikov said, as Kyiv’s forces continued to engage in fierce fighting over control of the eastern Donbas region.

In a public appeal for Ukraine’s allies to expedite weapons shipments, Mr Reznikov warned that “each day we’re waiting for howitzers we can lose a hundred soldiers”, channelling Winston Churchill as he added: “Give us the tools, we will finish the job.”

Suggesting that Nato had initially underestimated Kyiv’s determination and overestimated Russia’s strength, the minister said he believed that Western countries were stepping up arms supplies now because Ukrainians had proved that they could fight.

“I tried to explain that after eight years of hybrid war we have more than 400,000 veterans plus their relatives in different parts of the world,” he told The Times. “Workers from Poland to Portugal decided to return to Ukraine to defend their country.”

“We have approximately 700,000 in the armed forces and when you add the national guard, police, border guard, we are around a million strong,” added Mr Reznikov, a former soldier in the Soviet airborne forces who assumed his current post last November.

Despite reports that western leaders have advised Ukraine not to attempt a major counteroffensive yet, Mr Reznikov said that “politically, it’s very necessary for our country” to retake parts of the south, which were captured swiftly at the outset of Vladimir Putin’s war using troops from annexed Crimea.

“The president has given the order to the supreme military chief to draw up plans. After that the general staff are doing their homework and say to achieve this goal we need X, Y, Z,” he said. “This is my job. I’m writing letters to counterparts in partner countries, the generals talk about why we need this kind of weaponry and then we get the political decisions.”

Over the weekend, Ukraine’s deputy prime minister Iryna Vereshchuk urged residents in Kherson and Zaporizhzhia to evacuate ahead of a counter-offensive effort which she warned would be a “huge battle”.

But analysts suggest that the defence minister’s comments are more of a broad rallying cry than a precise statement of intent, according to the BBC.

“It's not a million-strong force that will be conducting a counterattack,” Dr Jack Watling, senior research fellow at the Royal United Services Institute, told the broadcaster.

“Normally you would want operational surprise when you launch a counterattack, so announcing it publicly is partly about forcing the Russians to have to commit resources more widely to guard against this threat.”

Ukraine recently withdrew from its last major strongholds in Luhansk, the cities of Severodonetsk and Lysychansk, in what Mr Reznikov claimed were tactical losses necessary to save lives rather than strategic defeats.

His remarks echoed those by the Ukrainian military that the withdrawal from Lysychansk earlier this month had been “in order to preserve the lives of Ukrainian defenders”, with Mr Zelensky later vowing Ukraine “will return thanks to our tactics, thanks to the increase in the supply of modern weapons”.

On Sunday night, Mr Zelensky dismissed suggestions of an “operational pause” by Moscow following its capture of the two cities, as an onslaught of Russian strikes were alleged to have killed dozens of civilians in the country’s east and south.

Ukraine’s national police force also announced that it was opening a criminal investigation into the alleged destruction of hundreds of hectares of crops and granaries in the southern Kherson region, as Russia appears to be striking repeated hammer blows at a key pillar of the Ukrainian economy.

Large-scale fires are said to be taking place every day, with residents allegedly being stopped from extinguishing them by Russian forces.

-
Watu wamejipanga toka kuvunjika kwa Soviet mpaka leo, halafu mtu aanze kujiandaa sasa hivi na ashinde vita? We nae unakuaga kama kiazi
 
Back
Top Bottom