nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Hivi ni kwa nini lugha inaonekana kukosa mvuto hasa kwenye suala la mapenzi? Utamwakaji wa maneno kama vile: nakupenda sana hauna mvuto kama vile '' i love you so much'' pia maneno kama vile '' i miss u baby'', ''honey'', ''darling'', ''baby'' na mengine unaweza kuongezea kiswahili chake kimekuwa utata.