MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,656
- 48,432
- Thread starter
- #81
Watu wamejipanga toka kuvunjika kwa Soviet mpaka leo, halafu mtu aanze kujiandaa sasa hivi na ashinde vita? We nae unakuaga kama kiazi
Kama aibu ambayo imemkuta hapo Kyev ndio kujiandaa alikokua anajiandaa miaka yote, basi dah ameisha aisei...