Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Huu mtanange unavyoendelea itabidi tumtafute Madam Rita atupe ujuzi wa kuchagua mshindi
Companero naona unampiga Yericko Nyerere kwa bakora yake mwenye! Nakuamkia "Chei Chei".
Ila Nguruvi3 mtu mzima dawa, naona unataka kutoa somo la manufaa ya nyama ya ulimi kwa wanagenzi
Companero naona unampiga Yericko Nyerere kwa bakora yake mwenye! Nakuamkia "Chei Chei".
Ila Nguruvi3 mtu mzima dawa, naona unataka kutoa somo la manufaa ya nyama ya ulimi kwa wanagenzi
Last edited by a moderator: