Ukraine waanza maandalizi ya wapiganaji milioni moja ili kutwaa miji ambayo Urusi aliambulia

Watu huwa wanajiandaa kabla ya Vita na siyo ndani ya vita kama hawakujiandaa Basi sahivi kilicho baki ni wajiandae kushindwa kichapo kinacho tembea huko mbwa,kuku, na paka wenyewe hawaonekani mtaani

Kama kuku wenyewe wameenda kuomba uraia Russia ni nan mwenye akili timamu atajiunga Ukraine akapigane Vita anayojua kabisa atashindwa
 
Mrusi ajiandae kwa armaggedon, Ukraine wanaendelea kupata silaha kali za maangamizi makubwa na pia mzuka unazidi kuwapanda, wanajipanga kutiririka milioni moja kutwaa tumiji miji tudogo twa huko mipakani ambapo Mrusi aliambulia baada ya yeye Urusi kuingia hasara kubwa sana.

---
Ukraine is planning to arm a million-strong force with western-supplied weapons as it seeks to retake southern territories seized by Russia, Kyiv’s defence minister has claimed.

President Volodymyr Zelensky has told Ukraine’s military to retake coastal areas vital to the country’s economy, Oleksii Reznikov said, as Kyiv’s forces continued to engage in fierce fighting over control of the eastern Donbas region.

In a public appeal for Ukraine’s allies to expedite weapons shipments, Mr Reznikov warned that “each day we’re waiting for howitzers we can lose a hundred soldiers”, channelling Winston Churchill as he added: “Give us the tools, we will finish the job.”

Suggesting that Nato had initially underestimated Kyiv’s determination and overestimated Russia’s strength, the minister said he believed that Western countries were stepping up arms supplies now because Ukrainians had proved that they could fight.

“I tried to explain that after eight years of hybrid war we have more than 400,000 veterans plus their relatives in different parts of the world,” he told The Times. “Workers from Poland to Portugal decided to return to Ukraine to defend their country.”

“We have approximately 700,000 in the armed forces and when you add the national guard, police, border guard, we are around a million strong,” added Mr Reznikov, a former soldier in the Soviet airborne forces who assumed his current post last November.

Despite reports that western leaders have advised Ukraine not to attempt a major counteroffensive yet, Mr Reznikov said that “politically, it’s very necessary for our country” to retake parts of the south, which were captured swiftly at the outset of Vladimir Putin’s war using troops from annexed Crimea.

“The president has given the order to the supreme military chief to draw up plans. After that the general staff are doing their homework and say to achieve this goal we need X, Y, Z,” he said. “This is my job. I’m writing letters to counterparts in partner countries, the generals talk about why we need this kind of weaponry and then we get the political decisions.”

Over the weekend, Ukraine’s deputy prime minister Iryna Vereshchuk urged residents in Kherson and Zaporizhzhia to evacuate ahead of a counter-offensive effort which she warned would be a “huge battle”.

But analysts suggest that the defence minister’s comments are more of a broad rallying cry than a precise statement of intent, according to the BBC.

“It's not a million-strong force that will be conducting a counterattack,” Dr Jack Watling, senior research fellow at the Royal United Services Institute, told the broadcaster.

“Normally you would want operational surprise when you launch a counterattack, so announcing it publicly is partly about forcing the Russians to have to commit resources more widely to guard against this threat.”

Ukraine recently withdrew from its last major strongholds in Luhansk, the cities of Severodonetsk and Lysychansk, in what Mr Reznikov claimed were tactical losses necessary to save lives rather than strategic defeats.

His remarks echoed those by the Ukrainian military that the withdrawal from Lysychansk earlier this month had been “in order to preserve the lives of Ukrainian defenders”, with Mr Zelensky later vowing Ukraine “will return thanks to our tactics, thanks to the increase in the supply of modern weapons”.

On Sunday night, Mr Zelensky dismissed suggestions of an “operational pause” by Moscow following its capture of the two cities, as an onslaught of Russian strikes were alleged to have killed dozens of civilians in the country’s east and south.

Ukraine’s national police force also announced that it was opening a criminal investigation into the alleged destruction of hundreds of hectares of crops and granaries in the southern Kherson region, as Russia appears to be striking repeated hammer blows at a key pillar of the Ukrainian economy.

Large-scale fires are said to be taking place every day, with residents allegedly being stopped from extinguishing them by Russian forces.

-
Wanaota tu hao. Unafikiri kupata askari milioni moja ni kitu cha mchezo?
 
Mwambieni Mrusi akosee njia ashambulie kataifa kamoja ka NATO ndio muone nini maana ya NATO.....
Mpaka sasa mnalizwa na wabeba javelin waliofyeka msafara wote...
Ila unateseka sana aisee. Bahati mbaya ulichagua upande ambao haujakupa matumauni hadi sasa . Ulidhani mikwala ya Joe ingekufanya uwe na furaha, kutoka 40bil usd hadi 0.8bil. Huku wengine wakiachia ngazi. Russia ni shida ameleta njaa mpaka Kenya watu wako na mabakuli kwa road.
Ameyumbisha uchumi hadi kibera ambako hata Odessa hawajawahi kufika
 
Hayo masilaha yamemtesa sana Urusi, alifoka siku za kwanza eti sijui atapambana na yeyote atakayempa kraine silaha, sasa hivi zinaendelea kushushwa Ukraine na kumtesa, yeye ameingia hasara zaidi ya inventory yote ya JWTZ ili tu kuteka tumiji twa huko mipakani.
Hata vita ya kijasusi ni kupambana . PM wa Uk yuko wapi? FSB wabaya hao .bado Germany pananuka hata hapo Kenya mtamwaga damu ngoja uchqguzi uje. Usifikiri kujua hicho kiswahili utavuka uje Tanga kama mzigua. No thank you
 
Haka kainchi saizi ya mkoa wa Urusi kameshindikana kufumua....supapawa la hovyo

where-are-ukraine-&-russia.jpg
Unataka akafute? Hawako vitani, wanakamata magaidi.
Wakiingia vitani hakuna maveterani wa Nato na Ulaya wanaopambania Ukraine watabaki!
 
Watu huwa wanajiandaa kabla ya Vita na siyo ndani ya vita kama hawakujiandaa Basi sahivi kilicho baki ni wajiandae kushindwa kichapo kinacho tembea huko mbwa,kuku, na paka wenyewe hawaonekani mtaani

Kama kuku wenyewe wameenda kuomba uraia Russia ni nan mwenye akili timamu atajiunga Ukraine akapigane Vita anayojua kabisa atashindwa
Hakuna raia wa Ukraine ama nchi yoyote atakayeshoboka kuomba uraia wa nchi maskini na ya kidikteta kama Russia.

Russia ni nchi mojawapo ya Africa iliyochangamka.

Hapo tu anahangaika na Ukraine kwa miezi sasa tena baada ya kuishambulia Ukraine kwa kushtukiza. Vipi kama angetoa onyo kabla la kuishambulia Ukraine wakajipanga?

Hakuna kitu Putin anakijutia kama kuivamia Ukraine ndo maana amekuwa akiwatimua na kuwabadilisha majenerali wake kila mara akiamini wanamhujumu kumbe amedodewa na mambo.
 
Wazungu ni wajanja sana sio kwamba wanashindwa kumsaidia Ukraine kumtimua Russia bali wanavuta muda wa vita ili Russia aingie gharama kubwa huku vikwazo kila eneo akishtuka imebaki Zimbabwe.

Ukitaka kuamini westerners wanavuta muda tu wa vita ili kumtia hasara kubwa Russia fikiria pale Russia alipotaka kuivamia Kiev alishindwa mapema sana kwasababu mabeberu hayakutaka mji mkuu utekwe hiyo ingekuwa ushindi kwa Russia.

Watapigana huko huko mipakani tu ili Russia aendelee kula loss mwisho wa siku aondoke kwa aibu.

Russia ameonesha udhaifu mkubwa sana atadharauliwa na nchi hadi za Africa.
 
Putin amechimba mikwara kibao sijui Finland na Sweden wakijaribu kujiunga na NATO tu atawasambaratisha vibaya.

Kiko wapi tayari Finland na Sweden wameshaweka mguu mmoja ndani ya NATO bado kukamilisha tu uanachama kamili. Kafanya nini Russia?
 
Mrusi ajiandae kwa armaggedon, Ukraine wanaendelea kupata silaha kali za maangamizi makubwa na pia mzuka unazidi kuwapanda, wanajipanga kutiririka milioni moja kutwaa tumiji miji tudogo twa huko mipakani ambapo Mrusi aliambulia baada ya yeye Urusi kuingia hasara kubwa sana.

---
Ukraine is planning to arm a million-strong force with western-supplied weapons as it seeks to retake southern territories seized by Russia, Kyiv’s defence minister has claimed.

President Volodymyr Zelensky has told Ukraine’s military to retake coastal areas vital to the country’s economy, Oleksii Reznikov said, as Kyiv’s forces continued to engage in fierce fighting over control of the eastern Donbas region.

In a public appeal for Ukraine’s allies to expedite weapons shipments, Mr Reznikov warned that “each day we’re waiting for howitzers we can lose a hundred soldiers”, channelling Winston Churchill as he added: “Give us the tools, we will finish the job.”

Suggesting that Nato had initially underestimated Kyiv’s determination and overestimated Russia’s strength, the minister said he believed that Western countries were stepping up arms supplies now because Ukrainians had proved that they could fight.

“I tried to explain that after eight years of hybrid war we have more than 400,000 veterans plus their relatives in different parts of the world,” he told The Times. “Workers from Poland to Portugal decided to return to Ukraine to defend their country.”

“We have approximately 700,000 in the armed forces and when you add the national guard, police, border guard, we are around a million strong,” added Mr Reznikov, a former soldier in the Soviet airborne forces who assumed his current post last November.

Despite reports that western leaders have advised Ukraine not to attempt a major counteroffensive yet, Mr Reznikov said that “politically, it’s very necessary for our country” to retake parts of the south, which were captured swiftly at the outset of Vladimir Putin’s war using troops from annexed Crimea.

“The president has given the order to the supreme military chief to draw up plans. After that the general staff are doing their homework and say to achieve this goal we need X, Y, Z,” he said. “This is my job. I’m writing letters to counterparts in partner countries, the generals talk about why we need this kind of weaponry and then we get the political decisions.”

Over the weekend, Ukraine’s deputy prime minister Iryna Vereshchuk urged residents in Kherson and Zaporizhzhia to evacuate ahead of a counter-offensive effort which she warned would be a “huge battle”.

But analysts suggest that the defence minister’s comments are more of a broad rallying cry than a precise statement of intent, according to the BBC.

“It's not a million-strong force that will be conducting a counterattack,” Dr Jack Watling, senior research fellow at the Royal United Services Institute, told the broadcaster.

“Normally you would want operational surprise when you launch a counterattack, so announcing it publicly is partly about forcing the Russians to have to commit resources more widely to guard against this threat.”

Ukraine recently withdrew from its last major strongholds in Luhansk, the cities of Severodonetsk and Lysychansk, in what Mr Reznikov claimed were tactical losses necessary to save lives rather than strategic defeats.

His remarks echoed those by the Ukrainian military that the withdrawal from Lysychansk earlier this month had been “in order to preserve the lives of Ukrainian defenders”, with Mr Zelensky later vowing Ukraine “will return thanks to our tactics, thanks to the increase in the supply of modern weapons”.

On Sunday night, Mr Zelensky dismissed suggestions of an “operational pause” by Moscow following its capture of the two cities, as an onslaught of Russian strikes were alleged to have killed dozens of civilians in the country’s east and south.

Ukraine’s national police force also announced that it was opening a criminal investigation into the alleged destruction of hundreds of hectares of crops and granaries in the southern Kherson region, as Russia appears to be striking repeated hammer blows at a key pillar of the Ukrainian economy.

Large-scale fires are said to be taking place every day, with residents allegedly being stopped from extinguishing them by Russian forces.

-
Kumbe wanategemea msaada wa mabeberu? Nlijua ni uwezo wao wenyewe.

NB: Urusi kafunga koki ya nord strimu.
 
Wanaota tu hao. Unafikiri kupata askari milioni moja ni kitu cha mchezo?

Sio askari, ni wapiganaji, wazalendo kwenye nchi yao, watakusanya wote, mapolisi, mgambo, na yeyote mwenye uwezo wa kunyanyua bunduki na kulenga shabaha. Kumbuka walichokifanya pale Kyev mpaka Mrusi akakimbia, sasa ndicho wanataka kufanya kwa kuita kila yeyote kwenye nchi yote waokoe huto tumiji Mrusi ameingia.
 
Ila unateseka sana aisee. Bahati mbaya ulichagua upande ambao haujakupa matumauni hadi sasa . Ulidhani mikwala ya Joe ingekufanya uwe na furaha, kutoka 40bil usd hadi 0.8bil. Huku wengine wakiachia ngazi. Russia ni shida ameleta njaa mpaka Kenya watu wako na mabakuli kwa road.
Ameyumbisha uchumi hadi kibera ambako hata Odessa hawajawahi kufika

Nilichagua upande unaonipa raha hadi naumwa, wabeba javelin walifaulu kufyeka msafara wote....kama movie kabisa yaani.
 
Hata vita ya kijasusi ni kupambana . PM wa Uk yuko wapi? FSB wabaya hao .bado Germany pananuka hata hapo Kenya mtamwaga damu ngoja uchqguzi uje. Usifikiri kujua hicho kiswahili utavuka uje Tanga kama mzigua. No thank you

Urusi kwa sasa hana jeuri yoyote ya ujasusi maana hao majasusi walimdanganya Putin kwamba ataiteka Kyev kirahisi, ila alichokutana nacho pale hadi raha.... aliishia kuwafuta kazi wakuu wa FSB.
 
Unataka akafute? Hawako vitani, wanakamata magaidi.
Wakiingia vitani hakuna maveterani wa Nato na Ulaya wanaopambania Ukraine watabaki!

Kwa hasara aliyoingia, yaani zana zaidi ya walizo nazo JWTZ, ndege zaidi ya mia mbili, meli kubwa kubwa, majenerali na mengine mengi yote ila kaambulia tumiji twa huko mipakani, kainchi kamemshinda kufumua.....tena ukizingatia anapiga mabomu kwa raia kabisa.
 
Back
Top Bottom