Ukraine waanza maandalizi ya wapiganaji milioni moja ili kutwaa miji ambayo Urusi aliambulia

MK254 nakupendaga kwenye suala la kutokata tamaa na kujipaga moyo 🤣🤣🤣🤣 silaha mpy, morden zinahitaji new training, naamini unajua hilo sio hata hapo Kenya, naamini wanajeshi huenda trainings za miaka au miezi ya kutosha.

Haya niambie hao askari 1M wapya ni NATO au wamerekruite vijana wa mtaani?
 
Pamoja na masilaha mazito mnayowapatia hao ukraine na mescenaries wa kutoka Nato mbona Mrusi anazidi kutwaa majiji?
Usilolijua shida ya mrusi anataka nato ajitokeze laivu aone, hata Kama mrus atashindwa kumbuka zipo nchi nying zinazomuunga mkono mrusi hayupo peke yake na ikitokea nato wakamchokoza wajiandae wazungu kuwa wakimbizi Afrika

Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app
 
MK254 nakupendaga kwenye suala la kutokata tamaa na kujipaga moyo 🤣🤣🤣🤣 silaha mpy, morden zinahitaji new training, naamini unajua hilo sio hata hapo Kenya, naamini wanajeshi huenda trainings za miaka au miezi ya kutosha.

Haya niambie hao askari 1M wapya ni NATO au wamerekruite vijana wa mtaani?

Silaha mpya zitatumika na wazoefu, ila wapiganaji milioni watapewa kalashnikov za kawaida na kuingia mtaani, watakusanywa mgambo, mapolisi na wote wenye uwezo wa kufundishwa namna ya kulenga shabaha, ndicho kilimkimbiza Marekani akaitoroka Vietnam maana ilitokea hadi akina bibi mashambani wanafyatua bastola....

Hii ndio shughuli ilimkimbiza Urusi akatoroka Kyev, maana ghafla alianza kushambuliwa na kila mtu....
Huto tumiji twa huko mpakani amefaulu kututeka maana wananchi wengi huko wanaongea Kirusi na wana asili ya Urusi.
Sasa subiri nyomi ya Wa-Ukraine halisi kuja kukomboa tumiji twao...

ukraine-grandmother-16449942703x2.png
 
Shida so kudunda shida hataki maridhiano na ndugu yake anaona Bora kutunidmsa kifua huku anaangamiza taifa lake

Sent from my Infinix X657C using JamiiForums mobile app

Maridhiano yapi na adui ambaye alikuja na nia ya kuiteka nchi yake, kaja mpaka mji mkuu na kufyatuliwa akaambulia kuteka tumiji twa huko mipakani, hamna cha maridhiano hadi afe raia wa mwisho Ukraine, wapigane hadi wa mwisho.
 
Mrusi ajiandae kwa armaggedon, Ukraine wanaendelea kupata silaha kali za maangamizi makubwa na pia mzuka unazidi kuwapanda, wanajipanga kutiririka milioni moja kutwaa tumiji miji tudogo twa huko mipakani ambapo Mrusi aliambulia baada ya yeye Urusi kuingia hasara kubwa sana.

---
Ukraine is planning to arm a million-strong force with western-supplied weapons as it seeks to retake southern territories seized by Russia, Kyiv’s defence minister has claimed.

President Volodymyr Zelensky has told Ukraine’s military to retake coastal areas vital to the country’s economy, Oleksii Reznikov said, as Kyiv’s forces continued to engage in fierce fighting over control of the eastern Donbas region.

In a public appeal for Ukraine’s allies to expedite weapons shipments, Mr Reznikov warned that “each day we’re waiting for howitzers we can lose a hundred soldiers”, channelling Winston Churchill as he added: “Give us the tools, we will finish the job.”

Suggesting that Nato had initially underestimated Kyiv’s determination and overestimated Russia’s strength, the minister said he believed that Western countries were stepping up arms supplies now because Ukrainians had proved that they could fight.

“I tried to explain that after eight years of hybrid war we have more than 400,000 veterans plus their relatives in different parts of the world,” he told The Times. “Workers from Poland to Portugal decided to return to Ukraine to defend their country.”

“We have approximately 700,000 in the armed forces and when you add the national guard, police, border guard, we are around a million strong,” added Mr Reznikov, a former soldier in the Soviet airborne forces who assumed his current post last November.

Despite reports that western leaders have advised Ukraine not to attempt a major counteroffensive yet, Mr Reznikov said that “politically, it’s very necessary for our country” to retake parts of the south, which were captured swiftly at the outset of Vladimir Putin’s war using troops from annexed Crimea.

“The president has given the order to the supreme military chief to draw up plans. After that the general staff are doing their homework and say to achieve this goal we need X, Y, Z,” he said. “This is my job. I’m writing letters to counterparts in partner countries, the generals talk about why we need this kind of weaponry and then we get the political decisions.”

Over the weekend, Ukraine’s deputy prime minister Iryna Vereshchuk urged residents in Kherson and Zaporizhzhia to evacuate ahead of a counter-offensive effort which she warned would be a “huge battle”.

But analysts suggest that the defence minister’s comments are more of a broad rallying cry than a precise statement of intent, according to the BBC.

“It's not a million-strong force that will be conducting a counterattack,” Dr Jack Watling, senior research fellow at the Royal United Services Institute, told the broadcaster.

“Normally you would want operational surprise when you launch a counterattack, so announcing it publicly is partly about forcing the Russians to have to commit resources more widely to guard against this threat.”

Ukraine recently withdrew from its last major strongholds in Luhansk, the cities of Severodonetsk and Lysychansk, in what Mr Reznikov claimed were tactical losses necessary to save lives rather than strategic defeats.

His remarks echoed those by the Ukrainian military that the withdrawal from Lysychansk earlier this month had been “in order to preserve the lives of Ukrainian defenders”, with Mr Zelensky later vowing Ukraine “will return thanks to our tactics, thanks to the increase in the supply of modern weapons”.

On Sunday night, Mr Zelensky dismissed suggestions of an “operational pause” by Moscow following its capture of the two cities, as an onslaught of Russian strikes were alleged to have killed dozens of civilians in the country’s east and south.

Ukraine’s national police force also announced that it was opening a criminal investigation into the alleged destruction of hundreds of hectares of crops and granaries in the southern Kherson region, as Russia appears to be striking repeated hammer blows at a key pillar of the Ukrainian economy.

Large-scale fires are said to be taking place every day, with residents allegedly being stopped from extinguishing them by Russian forces.

-
Ujeremani kampigia magoti Putin asizime gesi
 
Wazungu ni wajanja sana sio kwamba wanashindwa kumsaidia Ukraine kumtimua Russia bali wanavuta muda wa vita ili Russia aingie gharama kubwa huku vikwazo kila eneo akishtuka imebaki Zimbabwe.

Ukitaka kuamini westerners wanavuta muda tu wa vita ili kumtia hasara kubwa Russia fikiria pale Russia alipotaka kuivamia Kiev alishindwa mapema sana kwasababu mabeberu hayakutaka mji mkuu utekwe hiyo ingekuwa ushindi kwa Russia.

Watapigana huko huko mipakani tu ili Russia aendelee kula loss mwisho wa siku aondoke kwa aibu.

Russia ameonesha udhaifu mkubwa sana atadharauliwa na nchi hadi za Africa.
Kojoa ulale
 
Silaha mpya zitatumika na wazoefu, ila wapiganaji milioni watapewa kalashnikov za kawaida na kuingia mtaani, watakusanywa mgambo, mapolisi na wote wenye uwezo wa kufundishwa namna ya kulenga shabaha, ndicho kilimkimbiza Marekani akaitoroka Vietnam maana ilitokea hadi akina bibi mashambani wanafyatua bastola....

Hii ndio shughuli ilimkimbiza Urusi akatoroka Kyev, maana ghafla alianza kushambuliwa na kila mtu....
Huto tumiji twa huko mpakani amefaulu kututeka maana wananchi wengi huko wanaongea Kirusi na wana asili ya Urusi.
Sasa subiri nyomi ya Wa-Ukraine halisi kuja kukomboa tumiji twao...

ukraine-grandmother-16449942703x2.png
Baadae msije na malalamiko kwamba anaua RAIA🤣🤣🤣🤣 maana kila kiumbe ni mwanajeshi
 
Mkuu, tulia tu kwanza wakishairudisha ndo uvimbe. Narudia tena, bora kutulia, na usidhani namsapoti Puttin, NO.
 
NATO wameshatimiza malengo, Finland na Sweden kuwa mwanachama wa umoja wa kujihami. Kilichobaki kuendeleza low intensity war hadi Putin anadondoka kwa uchovu na hasara kubwa uchumi wa Russia.

---------->The war in Ukraine could last for years, the head of NATO said on Sunday, as Russia stepped up its assaults after the European Union recommended that Kyiv become a candidate to join the bloc.

Jens Stoltenberg said the supply of state-of-the-art weaponry to Ukrainian troops would boost the chance of freeing its eastern region of Donbas from Russian control, Germany's Bild am Sonntag newspaper said.

"We must prepare for the fact that it could take years. We must not let up in supporting Ukraine," Stoltenberg, the secretary-general of the military alliance, was quoted as saying.

"Even if the costs are high, not only for military support, also because of rising energy and food prices."

British Prime Minister Boris Johnson, who visited Kyiv on Friday, also spoke over the weekend of a need to prepare for a long war.

This meant ensuring "Ukraine receives weapons, equipment, ammunition and training more rapidly than the invader", Johnson wrote in an opinion piece in London's Sunday Times
 
Sijawahi kusikia mashambulizi na plan zote za kivita zikitangazwa
Hata hii habari imeandika hayo na mleta habari umeipitia juu juu tu

Hivi unaponiambia unakuja kupigana mimi ntakaa nakusubiri na birika la chai eti

Vita sio utani wa jadi
 
Hakuna raia wa Ukraine ama nchi yoyote atakayeshoboka kuomba uraia wa nchi maskini na ya kidikteta kama Russia.

Russia ni nchi mojawapo ya Africa iliyochangamka.

Hapo tu anahangaika na Ukraine kwa miezi sasa tena baada ya kuishambulia Ukraine kwa kushtukiza. Vipi kama angetoa onyo kabla la kuishambulia Ukraine wakajipanga?

Hakuna kitu Putin anakijutia kama kuivamia Ukraine ndo maana amekuwa akiwatimua na kuwabadilisha majenerali wake kila mara akiamini wanamhujumu kumbe amedodewa na mambo.
Nimesoma mistari mitatu ya kwanza tu nikajua we ni bogus sijaendelea kusoma upupu ulioandika
Ahsante
 
Back
Top Bottom