Ukiweka milioni 200 kwenye fixed deposit unapata mrejesho wa 1.5m kwa mwezi

Bora kununua Bond za BOT unapata milioni mbili laki saba kila mwezi na pesa yako iko palepale na haikatwi kodi yoyote.
Hii inalipa sijui nchi yetu lakini kwingine inawezekana ukatumia hizo Bond kukopa mpaka 80% kwa benki nyingine kwa miaka mitano ambayo sawa na 160,000,000/- sawa na marejesho ya 2.6 kwa mwezi ukajenga nyumba mbili zenye uwezo wa kukulipa 1,200,000/- zikaweza kulipa riba na kubaki na kiasi kidogo huku ukiwa umeongeza thamani ya fedha yako.

hili ni kama benki zinaweza kukubali kuchukua bond kama security ya mkopo. Ukimaliza nyumba chukua nyumba moja iwe dhamana ya mkopo mwingine wa kutafuta mradi mwingine hata kama ni duka la jumla na maisha yanaenda.
 
Hii inalipa sijui nchi yetu lakini kwingine inawezekana ukatumia hizo Bond kukopa mpaka 80% kwa benki nyingine kwa miaka mitano ambayo sawa na 160,000,000/- sawa na marejesho ya 2.6 kwa mwezi ukajenga nyumba mbili zenye uwezo wa kukulipa 1,200,000/- zikaweza kulipa riba na kubaki na kiasi kidogo huku ukiwa umeongeza thamani ya fedha yako.
hili ni kama benki zinaweza kukubali kuchukua bond kama security ya mkopo.
ukimaliza nyumba chukua nyumba moja iwe dhamana ya mkopo mwingine wa kutafuta mradi mwingine hata kama ni duka la jumla na maisha yanaenda.
Hata mabenki ya Tanzania yanakubali kuweka Bond kama dhamana ya kuchukulia mkopo.
 
Labda kama sheria zimebadilika,nachojua mimi unachokiweka hakihusiani na benki ikipata hasara

Usicheze na hii kitu, jaribu kufatilia hatma ya walioweka hela yao Bank M ndo utajua.

Ilipita memorandum ya BOT kwamba depositors wote wapewe maximum TZS 1,500,000, balance inayobaki mtalipwa on preferential basis.

Ikitokea kwenye preference ukawa wa mwisho maana yake unategemea kitakachobaki.

Mpaka leo kuna watu kibao hawajalipwa. Na hiyo ni practice kwa mabenki yote yaliyochukuliwa na BOT kwa sababu za kufirisika.

Ogopa sana unapoona benki inatoa rates kubwa, hapo wanakutwa wanalazimisha liquidity.
 

Sure Mkuu 1.5m kwa mwezi labda uwe unaishi kisela,waulize wanaolipwa labda mili 3 au nne kwa mwezi....Kama kipato chako ni laki 3 au nne kwa mwezi utaona 1.5m ni nyingi sana.

-Kodi ya nyumba
-Ada ya watoto efemu akademia
-Chakula
-Utilities bills
-Transport/Usafiri
-Support kwa extended family.
-Vocha/Bundles

Kama kuishi kwa kujibana basi hata laki kwa mwezi inatosha kwa matumizi maana utakuwa unakunywa uji na usiku ugali na tembele chukuchuku,watoto wanasoma kayumba.
 
Sure Mkuu 1.5m kwa mwezi labda uwe unaishi kisela,waulize wanaolipwa labda mili 3 au nne kwa mwezi....Kama kipato chako ni laki 3 au nne kwa mwezi utaona 1.5m ni nyingi sana.

-Kodi ya nyumba
-Ada ya watoto efemu akademia
-Chakula
-Utilities bills
-Transport/Usafiri
-Support kwa extended family.
-Vocha/Bundles

Kama kuishi kwa kujibana basi hata laki kwa mwezi inatosha kwa matumizi maana utakuwa unakunywa uji na usiku ugali na tembele chukuchuku,watoto wanasoma kayumba.
Punguza dharau
 
Sure Mkuu 1.5m kwa mwezi labda uwe unaishi kisela,waulize wanaolipwa labda mili 3 au nne kwa mwezi....Kama kipato chako ni laki 3 au nne kwa mwezi utaona 1.5m ni nyingi sana.

-Kodi ya nyumba
-Ada ya watoto efemu akademia
-Chakula
-Utilities bills
-Transport/Usafiri
-Support kwa extended family.
-Vocha/Bundles

Kama kuishi kwa kujibana basi hata laki kwa mwezi inatosha kwa matumizi maana utakuwa unakunywa uji na usiku ugali na tembele chukuchuku,watoto wanasoma kayumba.

Upo sahihi.. bongo wengi tunaishi kimaskini sababu ya vipato vidogo.. mpaka tunaona 1.5m ni nyingiii.. huku uhalisia ni usd 650 tu hiyo.. ukiwa na familia ya mke na watoto wawili mnaishi kisasa hiyo hela ndogo sana
 
Sure Mkuu 1.5m kwa mwezi labda uwe unaishi kisela,waulize wanaolipwa labda mili 3 au nne kwa mwezi....Kama kipato chako ni laki 3 au nne kwa mwezi utaona 1.5m ni nyingi sana.

-Kodi ya nyumba
-Ada ya watoto efemu akademia
-Chakula
-Utilities bills
-Transport/Usafiri
-Support kwa extended family.
-Vocha/Bundles

Kama kuishi kwa kujibana basi hata laki kwa mwezi inatosha kwa matumizi maana utakuwa unakunywa uji na usiku ugali na tembele chukuchuku,watoto wanasoma kayumba.
Unajua hata 10M ni ndogo kwa mwezi ukizungumzia mahitaji ya binadamu suala ujue kwanini nasema 1.5M mimi natathmini kulingana na Economic Scale ya vipato vya wengu Tz 90% ya watanzania hawaingizi 600K kwa mwezi...sasa hapa unasemaje 1.5M ni nyingi tena sanaaaaaaaa na ni DREAM SALARY kwa wengi.

Hiyo list ya mahitaji ulioyo list hapo ni ndogo sana bimadamu ana mahitaji (Needs and Want) hata 20M ndogo kwa mwezi ila elewa somo la LOGIC.

1.5M huo mshahara wa ndoto kwangu.
 
Unajua hata 10M ni ndogo kwa mwezi ukizungumzia mahitaji ya binadamu suala ujue kwanini nasema 1.5M mimi natathmini kulingana na Economic Scale ya vipato vya wengu Tz 90% ya watanzania hawaingizi 600K kwa mwezi...sasa hapa unasemaje 1.5M ni nyingi tena sanaaaaaaaa na ni DREAM SALARY kwa wengi.

Hiyo list ya mahitaji ulioyo list hapo ni ndogo sana bimadamu ana mahitaji (Needs and Want) hata 20M ndogo kwa mwezi ila elewa somo la LOGIC.

1.5M huo mshahara wa ndoto kwangu.

Ndio maana nikasema kama kuishi kwa kujibana basi hata laki moja kwa mwezi inatosha kuendesha familia ila ukitaka kuishi kistandard hata 1.5m hamna kitu ndio ilikuwa logic yangu.
 
Back
Top Bottom